< Ezekieli 48 >

1 Haya ndiyo majina ya makabila. Kabila la Dani litapokea sehemu moja ya nchi; mipaka yake itakuwa karibu na upande wa mashariki mpaka wa Israeli karibu na njia ya Hethloni na Lebo Hamathi. Mpaka wake utaenda hata karibu na Hazari Enani na karibu na mpaka wa Damaskasi hata upande wa kaskazini na kisha karibu na Hamathi. Mpaka wa Dani utaenda kutoka mashariki moja kwa moja hata Bahari Kubwa.
Esta es una lista de los territorios según los nombres de las tribus. En la frontera norte, el territorio de Dan limita con el camino de Hetlón hacia Lebo-hamat y con Hazar-enan en la frontera de Damasco con Hamat al norte, y se extiende desde el límite oriental del país hasta el occidental.
2 Kupakana na mpaka wa Dani, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Asheri itakuwa na fungu moja.
El territorio de Aser limita con el de Dan de este a oeste.
3 Kupakana na mpaka wa Asheri kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Naftali atakuwa na fungu moja.
El territorio de Neftalí limita con el de Aser de este a oeste.
4 Kupakana na mpaka wa Naftali kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Manase atakuwa na fungu moja.
El territorio de Manasés limita con el de Neftalí de este a oeste.
5 Kupakana na mpaka wa Manase kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Efraimu atakuwa na fungu moja.
El territorio de Efraín limita con el de Manasés de este a oeste.
6 Kupakana na mapaka wa Efraimu kutoka mashariki hata magharibi, Rubeni atakuwa na fungu moja.
El territorio de Rubén limita con el de este a oeste.
7 Kupakana na mpaka wa Rubeni kutoka mashariki hata magharibi, Yuda atakuwa na fungu moja.
El territorio de Judá limita con el de Rubén de este a oeste.
8 Sadaka ya nchi ambayo mtaifanya itakuwa karibu na mpaka wa Yuda na hapohapo kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano upana. Urefu unakaribiana na fungu la kabila moja kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, na hekalu litakuwa katikati yake.
Junto a la asignación de Judá, de este a oeste, está la zona especial para la que debes hacer provisión. Tendrá 25.000 codos de ancho y se extenderá la misma longitud que una asignación tribal de este a oeste. El santuario estará en medio de ella.
9 Huu mji mtakao utoa sadaka kwa ajili ya Yahwe utakuwa na ridhaa elfu ishirini na tano urefu wake na ridhaa elfu kumi upana.
El territorio especial que hagas será para el Señor y tendrá 25.000 codos por 10.000 codos.
10 Haya yatakuwa matoleo ya hili fungu takatifu la nchi: makuhani watakuwa na nchi watakayopewa kipimo chake ridhaa elfu ishirini na tano urefu kwa upande kaskazini; ridhaa elfu kumi upana upande wa magharibi; urefu wa ridhaa elfu kumi upande wa magharibi; na urefu rithaa elfu ishirini na tano upande wa kusini, pamoja na mahali patakatifu pa Yahwe katikati yake.
Este será el territorio sagrado para los sacerdotes. Tendrá 25.000 codos de largo en los lados norte y sur, y 11.000 codos de ancho en los lados oeste y este. El santuario estará en medio de él.
11 Hii itakuwa wakfu na makuhani wa safu ya Zadoki, aliyenitumikia kwa uaminifu na ambaye hakwenda nje ya mstari wakati watu wa Israeli walipoeenda nje ya mstari, kama Walawi walivyofanya.
Es para los sacerdotes santos, descendientes de Sadoc, que se mantuvieron fieles y no me abandonaron cuando los israelitas me abandonaron.
12 Sadaka yao itakuwa fungu la hiyo nchi takatifu sana, karibu na mpaka wa Walawi.
Será una parte especial de la tierra provista para ellos, una asignación santísima junto a la de los levitas.
13 Nchi ya Walawi karibu na mpaka wa nchi ya makuhani itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu kumi upana. Urefu wote wa eneo la nchi utakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu ishirini upana.
Los levitas tendrán un área de 25.000 codos por 10.000 codos adyacente a la asignación de los sacerdotes. Su longitud total será de 25.000 codos, y su anchura de 10.000 codos.
14 Hawataiuza au kuibadilisha; hakuna malimbuko ya hiyo nchi ya Israeli itakayogawanywa kutoka haya maeneo, kwa kuwa yote ni matakatifu kwa ajili ya Yahwe.
No se les permite vender a cambio ni transferir nada de ella, porque es la mejor parte de la tierra y es sagrada para el Señor.
15 Nchi iliyobaki, ridhaa elfu kumi na tano upana na ridhaa elfu ishirini na tano urefu, itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi, nyumba, na sehemu ya malisho; huo mji utakuwa katikati yake.
El resto, de 5.000 codos por 25.000 codos, es para uso ordinario de la ciudad para casas y pastos. La ciudad estará en medio de ella,
16 Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu.
y estas serán sus medidas 4.500 codos por todos los lados, al norte, al sur, al este y al oeste.
17 Kutakuwa na malisho ya mji kuelekea kaskazini, ridhaa 250 kwenda chini; hata kusini, ridhaa 250 kwenda chini; kuelekea mashariki, ridhaa 250 kwenda chini, na kuelekea magharibi ridhaa 250 kwenda chini.
Los pastos de la ciudad la rodearán por 250 codos por todos los lados, al norte, al sur, al este y al oeste.
