< Ezekieli 7 >

1 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
Hina Gode da nama amane sia: i,
2 Wewe, mwanadamu-Bwana Yahwe asema hivi kwa nchi ya Israeli.”'Mwisho! Mwisho umekuja kwenye mipaka minne ya nchi.
“Dunu egefe! Na da Ouligisudafa Hina Gode esala! Na da Isala: ili ilima amane sia: sa, ‘Isala: ili soge fi da hagia: le ebelemu gadenesa.
3 Sasa mwisho uko juu yako, kwa kuwa natuma ghadhabu yangu juu yako, nitakuhukumu kulingana na njia zako; nitaleta machukizo yako yote juu yako.
Isala: ili! Dili ebelemu da doaga: i dagoi. Dilia hamobeba: le, dilia da Na se ima: ne ougi ba: mu. Dilia da wadela: i hou baligili hamobeba: le, Na da dilima dabe imunu. Na da dilima mae asigili, dabe imunu.
4 Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia, na sitakuharibu. Badala yake, nitaleta njia zako zote juu yako, na machukizo yako yote yatakuwa katikati yako, hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe.
Dilia da Na da Hina Godedafa, amo dawa: ma: ne, dilia wadela: i hou hamobeba: le, Na da dilima se dabe imunu.’”
5 Bwana Yahwe asema hivi: Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja.
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, “Bidi hamosu enoenoi da dilima doaga: mu.
6 Mwisho unakuja hakika. Mwisho umeamsha dhidi yenu. Tazama! unakuja!
Dagoi! Ama dagoi! Dilia da dagoi!
7 Kifo chako kinakuja kwako ukaaye kwenye nchi. Mda umefika; siku ya uharibifu iko karibu, na milima haitakuwa na shangwe tena.
Dilia dunu Isala: ili soge ganodini esalebe! Dagosu da dilima gadenena manebe. Amo eso doaga: sea, dilia goumia sema sogebiga hahawane gilisisu hame ba: mu. Dilia da gagoududasu fawane ba: mu.
8 Sasa baada ya mda mfupi nitamwaga dhahabu yangu juu yako na kujaza hasira yangu juu yako wakati nitakapokuhukumu kulingana na njia zako na kuleta machukizo yako yote juu yako.
Gadenenewane dilia da waha Na ougi hou ha: gi fuligala: be ba: mu. Na da dilia hamoi amo defele dilima fofada: mu. Amola Na da dilia wadela: i gogosiama: ne hou hamobeba: le, dilima dabe imunu.
9 Kwa kuwa jicho langu halitaona kwa huruma, sitakuharibu, kama ulivyofanya, nitafanya kwako; na machukizo yako yatakuwa katikati yako hivyo utajua kwamba ni mimi Yahwe, anayekuadhibu.
Na da dilima asigisu hou o olofosu hou hame hamomu, Na da dilia baligili wadela: i hou hamoi amo defele, dilima se dabe imunu. Bai dilia da Na da Hina Gode dawa: ma: ne, amola Na da dilima se iasu dunu dawa: ma: ne, hamosa.”
10 Tazama, siku! Tazama, inakuja! Kifo kimetoka! fimbo ya kuadhibia imechanua, kiburi kimechipua!
Isala: ili wadela: mu eso da manebe. Dilia da bidi hamosu hahawane hamosa. Gasa fi hou da bagadewane heda: i dagoi.
11 Udhalimu umekua kwenye fimbo ya udhaifu-hakuna kati yao, na hakuna katika ya kundi lao, hakuna katika utajiri wao, na hakuna wa muhimu wao atakaye baki!
Bidi hamosu bagadewane hamobeba: le, wadela: i hou da bu baligili heda: sa. Be Isala: ili dunu ilia gagui liligi, ilia muni amola ilia hadigi hou, amo huluane da bu hamedafa ba: mu.
12 Muda unakuja; siku imekaribia. Usimuache anayenunua shangwe, wala asihuzunike auzaye, kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kikundi kizima!
Eso da gadenesa. Amo esoha doaga: sea, bidi lasu hou huluane da bai hame agoane ba: mu. Bai Gode da dunu huluane defele ilima se bidi imunu.
13 Kwa kuwa muuzaji hatarudia kile kilichouzwa, kadiri wanapoendelea kuishi, kwa kuwa maono yako juu yako kikundi kizima. Hawatarudi, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia nguvu!
Bidi lasu dunu huluane da ilia fisi liligi bu samogemu hamedei ba: mu. Bai ilia da bogomu, amola Gode da Ea ougi, dunu huluane defele ilima olelemu. Wadela: i hamosu dunu da mae bogoma: ne gaga: su, amo hamedafa ba: mu.
14 Wamepiga tarumbeta na kufanya kila kitu tayari, lakini hakuna mtu anayeenda kupigana; kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kundi zima.
Dalabede da dusa amola dunu huluane da gegemusa: momagesa. Be ilia da gegemusa: hame ahoa. Bai dunu huluane defele da Gode Ea ougi hou ba: mu.
15 Upanga uko nje, na tauni na njaa viko nje kwenye jengo. Wale walioko shambani watakufa kwa upanga, wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji.
Moilai bai bagade logo amo ganodini, gegesu ba: sa. Diasu ganodini, olo amola ha: bagade ba: sa. Nowa dunu da soge hamega gadili esalea da gegesu amo ganodini bogomu. Amola moilai bai bagade ganodini esalebe dunu da ologia: mu amola ha: gia: mu.
