< Ezekieli 48 >

1 Haya ndiyo majina ya makabila. Kabila la Dani litapokea sehemu moja ya nchi; mipaka yake itakuwa karibu na upande wa mashariki mpaka wa Israeli karibu na njia ya Hethloni na Lebo Hamathi. Mpaka wake utaenda hata karibu na Hazari Enani na karibu na mpaka wa Damaskasi hata upande wa kaskazini na kisha karibu na Hamathi. Mpaka wa Dani utaenda kutoka mashariki moja kwa moja hata Bahari Kubwa.
Töwende qebililer nami boyiche tizimlinidu; shimal teripide Dan qebilisining bir ülüshi bar. Uning chégrisi Israil zéminining shimaliy chégrisimu bolidu; u Xetlonning yolini boylap, Xamat rayonigha kirish éghizighiche we Hazar-Énan shehirigiche sozulghan (Hazar-Énan Demeshq chégrisigha yandash bolup, Demeshqning shimaliy teripidiki Xamat shehirining yénida). Uning ülüshi sherqtin gherbkiche sozulghandur.
2 Kupakana na mpaka wa Dani, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Asheri itakuwa na fungu moja.
Danning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Ashir qebilisining bir ülüshidur.
3 Kupakana na mpaka wa Asheri kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Naftali atakuwa na fungu moja.
Ashirning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Naftali qebilisining bir ülüshidur.
4 Kupakana na mpaka wa Naftali kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Manase atakuwa na fungu moja.
Naftalining chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Manasseh qebilisining bir ülüshidur.
5 Kupakana na mpaka wa Manase kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Efraimu atakuwa na fungu moja.
Manassehning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Efraim qebilisining bir ülüshidur.
6 Kupakana na mapaka wa Efraimu kutoka mashariki hata magharibi, Rubeni atakuwa na fungu moja.
Efraimning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Ruben qebilisining bir ülüshidur.
7 Kupakana na mpaka wa Rubeni kutoka mashariki hata magharibi, Yuda atakuwa na fungu moja.
Rubenning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Yehuda qebilisining bir ülüshidur.
8 Sadaka ya nchi ambayo mtaifanya itakuwa karibu na mpaka wa Yuda na hapohapo kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano upana. Urefu unakaribiana na fungu la kabila moja kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, na hekalu litakuwa katikati yake.
Yehudaning chégrisigha tutashqan, sherqtin gherbkiche sozulghan zémin, silerning «kötürme hediye»nglar bolidu; uning kengliki yigirme besh ming [xada], uning uzunluqi qebililerge teqsim qilin’ghan ülüshtikidek bolidu; muqeddes jay uning del otturisida bolidu.
9 Huu mji mtakao utoa sadaka kwa ajili ya Yahwe utakuwa na ridhaa elfu ishirini na tano urefu wake na ridhaa elfu kumi upana.
Siler Perwerdigargha alahide atighan «kötürme hediye» bolsa, uzunluqi yigirme besh ming [xada], kengliki on ming [xada] bolidu.
10 Haya yatakuwa matoleo ya hili fungu takatifu la nchi: makuhani watakuwa na nchi watakayopewa kipimo chake ridhaa elfu ishirini na tano urefu kwa upande kaskazini; ridhaa elfu kumi upana upande wa magharibi; urefu wa ridhaa elfu kumi upande wa magharibi; na urefu rithaa elfu ishirini na tano upande wa kusini, pamoja na mahali patakatifu pa Yahwe katikati yake.
Bu muqeddes «kötürme hediye» kahilar üchün bolidu. Shimaliy teripining uzunluqi yigirme besh ming [xada], gherbiy teripining kengliki on ming [xada], sherqiy teripining kengliki on ming [xada], jenubiy teripining uzunluqi yigirme besh ming [xada] bolidu; Perwerdigarning «muqeddes jay»i uning del otturisida bolidu.
11 Hii itakuwa wakfu na makuhani wa safu ya Zadoki, aliyenitumikia kwa uaminifu na ambaye hakwenda nje ya mstari wakati watu wa Israeli walipoeenda nje ya mstari, kama Walawi walivyofanya.
Bu yer Zadok ewladliridin bolghan, pak-muqeddes dep ayrilghan kahinlar üchün bolidu. Israil ézip ketkende, ular Lawiylar ézip ketkendek ézip ketmigen, belki Men tapshurghan mes’uliyetke sadiq bolghanidi.
12 Sadaka yao itakuwa fungu la hiyo nchi takatifu sana, karibu na mpaka wa Walawi.
Shuning bilen bu alahide «kötürme hediye» bolghan yer bolsa pütün «kötürme hediye» bolghan zéminning ichidin bolup, ulargha nisbeten «eng muqeddes bir nerse» dep bilinsun. U Lawiylarning ülüshige tutashqan bolidu.
