< Ezekieli 45 >

1 Wakati mtakapogawanya nchi kama urithi, mtafanya sadakwa kwa Yahwe; sadaka hiyo itakuwa sehemu takatifu ya nchi, dhiraa elfu ishirini na tano urefu, na dhiraa elfu kumi upana. Patakuwa patakatifu, ndani ya mipaka yake yote.
“‘“Además, cuando repartas por sorteo la tierra en herencia, ofrecerás una ofrenda a Yahvé, una porción sagrada de la tierra. La longitud será de veinticinco mil cañas, y la anchura de diez mil. Será sagrada en todo su contorno.
2 Kutoka hapa kutakuwa na dhiraa mia tano kwa dhiraa mia tano za mraba kuzunguka mahali patakatifu, kwa kuuzunguka mpaka dhiraa hamsini upana.
De esto habrá un cuadrado de quinientos por quinientos para el lugar santo, y cincuenta codos para sus tierras de pastoreo alrededor.
3 Kutoka hili eneo utapima fungu ambalo ni dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana; patakuwa patakatifu; mahali patakatifu palipo tukuka.
De esta medida medirás una longitud de veinticinco mil y una anchura de diez mil. En él estará el santuario, que es santísimo.
4 Patakuwa patakatifu katika nchi kwa ajili ya makuhani wanaomtumikia Yahwe, ajaye kwa Yahwe kumtumikia. Patakuwa mahali kwa ajili ya nyumba na eneo takatifu kwa ajili mahali patakatifu.
Es una porción sagrada de la tierra; será para los sacerdotes, los ministros del santuario, que se acercan a ministrar a Yahvé. Será un lugar para sus casas y un lugar santo para el santuario.
5 Hivyo itakuwa dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana, patakuwa kwa ajili ya miji ya Walawi wanaotumika kwenye nyumba.
Veinticinco mil codos de largo y diez mil de ancho serán para los levitas, los ministros de la casa, como posesión para ellos, para veinte habitaciones.
6 Mtadhihirisha eneo moja kwa ajili ya mji, dhiraa elfu tano na urefu ishirini na tano, hapo patakuwa kando kando ya eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu; huu mji utakuwa wa mali ya nyumba yote ya Israeli.
“‘“Designarás la posesión de la ciudad de cinco mil codos de ancho y veinticinco mil de largo, al lado de la ofrenda de la porción santa. Será para toda la casa de Israel.
7 Nchi ya mwana mfalme itakuwa kwa pande zote za eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu na mji. Patakuwa kwa upande wao wa magaharibi na upande wa mashariki. Urefu utalingana na urefu wa moja ya hayo mafungu, kutoka magaribi hata mashariki.
“‘“Lo que es para el príncipe estará a un lado y al otro de la asignación sagrada y de la posesión de la ciudad, frente a la asignación sagrada y frente a la posesión de la ciudad, en el lado occidental hacia el oeste y en el lado oriental hacia el este, y en la longitud correspondiente a una de las porciones, desde el límite occidental hasta el límite oriental.
8 Hii nchi itakuwa mali ya mwana mfalme katika Isaraeli. Wana wafalme hawatawakandamiza watu wangu; badala yake, watawapatia nchi kwa nyumba ya Israeli, kwa ajili ya makabila yao.
En la tierra será para él una posesión en Israel. Mis príncipes no oprimirán más a mi pueblo, sino que darán la tierra a la casa de Israel según sus tribus.”
9 Bwana Yahwe asema hivi: Inatosha kwa ajili yenu, mwana mfalme wa Israeli! Ondoa dhuluma na mgogoro; fanya hukumu na haki! Usiwafukuze wapangaji wa watu wangu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
“‘El Señor Yahvé dice: “¡Basta ya, príncipes de Israel! ¡Quiten la violencia y el saqueo, y hagan justicia y rectitud! Dejen de despojar a mi pueblo!” Dice el Señor Yahvé.
10 Mtakuwa na mzani sahihi, efa sahihi, na bathi sahihi!
“Tendrán balanzas justas, un efa justo, y un baño justo.
11 Efa na bathi zitakuwa kiasi kile kile, ili kwamba bathi iwe zaka ya homeri; efa itakuwa zaka ya hamori moja. Vipimo vyao vitakuwa vinafanana na homeri.
El efa y el baño serán de una misma medida, para que el baño contenga la décima parte de un homer, y el efa la décima parte de un homer. Su medida será la misma que la del homer.
12 Shekeli zitakuwa gera ishirini, shekeli sita zitakuwa mane yenu.
El siclo será de veinte gerahs. Veinte siclos más veinticinco siclos más quince siclos serán tu mina.
