< Ezekieli 8 >
1 Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
La sixième année, le sixième mois, le cinquième jour du mois, comme j'étais assis dans ma maison, et que les Anciens de Juda étaient assis devant moi, alors la main du Seigneur Éternel descendit sur moi.
2 Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
Et je regardai, et voici, c'était une figure ayant l'aspect du feu; depuis ce qui paraissait être ses reins en bas, c'était du feu, et de ses reins en haut, c'était une espèce de splendeur, comme celle de l'airain brillant.
3 Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
Et elle étendit la forme d'une main, et me saisit aux boucles de ma chevelure. Puis l'Esprit me souleva entre la terre et le ciel, et me conduisit à Jérusalem, en vision divine, à l'entrée de la porte intérieure, qui donne vers le nord, et où était placée la statue de la jalousie qui provoquait la jalousie [de l'Éternel].
4 Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
Et voici, là se trouvait la gloire du Dieu d'Israël, pareille à la vision que j'en avais eue dans la vallée.
5 Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
Et Il me dit: Fils de l'homme, lève donc les yeux vers le nord! Et je levai les yeux vers le nord, et voici, au nord de la porte de l'autel, était cette statue de la jalousie, à l'entrée.
6 Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
Et Il me dit: Fils de l'homme, vois-tu ce qu'ils font? Ce sont de grandes abominations que la maison d'Israël fait ici, tellement que je vais m'éloigner de mon sanctuaire. Et tu reverras encore de grandes abominations.
7 Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
Puis Il me conduisit à l'entrée du parvis, et je regardai, et voici, il y avait un trou dans le mur.
8 Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
Et Il me dit: Fils de l'homme, perce donc la muraille! Et je perçai la muraille et voici, il y avait une porte.
9 Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
Et Il me dit: Entre, et vois les abominations odieuses qu'ils font là!
10 Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
Alors j'entrai et je regardai, et voici, c'étaient toutes sortes d'images de reptiles et d'animaux immondes, et toutes les espèces d'idoles de la maison d'Israël, dessinées sur la muraille tout à l'entour.
11 Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
Et soixante-dix hommes d'entre les Anciens de la maison d'Israël, entre autres Jaasénia, fils de Schaphan, debout au milieu d'eux, se tenaient devant elles, chacun son encensoir à la main, et le parfum d'un nuage d'encens s'élevait.
12 Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
Et Il me dit: Vois-tu, fils de l'homme, ce que les Anciens de la maison d'Israël font dans les ténèbres, chacun dans leurs chambres couvertes de peintures! Car ils disent: L'Éternel ne nous voit pas! l'Éternel a abandonné le pays.
13 Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
Et Il me dit: Tu reverras encore les grandes abominations qu'ils commettent.
14 Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
Puis Il me conduisit à l'entrée de la porte de la maison de l'Éternel, qui est du côté du nord, et voici, là se trouvaient assises les femmes, pleurant Thammuz.
15 Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
Et Il me dit: As-tu vu, fils de l'homme? Tu reverras encore des abominations plus grandes que celles-là.
16 Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
Alors Il me conduisit dans le parvis intérieur de la maison de l'Éternel, et voici, à l'entrée du temple de l'Éternel, entre le portique et l'autel, étaient environ vingt-cinq hommes, tournant le dos au temple de l'Éternel, et le visage du côté de l'orient: et ils adoraient à l'orient le Soleil.
17 Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
Et Il me dit: As-tu vu, fils de l'homme? Est-ce trop peu pour la maison de Juda de faire les abominations qu'ils font ici, qu'ils remplissent encore le pays de violences, et qu'ils reviennent toujours à m'irriter? Et voici, ils tiennent le rameau contre leur nez.
18 Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”
Mais moi aussi j'agirai dans ma colère; je serai sans pitié et sans miséricorde; et quand ils crieront à mes oreilles à haute voix, je ne les entendrai pas.