< Ezekieli 45 >
1 Wakati mtakapogawanya nchi kama urithi, mtafanya sadakwa kwa Yahwe; sadaka hiyo itakuwa sehemu takatifu ya nchi, dhiraa elfu ishirini na tano urefu, na dhiraa elfu kumi upana. Patakuwa patakatifu, ndani ya mipaka yake yote.
and in/on/with to fall: allot you [obj] [the] land: country/planet in/on/with inheritance to exalt contribution to/for LORD holiness from [the] land: country/planet length five and twenty thousand length and width ten thousand holiness he/she/it in/on/with all border: boundary her around: whole
2 Kutoka hapa kutakuwa na dhiraa mia tano kwa dhiraa mia tano za mraba kuzunguka mahali patakatifu, kwa kuuzunguka mpaka dhiraa hamsini upana.
to be from this to(wards) [the] holiness five hundred in/on/with five hundred to square around and fifty cubit pasture to/for him around
3 Kutoka hili eneo utapima fungu ambalo ni dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana; patakuwa patakatifu; mahali patakatifu palipo tukuka.
and from [the] measure [the] this to measure length (five *Q(K)*) and twenty thousand and width ten thousand and in/on/with him to be [the] sanctuary Most Holy Place Most Holy Place
4 Patakuwa patakatifu katika nchi kwa ajili ya makuhani wanaomtumikia Yahwe, ajaye kwa Yahwe kumtumikia. Patakuwa mahali kwa ajili ya nyumba na eneo takatifu kwa ajili mahali patakatifu.
holiness from [the] land: country/planet he/she/it to/for priest to minister [the] sanctuary to be [the] approaching to/for to minister [obj] LORD and to be to/for them place to/for house: home and sanctuary to/for sanctuary
5 Hivyo itakuwa dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana, patakuwa kwa ajili ya miji ya Walawi wanaotumika kwenye nyumba.
and five and twenty thousand length and ten thousand width (and to be *Q(K)*) to/for Levi to minister [the] house: home to/for them to/for possession twenty chamber
6 Mtadhihirisha eneo moja kwa ajili ya mji, dhiraa elfu tano na urefu ishirini na tano, hapo patakuwa kando kando ya eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu; huu mji utakuwa wa mali ya nyumba yote ya Israeli.
and possession [the] city to give: put five thousand width and length five and twenty thousand to/for close contribution [the] holiness to/for all house: household Israel to be
7 Nchi ya mwana mfalme itakuwa kwa pande zote za eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu na mji. Patakuwa kwa upande wao wa magaharibi na upande wa mashariki. Urefu utalingana na urefu wa moja ya hayo mafungu, kutoka magaribi hata mashariki.
and to/for leader from this and from this to/for contribution [the] holiness and to/for possession [the] city to(wards) face: before contribution [the] holiness and to(wards) face: before possession [the] city from side sea: west sea: west [to] and from side east [to] east [to] and length to/for close one [the] portion from border: boundary sea: west to(wards) border: boundary east [to]
8 Hii nchi itakuwa mali ya mwana mfalme katika Isaraeli. Wana wafalme hawatawakandamiza watu wangu; badala yake, watawapatia nchi kwa nyumba ya Israeli, kwa ajili ya makabila yao.
to/for land: country/planet to be to/for him to/for possession in/on/with Israel and not to oppress still leader my [obj] people my and [the] land: country/planet to give: give to/for house: household Israel to/for tribe their
9 Bwana Yahwe asema hivi: Inatosha kwa ajili yenu, mwana mfalme wa Israeli! Ondoa dhuluma na mgogoro; fanya hukumu na haki! Usiwafukuze wapangaji wa watu wangu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
thus to say Lord YHWH/God many to/for you leader Israel violence and violence to turn aside: remove and justice and righteousness to make: do to exalt eviction your from upon people my utterance Lord YHWH/God
10 Mtakuwa na mzani sahihi, efa sahihi, na bathi sahihi!
balance righteousness and ephah righteousness and bath righteousness to be to/for you
11 Efa na bathi zitakuwa kiasi kile kile, ili kwamba bathi iwe zaka ya homeri; efa itakuwa zaka ya hamori moja. Vipimo vyao vitakuwa vinafanana na homeri.
