< Ezekieli 46 >
1 Bwana Yahwe asema hivi: Lango la uzio wa ndani, linaloelekea mashariki, litafungwa kwa mda wa siku sita za kazi, lakini katika siku za Sabato litakuwa wazi, na katika siku ya mwezi mpya litafunguliwa.
Tak mówi Pan BÓG: Brama dziedzińca wewnętrznego, która jest zwrócona ku wschodowi, będzie zamknięta przez sześć dni roboczych. Ale w dniu szabatu będzie otwarta, także i w dniu nowiu będzie otwarta.
2 Mwana wa mfalme ataingia kwa kutumia lango la njia ya nyuma ya varanda upande wa nje, na atasimama mbele ya muhimili wa mwimo wa lango la ndani wakati makuhani wakiwa wakitengeza sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani. Kisha ataabudu kwenye kizingiti cha lango la ndani na kutoka nje, lakini lango halitakuwa linafungwa hadi jioni.
I książę wejdzie przez przedsionek bramy zewnętrznej, i stanie przy odrzwiach tej bramy. Następnie kapłani złożą jego całopalenie i ofiary pojednawcze, a on odda pokłon na progu bramy. Potem wyjdzie, lecz brama nie będzie zamknięta aż do wieczora.
3 Watu wa nchi pia wataabudu mbele ya Yahwe kwenye hili lango la kuingilia katika siku ya Sabato na siku mpya za mwezi.
Podobnie lud tej ziemi będzie oddawał pokłon przed PANEM u wejścia tej bramy w dni szabatu i w [czasie] nowiu.
4 Sadaka ya kuteketezwa ambayo mwana wa mfalme aitoayo kwa Yahwe katika siku ya Sabato itakuwa wanakondoo sita wasiokuwa na dosari na kondoo dume asiyekuwa na dosari.
A całopalenie, które książę będzie ofiarowywał PANU w dniu szabatu, [będzie się składało z] sześciu baranków bez skazy i jednego barana bez skazy.
5 Sadaka ya unga pamoja na kondoo dume itakuwa efa moja, na sadaka ya unga pamoja na wanakondoo kiasi awezacho kutoa, na hini moja ya mafuta pamoja na kila efa ya unga.
Ofiara z pokarmów z efy na barana, a na baranki ofiara z pokarmów będzie według woli jego ręki oraz hin oliwy na efę.
6 Katika siku ya mwezi mpya atatoa ng'ombe mchanga asiyekuwa na dosari kutoka kuchungwa, wanakondoo sita, na kondoo asyekuwa na dosari.
A na dzień nowiu ma to być młody cielec bez skazy oraz sześć baranków i baran bez skazy.
7 Atatengeneza sadaka ya unga ya efa moja kwa ajili ya ng'ombe na efa moja kwa ajili ya kondoo, na kwa kiasi awezacho kukitoa kwa ajili ya wanakondoo, na hini ya mafuta kwa kila efa ya unga.
Na ofiarę z pokarmów ma ofiarować efę na cielca, efę na barana i na baranka według woli swojej ręki oraz hin oliwy na efę.
8 Wakati mwana wa mfalme atakapokuwa anaingia kwa njia ya lango lenye varanda, ataondoka kwa njia hiyo hiyo.
A gdy książę będzie wchodził, wejdzie przez przedsionek tej bramy i wyjdzie tą samą drogą.
9 Lakini wakati watu wa nchi watakakuja kwa Yahwe katika sikukuu zilizoteuliwa, kila mmoja kuingia kupitia kwenye lango la kaskazini kuabudu ataondoka kupitia lango la kusini; na kila atakayeingillia kupitia lango la kusini atatoka kupitia lango la kaskazini. Hakuna atakayerudia kwa lile lango aliloingilia, kwa kuwa atatoka nje moja kwa moja.
Ale gdy lud tej ziemi wejdzie przed oblicze PANA na święta uroczyste, to ten, który wejdzie przez bramę północną, aby oddać pokłon, wyjdzie przez bramę południową; a kto wejdzie przez bramę południową, wyjdzie przez bramę północną. Nie wróci przez bramę, którą wszedł, ale wyjdzie przeciwległą.
10 Mwana wa mfalme atakuwa kati yao; watakapoingia, ataingia ndani, na watakapoondoka, atatoka nao.
A gdy oni będą wchodzić, książę wśród nich wejdzie; a gdy będą wychodzić, wyjdzie.
11 Kwenye sikukuu hizo, sadaka ya unga itakuwa efa moja ya unga kwa ng'ombe mmoja na efa moja kwa kondoo dume, na chochote atakacho kitoa pamoja na wanakondoo, na hini moja ya mafuta kwa kila efa.
Także na święta i na uroczyste święta ofiarą z pokarmów będzie efa na cielca, efa na barana, a na baranki według woli jego ręki oraz hin oliwy na efę.
12 Wakati mwana wa mfalme atakapotoa sadaka atakayojisikia kutoa, labda sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani kwa Yahwe, lango la kuelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka ya amani kama afanyavyo siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, na baada ya kutoka lango litafungwa.
