< Ezra 1 >

1 Katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, Yahwe akatimiza neno lake ambalo Yeremia alisema, na kuinua roho ya Koreshi. Sauti ya Koreshi ikasambaa na kusikika katika ufalme wake. Hiki ndicho kilichoandikwa na kusemwa:
Prve godine Kira cara Persijskoga, da bi se ispunila rijeè Gospodnja, koju reèe na usta Jeremijina, podiže Gospod duh Kira cara Persijskoga, te oglasi po svemu carstvu svojemu i raspisa govoreæi:
2 “Koreshi, mfalme wa Uajemi, anasema: Yahwe, Mungu wa mbinguni, amenipa mimi ufalme wote wa dunia, na ameniteua mimi kumjengea yeye nyumba katika Yerusalem ya Yuda.
Ovako veli Kir car Persijski: sva carstva zemaljska dao mi je Gospod Bog nebeski, i on mi je zapovjedio da mu sazidam dom u Jerusalimu u Judeji.
3 Yeyote katika watu wake (Mungu awe pamoja naye) anaweza kwenda Yerusalem na kujenga nyumba kwa ajili ya Yahwe, Mungu wa Israel, Mungu ambaye yuko Yerusalem.
Ko je izmeðu vas od svega naroda njegova? Bog nebeski neka bude s njim, pa nek ide u Jerusalim u Judeji, i neka zida dom Gospoda Boga Izrailjeva, Boga koji je u Jerusalimu.
4 Watu wa kila sehemu katika ufalme waliosalia katika nchi na kuishi wanapaswa kuwapa wao fedha na dhahabu, mali na wanyama, pamoja na kutoa kwa hiari kwenye nyumba ya Mungu Yerusalem.”
A ko bi ostao u kojem god mjestu gdje se bavi, neka ga ljudi onoga mjesta potpomognu srebrom i zlatom i imanjem i stokom osim dragovoljnoga priloga na dom Božji u Jerusalimu.
5 Ndipo wakuu wa jamii ya Yuda na Benjamini, makuhani na walawi, na kila mmoja ambaye Roho wa Mungu alimwinua kuondoka na kujenga nyumba yake alisimama.
Tada ustaše glavari porodica otaèkih od Jude i Venijamina, i sveštenici i Leviti i svi kojima Bog podiže duh da idu da zidaju dom Gospodnji u Jerusalimu.
6 Wale waliowazunguka karibu waliwasaidia kwa kuwapa fedha na vitu vya dhahabu, mali, wanyama, vitu vya thamani, na kutoa kwa hiari.
I potpomogoše ih svi koji bijahu oko njih sudovima srebrnijem i zlatnijem, imanjem i stokom i stvarima skupocjenijem osim svega što dragovoljno priložiše.
7 Mfalme Koreshi akarusu vitu ambavyo vilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambavyo Nebukadreza alitoa kutoka Yerusalem na kuviweka katika nyumba ya miungu yake.
I car Kir izdade sudove doma Gospodnjega koje bijaše odnio iz Jerusalima car Navuhodonosor i metnuo u dom svojih bogova;
8 Koreshi akavikabidhi kwenye mikono ya Mithredathi mtunza fedha, ambaye akavitoa na kuhesabu kwa Sheshbaza, kiongozi wa Yuda
A izdade ih Kir car Persijski preko Mitridata riznièara, koji ih izbroji Sasavasaru knezu Judejskom.
9 Hii ilikuwa idadi yake: beseni thelathini za dhahabu, beseni elfu moja za fedha, beseni zingine ishirini na tisa,
A ovo im je broj: zdjela zlatnijeh trideset, zdjela srebrnijeh tisuæa, noževa dvadeset i devet,
10 mabakuli thelathini ya dhahabu, mabakuli madogo ya fedha 410, na vitu elfu moja vya kuongezea.
Èaša zlatnijeh trideset, drugih èaša srebrnijeh èetiri stotine i deset, drugih sudova tisuæa;
11 Kulikuwa na vitu 5, 400 vya fedha na dhahabu. Sheshbaza akavileta vyote wakati wa uhamisho kutoka Babeli kwenda Yerusalem.
Svega sudova zlatnijeh i srebrnijeh pet tisuæa i èetiri stotine; sve to ponese Sasavasar kad se vrati iz Vavilona u Jerusalim.

< Ezra 1 >