< Ezra 1 >

1 Katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, Yahwe akatimiza neno lake ambalo Yeremia alisema, na kuinua roho ya Koreshi. Sauti ya Koreshi ikasambaa na kusikika katika ufalme wake. Hiki ndicho kilichoandikwa na kusemwa:
Persia Siangpahrang Sairus a bawi kum pasuek nah, profet Jeremiah e pahni hno lahoi BAWIPA e lawk akuep nahanelah, a uknaeramnaw pueng dawk pathang hanelah, BAWIPA ni Sairus e lungthung a tahrue pouh.
2 “Koreshi, mfalme wa Uajemi, anasema: Yahwe, Mungu wa mbinguni, amenipa mimi ufalme wote wa dunia, na ameniteua mimi kumjengea yeye nyumba katika Yerusalem ya Yuda.
Persia siangpahrang Sairas ni a dei e teh, talai uknaeramnaw pueng teh, kalvan kaawm e BAWIPA Cathut ni kai koe na poe toe. Hatdawkvah, Judah ram Jerusalem vah im sak pouh hanelah kâ na poe.
3 Yeyote katika watu wake (Mungu awe pamoja naye) anaweza kwenda Yerusalem na kujenga nyumba kwa ajili ya Yahwe, Mungu wa Israel, Mungu ambaye yuko Yerusalem.
Nangmouh thung dawk apimaw amae tami lah na kaawm awh. Ahni koe Cathut ni rei awm khai naseh. Judah ram Jerusalem vah cei vaiteh, Isarelnaw e BAWIPA Cathut e im hah sak naseh. Jerusalem vah kaawm e teh BAWIPA doeh.
4 Watu wa kila sehemu katika ufalme waliosalia katika nchi na kuishi wanapaswa kuwapa wao fedha na dhahabu, mali na wanyama, pamoja na kutoa kwa hiari kwenye nyumba ya Mungu Yerusalem.”
Hmuen alouklouk lah kho kasaknaw ni, amamouh aonae koehoi Jerusalem e Cathut im hanelah a lungtho laihoi poe awh e hloilah ngun, tangka hoi sui, hnopai hoi saringnaw hoi kabawm awh naseh atipouh.
5 Ndipo wakuu wa jamii ya Yuda na Benjamini, makuhani na walawi, na kila mmoja ambaye Roho wa Mungu alimwinua kuondoka na kujenga nyumba yake alisimama.
Hahoi teh, Judah hoi Benjamin miphun imthung kahrawikungnaw hoi vaihmanaw, Levihnaw ni Jerusalem e BAWIPA im sak hanelah Cathut ni lungthin dawk thaw tawk pouh e taminaw pueng hoi a kamthaw awh.
6 Wale waliowazunguka karibu waliwasaidia kwa kuwapa fedha na vitu vya dhahabu, mali, wanyama, vitu vya thamani, na kutoa kwa hiari.
Amamouh lungtho lahoi poe e dei laipalah, atengpam kaawmnaw ni hai ngun hnopai, sui, saringnaw hoi aphu kaawm poung e hnonaw hoi kabawp awh.
7 Mfalme Koreshi akarusu vitu ambavyo vilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambavyo Nebukadreza alitoa kutoka Yerusalem na kuviweka katika nyumba ya miungu yake.
Siangpahrang Sairus hoi Nebukhadnezar ni BAWIPA e im dawk e hnopai Jerusalem hoi a sin teh, Cathut e im dawk a ta e naw, hah he a la pouh.
8 Koreshi akavikabidhi kwenye mikono ya Mithredathi mtunza fedha, ambaye akavitoa na kuhesabu kwa Sheshbaza, kiongozi wa Yuda
Hote hnopainaw teh, Persia siangpahrang Sairus ni hno karingkung Mithredath kut dawk hoi a la sak teh Judah kahrawikung Sheshbazzar koevah be a parei hnukkhu vah a poe.
9 Hii ilikuwa idadi yake: beseni thelathini za dhahabu, beseni elfu moja za fedha, beseni zingine ishirini na tisa,
Hote hno kaawmnaw teh, sui 30, ngun 1,000, sarai 29.
10 mabakuli thelathini ya dhahabu, mabakuli madogo ya fedha 410, na vitu elfu moja vya kuongezea.
Suimanang 30, a phunlouk e ngun 410, alouke hno 1000 touh hoi.
11 Kulikuwa na vitu 5, 400 vya fedha na dhahabu. Sheshbaza akavileta vyote wakati wa uhamisho kutoka Babeli kwenda Yerusalem.
Sui hoi ngun hnopai abuemlah 5400 touh a pha. Sannaw teh Babilon hoi Jerusalem lah a cei kh ai navah Sheshbazzar ni hete hnonaw a sin awh.

< Ezra 1 >