< Ezekieli 9 >
1 Kisha akalia kwa sauti kubwa nikasikia kwenye masikio yangu, huku akisema, “Waache walinzi waje kwenye mji, kila mmoja na silaha yake ya uharibifu kwenye mkono wake.”
And He cries [with] a loud voice in my ears, saying, “Inspectors of the city have drawn near, and each [with] his destroying weapon in his hand.”
2 Kisha tazama! watu wanne watakuja kutokea njia ya lango la juu linaloelekea kaskazini, kila mmoja na silaha yake ya kuchinjia kwenye mkono wake. Kulikuwa na mtu mmoja miongoni mwao alikuwa amevaa nguo ya kitani pamoja na kifaa cha uandishi ubavuni mwake. Hivyo waliingia na kusimama karibu na madhabahu ya shaba.
And behold, six men are coming from the way of the upper gate, that is facing the north, and each [with] his slaughter-weapon in his hand, and one man in their midst is clothed with linen, and a scribe’s inkhorn at his loins, and they come in, and stand near the bronze altar.
3 Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli ukapanda juu kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa kwenye kisingiti cha nyumba. Akamwita yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani na kifaa cha uandishi ubavuni mwake.
And the glory of the God of Israel has gone up from off the cherub, on which it has been, to the threshold of the house.
4 Yahwe akamwambia, “Pita kati ya mji-kati ya Yerusalemu-na weka alama katika vipaji vya uso vya wale waliolemewa na kuona kuhusu machukizo yote yanafanyika kati ya mji.”
And He calls to the man who is clothed with linen, who has the scribe’s inkhorn at his loins, and YHWH says to him, “Pass on into the midst of the city, into the midst of Jerusalem, and you have made a mark on the foreheads of the men who are sighing and who are groaning for all the abominations that are done in its midst.”
5 Kisha akaongea na wengine kupitia kusikia kwangu, “Pita kwenye mji baada ya yeye na kuua. Msiache macho yenu yawe na huruma, na msiogope kuharibu
And to the others he said in my ears, “Pass on into the city after him, and strike; your eye does not pity, nor do you spare;
6 iwe mzee, kijana, msichana, mtoto mdogo au wanawake. Waueni watu wote! Lakini msimkaribie mtu yeyote ambaye mwenye alama kwenye kichwa chake. Anzeni katika patakatifu pangu!” Hivyo wakaanza na wazee waliokuwa mbele ya nyumba.
aged, young man, and virgin, and infant, and women, you slay—to destruction; and against any man on whom [is] the mark you do not go near, and you begin from My sanctuary.”
7 Akawaambia, “Najisi nyumba, na kujaza zio zake kwa waliokufa. Endeleeni!” Hivyo wakaenda na kuushambulia mji.
And they begin among the aged men who [are] before the house, and He says to them, “Defile the house, and fill the courts with the wounded, go forth.” And they have gone forth and have struck in the city.
8 Walipokuwa wakiushambulia, nikajikuta mwenyewe na nikaangukia kwenye uso wangu na kulia kwa sauti na kusema, “Ee, Bwana Yahwe, utayaharibu mabaki yote ya Israeli wakati wa kumwaga ghadhabu yao juu ya Yerusalemu?”
And it comes to pass, as they are striking, and I am left—that I fall on my face, and cry, and say, “Aah! Lord YHWH, are You destroying all the remnant of Israel, in Your pouring out Your wrath on Jerusalem?”
9 Akanambia, “Uovu wa nyumba ya Israeli na Yuda unaongezeka sana. Nchi imejaa damu na mji umejaa upotovu, tangu waliposema, 'Yahwe ameisahau nchi; na Yahwe haoni!'
And He says to me, “The iniquity of the house of Israel and Judah [is] very, very great, and the land is full of blood, and the city has been full of perverseness, for they have said: YHWH has forsaken the land, and YHWH is not seeing.
10 Hivyo kisha, macho yangu hataangalia kwa huruma, na sintoacha kuwaharibu. Badala yake nitaileta juu ya vichwa vyao.”
And I also, My eye does not pity, nor do I spare; I have put their way on their own head.”
11 Tazama! yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani aliyekuwa na kifaa cha uandishi kwa uapende wa ubavuni mwake. Alitoa taarifa na kusema, “Nimemaliza yale yote uliyoniamuru.”
And behold, the man clothed with linen, at whose loins [is] the inkhorn, is bringing back word, saying, “I have done as You have commanded me.”