< Ezekieli 47 >
1 Kisha yule mtu akanirudisha nyuma kwenye lango la kuingia la hekalu, na kulikuwa na maji yakitiririka nje kutoka chini ya hekalu kizingiti cha nyumba kuelekea masharikii-kwa mbele ya hekalu kulekea mashariki-na maji yalikuwa yakitiririka chini upande wa kusini mwa hekalu, kuelekea upande wa kuume wa madhabahu.
Och han hade mig åter inför tempeldörrena; och si, der utflöt ett vatten, under templets tröskel östantill; ty tempeldörren var ock östantill; och vattnet lopp på templets högra sido, utmed altaret; sunnantill.
2 Hivyo akanileta kwenye lango la kaskazini na kuniongoza kuzunguka lango kuelekea mashariki, na hapo maji yalikuwa yakitiririka kutoka lango hili kwa upande wa kusini yake.
Och han hade mig ut till den norra porten, ifrån yttra portenom östantill; och si, vattnet sprang derut af högra sidone.
3 Yule mtu alipokuwa akienda mashariki, kulikuwa na kamba ya kupimia kwenye mkono wake; akapima dhiraa elfu moja akanivusha kwenye maji hata maji yakafika kwenye magoti.
Och mannen gick ut österut, och hade mätesnöret i handene, och han mälte tusende alnar, och förde mig uti vattnet, till dess att det gick mig upp öfver foten;
4 Kisha akapima dhiraa elfu moja ten akanivusha kwenye yale maji yaliyofika kwenye magoti; akapima dhiraa elfu kumi nyingine na kunivusha maji yakafika hata kwenye nyonga.
Och mälte ännu en gång tusende alnar, och förde mig uti vattnet, tilldess det gick mig upp till knän; och mälte åter tusende alnar, och lät mig gå deruti, tilldess det gick mig upp till länderna.
5 Tena akapima dhiraa elfu moja nyingine, lakini ulikuwa mto ambao sikuweza kuuvuka kwa sababu maji yalizidi na yalijaa maji ya kuogelea ndani-yalikuwa mto usiovukika
Så mälte han ändå tusende alnar, och det vardt så djupt, att jag icke mer kunde räcka bottnen; ty vattnet var så djupt, att man deröfver simma måste, och kunde icke räcka bottnen.
6 Yule mtu akanambia, “Mwanadamu, unaona hii?” akanipeleka na kunirudisha karibu na ukingo wa mto.
Och han sade till mig: Du menniskobarn, detta hafver du ju sett? Och han hade mig åter tillbaka åt strandena till bäcken.
7 Nilipokuwa nikirudi, hapo kwenye ukingo wa mto kulikuwa na miti mingi katika huu upande na upande mwingine pia.
Och si, der stodo ganska mång trä i strandene på båda sidor.
8 Yule mtu akanambia, “Haya maji yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki na chini hata Araba; haya maji hutiririka kwenye Bahari ya Chumvi itaifanya kuwa mpya.
Och han sade till mig: Detta vattnet, som österut flyter, skall flyta igenom slättmarkena uti hafvet, och ifrå det ena hafvet ut i det andra, och när det kommer uti hafvet, så skola de vattnen sund varda;
9 Itakuwa kwamba kila kiumbe hai kisongamanacho kitaishi mahali maji yanapoelekea; kutakuwa na samaki wengi, kwenye hayo maji yatiririkayo huko. Itafanya maji ya chumvi kuwa mapya. Kila kitu kitaishi popote mto utakapoelekea.
Ja, allt det deruti lefver och röres, dit denne strömmen kommer, det skall lefva, och skall hafva ganska många fiskar, och all ting skall helbregda varda och lefva, dit denne strömmen kommer.
10 Kisha itatokea kwamba wavuvi wa En Gedi watasimama karibu na maji, na kutakuwa na sehemu ya kutandazia nyavu za samaki karibu na En Eglaimu. Kutakuwa na samaki nyingi za aina tofauti tofauti katika Bahari ya Chumvi, kama samaki kwenye Bahari Kuu kwa wingi wao.
Der skola fiskare vara; ifrån EnGedi allt intill EnEglaim skall man upphänga fiskagarn; ty ganska många fiskar skola der vara, likasom i stora hafvena.
11 Lakini Bahari ya Chumvi ikajaa maji na matope hayataachwa mapya; yataachwa yawe kwa ajili ya kutengeneza chumvi.
Men dammar och kärr skola intet helbregda varda, utan salta blifva.
