< Ezra 10 >

1 Wakati Ezra akiomba na kutubu, akalia na kujirusha chini mbele ya nyumba ya Mungu, kusanyiko kubwa la wanaume Israel, wanawake na watoto wakakusanyika kwake, kwa kuwa watu walikuwa wakilia sana.
Ainsi donc Esdras priant, implorant, pleurant, et étendu devant le temple de Dieu, une très grande assemblée d’hommes, de femmes et d’enfants d’Israël se réunit auprès de lui, et le peuple pleura d’un grand pleur.
2 Shekania mtoto wa Yehieli, mwana wa Elamu akamwambia Ezra, “Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu na tumeoa wanawake wa kigeni kutoka nchi nyingine. Lakini pamoja na hilo, bado kuna tumaini kwa Israel.
Alors Séchénias, fils de Jéhiel, d’entre les enfants d’Elam, répondit à Esdras: Nous avons prévariqué contre notre Dieu, et nous avons pris des femmes étrangères des peuples de la terre; et maintenant, si on a du repentir de cela en Israël,
3 sasa natuweke agano pamoja na Mungu wetu kuwaondoa wanawake wote na watoto wao kulingana na maelekezo ya Bwana, na maelekezo ya wale wanaotetemeka kutokana na amri za Mungu wetu. na hii ifanyike kutokana na sheria.
Faisons alliance avec le Seigneur notre Dieu, en sorte que nous rejetions toutes les femmes, et ceux qui sont nés d’elles, suivant la volonté du Seigneur et de ceux qui craignent le précepte du Seigneur notre Dieu: qu’il soit fait selon la loi.
4 Simama, jambo hili linakuhusu wewe, na sisis tuko pamoja na wewe, Uwe imara na kufanya hili.
Lève-toi, c’est à toi d’ordonner, et nous, nous serons avec toi; sois fort et agis.
5 Hivyo Ezra akasimama na kufanya makuhani na walawi na waisrael wote wakaahidi kufanya kwa njia hiyo. Hivyo wote wakatoa kiapo.
Esdras donc se leva, et adjura les princes des prêtres et des Lévites, et tout Israël, afin qu’ils fissent selon cette parole, et ils jurèrent.
6 Ndipo Ezra akainuka kutoka mbele ya nyumba ya Mungu na kwenda kwenye chumba ya Yehohanani mtoto wa Eliashibu, Yeye hakula mkate au kunywa maji. Tangu alipokuwa akiomboleza kuhusiana na wale wenye imani haba waliokuwa uhamishoni.
Et Esdras se leva devant la maison de Dieu, et s’en alla à la chambre de Johanan, fils d’Eliasib, et il y entra: il ne mangea point de pain et ne but point d’eau; car il pleurai t la transgression de ceux qui étaient venus de la captivité.
7 Hivyo wakatuma neno katika Yuda na Yerusalem kwa watu wote waliorudi kutoka utumwani kukusanyika Yerusalem.
Alors fut envoyée une voix en Juda et à Jérusalem, pour que tous les fils de la transmigration se rassemblassent à Jérusalem;
8 Yeyote ambaye hakuja katika siku tatu kutokana na maelekezo kutoka kwa wakuu na viongozi atachukuliwa mali zote na atatengwa na kusanyiko kuu la watu ambao walikuja kutoka uhamisho.
Et pour que quiconque ne serait point venu dans trois jours, suivant le conseil des princes et des anciens, tout son bien lui fût ôté, et qu’il fût lui-même rejeté de l’assemblée de la transmigration.
9 Hivyo watu wote wa Yuda na Benjamini wakakusanyika Yerusalem kwa siku tatu. Ilikuwa ni mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi. watu wote wakasimama mbele ya nyumba ya Mungu na wakatetemeka kwa sababu ya neno na mvua.
Tous les hommes de Juda et de Benjamin s’assemblèrent donc à Jérusalem dans les trois jours; c’était le neuvième mois, au vingtième jour du mois, et tout le peuple se tint sur la place de la maison de Dieu, tremblant à cause de leurs péchés et des pluies.
10 Ezra kuhani akasimama na kusema, “Ninyi wenyewe mmefanya uasi, ninyi mmeishi na wanawake wa kigeni na kuongeza makosa ya Israel.
