< Ezekieli 8 >

1 Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
Jehoiachin lengpa sohchan kal kumgup lhin kum, lhalam som le sagi nikhon Juda lamkai ho kain a ana um pet un thaneitah Pakai chun eina tuhchah e.
2 Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
Mihem put tobang pu gongso khat kamui, kathilmu pa kongbuh noilam chu akilangin, amapa chu meikong toh abange. Akongbuh a pat achunglang chu khisong valla val meikou ol a kimu jap jap bangin akimui.
3 Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
Amapa chunk hut toh kilou khat ahin lhang doh in kasamin eihin manne. Hichun lhagaovin vanthamjol lang gei eidom tou tan, chuleh Pathen a konna thilmu nei dingin Jerusalem ah ei thah tan ahi. Hichun keima houin leitol sahlang kelkot sunga chun eipuije, hiche mun chu nasatah a Pakai alungnat sah milim loi lentah umna mun chu ahi.
4 Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
Phulou helouvin phat masa laiya phaichama kana musa Israel Pathen loupina ana um'in ahi.
5 Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
Hichun Pakaiyin kajah a aseije, “Mihem chapa sahlang sang khu ven” atin hijeh chun keiman kaven ahileh sahlang sang kelkot gah lutna pama maicham koma chun Pakai nasatah ana lunghan sah milim doi kitung chu ana dinge.
6 Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
“Mihem chapa,” ahin tin, “Ipi abulu namu tah em? Ka houin a konna kei nodohna dinga kidah umtah chonsetna abol'u khu namu tah em? Ahin kahungin nangin hiche ho sanga kidah umjo chonsetna tamtah namube ding ahi.”
7 Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
Hichun aman banghoma konna asunglang kimu theina houin leitol kotphunga chun eipuilut e.
8 Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
Aman kakoma aseijin “Tun mihem chapa, bang khu lai vang'in,” eiti. Hijeh chun keiman bang chu kalai vang'in ahileh lampi kiselguh chu kamutai.
9 Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
“Lut in,” ati. “Chuleh gitlouna leh chonsetna abol'u khu ven,” eiti.
10 Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
Hijeh chun kalut tan ahileh, bang dunga ganhing kitholtho ho lim leh kidah dah um thimsem ho lim khet thi a kisem ho chu kamutai. Israel mipiten ahouvu milim doi jatchom chom ho jong chu keiman kamudoh tai.
11 Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
Israel lamkai som sagi ho chutoh alai juva Shaphan chapa Jaajaniah adin jong kamudoh tai, amaho khat cheh chun gim namtwi hal bom chu akichoijun, hichea kon chun gim namtwi kihalna meikhu meilom tobang chu aluchung uva ahung kitom jenjun jenge.
12 Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
Hichun Pakaiyin kahenga hin ahinseije, “Mihem chapa pindan thim sung khu Israel lamkai hon ipi abol'u ahi namu khah tah em? Pakaiyin igam u adalhah sa ahitah jeh in eimu pouvinte,” tin amahon asei uve.
13 Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
Hichun Pakaiyin aseiben “Hungin chule keiman hiche ho sanga tamjo kidah dah umjo ho chu navetsah inge.”
14 Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
Aman Pakai houin sahlang kelkot a chun eipuijin, hiche a chun numei themkhat ana tou uvin, a pathen u Tammuz chu ana kauve.
15 Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
“Hiche hi namu hitam” tin aman eidonge. “Ahinlah hiche ho sanga tamjo kidah dah um chonsetna ho navetsah inge” ati.
16 Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
Hichun aman Pakai houin leitol sungnung a chun eipuilut e. pindan sung nung lutna leh sum eng maicham kikah a muntheng phung lutna a chun upa somni le nga tobang Pakai muntheng lam nung ngat in ading uve. Amaho chun solam angauvin, nisa hou nan tol ah abohkhup uve.
17 Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
“Mihem chapa, hiche hohi namu khah tah em? tin aman eidonge. Hitobanga kidah umtah chonsetna abol uhi Juda mite dinga imalou thema angaito u ham? Hiche hin anam pumpiuva thaguma kino tona a apui uva, nahko hom leng lunga eivet uva chuleh eiphin lunghang bebe jeng ding ham?
18 Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”
Hiti ahijeh a chu kalung hanna kadonbut diu, khatcha jong kahing hoi lou ding, chuleh keiman kalungthim a jong, kalainat pilou hel ding ahi. Chuleh kahepina diuvin hung kap jong leu keiman kangaipeh louhel diu ahi.”

< Ezekieli 8 >