< Ezra 10 >

1 Wakati Ezra akiomba na kutubu, akalia na kujirusha chini mbele ya nyumba ya Mungu, kusanyiko kubwa la wanaume Israel, wanawake na watoto wakakusanyika kwake, kwa kuwa watu walikuwa wakilia sana.
While I was kneeling down in front of the temple and praying and crying, I was confessing [the sins that the Israeli people had committed]. Many people, men and women and children, gathered around me and also cried very much.
2 Shekania mtoto wa Yehieli, mwana wa Elamu akamwambia Ezra, “Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu na tumeoa wanawake wa kigeni kutoka nchi nyingine. Lakini pamoja na hilo, bado kuna tumaini kwa Israel.
Then Shecaniah, the son of Jehiel from the clan of Elam, said this to me: “We have disobeyed God. [Some of] us have married women who are not Israelis. But we can still confidently expect [Yahweh to be merciful to] us Israeli people.
3 sasa natuweke agano pamoja na Mungu wetu kuwaondoa wanawake wote na watoto wao kulingana na maelekezo ya Bwana, na maelekezo ya wale wanaotetemeka kutokana na amri za Mungu wetu. na hii ifanyike kutokana na sheria.
We will do what you, and the others who have an awesome respect for what our God has commanded, tell us to do. We will do what God told us in his laws. We will make an agreement with our God, saying that we will divorce our wives who are not Israelis, and we will send them away with their children.
4 Simama, jambo hili linakuhusu wewe, na sisis tuko pamoja na wewe, Uwe imara na kufanya hili.
(It is your responsibility to/Because you are our leader, you must) [tell us what to do]. So get up, and be courageous, and do [what is necessary]. We will (support you/tell people to do what you say).”
5 Hivyo Ezra akasimama na kufanya makuhani na walawi na waisrael wote wakaahidi kufanya kwa njia hiyo. Hivyo wote wakatoa kiapo.
So I stood up and demanded that the leaders of the priests, the [other] descendants of Levi, and all [the other] Israeli people solemnly declare that they would do what Shecaniah said that they should do. So they all solemnly promised to do that.
6 Ndipo Ezra akainuka kutoka mbele ya nyumba ya Mungu na kwenda kwenye chumba ya Yehohanani mtoto wa Eliashibu, Yeye hakula mkate au kunywa maji. Tangu alipokuwa akiomboleza kuhusiana na wale wenye imani haba waliokuwa uhamishoni.
Then I went away from the front of the temple and went to the room where Jehohanan lived. I stayed there that night, but I did not eat or drink anything. I was still sad because some of the Israelis who had returned [from Babylonia] had not faithfully obeyed [God’s laws].
7 Hivyo wakatuma neno katika Yuda na Yerusalem kwa watu wote waliorudi kutoka utumwani kukusanyika Yerusalem.
Then we sent a message to all [the people in] Jerusalem and [in other towns in] Judah, saying that all those who had returned [from Babylonia] should come to Jerusalem immediately.
8 Yeyote ambaye hakuja katika siku tatu kutokana na maelekezo kutoka kwa wakuu na viongozi atachukuliwa mali zote na atatengwa na kusanyiko kuu la watu ambao walikuja kutoka uhamisho.
We said that if any of them did not arrive within three days, the leaders of the people would order that all the property of those people would be taken from them, and that they would no longer be considered to belong to the Israeli people; [they would be considered to be foreigners].
9 Hivyo watu wote wa Yuda na Benjamini wakakusanyika Yerusalem kwa siku tatu. Ilikuwa ni mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi. watu wote wakasimama mbele ya nyumba ya Mungu na wakatetemeka kwa sababu ya neno na mvua.
So within three days, on December 19, all the people of the tribes of Judah and Benjamin gathered in Jerusalem. They were there, sitting in the courtyard in front of the temple. They were trembling because it was raining hard and because they were worried [that they would be punished for what they had done].
10 Ezra kuhani akasimama na kusema, “Ninyi wenyewe mmefanya uasi, ninyi mmeishi na wanawake wa kigeni na kuongeza makosa ya Israel.
