< Ezekieli 7 >

1 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
Et la parole de l’Éternel vint à moi, disant:
2 Wewe, mwanadamu-Bwana Yahwe asema hivi kwa nchi ya Israeli.”'Mwisho! Mwisho umekuja kwenye mipaka minne ya nchi.
Et toi, fils d’homme! Ainsi dit le Seigneur, l’Éternel, à la terre d’Israël: Une fin!… la fin vient sur les quatre coins du pays.
3 Sasa mwisho uko juu yako, kwa kuwa natuma ghadhabu yangu juu yako, nitakuhukumu kulingana na njia zako; nitaleta machukizo yako yote juu yako.
Maintenant la fin [vient] sur toi, et j’enverrai sur toi ma colère, et je te jugerai selon tes voies, et je mettrai sur toi toutes tes abominations.
4 Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia, na sitakuharibu. Badala yake, nitaleta njia zako zote juu yako, na machukizo yako yote yatakuwa katikati yako, hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe.
Et mon œil n’aura point compassion de toi, et je n’épargnerai pas; mais je mettrai tes voies sur toi, et tes abominations seront au milieu de toi; et vous saurez que je suis l’Éternel.
5 Bwana Yahwe asema hivi: Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja.
Ainsi dit le Seigneur, l’Éternel: Un mal, un mal unique! Voici, il est venu!
6 Mwisho unakuja hakika. Mwisho umeamsha dhidi yenu. Tazama! unakuja!
La fin est venue, la fin est venue! Elle se réveille contre toi; voici, elle vient!
7 Kifo chako kinakuja kwako ukaaye kwenye nchi. Mda umefika; siku ya uharibifu iko karibu, na milima haitakuwa na shangwe tena.
Ton destin est venu sur toi, habitant du pays; le temps est venu, le jour est proche, – le trouble, et non le cri joyeux des montagnes.
8 Sasa baada ya mda mfupi nitamwaga dhahabu yangu juu yako na kujaza hasira yangu juu yako wakati nitakapokuhukumu kulingana na njia zako na kuleta machukizo yako yote juu yako.
Maintenant, bientôt, je verserai sur toi ma fureur, et je consommerai ma colère contre toi, et je te jugerai selon tes voies, et je mettrai sur toi toutes tes abominations.
9 Kwa kuwa jicho langu halitaona kwa huruma, sitakuharibu, kama ulivyofanya, nitafanya kwako; na machukizo yako yatakuwa katikati yako hivyo utajua kwamba ni mimi Yahwe, anayekuadhibu.
Et mon œil n’aura point compassion, et je ne t’épargnerai pas; je te rendrai selon tes voies, et tes abominations seront au milieu de toi; et vous saurez que c’est moi, l’Éternel, qui frappe.
10 Tazama, siku! Tazama, inakuja! Kifo kimetoka! fimbo ya kuadhibia imechanua, kiburi kimechipua!
Voici le jour, voici, il est arrivé! Le destin a germé, la verge a fleuri, la fierté s’est épanouie.
11 Udhalimu umekua kwenye fimbo ya udhaifu-hakuna kati yao, na hakuna katika ya kundi lao, hakuna katika utajiri wao, na hakuna wa muhimu wao atakaye baki!
La violence s’élève pour être une verge de méchanceté. [Il ne reste] rien d’eux, ni de leur foule bruyante, ni de leur abondance de biens, ni de la magnificence au milieu d’eux.
12 Muda unakuja; siku imekaribia. Usimuache anayenunua shangwe, wala asihuzunike auzaye, kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kikundi kizima!
Le temps est venu, le jour s’est approché; que celui qui achète ne se réjouisse pas, et que celui qui vend ne mène pas deuil; car il y a une ardente colère sur toute sa foule bruyante.
13 Kwa kuwa muuzaji hatarudia kile kilichouzwa, kadiri wanapoendelea kuishi, kwa kuwa maono yako juu yako kikundi kizima. Hawatarudi, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia nguvu!
Car celui qui vend ne rentrera pas en possession de ce qui a été vendu, serait-il même encore en vie parmi les vivants; car la vision est touchant toute sa foule bruyante, elle ne sera point révoquée, et personne par son iniquité ne fortifiera sa vie.
14 Wamepiga tarumbeta na kufanya kila kitu tayari, lakini hakuna mtu anayeenda kupigana; kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kundi zima.
Ils ont sonné de la trompette et ont tout préparé; mais personne ne marche au combat, parce que l’ardeur de ma colère est sur toute sa foule bruyante.