13 Hili ndilo toleo mtakalotoa: efa sita kwa kila homeri ya ngano, na mtatoa efa sita kwa kila homeri ya shayiri.
“‘“Esta es la ofrenda que ofrecerás la sexta parte de un efa de un homer de trigo, y darás la sexta parte de un efa de un homer de cebada,
14 Sadaka ya kawaida ya mafuta itakuwa zaka ya bathi kwa kila kori (ambazo ni bathi), au kwa kila hamori, kwa kuwa hamori moja ni bathi kumi pia.
y la porción fija de aceite, del baño de aceite, la décima parte de un baño del cor, que son diez baños, un homer (pues diez baños son un homer),
15 Kondoo mmoja au mbuzi kutoka mifugo kwa kila wanyama mia mbili kutoka malisho ya maji ya mikoa ya Israeli yatatumika kwa sadaka ya kuteketezwa yoyote au sadaka ya amani kufanya upatanisho kwa ajili ya watu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
y un cordero de los rebaños de entre doscientos, de los pastos bien regados de Israel, como ofrenda, como holocausto y como ofrenda de paz, para hacer expiación por ellos”, dice el Señor Yahvé.
16 Watu wote wa nchi watatoa hii sadaka kwa mwana mfalme wa Israeli.
“Todo el pueblo de la tierra dará a esta ofrenda para el príncipe en Israel.
17 Utakuwa wajibu wa mwana mfalme kutoa wanyama kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, sadaka ya unga, sadaka ya kinywaji, katika siku za sikukuu na sherehe za mwezi mpya, na katika siku za Sabato-sikukuu zote za kudumu za nyumba ya Israeli. Ataandaa kwa ajili ya sadaka za dhambi, sadaka za unga, sadaka za kuteketezwa, na sadaka za amani kwa ajili ya upatanisho badala ya nyumba ya Israeli.
Al príncipe le corresponderá dar los holocaustos, las ofrendas y las libaciones en las fiestas, en las lunas nuevas y en los sábados, en todas las fiestas señaladas de la casa de Israel. Preparará la ofrenda por el pecado, el presente, el holocausto y las ofrendas de paz, para hacer la expiación por la casa de Israel.”
18 Bwana Yahwe asema hivi: Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, utachukua ng'ombe mmoja asiyekuwa na dosari kutoka kwenye kundi na kufanya sadaka ya dhambi kwa ajili ya patakatifu.
“‘El Señor Yahvé dice: “En el primer mes, el primer día del mes, tomarás un novillo sin defecto, y limpiarás el santuario.
19 Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi na kuiweka juu ya miimo ya mlango na kwenye pembe nne za mpaka wa madhabahu, na miimo ya lango la uzio wa ndani.
El sacerdote tomará de la sangre de la ofrenda por el pecado y la pondrá en los postes de la puerta de la casa, en las cuatro esquinas de la cornisa del altar y en los postes de la puerta del atrio interior.
20 Utafanya hivyo siku ya saba ya mwezi kwa dhambi ya kila mtu kwa ajali au ujinga; katika njia hii mtaipatanisha hekalu.
Así harás el séptimo día del mes por todo el que se equivoque y por el que sea simple. Así harás la expiación por la casa.
21 Katika siku ya mwezi siku ya kumi na nne ya mwezi, mtakuwa na sikukuu, sikukuu ya siku saba. Matakula makate usiotiwa chachu.
“‘“En el primer mes, el día catorce del mes, tendrás la Pascua, una fiesta de siete días; se comerán panes sin levadura.
22 Siku hiyo, mwana mfalme ataandaa ng'ombe kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wote wa nchi kama sadaka ya dhambi.
Ese día el príncipe preparará para sí mismo y para todo el pueblo de la tierra un toro para el sacrificio por el pecado.
23 Kwa siku saba za sikukuu, mwana wa mfalme ataandaa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Yahwe: ng'ombe saba na kondoo dume saba zisizokuwa na dosari kila siku kwa mda wa siku saba, na mbuzi dume kila siku kama sadaka ya dhambi.
Los siete días de la fiesta preparará un holocausto para Yahvé, siete toros y siete carneros sin defecto cada día de los siete días; y un macho cabrío cada día como ofrenda por el pecado.
24 Kisha mwana mfalme atatengeneza sadaka ya chakula ya efa moja kwa kila ng'ombe na efa moja kwa kila kondoo dume pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Preparará una ofrenda, un efa por un toro, un efa por un carnero, y un hin de aceite por un efa.
25 Katika siku ya saba ya mwezi siku ya kumi na tano ya mwezi, katika sikukuu, mwana wa mfalme atafanya matoleo katika siku hizi saba: sadaka za dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za chakula, na sadaka za mafuta.
“‘“En el mes séptimo, a los quince días del mes, durante la fiesta, hará lo mismo durante siete días. Hará la misma provisión para la ofrenda por el pecado, el holocausto, la ofrenda de comida y el aceite”.

< Ezekieli 45 >