< Ezekieli 47 >
1 Kisha yule mtu akanirudisha nyuma kwenye lango la kuingia la hekalu, na kulikuwa na maji yakitiririka nje kutoka chini ya hekalu kizingiti cha nyumba kuelekea masharikii-kwa mbele ya hekalu kulekea mashariki-na maji yalikuwa yakitiririka chini upande wa kusini mwa hekalu, kuelekea upande wa kuume wa madhabahu.
Potem mię przywiódł ku drzwiom domu, a oto wody wychodziły z pod progu domu na wschód słońca; bo przednia strona domu była na wschód słońca, a wody one schodziły spodkiem po prawej stronie domu po stronie południowej ołtarza.
2 Hivyo akanileta kwenye lango la kaskazini na kuniongoza kuzunguka lango kuelekea mashariki, na hapo maji yalikuwa yakitiririka kutoka lango hili kwa upande wa kusini yake.
Stamtąd mię wywiódł drogą bramy północnej, i obwiódł mię drogą zewnętrzną do bramy zewnętrznej, drogą, która patrzy na wschód słońca; a oto wody wynikły po prawej stronie.
3 Yule mtu alipokuwa akienda mashariki, kulikuwa na kamba ya kupimia kwenye mkono wake; akapima dhiraa elfu moja akanivusha kwenye maji hata maji yakafika kwenye magoti.
A gdy wychodził on mąż na wschód słońca, w którego ręku była miara, i wymierzył tysiąc łokci, i przewiódł mię przez wodę, przez wodę aż do kostek;
4 Kisha akapima dhiraa elfu moja ten akanivusha kwenye yale maji yaliyofika kwenye magoti; akapima dhiraa elfu kumi nyingine na kunivusha maji yakafika hata kwenye nyonga.
Potem wymierzył drugi tysiąc, a przewiódł mię przez wodę, przez wodę aż do kolan; i zaś wymierzył trzeci tysiąc, i przewiódł mię przez wodę aż do biódr.
5 Tena akapima dhiraa elfu moja nyingine, lakini ulikuwa mto ambao sikuweza kuuvuka kwa sababu maji yalizidi na yalijaa maji ya kuogelea ndani-yalikuwa mto usiovukika
A gdy zaś wymierzył tysiąc, był potok, któregom nie mógł przebrnąć; bo były wezbrały wody, wody, które trzeba było przepłynąć, potok, któregom nie mógł przebrnąć.
6 Yule mtu akanambia, “Mwanadamu, unaona hii?” akanipeleka na kunirudisha karibu na ukingo wa mto.
Tedy rzekł do mnie: Widziałżeś, synu człowieczy? I wywiódł mię, i obrócił mię na brzeg onego potoku.
7 Nilipokuwa nikirudi, hapo kwenye ukingo wa mto kulikuwa na miti mingi katika huu upande na upande mwingine pia.
A gdym się obrócił, oto na brzegu onego potoku było drzewo bardzo wielkie po obu stronach;
8 Yule mtu akanambia, “Haya maji yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki na chini hata Araba; haya maji hutiririka kwenye Bahari ya Chumvi itaifanya kuwa mpya.
I rzekł do mnie: Te wody wychodzą od Galilei pierwszej, a schodzą po równinie, i wchodzą w morze; a gdy do morza wpadną, uzdrowione bywają wody.
9 Itakuwa kwamba kila kiumbe hai kisongamanacho kitaishi mahali maji yanapoelekea; kutakuwa na samaki wengi, kwenye hayo maji yatiririkayo huko. Itafanya maji ya chumvi kuwa mapya. Kila kitu kitaishi popote mto utakapoelekea.
I stanie się, że każda dusza żyjąca, która się płaza, gdziekolwiek przyjdą potoki, żyć będzie, i będzie ryb bardzo wiele, przeto, że gdy przyjdą tam one wody, oczerstwieją, i żyć będą wszędy, kędykolwiek przyjdzie ten potok.
10 Kisha itatokea kwamba wavuvi wa En Gedi watasimama karibu na maji, na kutakuwa na sehemu ya kutandazia nyavu za samaki karibu na En Eglaimu. Kutakuwa na samaki nyingi za aina tofauti tofauti katika Bahari ya Chumvi, kama samaki kwenye Bahari Kuu kwa wingi wao.
Stanie się i to, że staną podle niego rybitwi od Engaddy aż do zdroju Eglaim, tam będą rozciągać sieci; ryb będzie bardzo wiele rozmaitego rodzaju, jako ryb morza wielkiego.
11 Lakini Bahari ya Chumvi ikajaa maji na matope hayataachwa mapya; yataachwa yawe kwa ajili ya kutengeneza chumvi.
Błota jego i kałuże jego nie będą uzdrowine, ale soli oddane będą.
