< Ezekieli 48 >
1 Haya ndiyo majina ya makabila. Kabila la Dani litapokea sehemu moja ya nchi; mipaka yake itakuwa karibu na upande wa mashariki mpaka wa Israeli karibu na njia ya Hethloni na Lebo Hamathi. Mpaka wake utaenda hata karibu na Hazari Enani na karibu na mpaka wa Damaskasi hata upande wa kaskazini na kisha karibu na Hamathi. Mpaka wa Dani utaenda kutoka mashariki moja kwa moja hata Bahari Kubwa.
Сия же имена племен от начала еже к северу, по стране схождения разделяющаго ко входу Имафову двора Енаня, предел Дамасков к северу по стране Имафова двора: и будут им яже на востоки, даже до моря, Даново едино.
2 Kupakana na mpaka wa Dani, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Asheri itakuwa na fungu moja.
И от предел Дановых к востоком даже до моря, Асирово едино.
3 Kupakana na mpaka wa Asheri kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Naftali atakuwa na fungu moja.
И от предел Асировых, от сущих к востоком, даже до моря, Неффалимле едино.
4 Kupakana na mpaka wa Naftali kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Manase atakuwa na fungu moja.
От предел же Неффалимлих от страны восточныя даже до страны моря, Манассиино едино.
5 Kupakana na mpaka wa Manase kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Efraimu atakuwa na fungu moja.
От предел же Манассииных, сущих на востоки, даже до сущих к морю, Ефремле едино.
6 Kupakana na mapaka wa Efraimu kutoka mashariki hata magharibi, Rubeni atakuwa na fungu moja.
От предел же Ефремлих, иже на восток, даже до моря, Рувимле едино.
7 Kupakana na mpaka wa Rubeni kutoka mashariki hata magharibi, Yuda atakuwa na fungu moja.
От предел же Рувимлих, иже на востоки, даже до моря, Иудино едино.
8 Sadaka ya nchi ambayo mtaifanya itakuwa karibu na mpaka wa Yuda na hapohapo kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano upana. Urefu unakaribiana na fungu la kabila moja kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, na hekalu litakuwa katikati yake.
А от предел Иудиных, иже к востоком, даже до моря, будет начаток уделения двадесяти и пяти тысящ широта, и долгота якоже едина от частей сущих к востоком, и даже до тех яже к морю: и будет святое посреде их.
9 Huu mji mtakao utoa sadaka kwa ajili ya Yahwe utakuwa na ridhaa elfu ishirini na tano urefu wake na ridhaa elfu kumi upana.
Начаток, егоже отделят Господеви, в долготу двадесять и пять тысящ и в широту двадесять и пять тысящ.
10 Haya yatakuwa matoleo ya hili fungu takatifu la nchi: makuhani watakuwa na nchi watakayopewa kipimo chake ridhaa elfu ishirini na tano urefu kwa upande kaskazini; ridhaa elfu kumi upana upande wa magharibi; urefu wa ridhaa elfu kumi upande wa magharibi; na urefu rithaa elfu ishirini na tano upande wa kusini, pamoja na mahali patakatifu pa Yahwe katikati yake.
От сих будет начаток святых жерцем, к северу (в долготу) двадесять и пять тысящ, и к морю в широту десять тысящ, и к востоку десять тысящ, и на юг в долготу двадесять и пять тысящ: и гора святых будет посреде его
11 Hii itakuwa wakfu na makuhani wa safu ya Zadoki, aliyenitumikia kwa uaminifu na ambaye hakwenda nje ya mstari wakati watu wa Israeli walipoeenda nje ya mstari, kama Walawi walivyofanya.
жерцем, освященным сыном Садуковым, стрегущым стражбы храма, иже не прельстишася во прельщение сынов Израилевых, якоже прельстишася левити.
12 Sadaka yao itakuwa fungu la hiyo nchi takatifu sana, karibu na mpaka wa Walawi.
И будет им начаток даемый от начатков земли, святое святых от предел левитских.
13 Nchi ya Walawi karibu na mpaka wa nchi ya makuhani itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu kumi upana. Urefu wote wa eneo la nchi utakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu ishirini upana.
Левитом же ближняя пределов жреческих, двадесяти и пяти тысящ в долготу, а в широту десяти тысящ: вся долгота двадесяти и пяти тысящ, а широта десяти тысящ.
14 Hawataiuza au kuibadilisha; hakuna malimbuko ya hiyo nchi ya Israeli itakayogawanywa kutoka haya maeneo, kwa kuwa yote ni matakatifu kwa ajili ya Yahwe.
Да не продастся от него, ни заменится, ниже отимутся первая жита земли, яко свято есть Господеви.
15 Nchi iliyobaki, ridhaa elfu kumi na tano upana na ridhaa elfu ishirini na tano urefu, itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi, nyumba, na sehemu ya malisho; huo mji utakuwa katikati yake.
Пять же тысящ избыточных в широте двадесяти и пяти тысящей, предградие да будет граду на вселение и в разстояние его: и да будет град среде его.
16 Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu.
И сия меры его: от севера четыре тысящы и пять сот, и от юга четыре тысящы и пять сот, и от восток четыре тысящы и пять сот, и от моря четыре тысящы и пять сот.
17 Kutakuwa na malisho ya mji kuelekea kaskazini, ridhaa 250 kwenda chini; hata kusini, ridhaa 250 kwenda chini; kuelekea mashariki, ridhaa 250 kwenda chini, na kuelekea magharibi ridhaa 250 kwenda chini.
