< Ezekieli 1 >
1 Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, na siku ya tano ya mwezi, ikawa kuhusu kwamba nilikuwa nikiishi miongoni mwa wafungwa karibu na Kebari Kanali. Mbingu zilifunguka, na kuona maono ya Mungu.
I stało się trzydziestego roku, miesiąca czwartego, piątego dnia tegoż miesiąca, gdym był w pośrodku pojmanych u rzeki Chebar, że się otworzyły niebiosa, i widziałem widzenie Boże.
2 Katika siku ya tano katika mwezi huo-ilikuwa mwaka wa tano wa utumwani wa Mfalme Yehoyakini-
Piątego dnia tegoż miesiąca, (ten jest rok piąty po zaprowadzeniu króla Joachyna.)
3 Neno la Yahwe likamjia Ezekieli mwana wa Buzi kuhani, katika nchi ya Wakaldayo karibu na Keberi Kanali, na mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake hapo.
Prawdziwie stało się słowo Pańskie do Ezechyjela kapłana, syna Buzowego, w ziemi Chaldejskiej u rzeki Chebar, a była nad nim ręka Pańska.
4 Kisha nikaona, kulikuwa na upepo wa dhoruba unakuja kutoka kaskazini; wingu kubwa pamoja na moto wa nuru ndani yake na kung'aa ukizunguka ndani yake, na moto ulikuwa na rangi ya kaharabu ndani ya hilo wingu.
I widziałem, a oto wiatr gwałtowny przychodził od północy, i obłok wielki, i ogień pałający, a blask był około niego, a z pośrodku jego wynikała jakoby niejaka prędka światłość, z pośrodku, mówię, onego ognia.
5 Katikati kulikuwa na viumbe vinne vinavyofanana. Mwonekano wao ulikuwa hivi: walikuwa wanamfanano wa mtu,
Także z pośrodku jego ukazało się podobieństwo czworga zwierząt, których takowy był kształt: Podobieństwo człowieka miały.
6 lakini walikuwa na sura nne kila mmoja, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
A każde po cztery twarze, także po cztery skrzydła każde z nich miało;
7 Miguu yao ilikuwa imenyooka, lakini nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za ndama zilizokuwa zinang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
Nogi ich były nogi proste, a stopa nóg ich jako stopa nogi cielęcej, a lśniały się właśnie jako miedź wypolerowana;
8 Bado walikuwa na mikono ya binadamu chini ya mabawa yao chini kwenye pande zote nne. Kwa wote wanne, nyuso zao na mabawa vilikuwa hivi:
Ręce ludzkie były pod skrzydłami ich po czterech stronach ich, a twarze ich i skrzydła ich na czterech onych stronach;
9 mabawa yao yalikuwa yameungana na kiumbe kingine, na hawakurudi walipokuwa wameenda; badala yake, kila mmoja alienda mbele.
Skrzydła ich spojone były jedno z drugiem, nie obracały się, gdy chodziły, ale każde w prost na swą stronę chodziło.
10 Mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama uso wa mwanadamu. Wanne hao walikuwa na uso wa simba kwa upande wa kuume. Hao wanne pia walikuwa na uso wa tai.
A podobieństwo twarzy ich takie: Z przodku twarz ludzka a twarz lwia po prawej stronie każdego z nich, a twarz wołowa po lewej stronie wszystkich czworga, także twarz orlą z tyłu miało wszystko czworo z nich:
11 Nyuso zao zilikuwa hivyo, na mabawa yao yalikuwa yametawanyika juu, hivyo basi kila kiumbe kilikuwa na jozi ya za mabawa yaliyokuwa yameshikamana na bawa la kiumbe kingine, na pia jozi za mabawa yaliyokuwa yamefunika miili yao.
A twarze ich i skrzydła ich były podniesione ku górze; każde zwierzę dwa skrzydła spajało z dwoma skrzydłami drugiego, a dwoma przykrywały ciało swoje;
12 Kila mmoja alienda mbele, hivyo basi popote Roho alipowaelekeza kwanda, walienda bila kurudi.
A każde z nich wprost na swą stronę chodziło; kędykolwiek duch chciał, aby szły, tam szły, nie obracały się, gdy chodziły.
13 Kama kwa mfanano wa hao viumbe hai, mwonekano wao ulikuwa ni kama kuchoma kaa la moto, kama mwonekano wa nuru; mng'ao wa moto pia ulihama karibu na miongoni mwa viumbe, na kulikuwa na nuru za radi.
Także podobieństwo onych zwierząt na wejrzeniu było jako węgle w ogniu rozpalone, palące się jako pochodnie; ten ogień ustawicznie chodził między zwierzętami, a on ogień miał blask, z którego ognia wychodziła błyskawica.
14 Hao viumbe hai vilikuwa vikihama mbio mbele na nyuma, na walikuwa na mwonekano wa radi!
Biegały też one zwierzęta, i wracały się jako prędkie błyskawice.
15 Kisha nikawatazama wale viumbe hai; kulikuwa na gurudumu moja juu ya aridhi kando ya vile viumbe hai.
A gdym się przypatrywał onym zwierzętom, a oto koło jedno było na ziemi przy zwierzętach u czterech twarzy każdego z nich;
16 Huu ndio ulikuwa mwonekano na umbo wa hizo gurudumu: kila gurudumu lilikuwa kama zabarajadi, na manne hayo yalikuwa na mfano mmoja; mwonekano wao na umbo vilikuwa kama gurudumu lililoungana na jingine.