Then I stood up and said to them, “[Some of] you men have committed a very bad sin. You have married women who are not Israelis. By doing that, you have made us Israeli people more guilty [than we were before].
11 Lakini sasa mpeni sifa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu, na mfanye mapenzi yake, mjitenge na watu wa nchi na wanawake wa kigeni.
So now you must confess to Yahweh, the God whom your ancestors [worshiped/belonged to], the sin which you have committed, and you must do what he wants. Separate yourselves from the people of other nations and from the women from those nations whom you have married.”
12 Kusanyiko lote likajibu kwa sauti. “Tutatenda kama ulivyosema,
The whole group answered, shouting loudly, “Yes, what you have said is right! We will do what you have said.”
13 haijalishi, kuna watu wengi na ni kipindi cha mvua. Hatuna nguvu ya kusimama nje na hii si siku moja au mbili za kufanya kazi, kwa kuwa tumekosea katika jambo hili.
But then [one of] them said, “But we are a very large group, and it is raining hard. Also, there are many of us who have committed this bad sin. This is something that we cannot (take care of/handle) in one or two days, and we cannot stand here in this rain.
14 Hivyo wakuu wetu wawakilishe kusanyiko lote, iwe kwamba wote walioruhusu wanawake wa kigeni kuishi katika miji yetu waje katika muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji hadi hapo hasira ya Mungu itakapoondoka kutoka kwetu.
So allow our leaders to decide for all of us what we should do. Tell everyone who has married a woman who is not Israeli to come at a time that you decide. They should come with the elders and judges from each city. If we do that, our God will stop being angry with us [because of what we have done].”
15 Yonathan mtoto Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili, Meshulamu na Shabethai mlawi wakawaunga mkono wao.
Jonathan the son of Asahel, Jahzeiah the son of Tikvah, Meshullam, and Shabbethai, a descendant of Levi, were the only ones who objected to this.
16 Hivyo watu waliotoka uhamishoni wakafanya hivi, Ezra kuhani akachagua wanaume, viongozi watamgulizi wa ukoo na nyumba, wao wote kwa majina na wakaliangalia suala hili siku ya kwanza ya mwezi wa kumi.
All the others who had returned from Babylonia said that they would do it. So I chose leaders of each of the clans, and I wrote down their names. On December 29, these men came and sat down to investigate the matter.
17 Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kuchunguza wale wanaume walioishi na wanawake wa kigeni.
By March 27 of the next year they finished determining which men had married women who were not Israelis.
18 Miongoni mwa wana wa kikuhani kuna wale walioishi na wanawake wa kigeni. Miongoni mwa wana wa Yoshua mtoto wa Yosadaki na kaka zake ambao walikuwa Maasela, Eliazeri, na Yaribu na Gedalia.
This is a list of the names of the priests who had married non-Israeli women, and the clans to which they belonged. From the clan of Jeshua and his brothers, who were sons of Jehozadak, there were Maaseiah, Eliezer, Jarib, and Gedaliah.
19 Hivyo wakaamua kuwaondoa wake zao. kwa kuwa walikuwa na makosa, wakatoa sadaka ya kondoo kwenye mifugo kwa ajili ya makosa yao.
They solemnly promised to divorce their wives, and they each sacrificed a ram to be an offering [to atone] for their sins.
20 Miongoni mwa wana wa Imeri, Hanani, na Zebadia.
From the clan of Immer there were Hanani and Zebadiah.
21 Miongoni mwa wana wa Harimu, Maaseya, na Eliya na Shemaya, na Yehieli na Uzia.
From the clan of Harim there were Maaseiah, Elijah, Shemaiah, Jehiel, and Uzziah.
22 Miongoni mwa wana wa Pashuri, Elasa
From the clan of Pashhur there were Elioenai, Maaseiah, Ishmael, Nethanel, Jozabad, and Elasah.
23 Miongoni mwa walawi: Yozabadi na Shimei na Kelaya (ndiye Kelita) na Pethaia, na Yuda na Eliezeri. Miongoni mwa waimbaji Eliashibu na. Miongoni mwa walinzi Shalumu, Telemu na Uri.