18 Eneo lililobaki la matoleo matakatifu litanyooshwa ridhaa elfu kumi hata mashariki na ridhaa elfu kumi kuelekea magharibi. Litanyooshwa karibu na mpaka wa matoleo matakatifu, na mazao yake yatakuwa chakula kwa ajili ya wale wanaofanya kazi katika nchi.
Lo que queda de la tierra que bordea el territorio sagrado y que corre a su lado será de 10.000 codos por el lado este y por el lado oeste. Las cosechas que produzca servirán de alimento a los que trabajen en la ciudad.
19 Wale wafanyao kazi katika mji, watu wote wa kabila za Israeli, watailima hiyo nchi.
Los trabajadores que cultiven la tierra serán de todas las tribus israelitas.
20 Matoleo yote ya nchi yatapimwa ridhaa elfu ishirini na moja kwa ridhaa elfu ishirini na tano. Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji.
Todoel territorio será un cuadrado de 25.000 codos por 25.000 codos. Debes hacer una provisión para el territorio sagrado, junto con el área para la ciudad.
21 Mabaki ya nchi mojawapo upande wa matoleo matakatifu na eneo la mji litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme. Eneo la nchi ya mwana wa mfalme kuelekea mashariki litanyooshwa kwa ridhaa elfu ishirini na tano kutoka kwenye mpaka wa matoleo matakatifu hata mpaka wa mashariki-na eneo lake kuelekea mpaka wa magharibi. Katikati kutakuwa matolea matakatifu, na mahali patakatifu pa hekalu patakuwa katikati yake.
La tierra que quede a ambos lados del territorio sagrado y del área para la ciudad pertenecerá al príncipe. Esta tierra estará junto a los territorios de las tribus y se extenderá al este desde los 25.000 codos de la sección santa hasta el límite oriental, y al otro lado al oeste desde los 25.000 codos hasta el límite occidental. En medio de ellos estará la sección santa y el santuario del Templo.
22 Nchi imenyooka kutoka mali ya Walawi na eneo la mji katikati yake litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme; itakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benjamini-hiyo nchi itakuwa kwa ajili ya mwana wa mfame.
El área de los levitas y el área de la ciudad estarán en medio de la asignación del príncipe, y estarán entre los límites de las asignaciones de Judá y Benjamín.
23 Kwa kabila zitakazobaki, mafungu yao yataunganishwa kutoka upande wa mashariki. Benjamini atapokea fungu moja.
Estas son las asignaciones para el resto de las tribus: La asignación de Benjamín se extiende desde el límite oriental del país hasta el occidental.
24 Kupakana na mpaka wa Benjamini kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Simioni atakuwa na fungu moja.
El territorio de Simeón limita con el de Benjamín de este a oeste.
25 Kupakana na mpaka wa Isakari kutakuwa na fungu moja.
El territorio de Isacar limita con el de Simeón de este a oeste.
26 Kupakana na mpaka wa Isakari kutoka mashariki hata magharibi, Zebuloni atakuwa na fungu moja.
El territorio de Zabulón limita con el de Isacar de este a oeste.
27 Hata kusini mwa mpaka wa Zebuloni, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magahribi, kutakuwa na nchi ya Gadi-fungu moja.
El territorio de Gad limita con el de Zabulón de este a oeste.
28 Mpaka wa kusini mwa Gadi kutanyooshwa kutoka Tamari hata kwenye maji ya Meriba Kadeshi, mbele hadi kijito cha Misri, na kisha hata Bahari kuu.
El límite sur del territorio de Gad será desde Tamar hasta las aguas de Meribat-Cadés, y luego a lo largo del Wadi de Egipto hasta el Mar Mediterráneo.
29 Hii ndiyo nchi ambayo mtakazo gawana; kutakuwa na urithi wa makabila ya Israeli. Haya yatakuwa mafungu yao. Hivi ndivy Bwana Yahwe asemavyo.
Esta es la tierra que debes asignar a las tribus de Israel para que la posean y la transmitan como herencia. Estos son los territorios que se les han asignado, declara el Señor Dios.
30 Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu,
Estas serán las salidas de la ciudad, comenzando por el lado norte, que tiene una longitud de 4.500 codos.
31 kutakuwa na malango matatu, yaitwayo kwa ajili ya Israeli: lango moja kwa ajili ya Rubeni, lango moja kwa ajili ya Yuda, na lango moja kwa ajili ya Walawi.
Las puertas de la ciudad llevarán los nombres de las tribus de Israel. Habrá tres puertas en el lado norte: las puertas de Rubén, Judá y Leví.
32 Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani.
Habrá tres puertas en el lado este, (también de 4.500 codos de largo): las puertas de José, Benjamín y Dan.
33 Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni.
Habrá tres puertas en el lado sur, (también de 4.500 codos de largo): las puertas de Simeón, Isacar y Zabulón.
34 Kwa upande wa magharibi, ambao kipimo chake kitakuwa ridhaa 4, 500, kutakuwa ba malango matatu: lango moja kwa ajili ya Gadi, lango moja kwa ajili ya Asheri, na lango moja kwa ajili ya Naftali.
En el lado oeste habrá tres puertas (también de 4.500 codos): la puerta de Gad, la puerta de Aser y la puerta de Neftalí.
35 Umbali kuuzunguka mji utakuwa ridhaa elfu kumi na nane; kutoka hiyo siku, jina la huo mji litakuwa “Yahwe yupo hapo.”
La distancia alrededor del exterior de la ciudad será de 18.000 codos. Desde ese día el nombre de la ciudad será “El Señor está allí”.

< Ezekieli 48 >