< Ezekieli 48 >

1 Haya ndiyo majina ya makabila. Kabila la Dani litapokea sehemu moja ya nchi; mipaka yake itakuwa karibu na upande wa mashariki mpaka wa Israeli karibu na njia ya Hethloni na Lebo Hamathi. Mpaka wake utaenda hata karibu na Hazari Enani na karibu na mpaka wa Damaskasi hata upande wa kaskazini na kisha karibu na Hamathi. Mpaka wa Dani utaenda kutoka mashariki moja kwa moja hata Bahari Kubwa.
Følgende er navnene på stammerne: Yderst i nord fra havet i retning af Hetlon til det sted, hvor Vejen går til Hamat, og videre til Hazar-Enon, med Damaskuss Område mod Nord ved Siden af Hamat, fra Østsiden til Vestsiden: Dan, een Stammelod;
2 Kupakana na mpaka wa Dani, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Asheri itakuwa na fungu moja.
langs Dans Område fra Østsiden til Vestsiden: Aser, een Stammelod;
3 Kupakana na mpaka wa Asheri kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Naftali atakuwa na fungu moja.
langs Asers Område fra Østsiden til Vestsiden: Naftali, een Stammelod;
4 Kupakana na mpaka wa Naftali kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Manase atakuwa na fungu moja.
langs Naftalis Område fra Østsiden til Vestsiden: Manasse, een Stammelod;
5 Kupakana na mpaka wa Manase kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Efraimu atakuwa na fungu moja.
langs Manasses Område fra Østsiden til Vestsiden: Efraim, een Stammelod;
6 Kupakana na mapaka wa Efraimu kutoka mashariki hata magharibi, Rubeni atakuwa na fungu moja.
langs Efrainms Område fma Østsiden til Vestsiden: Ruben, een Stammelod;
7 Kupakana na mpaka wa Rubeni kutoka mashariki hata magharibi, Yuda atakuwa na fungu moja.
langs Rubens Område fra Østsiden til Vestsiden: Juda, een Stammelod.
8 Sadaka ya nchi ambayo mtaifanya itakuwa karibu na mpaka wa Yuda na hapohapo kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano upana. Urefu unakaribiana na fungu la kabila moja kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, na hekalu litakuwa katikati yake.
Langs Judas Område fra Østsiden til Vestsiden skal Offerydelsen, som I yder, være 25000 Alen bred og lige så lang som hver Stammelod fra Østsiden til Vestsiden; og Helligdommen skal ligge i Midten.
9 Huu mji mtakao utoa sadaka kwa ajili ya Yahwe utakuwa na ridhaa elfu ishirini na tano urefu wake na ridhaa elfu kumi upana.
Offerydelsen, som I skal yde HERREN, skal være 25 000 Alen lang og 20800 Alen bred;
10 Haya yatakuwa matoleo ya hili fungu takatifu la nchi: makuhani watakuwa na nchi watakayopewa kipimo chake ridhaa elfu ishirini na tano urefu kwa upande kaskazini; ridhaa elfu kumi upana upande wa magharibi; urefu wa ridhaa elfu kumi upande wa magharibi; na urefu rithaa elfu ishirini na tano upande wa kusini, pamoja na mahali patakatifu pa Yahwe katikati yake.
og den hellige Offerydelse skal tilhøre følgende: Præsterne skal have et Stykke, som mod Nord er 25 000 Alen langt, mod Vest 10.000 Alen bredt, mod Øst 10000 Alen bredt og mod Syd 25.000 Alen langt; og HERRENs Helligdom skal ligge i Midten.
11 Hii itakuwa wakfu na makuhani wa safu ya Zadoki, aliyenitumikia kwa uaminifu na ambaye hakwenda nje ya mstari wakati watu wa Israeli walipoeenda nje ya mstari, kama Walawi walivyofanya.
De helligede Præster, Zadoks Efterkommere, som tog Vare på, hvad jeg vilde have varetaget, og ikke som Leviterne for vild, da Israeliterne gjorde det,
12 Sadaka yao itakuwa fungu la hiyo nchi takatifu sana, karibu na mpaka wa Walawi.
skal det tilhøre som en Offerydelse af Landets Offerydelse, et højhelligt Område langs Leviternes.
13 Nchi ya Walawi karibu na mpaka wa nchi ya makuhani itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu kumi upana. Urefu wote wa eneo la nchi utakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu ishirini upana.
Og Leviterne skal have et lige så stort Område som Præsterne, 25000 Alen langt og 10000 Alen bredt; den samlede Længde bliver således 25000 Alen, Bredden 20000.
14 Hawataiuza au kuibadilisha; hakuna malimbuko ya hiyo nchi ya Israeli itakayogawanywa kutoka haya maeneo, kwa kuwa yote ni matakatifu kwa ajili ya Yahwe.
De må ikke sælge eller bortbytte noget deraf eller overdrage denne førstegrøde af Landet til andre, thi den er helliget HERREN.
15 Nchi iliyobaki, ridhaa elfu kumi na tano upana na ridhaa elfu ishirini na tano urefu, itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi, nyumba, na sehemu ya malisho; huo mji utakuwa katikati yake.
Det Stykke på 5000 Alens Bredde, som er tilovers af Offerydelsens Bredde langs de 25000 Alen, skal være uindviet Land og tilfalde Byen til Boliger og Græsgang, og Byen skal ligge i Midten;
16 Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu.
dens Mål skal være følgende: Nordsiden 4500 Alen, Sydsiden 4500, Østsiden 4500 og Vestsiden 4500.
17 Kutakuwa na malisho ya mji kuelekea kaskazini, ridhaa 250 kwenda chini; hata kusini, ridhaa 250 kwenda chini; kuelekea mashariki, ridhaa 250 kwenda chini, na kuelekea magharibi ridhaa 250 kwenda chini.