Alors Esdras le prêtre se leva, et leur dit: Vous avez transgressé, et vous avez pris des femmes étrangères, pour ajouter au péché d’Israël.
11 Lakini sasa mpeni sifa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu, na mfanye mapenzi yake, mjitenge na watu wa nchi na wanawake wa kigeni.
Or maintenant rendez gloire au Seigneur Dieu de vos pères, et faites ce qui lui plaît: séparez-vous des peuples de la terre et des femmes étrangères.
12 Kusanyiko lote likajibu kwa sauti. “Tutatenda kama ulivyosema,
Et toute la multitude répondit, et dit avec une voix forte: Qu’il soit fait selon la parole que vous nous avez dite.
13 haijalishi, kuna watu wengi na ni kipindi cha mvua. Hatuna nguvu ya kusimama nje na hii si siku moja au mbili za kufanya kazi, kwa kuwa tumekosea katika jambo hili.
Cependant, parce que le peuple est nombreux, que c’est un temps de pluie, que nous ne pouvons rester dehors, et que l’ouvrage n’est pas d’un jour ni de deux (car nous avons grandement péché en cette chose),
14 Hivyo wakuu wetu wawakilishe kusanyiko lote, iwe kwamba wote walioruhusu wanawake wa kigeni kuishi katika miji yetu waje katika muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji hadi hapo hasira ya Mungu itakapoondoka kutoka kwetu.
Que des princes soient établis dans toute la multitude, et que tous ceux qui dans nos villes ont pris des femmes étrangères, viennent en des temps marqués, et avec eux des anciens de chaque ville et les juges aussi, jusqu’à ce que soit détournée de nous la colère de notre Dieu provoquée à cause de ce péché.
15 Yonathan mtoto Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili, Meshulamu na Shabethai mlawi wakawaunga mkono wao.
Ainsi Jonathan, fils d’Azahel, et Jaasia, fils de Thécué, furent présentés pour cela, et Mésollam et Sébéthaï, Lévites, les aidèrent.
16 Hivyo watu waliotoka uhamishoni wakafanya hivi, Ezra kuhani akachagua wanaume, viongozi watamgulizi wa ukoo na nyumba, wao wote kwa majina na wakaliangalia suala hili siku ya kwanza ya mwezi wa kumi.
Et les fils de la transmigration firent ainsi. Et Esdras, le prêtre, et les hommes princes des familles, s’en allèrent dans les maisons de leurs pères, et tous selon leurs noms, et ils s’établirent au premier jour du dixième mois pour s’informer de la chose.
17 Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kuchunguza wale wanaume walioishi na wanawake wa kigeni.
Or ils n’achevèrent de dénombrer les hommes qui avaient pris des femmes étrangères, qu’au premier jour du premier mois.
18 Miongoni mwa wana wa kikuhani kuna wale walioishi na wanawake wa kigeni. Miongoni mwa wana wa Yoshua mtoto wa Yosadaki na kaka zake ambao walikuwa Maasela, Eliazeri, na Yaribu na Gedalia.
Et il se trouva d’entre les fils des prêtres qui avaient pris des femmes étrangères: d’entre les fils de Josué, les fils de Josédec, et ses frères, Maasia, Eliézer, Jarib et Godolia.
19 Hivyo wakaamua kuwaondoa wake zao. kwa kuwa walikuwa na makosa, wakatoa sadaka ya kondoo kwenye mifugo kwa ajili ya makosa yao.
Ils donnèrent leurs mains pour chasser leurs femmes, et pour offrir pour leur péché un bélier d’entre leurs brebis.
20 Miongoni mwa wana wa Imeri, Hanani, na Zebadia.
Et d’entre les fils d’Emmer, Hanani et Zébédia;
21 Miongoni mwa wana wa Harimu, Maaseya, na Eliya na Shemaya, na Yehieli na Uzia.
Et d’entre les fils de Harim, Maasia, Elia, Séméia, Jéhiel et Ozias;
22 Miongoni mwa wana wa Pashuri, Elasa
Et d’entre les fils de Pheshur, Elioénaï, Maasia, Ismaël, Nathanaël, Jozabed et Elasa;
23 Miongoni mwa walawi: Yozabadi na Shimei na Kelaya (ndiye Kelita) na Pethaia, na Yuda na Eliezeri. Miongoni mwa waimbaji Eliashibu na. Miongoni mwa walinzi Shalumu, Telemu na Uri.
