< Ezekieli 5 >
1 “Kisha wewe mwana wa adamu, chukua upanga mkali kama wembe wa kinyozi kwa ajili yako mwenyewe, na pitisha hayo makali juu ya kichwa chako na ndevu zako, kisha chukua mizani za kupimia uzito na uzigawanye nywele zako.
and you(m. s.) son: child man to take: take to/for you sword sharp razor [the] barber to take: take her to/for you and to pass upon head your and upon beard your and to take: take to/for you balance weight and to divide them
2 Choma theluthi ya tatu ya hiyo kwa moto katikati ya mji wakati siku za kuzingirwa zitakapokamilika, na chukua theluthi ya nywele na uipige kwa panga na kuuzunguka mji. Kisha tawanya theluthi yake kwenye upepo, na nitasogeza panga karibu ili kufukuza watu.
third in/on/with flame to burn: burn in/on/with midst [the] city like/as to fill day [the] siege and to take: take [obj] [the] third to smite in/on/with sword around her and [the] third to scatter to/for spirit: breath and sword to empty after them
3 Lakini chukua kiasi kidogo cha nywele na zifunge kwenye pindo za nguo yako.
and to take: take from there little in/on/with number and to confine [obj] them in/on/with wing your
4 Kisha chukua tena zile nyewele na zitupe katikati ya moto; na zichome kwenye moto; kutoka hapo utatoka nje kwenda nyumba zote za Israeli.”
and from them still to take: take and to throw [obj] them to(wards) midst [the] fire and to burn [obj] them in/on/with fire from him to come out: issue fire to(wards) all house: household Israel
5 Bwana Yahwe asema hivi, “Hii ndio Yerusalemu katikati ya mataifa, nilipomuweka, na ambapo nilipomzunguka kwa nchi zingine.
thus to say Lord YHWH/God this Jerusalem in/on/with midst [the] nation to set: make her and around her land: country/planet
6 Lakini anaudhaifu wa kukataa amri zangu zaidi kuliko mataifa yalivyo, na sheria yangu zaidi kuliko mataifa ambayo yanayomzunguka. Watu wamezikataa humuku zangu na kuacha kutembea katika sheria zangu.”
and to rebel [obj] justice: judgement my to/for wickedness from [the] nation and [obj] statute my from [the] land: country/planet which around her for in/on/with justice: judgement my to reject and statute my not to go: walk in/on/with them
7 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, “Kwa sababu mmekuwa kikwazo kuliko mataifa ambayo yanayowazunguka na kuacha kutembea kwenye amri zangu wala kutenda kulingana na amri zangu, wala hata kutenda kulingana na amri za mataifa yanayowazunguka,”
to/for so thus to say Lord YHWH/God because be turbulent your from [the] nation which around you in/on/with statute my not to go: walk and [obj] justice: judgement my not to make: do and like/as justice: judgement [the] nation which around you not to make: do
8 kwa hiyo Bwana asema hivi, “Tazama! Mimi mwenyewe nitatenda juu yenu. Nitato hukumu kati yenu ili mataifa waone.
to/for so thus to say Lord YHWH/God look! I upon you also I and to make: do in/on/with midst your justice: judgement to/for eye: seeing [the] nation
9 Nitawafanyia yale ambayo sijawahi kuyafanya na kile ambacho sintokifanya tena, kwa sababu ya matendo yenu ya kuchukiza.
and to make: do in/on/with you [obj] which not to make: do and [obj] which not to make: do like him still because all abomination your
10 Kwa hiyo baba watawala watoto kati yenu, na watoto watawala baba zao, kwa kuwa nitafanya hukumu juu yenu na kuwatawanya kila mahali wote ninyi mliobaki.
to/for so father to eat son: child in/on/with midst your and son: child to eat father their and to make: do in/on/with you judgment and to scatter [obj] all remnant your to/for all spirit: breath
11 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-bila shaka hii ilikuwa kwa sababu umapanajisi patakatifu pangu kwa mambo ya machukizo yako yote na kwa matendo yako yote niyachukiayo, kwamba mimi mwenyewe nitakupunguza katika hesabu; jicho langu halitakuhurumia, na sintoacha kukuharibu.
to/for so alive I utterance Lord YHWH/God if: surely yes not because [obj] sanctuary my to defile in/on/with all abomination your and in/on/with all abomination your and also I to dimish and not to pity eye my and also I not to spare
12 Theluthi yenu mtakufa kwa tauni, na wataliwa na njaa katikati yenu. Theluthi wataanguka kwa upanga likiwazunguka. Kisha nitawatawanya theluthi katika mahali pote, na nitafuatisha upanga kuwafukuza pia.
third your in/on/with pestilence to die and in/on/with famine to end: destroy in/on/with midst your and [the] third in/on/with sword to fall: kill around you and [the] third to/for all spirit: breath to scatter and sword to empty after them
13 Hivi ndivyo ghadhabu yangu itavyokamilika, na nitasababisha ghadhabu yangu juu yao hata kulala. Nitajiridhisha, na watajua kwamba, mimi Yahwe, nimenena kwa ghadhabu yangu wakati nitakapo kamilisha ghadhabu yangu dhidi yao.
and to end: expend face: anger my and to rest rage my in/on/with them and to be sorry: comfort and to know for I LORD to speak: speak in/on/with jealousy my in/on/with to end: expend I rage my in/on/with them
14 Nitakufanya mkiwa kwa mataifa yanayokuzunguka kwenye uso wa kila mtu apitaye karibu.
and to give: make you to/for desolation and to/for reproach in/on/with nation which around you to/for eye: seeing all to pass
15 Hivyo Yerusalemu itakuwa jambo kwa watu wengine kushutumu na kufanya mzaha, na chukizo kwa mataifa ambayo yanayowazunguka. Nitafanya hukumu dhidi yenu kwa ghadhabu na hasira, na kwa kukemea kwa hasira-Mimi, Yahwe nimesema hivi!
and to be reproach and taunt discipline and devastation to/for nation which around you in/on/with to make: do I in/on/with you judgment in/on/with face: anger and in/on/with rage and in/on/with argument rage I LORD to speak: speak
16 Nitatuma mishale mikali ya njaa juu yenu ambayo itakuwa na maana ya kwamba nitawaharibu. Kwa kuwa nitaongeza njaa juu yenu na kuvunja tegemeo lenu la mkate.
in/on/with to send: depart I [obj] arrow [the] famine [the] bad: harmful in/on/with them which to be to/for destruction which to send: depart [obj] them to/for to ruin you and famine to add upon you and to break to/for you tribe: supply food: bread
17 Nitaleta njaa na majanga dhidi yenu hivyo mtakuwa wagumba. Tauni na damu zitapita kati yako, na nitaleta upanga dhidi yenu-Mimi Yahwe, nimesema hivi.”
and to send: depart upon you famine and living thing bad: harmful and be bereaved you and pestilence and blood to pass in/on/with you and sword to come (in): bring upon you I LORD to speak: speak