The [other] descendants of Levi [who had married non-Israeli women] were Jozabad, Shimei, Kelaiah (whose other name was Kelita), Pethahiah, Judah, and Eliezer.
24 Miongoni mwa Israel waliobaki -
There was Eliashib the musician. From the temple guards there were Shallum, Telem, and Uri.
25 Miongoni mwa wana wa Paroshi, Ramia na Izia na Malkiya na Miyamini na Eliazari na Malkiya na Benaya
This is a list of the names of the other Israelis who had married foreign wives: From the clan of Parosh there were Ramiah, Izziah, Malchijah, Mijamin, Eleazar, Hashabiah, and Benaiah.
26 Miongoni mwa wana wa Elamu Mataniana Zekaria, na yeehieli, na Abdi na Yeremothi na Eliya.
From the clan of Elam there were Mattaniah, Zechariah, Jehiel, Abdi, Jeremoth, and Elijah.
27 Miongoni mwa wana wa Zatu: Elionai, na Eliashibu, na Matania na Yeremothi na Zabadi na Aziza.
From the clan of Zattu there were Elioenai, Eliashib, Mattaniah, Jeremoth, Zabad, and Aziza.
28 Miongoni mwa wana wa Bebai Yehohanani, na Hanania na Zakai na Athlai.
From the clan of Bebai there were Jehohanan, Hananiah, Zabbai, and Athlai.
29 Miongoni mwa wana wa bani: Meshulami na Maluki, na Adaya na Yashubu na Sheali na Yeremothi.
From the clan of Bani there were Meshullam, Malluch, Adaiah, Jashub, Sheal, and Jeremoth.
30 Miongoni mwa wana wa Pahath-Moabu, Adna, na kelali, na Benaya na Maaseya, na Matania, na Besaleli na Binti na Manase.
From the clan of Pahath-Moab there were Adna, Kelal, Benaiah, Maaseiah, Mattaniah, Bezalel, Binnui, and Manasseh.
31 Na miongoni mwa wana wa Harimu: Eliezeri na Ishiya, na Malkiya na Shemaya na Shimeoni, na
From the clan of Harim there were Eliezer, Ishijah, Malkijah, Shemaiah, Shimeon,
32 Benyamini na Maluki na Shemaria
Benjamin, Malluch, and Shemariah.
33 Miongoni mwa wana Hashumu: Matenai, na Matatana Zabadi, na Elifereti na Yeremai, na Manase, na Shimei.
From the clan of Hashum there were Mattenai, Mattattah, Zabad, Eliphelet, Jeremai, Manasseh, and Shimei.
34 Miongoni mwa wana wa Bani: Maadai, na Amramu na Aueli, na
From the clan of Bigvai there were Maadai, Amram, Uel,
35 Benaya, na Bedeya na Keluhi, na
Benaiah, Bedeiah, Keluhi,
36 wania, na Meremothi, Eliashibu,
Vaniah, Meremoth, Eliashib,
37 Matania, na Matenai. na
Mattaniah, Mattenai, and Jaasu.
38 Yaasi. Miongoni mwa wana wa Binui: Shimei,
From the clan of Binnui there were Shimei,
39 Sheremia, na Nathani, na Adaya, na
Shelemiah, Nathan, Adaiah,
40 Maknadebai, na Shashai, na Sharai
Macnadebai, Shashai, Sharai,
41 Azareri, na Sheremia, na Shemaria, na
Azarel, Shelemiah, Shemariah,
42 Shalumu, na Amaria, na Yusufu.
Shallum, Amariah, and Joseph.
43 Miongoni wa wana wa Nebo: Yeieli, na Mathiana zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli na Benaya.
From the clan of Nebo there were Jeiel, Mattithiah, Zabad, Zebina, Jaddai, Joel, and Benaiah.
44 Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wamezaa watoto baadhi yao.
Each of those men had married a woman who was not an Israeli. [But immediately] they divorced those women and sent them and their children away.

< Ezra 10 >