< Ezra 2 >

1 Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
These are the people in the province who went up from the captivity of King Nebuchadnezzar, who had exiled them in Babylon, the people who returned to each of their cities of Jerusalem and in Judea.
2 Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
They came with Zerubbabel, Joshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, and Baanah. This is the record of the men of the people of Israel.
3 Waporoshi: 2, 172
The descendants of Parosh: 2,172.
4 Wana wa Shefatia: 372
The descendants of Shephatiah: 372.
5 Wana wa Ara: 775.
The descendants of Arah: 775.
6 Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
The descendants of Pahath-Moab, through Jeshua and Joab: 2,812.
7 Wana wa Eliamu: 1, 254.
The descendants of Elam: 1,254.
8 Wana wa Zatu: 945.
The descendants of Zattu: 945.
9 Wana wa Zakai: 760.
The descendants of Zakkai: 760.
10 Wana wa Binui: 642.
The descendants of Bani: 642.
11 Wana wa Bebai: 623.
The descendants of Bebai: 623.
12 Wana wa Azgadi: 1, 222.
The descendants of Azgad: 1,222.
13 Wana wa Adonikamu: 666.
The descendants of Adonikam: 666.
14 Wana wa Bigwai: 2, 056.
The descendants of Bigvai: 2,056.
15 Wana wa Adini: 454.
The descendants of Adin: 454.
16 Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
The men of Ater, through Hezekiah: ninety-eight.
17 Wana wa Besai: 323.
The descendants of Bezai: 323.
18 Wana wa Harifu: 112.
The descendants of Jorah: 112.
19 Wanaume wa Hashimu: 223.
The men of Hashum: 223.
20 Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
The men of Gibbar: ninety-five.
21 Wanaume wa Bethlehemu: 123.
The men of Bethlehem: 123.
22 Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
The men of Netophah: fifty-six.
23 Wanaume wa Anathothi: 128.
The men of Anathoth: 128.
24 Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
The men of Azmaveth: forty-two.
25 Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
The men of Kiriath Arim, Kephirah, and Beeroth: 743.
26 Wanaume wa Rama na Geba: 621.
The men of Ramah and Geba: 621.
27 Wanaume wa Mikmashi: 122.
The men of Michmas: 122.
28 Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
The men of Bethel and Ai: 223.
29 Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
The men of Nebo: fifty-two.
30 Wanaume wa Magbishi: 156.
The men of Magbish: 156.
31 Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
The men of the other Elam: 1,254.
32 nne. Wanaume wa Harimu: 320.
The men of Harim: 320.
33 Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
The men of Lod, Hadid, and Ono: 725.
34 Wanaume wa Yeriko: 345.
The men of Jericho: 345.
35 Wanaume wa Senaa: 3, 630.
The men of Senaah: 3,630.
36 Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
The priests: descendants of Jedaiah of the house of Jeshua: 973.
37 Wana wa Imeri: 1, 052.
Immer's descendants: 1,052.
38 Wana wa Pashuri: 1, 247.
Pashhur's descendants: 1,247.
39 Wana wa Harimu: 1, 017.
Harim's descendants: 1,017.
40 Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
The Levites: descendants of Jeshua and Kadmiel, descendants of Hodaviah: seventy-four.
41 nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
The temple singers, descendants of Asaph: 128.
42 Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
The descendants of the gatekeepers: descendants of Shallum, Ater, Talmon, Akkub, Hatita, and Shobai: 139 total.
43 Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
Those who were assigned to serve in the temple: descendants of Ziha, Hasupha, Tabbaoth,
44 Keros, Siaha, Padoni.
Keros, Siaha, Padon,
45 Lebana, Hagaba, Akubu,
Lebanah, Hagabah, Akkub,
46 Hagabu, Salmai, Hanani
Hagab, Shalmai, and Hanan.
47 Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
The descendants of Giddel: Gahar, Reaiah,
48 Resini, Nekoda, Gazamu,
Rezin, Nekoda, Gazzam,
49 Uza, Pasea, Besai,
Uzza, Paseah, Besai,
50 Asna, Meunimu, Nefusimu:
Asnah, Meunim, and Nephusim.
51 Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
The descendants of Bakbuk: Hakupha, Harhur,
52 Basluthi, Mehida, Barsha:
Bazluth, Mehida, Harsha,
53 Barkosi, Sisera, Tema:
Barkos, Sisera, Temah,
54 Nesia, Tefa
Neziah, and Hatipha.
55 Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
The descendants of Solomon's servants: descendants of Sotai, Hassophereth, Peruda,
56 Yaala, Darkoni, Gideli,
Jaalah, Darkon, Giddel,
57 Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
Shephatiah, Hattil, Pochereth Hazzebaim, and Ami.
58 Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
There were 392 total descendants of those assigned to serve in the temple and descendants of Solomon's servants.
59 Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
Those who left Tel Melah, Tel Harsha, Kerub, Addon, and Immer—but were not able to prove their ancestry from Israel
60 pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
—included 652 descendants of Delaiah, Tobiah, and Nekoda.
61 Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
Also, from the priest's descendants: the descendants of Habaiah, Hakkoz, and Barzillai (who took his wife from the daughters of Barzillai of Gilead and was called by their name).
62 Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
They searched for their genealogical records, but could not find them, so they were excluded from the priesthood as unclean.
63 Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
So the governor told them they must not eat any of the holy sacrifices until a priest with Urim and Thummim approved.
64 Jumla ya kundi 42, 360,
The whole group totaled 42,360,
65 ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
not including their servants and their maidservants (these were 7,337) and their male and female temple singers (two hundred).
66 Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
Their horses: 736. Their mules: 245.
67 Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
Their camels: 435. Their donkeys: 6,720.
68 Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
When they went to Yahweh's house in Jerusalem, the chief patriarchs offered freewill gifts to build the house.
69 Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
They gave according to their ability to the work fund: sixty-one thousand gold darics, five thousand silver minas, and one hundred priestly tunics.
70 Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.
So the priests and Levites, the people, the temple singers and gatekeepers, and those assigned to serve in the temple inhabited their cities. All the people in Israel were in their cities.

< Ezra 2 >