Et d’entre les fils des Lévites, Jozabed, et Séméi, Célaïa (c’est le même que Calita), Phataïa, Juda et Eliézer;
24 Miongoni mwa Israel waliobaki -
Et d’entre les chantres, Eliasib; et d’entre les portiers, Sellum, Télem et Uri;
25 Miongoni mwa wana wa Paroshi, Ramia na Izia na Malkiya na Miyamini na Eliazari na Malkiya na Benaya
Et d’Israël: d’entre les fils de Pharos, Réméia, Jézia, Melchia, Miamin, Eliézer, Melchia et Banéa;
26 Miongoni mwa wana wa Elamu Mataniana Zekaria, na yeehieli, na Abdi na Yeremothi na Eliya.
Et d’entre les fils d’Elam, Mathania, Zacharias, Jéhiel, Abdi, Jérimoth et Élia;
27 Miongoni mwa wana wa Zatu: Elionai, na Eliashibu, na Matania na Yeremothi na Zabadi na Aziza.
Et d’entre les fils de Zéthua, Elioénaï, Eliasib, Mathania, Jérimuth, Zabad et Aziza;
28 Miongoni mwa wana wa Bebai Yehohanani, na Hanania na Zakai na Athlai.
Et d’entre les fils de Bébaï, Johanan, Hanania, Zabbaï, Athalaï;
29 Miongoni mwa wana wa bani: Meshulami na Maluki, na Adaya na Yashubu na Sheali na Yeremothi.
Et d’entre les fils de Bani, Mosollam, Melluch, Adaïa, Jasub, Saal et Ramoth;
30 Miongoni mwa wana wa Pahath-Moabu, Adna, na kelali, na Benaya na Maaseya, na Matania, na Besaleli na Binti na Manase.
Et d’entre les fils de Phahath-Moab, Edna, Chalal, Banaïas, Maasias, Mathanias, Béséléel, Bennuï, et Manassé;
31 Na miongoni mwa wana wa Harimu: Eliezeri na Ishiya, na Malkiya na Shemaya na Shimeoni, na
Et d’entre les fils de Hérem, Eliézer, Josué, Melchias, Séméias, Siméon,
32 Benyamini na Maluki na Shemaria
Benjamin, Maloch, Samarias;
33 Miongoni mwa wana Hashumu: Matenai, na Matatana Zabadi, na Elifereti na Yeremai, na Manase, na Shimei.
Et d’entre les fils d’Hasom, Mathanaï, Mathatha, Zabad, Eliphéleth, Jermaï, Manassé, Séméi;
34 Miongoni mwa wana wa Bani: Maadai, na Amramu na Aueli, na
D’entre les fils de Bani, Maaddi, Amram, Vel,
35 Benaya, na Bedeya na Keluhi, na
Banéas, Badaïas, Chéliaü,
36 wania, na Meremothi, Eliashibu,
Vania, Marimuth, Eliasib,
37 Matania, na Matenai. na
Mathanias, Mathanaï, Jasi,
38 Yaasi. Miongoni mwa wana wa Binui: Shimei,
Et Bani, Bennuï, Séméi,
39 Sheremia, na Nathani, na Adaya, na
Et Salmias, Nathan, Adaïas,
40 Maknadebai, na Shashai, na Sharai
Et Mechnedebaï, Sisaï, Saraï,
41 Azareri, na Sheremia, na Shemaria, na
Ezrel, Sélémiaü, Séméria,
42 Shalumu, na Amaria, na Yusufu.
Sellum, Amaria, Joseph;
43 Miongoni wa wana wa Nebo: Yeieli, na Mathiana zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli na Benaya.
D’entre les fils de Nébo, Jéhiel, Mathathias, Zabad, Zabina, Jeddu, Joël et Banaïa.
44 Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wamezaa watoto baadhi yao.
Tous ceux-ci avaient pris des femmes étrangères, et il y eut de ces femmes qui avaient enfanté des fils.

< Ezra 10 >