16 Lakini watakao salia watatoroka kutoka miongoni mwao, na watakwenda kwenye milima. Kama hua wa mabondeni, wote watalia-kila mtu kwa ajili ya uovu wake.
Mogili da sio agoane ilia bogosa: besa: le, goumiga hobeale masunu. Ilia da huluane ilia wadela: i hou amoma gogosiabeba: le, gogolole didigia: mu.
17 Kila mkono utasita na kila goti litakuwa dhaifu kama maji, na watavaa nguo za magunia, na hofu kuu itawafunika,
Ilia lobo da gasa hamedene, amola ilia muguni da yagugumu.
18 na aibu itakuwa juu ya kila uso, na upara juu ya vichwa vyao vyote.
Ilia da wadela: i abula hea ga: ne, yagugumu. Ilia huluane da dialuma hinabo gesei dagoi ba: mu, amola ilia da gogosia: iwane lalumu.
19 Watatupa fedha yao kwenye mitaa na dhahabu yao itakuwa kama jalala. Fedha yao na dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe. Maisha yao hayataokolewa, na njaa yao haitashiba, kwa sababu uovu wao umekuwa kizuizi.
Ilia da ilia muni liligi (gouli amola silifa) logoba: le isu agoane galagagamu. Bai Hina Gode da Ea ougidafa se bidi iasu olelesea, muni amola gouli amola silifa amoga gaga: mu da hamedei gala. Ilia da amoga ilia hanai liligi lamu da hamedei. Amola amo sadima: ne manu da hamedei. Ilia da muni amola gouli amola silifa amo hanaiba: le, wadela: i hou bagade hamosu.
20 Kwenye fahari yao walichukua kito yake nzuri za mapambo, pamoja nao wakatengeza sanamu zao za vinyago, na vitu vyao vichukizavyo. Kwa hiyo, nayabadilisha haya kuwa kitu najisi kwao.
Musa: ilia igi ida: iwane gala, amo hahawane bagade ba: i. Be ilia da amo lale, wadela: idafa ogogosu ‘gode’ ilia loboga hamoi. Amaiba: le, Hina Gode da ilia asigi dawa: su ganodini hamobeba: le, ilia da wali muni amola gouli amola silifa amola igi ida: iwane, amo higasa.
21 Kisha nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni kama mateka na kwa waovu wa dunia kama mateka, na watapanajisi.
Hina Gode da amane sia: sa, “Ga fi dunu ilia da Isala: ili liligi wamolama: ne amola, malei fisu dunu ilia gagui huluane lale wadela: lesima: ne, Na da logo doasimu.
22 Kisha nitaugeuza uso wangu mbali kutoka kwao watakapo najisi mahali pangu pa siri; maharamia wataingia humo na kupanajisi.
Wamolasu dunu da Na dogolegei Debolo Diasu gadelale sa: ili, wadela: lesisia, Na da ilia logo hame hedofamu.
23 Tengeneza mnyororo, kwa sababu nchi imejaa hukumu ya damu, na mji umejaa udhalimu.
Liligi huluane da ededenane hamosa. Soge ganodini, medole legesu dunu bagohame da udigili ahoa. Moilai amo ganodini, bidi hamosu fawane ba: sa.
24 Hivyo nitaleta waovu wengi wa mataifa, na watamilki nyumba zao, na nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza, kwenda mahali pao patakatifu patanajisiwa!
Dilia diasu fedele lama: ne, Na da baligili wadela: i hamosu fifi asi gala fi amo guiguda: oule misunu. Fifi asi gala eno da dilia sia: ne gadosu sogebi amo wadela: lesima: ne, Na da logo doasisia, dilia gasa bagade dunu ilia hidale gasa fi hou da hedofai dagoi ba: mu.
25 Hofu itakuja! Wataitafuta amani, lakini haitakuwepo.
Baligili heawini da: i diosu da manebe. Dilia da dogo denesisu hou hogomu, be hame ba: mu.
26 Majanga juu ya majanga yatakuja juu yangu, na kutakuwa na tetesi juu ya tetesi. Kisha watatafuta ono moja kutoka kwa nabii, lakini sheria itawaangamiza kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wazee.
Bidi hamosu enoenoi da doaga: mu. Amola dilia da sia: noga: i hame, amo fawane mae helefili nabalumu. Dilia da balofede dunuma ilia ba: la: lebe dilima adoma: ne, ilima edegemu be hamedei. Gobele salasu dunu da fi dunuma olelemu hamedei ba: mu, amola asigilai dunu da eno dunuma fada: i sia: hame sia: mu.
27 Mfalme ataomboleza na mwana wa mfalme atakata tamaa, wakati mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Kulingana na njia zao wenyewe nitafanya hivi kwao! Nitawahukumu sawa sawa na wanavyostahili hadi watakapojua yakwamba mimi ni Yahwe.'”
Eagene hina bagade da dogoga da: i diomu. Egefe da ea hamoma: beyale dawa: lusu yolesiagamu. Amola dunu huluane da beda: ga yagugumu. Na da dilia hamobeba: le, dilima se bidi imunu. Amola dilia da eno dunuma fofada: i defele, dilima fofada: mu. Amo hou ba: beba: le, dilia da Na da Hina Godedafa dafawaneyale dawa: mu.

< Ezekieli 7 >