Byens Græsgang skal være 250 Alen mod Nord, 250 mod Syd, 250 mod Øst og 250 mod Vest.
18 Eneo lililobaki la matoleo matakatifu litanyooshwa ridhaa elfu kumi hata mashariki na ridhaa elfu kumi kuelekea magharibi. Litanyooshwa karibu na mpaka wa matoleo matakatifu, na mazao yake yatakuwa chakula kwa ajili ya wale wanaofanya kazi katika nchi.
Af det Stykke, som endnu er tilovers langs med den hellige Offerydelse, 10000 Alen mod Øst og 10000 mod Vest, skal Afgrøden tjene Byens indbyggere til Mad.
19 Wale wafanyao kazi katika mji, watu wote wa kabila za Israeli, watailima hiyo nchi.
Byens Befolkning skal sammensættes således, at Folk fra alle israels Stammer bor der:
20 Matoleo yote ya nchi yatapimwa ridhaa elfu ishirini na moja kwa ridhaa elfu ishirini na tano. Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji.
I alt skal I som Offerydelse yde en Firkant på 25000 Alen, den hellige Offerydelse foruden Byens Grundejendom.
21 Mabaki ya nchi mojawapo upande wa matoleo matakatifu na eneo la mji litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme. Eneo la nchi ya mwana wa mfalme kuelekea mashariki litanyooshwa kwa ridhaa elfu ishirini na tano kutoka kwenye mpaka wa matoleo matakatifu hata mpaka wa mashariki-na eneo lake kuelekea mpaka wa magharibi. Katikati kutakuwa matolea matakatifu, na mahali patakatifu pa hekalu patakuwa katikati yake.
Men Resten skal tilfalde Fyrsten; hvad der ligger på begge Sider af den hellige Offerydelse og Byens Grundejendom, østen for de 25000 Alen hen til Østgrænsen og vesten for de 25000 Alen hen til Vestgrænsen, langs Stammelodderne, skal tilhøre Fyrsten; den hellige Offerydelse, Templets Helligdomn i Midten
22 Nchi imenyooka kutoka mali ya Walawi na eneo la mji katikati yake litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme; itakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benjamini-hiyo nchi itakuwa kwa ajili ya mwana wa mfame.
og Leviternes og Byens Grundejendom skal ligge midt imellem de Stykker, som tilfalder Fyrsten mellem Judas og Benjamins Område.
23 Kwa kabila zitakazobaki, mafungu yao yataunganishwa kutoka upande wa mashariki. Benjamini atapokea fungu moja.
Så følger de sidste Stammer: Fra Østsiden til Vestsiden Benjammmin, een Stammelod;
24 Kupakana na mpaka wa Benjamini kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Simioni atakuwa na fungu moja.
langs Benjamins Område fra Østsiden til Vestsiden: Simeon, een Stammelod;
25 Kupakana na mpaka wa Isakari kutakuwa na fungu moja.
langs Simeons Område fra Østsiden til Vestsiden: Issakar, een Stammelod;
26 Kupakana na mpaka wa Isakari kutoka mashariki hata magharibi, Zebuloni atakuwa na fungu moja.
langs Issakars Område fra Østsiden til Vestsiden: Zebulon, een Stammelod;
27 Hata kusini mwa mpaka wa Zebuloni, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magahribi, kutakuwa na nchi ya Gadi-fungu moja.
langs Zebulons Område fra Østsiden til Vestsiden: Gad, een Stammelod;
28 Mpaka wa kusini mwa Gadi kutanyooshwa kutoka Tamari hata kwenye maji ya Meriba Kadeshi, mbele hadi kijito cha Misri, na kisha hata Bahari kuu.
og langs Gads Område på Sydsiden skal Grænsen gå fra Tamar over Meribas Vandved Kadesj til Bækken ud til det store Hav.
29 Hii ndiyo nchi ambayo mtakazo gawana; kutakuwa na urithi wa makabila ya Israeli. Haya yatakuwa mafungu yao. Hivi ndivy Bwana Yahwe asemavyo.
Det er det Land, I ved Lodkastning skal udskifte som Arvelod til Israels Stammer, og det er deres Stammelodder, lyder det fra den Herre HERREN.
30 Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu,
Følgende er Byens udgange; Byens Porte skal opkaldes efter Israels Stammer:
31 kutakuwa na malango matatu, yaitwayo kwa ajili ya Israeli: lango moja kwa ajili ya Rubeni, lango moja kwa ajili ya Yuda, na lango moja kwa ajili ya Walawi.
På Nordsiden, der måler 4500 Alen, er der tre Porte, den første Rubens, den anden Judas og den tredje Levis;
32 Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani.
på Østsiden, der måler 4500 Alen, er der tre Porte, den første Josefs, den anden Benjamins og den tredje Dans;
33 Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni.
på Sydsiden, der måler 4500 Alen, er der tre Porte, den første Simeons, den anden Issakars og den tredje Zebulons;
34 Kwa upande wa magharibi, ambao kipimo chake kitakuwa ridhaa 4, 500, kutakuwa ba malango matatu: lango moja kwa ajili ya Gadi, lango moja kwa ajili ya Asheri, na lango moja kwa ajili ya Naftali.
på Vestsiden, der måler 4500 Alen, er der tre Porte, den første Gads, den anden Asers og den tredje Naftalis.
35 Umbali kuuzunguka mji utakuwa ridhaa elfu kumi na nane; kutoka hiyo siku, jina la huo mji litakuwa “Yahwe yupo hapo.”
Omkredsen er 18000 Alen. Og Byens Navn skal herefter være: HERREN er der.

< Ezekieli 48 >