И да будет разстояние граду к северу двусту и пятидесяти, и к югу двусту и пятидесяти, и на восток двусту и пятидесяти, и к морю двусту и пятидесяти.
18 Eneo lililobaki la matoleo matakatifu litanyooshwa ridhaa elfu kumi hata mashariki na ridhaa elfu kumi kuelekea magharibi. Litanyooshwa karibu na mpaka wa matoleo matakatifu, na mazao yake yatakuwa chakula kwa ajili ya wale wanaofanya kazi katika nchi.
Избыток же долготы держащься начатков святых десять тысящ к востоком и десять тысящ к морю: и будут начатки святаго, и будут жита ея во хлебы делающым град.
19 Wale wafanyao kazi katika mji, watu wote wa kabila za Israeli, watailima hiyo nchi.
Делающии же град да делают его от всех племен Израилевых.
20 Matoleo yote ya nchi yatapimwa ridhaa elfu ishirini na moja kwa ridhaa elfu ishirini na tano. Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji.
Весь начаток двадесяти и пяти тысящ на двадесять и пять тысящ: четвероуголно отделите от него начаток святаго, от одержания градскаго,
21 Mabaki ya nchi mojawapo upande wa matoleo matakatifu na eneo la mji litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme. Eneo la nchi ya mwana wa mfalme kuelekea mashariki litanyooshwa kwa ridhaa elfu ishirini na tano kutoka kwenye mpaka wa matoleo matakatifu hata mpaka wa mashariki-na eneo lake kuelekea mpaka wa magharibi. Katikati kutakuwa matolea matakatifu, na mahali patakatifu pa hekalu patakuwa katikati yake.
а избыток старейшине от сего: и от онаго, от начатков святаго и во участие града, спреди на двадесять и пять тысящ долгота, до предел, иже к морю и к востоком, спреди на двадесять и пять тысящ, до предел, иже к морю, близ частей старейшины: и да будет начаток святых и освящение храма среде его.
22 Nchi imenyooka kutoka mali ya Walawi na eneo la mji katikati yake litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme; itakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benjamini-hiyo nchi itakuwa kwa ajili ya mwana wa mfame.
От участия же левитска и от участия града, среде старейшин, будет среде предел Иудиных и среде предел Вениаминих, и старейшин да будет.
23 Kwa kabila zitakazobaki, mafungu yao yataunganishwa kutoka upande wa mashariki. Benjamini atapokea fungu moja.
А избыточное племен от сущих к востоком даже до сущих к морю, Вениаминово едино.
24 Kupakana na mpaka wa Benjamini kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Simioni atakuwa na fungu moja.
От предел же Вениаминих к востоком даже до страны яже к морю, Симеоне едино.
25 Kupakana na mpaka wa Isakari kutakuwa na fungu moja.
От предел же Симеоних, от страны яже на восток даже до страны яже к морю, Иссахарово едино.
26 Kupakana na mpaka wa Isakari kutoka mashariki hata magharibi, Zebuloni atakuwa na fungu moja.
А от предел Иссахаровых, от востоков даже до моря, Завулоне едино.
27 Hata kusini mwa mpaka wa Zebuloni, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magahribi, kutakuwa na nchi ya Gadi-fungu moja.
От предел же Завулоних, от востока даже до страны моря, Гадово едино.
28 Mpaka wa kusini mwa Gadi kutanyooshwa kutoka Tamari hata kwenye maji ya Meriba Kadeshi, mbele hadi kijito cha Misri, na kisha hata Bahari kuu.
От предел же Гадовых, от востока даже до ливы: и будут пределы его от юга, и воды Варимоф-Кадиса, наследия даже до моря великаго.
29 Hii ndiyo nchi ambayo mtakazo gawana; kutakuwa na urithi wa makabila ya Israeli. Haya yatakuwa mafungu yao. Hivi ndivy Bwana Yahwe asemavyo.
Сия земля, юже расположите жребием племеном Израилевым: и сии разделы их, глаголет Господь Бог.
30 Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu,
И сии исходы града, иже к северу, четыре тысящы и пять сот мерою:
31 kutakuwa na malango matatu, yaitwayo kwa ajili ya Israeli: lango moja kwa ajili ya Rubeni, lango moja kwa ajili ya Yuda, na lango moja kwa ajili ya Walawi.
врата же града по именом племен Израилевых: врата троя на север: врата Рувимля едина, врата же Иудина едина и врата Левиина едина:
32 Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani.
и на восток четыре тысящы и пять сот, и врата троя: врата едина Иосифова, врата же едина Вениаминя и врата Данова едина:
33 Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni.
и яже к югу четыре тысящы и пять сот мерою, и врата троя: врата едина Симеону, врата же едина Иссахару и врата едина Завулону:
34 Kwa upande wa magharibi, ambao kipimo chake kitakuwa ridhaa 4, 500, kutakuwa ba malango matatu: lango moja kwa ajili ya Gadi, lango moja kwa ajili ya Asheri, na lango moja kwa ajili ya Naftali.
и яже к морю четыре тысящы и пять сот мерою: врата троя: врата едина Гадова, и врата Асирова едина и врата Неффалимова едина.
35 Umbali kuuzunguka mji utakuwa ridhaa elfu kumi na nane; kutoka hiyo siku, jina la huo mji litakuwa “Yahwe yupo hapo.”
Округлость же осминадесяти тысящ: имя же граду, от негоже дне будет, Господь тамо будет имя ему.