A gdy książę będzie składał PANU dobrowolną ofiarę całopalną lub dobrowolną ofiarę pojednawczą, to niech mu otworzą wschodnią bramę, a złoży swoje całopalenie i ofiary pojednawcze, jak to czyni w dniu szabatu. Potem wyjdzie, a po jego wyjściu niech zamkną bramę.
13 Kwa kuongeza, utatoa mwanakondoo asiyekuwa na dosari mwenye umri wa mwaka mmoja kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe kila siku; utafanya hivi kila asubuhi.
Ponadto codziennie złożysz PANU baranka rocznego bez skazy na całopalenie. Każdego rana złożysz go.
14 Utatoa sadaka ya unga pamoja nayo kila asubuhi, efa sita na sehemu ya tatu ya hini ya mafuta kuchanganya na sadaka ya unga kwa ajili ya Yahwe, kulingana na sheria ilivyo.
Także ofiarę z pokarmów będziesz ofiarowywał przy nim każdego ranka: szóstą [część] efy, trzecią część hinu oliwy, aby pokropić najlepszą mąkę, [jako] nieustanną ofiarę z pokarmów dla PANA wiecznym postanowieniem.
15 Watandaa mwanakondoo, sadaka ya kuteketezwa, na mafuta kila asubuhi, sadaka ya kuteketezwa ya kudumu.
Tak więc mają składać baranka, ofiarę z pokarmów i oliwę każdego rana [jako] całopalenie nieustanne.
16 Bwana Yahwe asema hivi: Kama mwana wa mfalme akitoa zawadi kwa mmoja wa watoto wake, imekuwa urithi wake. Itakuwa mali ya mtoto wake, imekuwa urithi.
Tak mówi Pan BÓG: Jeśli książę da [jakiś] dar któremuś ze swych synów, będzie to dziedzictwem jego synów. Będzie to ich własność dziedziczna.
17 Lakini kama akimpatia zawadi kutoka urithi wake kwa mmoja wa watumishi wake, kisha itakuwa ya huyo mtumishi mpaka mwaka wa uhuru, na kisha itarudi kwa mwana wa mfalme. Urithi wake yamkini ukawa kwa ajili ya watoto wake.
Ale jeśli przekaże dar ze swego dziedzictwa któremuś ze swoich sług, wtedy będzie to jego aż do roku wyzwolenia, a potem wróci do tego księcia. Ale do synów będzie należeć jego dziedzictwo.
18 Mwana wa mfalme hatawaondolea urithi wa watu kutoka kwenye mali zao wenyewe; ataandaa kwa ajili ya watoto wake mali ili kwamba watu wangu wasitawanyike, kila mtu kutoka mali kwenye yake mwenyewe.”
Książę nie będzie brał z dziedzictwa ludu, pozbawiając go [siłą] jego posiadłości. Lecz ze swojej posiadłości da dziedzictwo swoim synom, aby nikt z mojego ludu nie był wyrzucony ze swojej posiadłości.
19 Kisha yule mtu akaniletea kwenye lango la kutokea hata kwenye vyumba vitakatifu kwa ajili ya makuhani, vilivyokuwa vimeelekea kaskazini na tazama! Kulikuwa na sehemu mbele magharibi.
Następnie wprowadził mnie przez wejście, które było z boku bramy, do komórek świętych dla kapłanów, które były zwrócone na północ, a oto [było] tam miejsce po obu stronach na zachód.
20 Akanambia, “Hii ndio sehemu ambayo makuhani watakapo chemshia sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na walipookea sadaka ya unga. Wasilete sadaka nje ya uzio, kwa kuwa watu watatakaswa.”
I powiedział do mnie: To jest miejsce, gdzie kapłani będą gotować ofiarę za przewinienie i ofiarę za grzech, gdzie będą piec ofiarę z pokarmów, aby nie musieli wynosić ich na dziedziniec zewnętrzny na uświęcanie ludu.
21 Kisha akanileta kwenye uzio wa nje akaniongoza kuzunguka pembe nne za uzio, nikaona kwamba katika kila pembe ya uzio kulikuwa na uwanja.
Potem wyprowadził mnie na dziedziniec zewnętrzny i oprowadził mnie po czterech rogach dziedzińca, a oto [był] dziedziniec w każdym rogu dziedzińca.
22 Katika hizo pembe nne za nje ya uzio kulikuwa na nzio nne ndogo, dhiraa arobaini urefu na thelathini upana. Ukubwa ule ule kwa nzio zote nne.
W czterech kątach dziedzińca [były] dziedzińce długie na czterdzieści [łokci] i szerokie na trzydzieści [łokci]. Te cztery narożne [dziedzińce] miały ten sam wymiar.
23 Kulikuwa na safu zilizokuwa zimetengenezwa kwa mawe kuzizunguka zote nne, na meko ya kupikia ilikuwa chini ya safu ya jiwe.
A dokoła nich czterech [były] rzędy pomieszczeń, a pod tymi rzędami uczyniono wokoło paleniska.
24 Yule mtu akanambia, “Hizi ndizo sehemu ambazo watumishi watachemshia dhabihu za watu.”
I powiedział mi: To [są] miejsca dla tych, którzy gotują, gdzie słudzy domu będą gotować ofiary ludu.