[the] ephah and [the] bath quantity one to be to/for to lift: bear tithe [the] homer [the] bath and tenth [the] homer [the] ephah to(wards) [the] homer to be tally his
12 Shekeli zitakuwa gera ishirini, shekeli sita zitakuwa mane yenu.
and [the] shekel twenty gerah twenty shekel five and twenty shekel ten and five shekel [the] mina to be to/for you
13 Hili ndilo toleo mtakalotoa: efa sita kwa kila homeri ya ngano, na mtatoa efa sita kwa kila homeri ya shayiri.
this [the] contribution which to exalt sixth [the] ephah from homer [the] wheat and to give a sixth [the] ephah from homer [the] barley
14 Sadaka ya kawaida ya mafuta itakuwa zaka ya bathi kwa kila kori (ambazo ni bathi), au kwa kila hamori, kwa kuwa hamori moja ni bathi kumi pia.
and statute: portion [the] oil [the] bath [the] oil tithe [the] bath from [the] kor ten [the] bath homer for ten [the] bath homer
15 Kondoo mmoja au mbuzi kutoka mifugo kwa kila wanyama mia mbili kutoka malisho ya maji ya mikoa ya Israeli yatatumika kwa sadaka ya kuteketezwa yoyote au sadaka ya amani kufanya upatanisho kwa ajili ya watu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
and sheep one from [the] flock from [the] hundred from irrigation Israel to/for offering and to/for burnt offering and to/for peace offering to/for to atone upon them utterance Lord YHWH/God
16 Watu wote wa nchi watatoa hii sadaka kwa mwana mfalme wa Israeli.
all [the] people [the] land: country/planet to be to(wards) [the] contribution [the] this to/for leader in/on/with Israel
17 Utakuwa wajibu wa mwana mfalme kutoa wanyama kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, sadaka ya unga, sadaka ya kinywaji, katika siku za sikukuu na sherehe za mwezi mpya, na katika siku za Sabato-sikukuu zote za kudumu za nyumba ya Israeli. Ataandaa kwa ajili ya sadaka za dhambi, sadaka za unga, sadaka za kuteketezwa, na sadaka za amani kwa ajili ya upatanisho badala ya nyumba ya Israeli.
and upon [the] leader to be [the] burnt offering and [the] offering and [the] drink offering in/on/with feast and in/on/with month: new moon and in/on/with Sabbath in/on/with all meeting: festival house: household Israel he/she/it to make: offer [obj] [the] sin: sin offering and [obj] [the] offering and [obj] [the] burnt offering and [obj] [the] peace offering to/for to atone about/through/for house: household Israel
18 Bwana Yahwe asema hivi: Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, utachukua ng'ombe mmoja asiyekuwa na dosari kutoka kwenye kundi na kufanya sadaka ya dhambi kwa ajili ya patakatifu.
thus to say Lord YHWH/God in/on/with first in/on/with one to/for month to take: take bullock son: young animal cattle unblemished and to sin [obj] [the] sanctuary
19 Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi na kuiweka juu ya miimo ya mlango na kwenye pembe nne za mpaka wa madhabahu, na miimo ya lango la uzio wa ndani.
and to take: take [the] priest from blood [the] sin: sin offering and to give: put to(wards) doorpost [the] house: home and to(wards) four corner [the] enclosure to/for altar and upon doorpost gate [the] court [the] inner
20 Utafanya hivyo siku ya saba ya mwezi kwa dhambi ya kila mtu kwa ajali au ujinga; katika njia hii mtaipatanisha hekalu.
and so to make: do in/on/with seven in/on/with month from man: anyone to wander and from simple and to atone [obj] [the] house: home
21 Katika siku ya mwezi siku ya kumi na nne ya mwezi, mtakuwa na sikukuu, sikukuu ya siku saba. Matakula makate usiotiwa chachu.
in/on/with first in/on/with four ten day to/for month to be to/for you [the] Passover feast week day unleavened bread to eat
22 Siku hiyo, mwana mfalme ataandaa ng'ombe kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wote wa nchi kama sadaka ya dhambi.
and to make: offer [the] leader in/on/with day [the] he/she/it about/through/for him and about/through/for all people [the] land: country/planet bullock sin: sin offering
23 Kwa siku saba za sikukuu, mwana wa mfalme ataandaa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Yahwe: ng'ombe saba na kondoo dume saba zisizokuwa na dosari kila siku kwa mda wa siku saba, na mbuzi dume kila siku kama sadaka ya dhambi.
and seven day [the] feast to make: offer burnt offering to/for LORD seven bullock and seven ram unblemished to/for day seven [the] day: daily and sin: sin offering he-goat goat to/for day: daily
24 Kisha mwana mfalme atatengeneza sadaka ya chakula ya efa moja kwa kila ng'ombe na efa moja kwa kila kondoo dume pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
and offering ephah to/for bullock and ephah to/for ram to make: offer and oil hin to/for ephah
25 Katika siku ya saba ya mwezi siku ya kumi na tano ya mwezi, katika sikukuu, mwana wa mfalme atafanya matoleo katika siku hizi saba: sadaka za dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za chakula, na sadaka za mafuta.
in/on/with seventh in/on/with five ten day to/for month in/on/with feast to make like/as these seven [the] day like/as sin: sin offering like/as burnt offering and like/as offering and like/as oil