12 Karibu na huo mto juu ya ukingo wake, pande zote, aina zote za miti utazaa chakula. Majani yake hayatanyauka na matunda yake hayataacha kukua. Kila mwezi miti itazaa matunda, kwa sababu maji kutoka patakatifu yatatirirka kwenda kwenye hiyo miti. Matunda yake yatakuwa kwa ajili ya chakula, na majani yake yatakuwa kwa ajili ya dawa.
Och utmed den samma bäcken i strandene, på båda sidor, skola växa allahanda fruktsam trä, och deras löf skola intet förvissna, eller deras frukt förruttna, och skola alla månader bära ny frukt; ty deras vatten flyter utu helgedomenom; deras frukt skall tjena till spis, och deras löf till läkedom.
13 Bwana Yahwe asema hivi: Hii itakuwa njia ambayo mtaigawanya nchi kwa ajili ya kabila kumi na mbili za Israeli: Yusufu atakuwa na mafungu mawili.
Detta säger Herren Herren: Dessa äro de gränsor, der I efter skolen utskifta landet dem tolf Israels slägtom; ty två delar höra Josephs slägte till.
14 Mtaigawa kila mtu sawa sawa ambayo niliinua mkono wangu na kuapa kuwapa baba zenu. Hii nchi itakuja kuwa urithi kwenu.
Och I skolen utskifta det lika, så dem ena som dem andra; ty jag hafver svorit, att jag ville gifva edra fäder och eder landet till arfs.
15 Huu utakuwa mpaka wa nchi upande wa kaskazini kutoka Bahari Kubwa kwa njia ya Hethloni, na kisha kuelekea Zedada.
Detta är nu landets gränsa norrut, ifrå stora hafvet, ifrå Hethlon allt intill Zedad;
16 Kisha mpaka utaenda hata Berotha, hadi Sibraimu, iliyopo kati ya Damaskasi na Hamathi, na kisha hata Hazer-hatikoni, iliyopo karibu na mpaka wa Haurani.
Nämliga: Hamath, Berotha, Sibraim, hvilke till Damascus och Hamath gränsa; och HazarTicon, det till Havran gränsar.
17 Hivyo mpaka utaenda kutoka kwenye bahari hadi Hazar-enoni kwenye mpaka wa Damaskasi na Hamathi hata kaskazini. Huu utakuwa upande wa kaskazini.
Detta skall vara gränsan ifrå hafvet allt intill HazarEnon; och Damascus och Hamath skola vara änden norrut.
18 Kwa upande wa mashariki, kati ya Haurani na Damaskasi na kati ya Geliadi na nchi ya Israeli kutakuwa na mto Yordani. Mtapima kutoka kwenye mpaka hata kwenye bahari ya mashariki; huo wote utakuwa mpaka wa mashariki.
Men den gränsan österut skolen I mäla emellan Havran och Damascus, och emellan Gilead, och emellan Israels land, vid Jordan nederåt, allt intill döda hafvet; det skall vara gränsan österut.
19 Kisha upande wa kusini: kusini mwa Tamari hadi kwenye maji ya Meriba Kadeshi, kijito cha Misri hata Bahari Kuu, na upande wa kusini kuelekea kusini.
Men den gränsan söderut är ifrå Thamar allt intill det vattnet Meriba i Kades, och in mot älfvena vid stora hafvet; det skall vara gränsan söderut.
20 Kisha mpaka wa magharibi utakuwa Bahari Kuu utaelekea hata nyuma ya Hamathi. Huu utakuwa upande wa mgharibi.
Och den gränsan vesterut är ifrå stora hafvet rätt fram, allt intill Hamath; det vare gränsan vesterut.
21 Kwa njia hii mtaigawanya hii nchi kwa ajili yenu wenyewe, kwa kabila za Israeli.
Alltså, skolen I utdela landet ibland Israels slägter.
22 Hivyo mtagawana urithi kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya wageni walio kati yenu, wale watakaozaa watoto kati yenu na waliokuwa, kati yenu, kama wazaliwa wa watu wa Israeli. Mtapewa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.
Och när I kasten lotten, till att skifta landet emellan eder, så skolen I hålla främlingarna, som bo när eder, och föda barn ibland eder, lika som de ibland Israels barn infödde voro;
23 Kisha itatokea kwamba wageni watakuwa pamoja na kabila miongoni mwa yule anayeishi. Mtapatia urithi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Och skola desslikes hafva sin del af landena, hvar och en ibland den slägt der han när bor, säger Herren Herren.