< Ezekieli 9 >

1 Kisha akalia kwa sauti kubwa nikasikia kwenye masikio yangu, huku akisema, “Waache walinzi waje kwenye mji, kila mmoja na silaha yake ya uharibifu kwenye mkono wake.”
Then cried he in mine ears with a loud voice, saying, Draw near ye that have charge of the city, -even every man with his weapon of destruction in his hand.
2 Kisha tazama! watu wanne watakuja kutokea njia ya lango la juu linaloelekea kaskazini, kila mmoja na silaha yake ya kuchinjia kwenye mkono wake. Kulikuwa na mtu mmoja miongoni mwao alikuwa amevaa nguo ya kitani pamoja na kifaa cha uandishi ubavuni mwake. Hivyo waliingia na kusimama karibu na madhabahu ya shaba.
And lo! six men coming in out of the way of the upper gate which looketh toward the north even every man with his destructive weapon in his hand, and one man in their midst clothed with linen, having a scribe’s ink holder by his side, —so they came in and stood beside the altar of bronze.
3 Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli ukapanda juu kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa kwenye kisingiti cha nyumba. Akamwita yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani na kifaa cha uandishi ubavuni mwake.
And the glory of the God of Israel lifted itself up from off the cherub whereon it had been, unto the threshold of the house, —and he called unto the man clothed with linen, who had the scribe’s ink holder by his side.
4 Yahwe akamwambia, “Pita kati ya mji-kati ya Yerusalemu-na weka alama katika vipaji vya uso vya wale waliolemewa na kuona kuhusu machukizo yote yanafanyika kati ya mji.”
Then said Yahweh unto him. Pass along through the midst of the city, through the midst of Jerusalem, —and set thou a mark upon the foreheads of the men who are sighing and crying over all the abominations that are being done in her midst.
5 Kisha akaongea na wengine kupitia kusikia kwangu, “Pita kwenye mji baada ya yeye na kuua. Msiache macho yenu yawe na huruma, na msiogope kuharibu
But unto these, said he in mine ears, Pass along through the city after him and smite, —let not your eye, shield, neither have ye pity:
6 iwe mzee, kijana, msichana, mtoto mdogo au wanawake. Waueni watu wote! Lakini msimkaribie mtu yeyote ambaye mwenye alama kwenye kichwa chake. Anzeni katika patakatifu pangu!” Hivyo wakaanza na wazee waliokuwa mbele ya nyumba.
elder, young man and virgin and little ones and women, shall ye slay utterly, but unto any man who hath upon him the mark, do not ye come near, and at my sanctuary, shall ye begin. So they began with the elder men. who were before the house.
7 Akawaambia, “Najisi nyumba, na kujaza zio zake kwa waliokufa. Endeleeni!” Hivyo wakaenda na kuushambulia mji.
And he said unto them Defile ye the house and fill the courts with the slain, —go ye forth! So they went forth and smote in the city.
8 Walipokuwa wakiushambulia, nikajikuta mwenyewe na nikaangukia kwenye uso wangu na kulia kwa sauti na kusema, “Ee, Bwana Yahwe, utayaharibu mabaki yote ya Israeli wakati wa kumwaga ghadhabu yao juu ya Yerusalemu?”
And it came to pass, while they were smiting them—I being left remaining, that I fell upon my face and made outcry, and said Alas! My Lord. Yahweh art thou about to destroy all the remnant of Israel, in that thou art pouring out of thine indignation upon Jerusalem?
9 Akanambia, “Uovu wa nyumba ya Israeli na Yuda unaongezeka sana. Nchi imejaa damu na mji umejaa upotovu, tangu waliposema, 'Yahwe ameisahau nchi; na Yahwe haoni!'
And he said unto me the iniquity of the house of Israel and Judah, is exceeding, great, and the land is filled with shed blood, and the city is full of over-reaching, —for they have said. Yahweh hath forsaken the land, — and Yahweh doth not see.
10 Hivyo kisha, macho yangu hataangalia kwa huruma, na sintoacha kuwaharibu. Badala yake nitaileta juu ya vichwa vyao.”
Therefore as for even me, Mine eye shall not shield. Neither will I pity, — Their way upon their own head, have I rendered.
11 Tazama! yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani aliyekuwa na kifaa cha uandishi kwa uapende wa ubavuni mwake. Alitoa taarifa na kusema, “Nimemaliza yale yote uliyoniamuru.”
And lo! the man clothed in linen, having the ink-holder by his side, bringing back word saying, — I have done according to all which thou didst command me.

< Ezekieli 9 >