< Ezekieli 5 >
1 “Kisha wewe mwana wa adamu, chukua upanga mkali kama wembe wa kinyozi kwa ajili yako mwenyewe, na pitisha hayo makali juu ya kichwa chako na ndevu zako, kisha chukua mizani za kupimia uzito na uzigawanye nywele zako.
Ты же, сыне человечь, возми себе мечь остр паче бритвы стригущаго, притяжи его себе и возложи его на главу твою и на браду твою: и возми превес весов, и размериши я.
2 Choma theluthi ya tatu ya hiyo kwa moto katikati ya mji wakati siku za kuzingirwa zitakapokamilika, na chukua theluthi ya nywele na uipige kwa panga na kuuzunguka mji. Kisha tawanya theluthi yake kwenye upepo, na nitasogeza panga karibu ili kufukuza watu.
Четвертую часть да сожжеши на огни среде града по исполнению дний затворения:
3 Lakini chukua kiasi kidogo cha nywele na zifunge kwenye pindo za nguo yako.
и да возмеши четвертую часть и сожжеши ю среде града, четвертую же часть содробиши мечем окрест его, и четвертую часть разсыплеши ветром: и мечь извлеку вслед их.
4 Kisha chukua tena zile nyewele na zitupe katikati ya moto; na zichome kwenye moto; kutoka hapo utatoka nje kwenda nyumba zote za Israeli.”
И возмеши оттуду мало их числом и ввяжеши я во одежду твою: и от техже возмеши еще и ввержеши я среде огня и сожжеши я на огни: и от того изыдет огнь на весь дом Израилев. И речеши всему дому Израилеву:
5 Bwana Yahwe asema hivi, “Hii ndio Yerusalemu katikati ya mataifa, nilipomuweka, na ambapo nilipomzunguka kwa nchi zingine.
сия глаголет Адонаи Господь: сей Иерусалим, посреде языков положих его, и страны, яже окрест его.
6 Lakini anaudhaifu wa kukataa amri zangu zaidi kuliko mataifa yalivyo, na sheria yangu zaidi kuliko mataifa ambayo yanayomzunguka. Watu wamezikataa humuku zangu na kuacha kutembea katika sheria zangu.”
И речеши: измени оправдания Моя паче языков, и законы Моя паче стран, яже окрест его: понеже оправдания Моя отринуша и по законом Моим не ходиша в них.
7 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, “Kwa sababu mmekuwa kikwazo kuliko mataifa ambayo yanayowazunguka na kuacha kutembea kwenye amri zangu wala kutenda kulingana na amri zangu, wala hata kutenda kulingana na amri za mataifa yanayowazunguka,”
Сего ради тако глаголет Адонаи Господь: понеже вина ваша паче язык, иже окрест вас, и не ходисте и законех Моих и оправданий Моих не сотвористе, но и по судом языческим, яже окрест вас, не сотвористе:
8 kwa hiyo Bwana asema hivi, “Tazama! Mimi mwenyewe nitatenda juu yenu. Nitato hukumu kati yenu ili mataifa waone.
сего ради сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз на тя, и сотворю среде тебе суд пред языки,
9 Nitawafanyia yale ambayo sijawahi kuyafanya na kile ambacho sintokifanya tena, kwa sababu ya matendo yenu ya kuchukiza.
и сотворю среде тебе, ихже не сотворих и ихже не сотворю подобных им ктому, по всем мерзостем твоим.
10 Kwa hiyo baba watawala watoto kati yenu, na watoto watawala baba zao, kwa kuwa nitafanya hukumu juu yenu na kuwatawanya kila mahali wote ninyi mliobaki.
Сего ради отцы снедят чад среде тебе, и чада снедят отцев: и сотворю в тебе суды, и разсею вся оставшая от тебе по всему ветру.
11 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-bila shaka hii ilikuwa kwa sababu umapanajisi patakatifu pangu kwa mambo ya machukizo yako yote na kwa matendo yako yote niyachukiayo, kwamba mimi mwenyewe nitakupunguza katika hesabu; jicho langu halitakuhurumia, na sintoacha kukuharibu.
Сего ради живу Аз, глаголет Адонаи Господь, воистинну понеже святая Моя осквернил еси всеми мерзостьми твоими, и Аз отрину тя, и не пощадит око Мое, и Аз не помилую тя.
12 Theluthi yenu mtakufa kwa tauni, na wataliwa na njaa katikati yenu. Theluthi wataanguka kwa upanga likiwazunguka. Kisha nitawatawanya theluthi katika mahali pote, na nitafuatisha upanga kuwafukuza pia.
Четверть тебе смертию потребится, и четверть тебе гладом скончается среде тебе, четверть же тебе падет мечем окрест тебе, четверть же тебе разсыплю по всему ветру, и мечь извлеку вслед их.
13 Hivi ndivyo ghadhabu yangu itavyokamilika, na nitasababisha ghadhabu yangu juu yao hata kulala. Nitajiridhisha, na watajua kwamba, mimi Yahwe, nimenena kwa ghadhabu yangu wakati nitakapo kamilisha ghadhabu yangu dhidi yao.
И скончается ярость Моя и гнев Мой на них, и утешуся, и уведят, яко Аз Господь глаголах во рвении Моем, внегда скончати ми гнев Мой на них.
14 Nitakufanya mkiwa kwa mataifa yanayokuzunguka kwenye uso wa kila mtu apitaye karibu.
И положу тя в пустыню и во укоризну языком сущым окрест тебе и пред всяким проходящим.
15 Hivyo Yerusalemu itakuwa jambo kwa watu wengine kushutumu na kufanya mzaha, na chukizo kwa mataifa ambayo yanayowazunguka. Nitafanya hukumu dhidi yenu kwa ghadhabu na hasira, na kwa kukemea kwa hasira-Mimi, Yahwe nimesema hivi!
И будеши во стенание и ужас, наказанием и пагубою во языцех, иже окрест тебе, егда сотворю в тебе суды во гнев и в ярость и во отмщение ярости Моея: Аз Господь глаголах:
16 Nitatuma mishale mikali ya njaa juu yenu ambayo itakuwa na maana ya kwamba nitawaharibu. Kwa kuwa nitaongeza njaa juu yenu na kuvunja tegemeo lenu la mkate.
и егда послю стрелы глада на ня, и будут во скончание, и послю растлити вы, и глад соберу на вы, и сотру утверждение хлеба твоего,
17 Nitaleta njaa na majanga dhidi yenu hivyo mtakuwa wagumba. Tauni na damu zitapita kati yako, na nitaleta upanga dhidi yenu-Mimi Yahwe, nimesema hivi.”
и испущу на тя глад и звери люты, и умучу тя, смерть же и кровь пройдут сквозе тя, и мечь наведу на тя окрест: Аз Господь глаголах.