13 Nchi ya Walawi karibu na mpaka wa nchi ya makuhani itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu kumi upana. Urefu wote wa eneo la nchi utakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu ishirini upana.
Kahinlarning ülüshining chégrisigha tutash bolghan yer Lawiylarning ülüshi bolidu. Uning uzunluqi yigirme besh ming [xada], kengliki on ming [xada]. Pütkül uzunluqi yigirme besh ming [xada], kengliki on ming [xada] bolidu.
14 Hawataiuza au kuibadilisha; hakuna malimbuko ya hiyo nchi ya Israeli itakayogawanywa kutoka haya maeneo, kwa kuwa yote ni matakatifu kwa ajili ya Yahwe.
Ular uningdin yerni héch satmaydu yaki almashturmaydu. Ular bu zéminning ésilini bashqilargha héch ötküzmeydu; chünki u Perwerdigargha muqeddes dep atalghan.
15 Nchi iliyobaki, ridhaa elfu kumi na tano upana na ridhaa elfu ishirini na tano urefu, itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi, nyumba, na sehemu ya malisho; huo mji utakuwa katikati yake.
Qalghan yer, kengliki besh ming [xada], uzunluqi yigirme besh ming [xada], adettiki yer bolup, sheher üchün, yeni öyler we ortaq bosh yer üchün bolidu. Sheher uning otturisida bolidu.
16 Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu.
Sheherning ölchemliri mundaq bolidu; shimaliy teripi töt ming besh yüz [xada], jenubiy teripi töt ming besh yüz [xada], sherqiy teripi töt ming besh yüz [xada], we gherbiy teripi töt ming besh yüz [xada] bolidu.
17 Kutakuwa na malisho ya mji kuelekea kaskazini, ridhaa 250 kwenda chini; hata kusini, ridhaa 250 kwenda chini; kuelekea mashariki, ridhaa 250 kwenda chini, na kuelekea magharibi ridhaa 250 kwenda chini.
Sheherning bosh yerliri bolsa, shimalgha qaraydighan teripi ikki yüz ellik [xada] kenglikte, jenubqa qaraydighan teripi ikki yüz ellik [xada] kenglikte, sherqqe qaraydighan teripi ikki yüz ellik [xada] kenglikide, gherbke qaraydighan teripi ikki yüz ellik [xada] kenglikte bolidu.
18 Eneo lililobaki la matoleo matakatifu litanyooshwa ridhaa elfu kumi hata mashariki na ridhaa elfu kumi kuelekea magharibi. Litanyooshwa karibu na mpaka wa matoleo matakatifu, na mazao yake yatakuwa chakula kwa ajili ya wale wanaofanya kazi katika nchi.
Qalghan ikki parche yer muqeddes «kötürme hediye» bolghan yerge tutiship uninggha parallél bolidu. Ularning uzunluqi sherqqe qaraydighan teripi on ming [xada], gherbke qaraydighan teripi on ming [xada]; bular muqeddes «kötürme hediye» bolghan yerge tutishidu; bularning mehsulatliri sheherning xizmitide bolghanlarni ozuqlanduridu.
19 Wale wafanyao kazi katika mji, watu wote wa kabila za Israeli, watailima hiyo nchi.
Uni tériydighanlar, yeni sheherning xizmitide bolghanlar Israilning barliq qebililiri ichidin bolidu.
20 Matoleo yote ya nchi yatapimwa ridhaa elfu ishirini na moja kwa ridhaa elfu ishirini na tano. Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji.
Pütkül «kötürme hediye» bolsa uzunluqi yigirme besh ming [xada], kengliki yigirme besh ming [xada] bolidu; siler bu töt chasiliq muqeddes «kötürme hediye»ge sheherge tewe jaylarnimu qoshup sunisiler.
21 Mabaki ya nchi mojawapo upande wa matoleo matakatifu na eneo la mji litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme. Eneo la nchi ya mwana wa mfalme kuelekea mashariki litanyooshwa kwa ridhaa elfu ishirini na tano kutoka kwenye mpaka wa matoleo matakatifu hata mpaka wa mashariki-na eneo lake kuelekea mpaka wa magharibi. Katikati kutakuwa matolea matakatifu, na mahali patakatifu pa hekalu patakuwa katikati yake.