15 Upanga uko nje, na tauni na njaa viko nje kwenye jengo. Wale walioko shambani watakufa kwa upanga, wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji.
L’épée est au-dehors, et la peste et la famine sont au-dedans: celui qui est aux champs mourra par l’épée; et celui qui est dans la ville, la famine et la peste le dévoreront.
16 Lakini watakao salia watatoroka kutoka miongoni mwao, na watakwenda kwenye milima. Kama hua wa mabondeni, wote watalia-kila mtu kwa ajili ya uovu wake.
Et leurs réchappés échapperont, et seront sur les montagnes comme les colombes des vallées, tous gémissant, chacun pour son iniquité.
17 Kila mkono utasita na kila goti litakuwa dhaifu kama maji, na watavaa nguo za magunia, na hofu kuu itawafunika,
Toutes les mains deviendront lâches, et tous les genoux se fondront en eau.
18 na aibu itakuwa juu ya kila uso, na upara juu ya vichwa vyao vyote.
Ils se ceindront de sacs, et le frisson les couvrira; la honte sera sur tous les visages, et toutes leurs têtes seront chauves.
19 Watatupa fedha yao kwenye mitaa na dhahabu yao itakuwa kama jalala. Fedha yao na dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe. Maisha yao hayataokolewa, na njaa yao haitashiba, kwa sababu uovu wao umekuwa kizuizi.
Ils jetteront leur argent dans les rues, et leur or sera [rejeté] comme une impureté; leur argent ni leur or ne pourra les délivrer au jour de la fureur de l’Éternel; ils ne rassasieront pas leurs âmes, et ne rempliront pas leurs entrailles, car c’est ce qui a été la pierre d’achoppement de leur iniquité.
20 Kwenye fahari yao walichukua kito yake nzuri za mapambo, pamoja nao wakatengeza sanamu zao za vinyago, na vitu vyao vichukizavyo. Kwa hiyo, nayabadilisha haya kuwa kitu najisi kwao.
Et de la beauté de son ornement il a fait sa gloire; mais ils y ont fait des images de leurs abominations [et] de leurs choses exécrables. C’est pourquoi j’en ai fait pour eux une impureté abjecte;
21 Kisha nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni kama mateka na kwa waovu wa dunia kama mateka, na watapanajisi.
et je l’ai livrée en pillage aux mains des étrangers, et pour butin aux méchants de la terre, et ils la profaneront.
22 Kisha nitaugeuza uso wangu mbali kutoka kwao watakapo najisi mahali pangu pa siri; maharamia wataingia humo na kupanajisi.
Et je détournerai d’eux ma face; et ils profaneront mon lieu secret; et les violents y entreront et le profaneront.
23 Tengeneza mnyororo, kwa sababu nchi imejaa hukumu ya damu, na mji umejaa udhalimu.
Fabrique la chaîne; car le pays est plein de coulpe de sang, et la ville est pleine de violence.
24 Hivyo nitaleta waovu wengi wa mataifa, na watamilki nyumba zao, na nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza, kwenda mahali pao patakatifu patanajisiwa!
Et je ferai venir les iniques des nations, et ils posséderont leurs maisons; et je ferai cesser l’orgueil des forts, et leurs sanctuaires seront profanés.
25 Hofu itakuja! Wataitafuta amani, lakini haitakuwepo.
La destruction vient; et ils chercheront la paix, mais il n’y en aura point.
26 Majanga juu ya majanga yatakuja juu yangu, na kutakuwa na tetesi juu ya tetesi. Kisha watatafuta ono moja kutoka kwa nabii, lakini sheria itawaangamiza kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wazee.
Il viendra calamité sur calamité, et il y aura rumeur sur rumeur, et ils chercheront [quelque] vision de la part d’un prophète; mais la loi est périe de chez le sacrificateur, et le conseil, de chez les anciens.
27 Mfalme ataomboleza na mwana wa mfalme atakata tamaa, wakati mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Kulingana na njia zao wenyewe nitafanya hivi kwao! Nitawahukumu sawa sawa na wanavyostahili hadi watakapojua yakwamba mimi ni Yahwe.'”
Le roi mènera deuil, et les princes seront vêtus de stupeur, et les mains du peuple du pays trembleront: je leur ferai selon leur voie, et je les jugerai par leurs propres jugements; et ils sauront que je suis l’Éternel.

< Ezekieli 7 >