Na wejrzeniu były koła, i robota ich jako barwa kamienia Tarsys, a podobieństwo było jednakie onych czterech kół, a były na wejrzeniu i robota ich, jakoby było koło w pośrodku koła;
17 Wakati yale magurudumu yalipokuwa yakitembea, yalienda bila kurudi kwenye mwelekeo wowote viumbe vilipokuwa vimeelekea.
Mając iść na cztery strony swoje chodziły, a nie obracały się, gdy chodziły.
18 Kama kwa upande kingo, walikuwa warefu na wakutisha, kwa upande kingo kulikuwa na macho yamezunguka kote.
Dzwona taką wysokość miały, aż strach z nich pochodził; te dzwona w około wszystkich czterech kół pełne były oczów.
19 Popote vile viumbe hai vilipokuwa vikielekea, yale magurudumu yalielekea karibu nao. Wakati vile viumbe hai vilipoinuka kutoka kwenye nchi, na yale magurudumu yaliinuka pia.
A gdy chodziły zwierzęta, koła też chodziły podle nich; a gdy się podnosiły zwierzęta w górę od ziemi, podnosiły się i koła.
20 Popote Roho alipokwenda, walikwenda, na yale magurudumu yaliinuka karibu nao, roho wa kiumbe hai ilikuwa magurudumu.
Gdziekolwiek chciał duch, aby szły, tam szły; gdzie mówię duch chciał, aby szły; a koła podnosiły się przed niemi, bo duch zwierząt był w kołach.
21 Popote vile viumbe vilipoelekea, magurudumu pia yalielekea huko; na wakati wale viumbe viliposimama hata hivyo, magurudumu yalisimama bado; wakati viumbe viliposimama kutoka kwenye nchi, magurudumu yalisimama karibu nao, kwa sababu yule roho wa wale viumbe alikuwa kwenye magurudumu.
Gdy one szły, szły i koła, a gdy one stały, stały; a gdy się podniosły od ziemi, podniosły się też koła z niemi; bo duch zwierząt był w kołach.
22 Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfanano wa anga la kutanuka; ilikuwa inang'aa kama mfano wa barafu juu ya vichwa vyao.
Nad głowami zwierząt było podobieństwo rozpostarcia jako podobieństwo kryształu przezroczystego rozciągnionego nad głowami ich z wierzchu;
23 Chini ya anga, kila mabawa ya kiumbe kimoja yalinyooshwa mbele na kugusana kila mabawa na kiumbe kimoja. Pia kila kiumbe hai kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika vyenyewe; kila kimoja kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika mwili wake mwenyewe.
A pod onem rozpostarciem skrzydła ich były podniesione, jedno z drugiem spojone; każde miało dwa, któremi się przykrywało, każde, mówię, miało dwa, któremi przykrywało ciało swoje.
24 Kisha nikasikia sauti ya mabawa yao. Kama mlio wa maji mengi. Kama sauti ya mwenye enzi popote walipoelekea. Kama sauti ya jeshi. Popote pale waliposimama, walishusha mabawa yao.
I słyszałem szum skrzydeł ich, jako szum wód wielkich, jako szum Wszechmocnego, gdy chodziły, i szum huku jako szum wojska; a gdy stały, spuściły skrzydła swoje.
25 Sauti ikaja kutoka juu ya anga juu ya vichwa vyao popote waliposimama na kushusha mabawa yao.
A gdy stały i spuszczały skrzydła swoje, tedy był szum z wierzchu nad rozpostarciem, które było nad głową ich.
26 Juu ya anga juu ya vichwa vyao kulikuwa na mfanao wa kiti cha enzi ambacho kilikuwa na mwonekano wa jiwe la samawati, na juu mfano wa kiti cha enzi kilifanana kama mwonekano wa mwanadamu.
A z wierzchu na rozpostarciu, które było nad głową ich, było podobieństwo stolicy na wejrzeniu jako kamień szafirowy, a nad podobieństwem stolicy, na nim z wierzchu na wejrzeniu jako osoba człowieka.
27 Nikaona umbo lenye mwonekano wa chuma chenye kung'aa pamoja na moto ndani yake kutoka kwenye mwonekano wa juu ya nyonga zake juu; Nikaona kutoka kwenye mwonekano wa nyonga zake upande wa chini mwonekano wa moto na mng'ao umezunguka kote.
I widziałem na wejrzeniu jakoby prędką światłość, a wewnątrz w niej w około na wejrzeniu jako ogień od biódr jego w górę; także też od biódr jego na dół widziałem na wejrzeniu jako ogień, i blask około niego.
28 Kama mwonekano wa upinde wa mvua kwenye mawingu katika siku ya mvua ulikuwa na mwonekano wa taa iliyowaka imeizunguka. ulikuwa na mwonekano unaofanana na utukufu wa Yahwe. Wakati nilipouona, nilihisi kwenye uso wangu, na nikasikia sauti ikiongea.
Jaka bywa tęcza na wejrzeniu, która bywa na obłoku czasu deszczu, taki był na wejrzeniu blask w około. Toć było widzenie podobieństwa chwały Pańskiej, które gdym widział, upadłem na oblicze swoje, i usłyszałem głos mówiącego.