< Ezekieli 9 >
1 Kisha akalia kwa sauti kubwa nikasikia kwenye masikio yangu, huku akisema, “Waache walinzi waje kwenye mji, kila mmoja na silaha yake ya uharibifu kwenye mkono wake.”
and to call: call out in/on/with ear: to ears my voice great: large to/for to say to present: come punishment [the] city and man: anyone article/utensil destruction his in/on/with hand his
2 Kisha tazama! watu wanne watakuja kutokea njia ya lango la juu linaloelekea kaskazini, kila mmoja na silaha yake ya kuchinjia kwenye mkono wake. Kulikuwa na mtu mmoja miongoni mwao alikuwa amevaa nguo ya kitani pamoja na kifaa cha uandishi ubavuni mwake. Hivyo waliingia na kusimama karibu na madhabahu ya shaba.
and behold six human to come (in): come from way: direction gate [the] high which to turn north [to] and man: anyone article/utensil shattering his in/on/with hand his and man one in/on/with midst their to clothe linen and pot [the] secretary in/on/with loin his and to come (in): come and to stand: stand beside altar [the] bronze
3 Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli ukapanda juu kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa kwenye kisingiti cha nyumba. Akamwita yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani na kifaa cha uandishi ubavuni mwake.
and glory God Israel to ascend: rise from upon [the] cherub which to be upon him to(wards) threshold [the] house: home and to call: call to to(wards) [the] man [the] to clothe [the] linen which pot [the] secretary in/on/with loin his
4 Yahwe akamwambia, “Pita kati ya mji-kati ya Yerusalemu-na weka alama katika vipaji vya uso vya wale waliolemewa na kuona kuhusu machukizo yote yanafanyika kati ya mji.”
and to say LORD (to(wards) him *Q(k)*) to pass in/on/with midst [the] city in/on/with midst Jerusalem and to mark mark upon forehead [the] human [the] to sigh and [the] to groan upon all [the] abomination [the] to make in/on/with midst her
5 Kisha akaongea na wengine kupitia kusikia kwangu, “Pita kwenye mji baada ya yeye na kuua. Msiache macho yenu yawe na huruma, na msiogope kuharibu
and to/for these to say in/on/with ear: hearing my to pass in/on/with city after him and to smite (not *Q(K)*) to pity (eye your *Q(K)*) and not to spare
6 iwe mzee, kijana, msichana, mtoto mdogo au wanawake. Waueni watu wote! Lakini msimkaribie mtu yeyote ambaye mwenye alama kwenye kichwa chake. Anzeni katika patakatifu pangu!” Hivyo wakaanza na wazee waliokuwa mbele ya nyumba.
old youth and virgin and child and woman to kill to/for destruction and upon all man which upon him [the] mark not to approach: approach and from sanctuary my to profane/begin: begin and to profane/begin: begin in/on/with human [the] old: elder which to/for face: before [the] house: home
7 Akawaambia, “Najisi nyumba, na kujaza zio zake kwa waliokufa. Endeleeni!” Hivyo wakaenda na kuushambulia mji.
and to say to(wards) them to defile [obj] [the] house: home and to fill [obj] [the] court slain: killed to come out: come and to come out: come and to smite in/on/with city
8 Walipokuwa wakiushambulia, nikajikuta mwenyewe na nikaangukia kwenye uso wangu na kulia kwa sauti na kusema, “Ee, Bwana Yahwe, utayaharibu mabaki yote ya Israeli wakati wa kumwaga ghadhabu yao juu ya Yerusalemu?”
and to be like/as to smite they and to remain I and to fall: fall [emph?] upon face my and to cry out and to say alas! Lord YHWH/God to ruin you(m. s.) [obj] all remnant Israel in/on/with to pour: pour you [obj] rage your upon Jerusalem
9 Akanambia, “Uovu wa nyumba ya Israeli na Yuda unaongezeka sana. Nchi imejaa damu na mji umejaa upotovu, tangu waliposema, 'Yahwe ameisahau nchi; na Yahwe haoni!'
and to say to(wards) me iniquity: guilt house: household Israel and Judah great: large in/on/with much much and to fill [the] land: country/planet blood and [the] city to fill perversion for to say to leave: forsake LORD [obj] [the] land: country/planet and nothing LORD to see: see
10 Hivyo kisha, macho yangu hataangalia kwa huruma, na sintoacha kuwaharibu. Badala yake nitaileta juu ya vichwa vyao.”
and also I not to pity eye my and not to spare way: conduct their in/on/with head their to give: give
11 Tazama! yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani aliyekuwa na kifaa cha uandishi kwa uapende wa ubavuni mwake. Alitoa taarifa na kusema, “Nimemaliza yale yote uliyoniamuru.”
and behold [the] man clothing [the] linen which [the] pot in/on/with loin his to return: return word to/for to say to make: do (like/as all which *Q(K)*) to command me