< Ezekieli 8 >

1 Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
C’Était dans la sixième année, le cinquième jour du sixième mois, j’étais assis dans ma maison et les anciens de Juda étaient assis en face de moi, quand s’abaissa là sur moi la main du Seigneur.
2 Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
Et je vis soudain une forme qui avait comme l’apparence d’un feu; depuis ce qui semblait ses reins jusqu’en bas. C’Était du feu, et depuis ses reins jusqu’en haut, cela apparaissait comme une splendeur, comme une sorte de hachmal.
3 Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
Et elle étendit une forme de main et me saisit par les tresses de ma tête et un souffle m’emporta entre terre et ciel et m’amena à Jérusalem dans des visions divines, à l’entrée de la porte intérieure qui regarde vers le Nord, où est placée l’idole de la jalousie irritante.
4 Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
Et il y avait là la gloire du Dieu d’Israël pareille à l’apparition que j’avais vue dans la Plaine.
5 Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
Et il me dit: "Fils de l’homme, lève donc les yeux dans la direction du Nord;" je levai les yeux dans la direction du Nord, et voici que du côté du Nord, à la porte de l’autel, il y avait cette statue de la jalousie à l’entrée.
6 Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
Et il me dit: "Fils de l’homme, vois-tu ce qu’ils font, les grandes abominations que la maison d’Israël commet ici pour que je m’éloigne de mon sanctuaire? Et tu verras encore d’autres grandes abominations."
7 Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
Il me mena à l’entrée de la cour et je vis qu’il y avait un trou dans le mur.
8 Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
Et il me dit: "Fils de l’homme, creuse donc dans le mur," et je creusai dans le mur, et voici qu’il y avait une entrée.
9 Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
Et il me dit: "Entre et vois les exécrables abominations qu’ils commettent ici."
10 Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
J’Entrai et je vis qu’il y avait toutes les formes de reptiles et d’animaux immondes, et toutes les idoles de la maison d’Israël gravées sur le mur, tout alentour.
11 Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
Et soixante-dix hommes des anciens de la maison d’Israël, avec Yaazania, fils de Schafan, debout parmi eux, se tenaient devant elles, chacun son encensoir à la main, et un épais nuage d’encens s’élevait.
12 Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
Et il me dit: "As-tu vu, fils de l’homme, ce que les anciens d’Israël font dans les ténèbres, chacun dans ses chambres d’images? Car, disent-ils, l’Eternel ne nous voit pas, l’Eternel a abandonné le pays!"
13 Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
Et il me dit: "Tu verras encore d’autres grandes abominations qu’ils commettent."
14 Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
Il me mena à l’entrée de la maison de l’Eternel qui regarde au nord, et voici que des femmes y étaient assises, pleurant le Tammouz.
15 Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
Et il me dit: "As-tu vu, fils de l’homme? Tu verras encore des abominations plus grandes que celles-là."
16 Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
Il me fit entrer dans la cour intérieure de la maison de l’Eternel, et voici qu’à l’entrée du sanctuaire de l’Eternel, entre le parvis et l’autel, il y avait quelque vingt-cinq hommes qui avaient le dos tourné au sanctuaire de l’Eternel et la face vers l’Orient, et ils se prosternaient vers l’Orient devant le soleil.
17 Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
Et il me dit: "As-tu vu, fils de l’homme? Est-ce trop peu de chose pour la maison de Juda de faire les abominations qu’ils ont faites ici, pour qu’ils remplissent le pays de violence et recommencent à m’irriter? Et voilà qu’ils portent les rameaux à leur nez.
18 Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”
Et moi aussi j’agirai avec colère, mon oeil ne sera pas indulgent et je n’aurai pas pitié; ils crieront à mes oreilles à grand bruit mais je ne les écouterai point."

< Ezekieli 8 >