Muqeddes «kötürme hediye» bilen sheherning igidarchiliqidiki yerning u we bu teripidiki qalghan zéminler shahzade üchün bolidu. «Kötürme hediye»ge yandash sherqtin sherqqe sozulghan yigirme besh ming [xada] kengliktiki yer we gherbtin gherbke sozulghan yigirme besh ming [xada] kengliktiki yer [qebililerning] ülüshlirige parallél bolup, bular shahzade üchündur; muqeddes «kötürme hediye», jümlidin ibadetxanining muqeddes jayi ularning otturisida,
22 Nchi imenyooka kutoka mali ya Walawi na eneo la mji katikati yake litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme; itakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benjamini-hiyo nchi itakuwa kwa ajili ya mwana wa mfame.
shuningdek Lawiylarning ülüshi we sheherning igilikimu shahzadining tewelikining otturisida bolidu. Yehudaning chégrisi we Binyaminning chégrisining otturisida bolghan bu zéminlar shahzade üchün bolidu.
23 Kwa kabila zitakazobaki, mafungu yao yataunganishwa kutoka upande wa mashariki. Benjamini atapokea fungu moja.
Qalghan qebililerning ülüshliri bolsa: — Binyamin qebilisi üchün sherqtin gherb terepke sozulghan bir ülüshi bolidu.
24 Kupakana na mpaka wa Benjamini kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Simioni atakuwa na fungu moja.
Binyaminning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Shiméon qebilisining bir ülüshidur.
25 Kupakana na mpaka wa Isakari kutakuwa na fungu moja.
Shiméonning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Issakar qebilisining bir ülüshidur.
26 Kupakana na mpaka wa Isakari kutoka mashariki hata magharibi, Zebuloni atakuwa na fungu moja.
Issakarning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Zebulun qebilisining bir ülüshidur.
27 Hata kusini mwa mpaka wa Zebuloni, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magahribi, kutakuwa na nchi ya Gadi-fungu moja.
Zebulunning chégrisigha yandash bolghan, sherqtin gherbke sozulghan zémin Gad qebilisining bir ülüshidur.
28 Mpaka wa kusini mwa Gadi kutanyooshwa kutoka Tamari hata kwenye maji ya Meriba Kadeshi, mbele hadi kijito cha Misri, na kisha hata Bahari kuu.
Gadning yan teripi, yeni jenubiy teripi, pütkül zéminning jenubiy chégrisi Tamar shehiridin Méribah-Qedesh deryasining éqinlirighiche, andin [Misir] wadisini boylap «Ottura déngiz»ghiche sozulidu.
29 Hii ndiyo nchi ambayo mtakazo gawana; kutakuwa na urithi wa makabila ya Israeli. Haya yatakuwa mafungu yao. Hivi ndivy Bwana Yahwe asemavyo.
Bu siler Israilning qebililirige miras bolushqa chek tashlap bölidighan zémin bolidu; bular ularning ülüshliri, — deydu Reb Perwerdigar.
30 Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu,
Töwende sheherning chiqish yolliri bolidu; uning shimaliy teripining kengliki töt yüz ellik [xada] bolidu;
31 kutakuwa na malango matatu, yaitwayo kwa ajili ya Israeli: lango moja kwa ajili ya Rubeni, lango moja kwa ajili ya Yuda, na lango moja kwa ajili ya Walawi.
sheherning qowuqliri Israilning qebililirining nami boyiche bolidu; shimaliy teripide üch qowuq bolidu; biri Rubenning qowuqi bolidu; biri Yehudaning qowuqi bolidu; biri Lawiyning qowuqi bolidu;
32 Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani.
sherqiy teripining kengliki töt yüz ellik [xada], uningda üch qowuq bolidu; biri Yüsüpning qowuqi bolidu; biri Binyaminning qowuqi bolidu; biri Danning qowuqi bolidu.
33 Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni.
Jenubiy teripining ölchimi töt yüz ellik [xada], uningda üch qowuq bolidu; biri Shiméonning qowuqi bolidu; biri Issakarning qowuqi bolidu; biri Zebulunning qowuqi bolidu.
34 Kwa upande wa magharibi, ambao kipimo chake kitakuwa ridhaa 4, 500, kutakuwa ba malango matatu: lango moja kwa ajili ya Gadi, lango moja kwa ajili ya Asheri, na lango moja kwa ajili ya Naftali.
Sherqiy teripining kengliki töt yüz ellik [xada], uningda üch qowuq bolidu; biri Gadning qowuqi bolidu; biri Ashirning qowuqi bolidu; biri Naftalining qowuqi bolidu.
35 Umbali kuuzunguka mji utakuwa ridhaa elfu kumi na nane; kutoka hiyo siku, jina la huo mji litakuwa “Yahwe yupo hapo.”
Jemiy bolup uning aylanmisi on sekkiz ming [xada] bolidu; shu kündin bashlap sheherning nami: «Perwerdigar shu yerde» bolidu.

< Ezekieli 48 >