12 Karibu na huo mto juu ya ukingo wake, pande zote, aina zote za miti utazaa chakula. Majani yake hayatanyauka na matunda yake hayataacha kukua. Kila mwezi miti itazaa matunda, kwa sababu maji kutoka patakatifu yatatirirka kwenda kwenye hiyo miti. Matunda yake yatakuwa kwa ajili ya chakula, na majani yake yatakuwa kwa ajili ya dawa.
A nad potokiem wyrośnie na brzegu jego po obu stronach wszelkie drzewo owoce przynoszące, którego liść nie opada, ani owoc jego ustaje, w miesiącach swoich przynosi pierwociny; bo wody jego z świątnicy wychodzą, przetoż owoc jego jest na pokarm, a liście jego na lekarstwo.
13 Bwana Yahwe asema hivi: Hii itakuwa njia ambayo mtaigawanya nchi kwa ajili ya kabila kumi na mbili za Israeli: Yusufu atakuwa na mafungu mawili.
Tak mówi panujący Pan: Tać jest granica, w której sobie dziedzicznie przywłaszczycie ziemię według dwunastu pokoleń Izraelskich; Józefowi się dostaną dwa sznury.
14 Mtaigawa kila mtu sawa sawa ambayo niliinua mkono wangu na kuapa kuwapa baba zenu. Hii nchi itakuja kuwa urithi kwenu.
Dziedzicznie, mówię, posiądziecie ją, równie jeden jako drugi, o którą podniosłem rękę moję, że ją dam ojcom waszym; i przypadnie wam ta ziemia w dziedzictwo.
15 Huu utakuwa mpaka wa nchi upande wa kaskazini kutoka Bahari Kubwa kwa njia ya Hethloni, na kisha kuelekea Zedada.
Tać jest tedy granica tej ziemi ku stronie północnej, od morza wielkiego, drogą do Hetlonu, kędy wchodzą do Sedad.
16 Kisha mpaka utaenda hata Berotha, hadi Sibraimu, iliyopo kati ya Damaskasi na Hamathi, na kisha hata Hazer-hatikoni, iliyopo karibu na mpaka wa Haurani.
Emat, Berota, Sybraim, które są między granicą Damaszku i między granicą Emat, wsi pośrednie, które są przy granicy Hawran.
17 Hivyo mpaka utaenda kutoka kwenye bahari hadi Hazar-enoni kwenye mpaka wa Damaskasi na Hamathi hata kaskazini. Huu utakuwa upande wa kaskazini.
A tak będzie granica od morza Chatzar Enon, będzie granica Damaszek, a północna strona na północy, i granica Emat; a toć jest strona północna.
18 Kwa upande wa mashariki, kati ya Haurani na Damaskasi na kati ya Geliadi na nchi ya Israeli kutakuwa na mto Yordani. Mtapima kutoka kwenye mpaka hata kwenye bahari ya mashariki; huo wote utakuwa mpaka wa mashariki.
A strona wschodnia między Hawran i między Damaszkiem i między Galaad i między ziemią Izraelską przy Jordanie; od tej granicy przy morzu wschodniem mierzyć będziecie; a toć jest strona wschodnia.
19 Kisha upande wa kusini: kusini mwa Tamari hadi kwenye maji ya Meriba Kadeshi, kijito cha Misri hata Bahari Kuu, na upande wa kusini kuelekea kusini.
A strona południowa na południe od Tamar aż do wód poswarków w Kades, od potoku aż do morza wielkiego; a toć jest strona południwoa na południe.
20 Kisha mpaka wa magharibi utakuwa Bahari Kuu utaelekea hata nyuma ya Hamathi. Huu utakuwa upande wa mgharibi.
Strona zaś zachodnia morze wielkie od granicy aż przeciwko kędy się wchodzi do Emat, tać jest strona zachodnia.
21 Kwa njia hii mtaigawanya hii nchi kwa ajili yenu wenyewe, kwa kabila za Israeli.
A tak rozmierzycie sobie tę ziemię, według pokoleń Izraelskich.
22 Hivyo mtagawana urithi kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya wageni walio kati yenu, wale watakaozaa watoto kati yenu na waliokuwa, kati yenu, kama wazaliwa wa watu wa Israeli. Mtapewa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.
A gdy ją rozmierzycie, będzie wam w dziedzictwo, i przychodniom, którzyby mieszkali między wami, którzyby spłodzili synów między wami, bo wam będą jako tu zrodzeni między synami Izraelskimi; z wami dziedziczyć będą między pokoleniami Izraelskiemi.
23 Kisha itatokea kwamba wageni watakuwa pamoja na kabila miongoni mwa yule anayeishi. Mtapatia urithi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
A w któremkolwiek pokoleniu przychodzień przychodniem będzie, tam mu dacie dziedzictwo jego, mówi panujący Pan.