< Ezekieli 43 >
1 Yule mtu kisha akanileta hata kwenye lango lililokuwa linaelekea mashariki.
U meni dǝrwaziƣa, yǝni xǝrⱪⱪǝ ⱪaraydiƣan dǝrwaziƣa apardi;
2 Tazama! Utukufu wa Mungu wa Israeli ukaja kutoka mashariki; sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi, na nchi iling'aa kwa utukufu wake.
Mana, Israilning Hudasining xan-xǝripi xǝrⱪ tǝrǝptin kǝldi; Uning awazi uluƣ sularning xarⱪiriƣan sadasidǝk idi; yǝr yüzi uning xan-xǝripi bilǝn yorutuldi.
3 Yalikuwa yanalingana na sura ya ono nililolona, kulingana na ono nililokuwa nimeliona wakati alipokuja kuuteketeza mji, na maono yalikuwa kama maono ambayo niliyokuwa nimeyaona Keberi Kanali nikaanguka kifudi fudi.
Mǝn kɵrgǝn bu alamǝt kɵrünüx bolsa, u xǝⱨǝrni ⱨalak ⱪilixⱪa kǝlgǝn ⱪetimda kɵrgǝn alamǝt kɵrünüxtǝk boldi; alamǝt kɵrünüxlǝr yǝnǝ mǝn Kewar dǝryasi boyida turup kɵrgǝn alamǝt kɵrünüxtǝk boldi; mǝn düm yiⱪildim.
4 Hivyo utukufu wa Yahwe ukaja kwenye nyumba ya karibu na njia ya lango lililokuwa wazi kwa upande wa magharibi.
Pǝrwǝrdigarning xan-xǝripi xǝrⱪⱪǝ ⱪaraydiƣan dǝrwaza arⱪiliⱪ ibadǝthaniƣa kirdi;
5 Kisha Roho akanichukua na kunileta kwenye ua wa ndanni. Tazama! Utukufu wa Yahwe ulikuwa umeijaza nyumba.
Roⱨ meni kɵtürüp, iqki ⱨoyliƣa apardi; mana, Pǝrwǝrdigarning xan-xǝripi ibadǝthanini toldurdi.
6 Mtu alisimama karibu na mimi, na nikamsikia mtu mwingine akizungumza na mimi kutoka kwenye nyumba.
Ⱨeliⱪi kixi yenimda turƣanda, ibadǝthanining iqidin Birsining sɵzligǝn awazini anglidim;
7 Akanambia, “Mwanadamu, hapa ndipo mahali pangu pa enzi na mahali kwa ajili ya ya miguu yangu, ambapo nitaishi kati ya watu wa Israeli milele. Nyumba ya Israeli haitalikufuru tena jina langu takatifu-wao au wafalme wao katika mahali patakatifu pao.
U manga: — I insan oƣli, bu Mening tǝhtim selinƣan jay, Mǝn ayaƣ basidiƣan, Mǝn Israillar arisida mǝnggügǝ turidiƣan jaydur; Israil jǝmǝtidikilǝr — ularning ɵzliri yaki padixaⱨliri buzuⱪluⱪi bilǝn yaki «yuⱪiri jaylar»da padixaⱨning jǝsǝtliri bilǝn Mening pak-muⱪǝddǝs namimni yǝnǝ ⱨeq bulƣimaydu.
8 Hawatalikufuru tena jina langu takatifu kwa kuweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu, na nguzo yao ya lango karibu na nguzo yangu ya lango, bila kitu lakini ukuta kati yangu na wao. Wamelikufuru jina langu kwa matendo yao machafu, hivyo nimewala kwa hasira yangu.
Ular ɵz bosuƣisini Mening bosuƣimning yeniƣa, ixik kexikini Mening ixik kexikimning yeniƣa salƣan, ular bilǝn Meni pǝⱪǝt bir tamla ayrip turatti, ular Mening pak-muⱪǝddǝs namimni yirginqlikliri bilǝn bulƣiƣan. Xunga Mǝn ƣǝzipim bilǝn ularni yoⱪitiwǝttim.
9 Sasa waache waondoe udanganyifu wao na maiti za wafalme wao kutoka kwangu, na nitaishi katikati yao milele.
Əmdi ⱨazir ular buzuⱪluⱪini, padixaⱨlarning jǝsǝtlirini Mǝndin yiraⱪ ⱪilsun; wǝ Mǝn ular arisida mǝnggügǝ turimǝn.
10 Mwanadamu, wewe mwenyewe utaiambia nyumba ya Israeli kuhusu nyumba hii hivyo watajiskia aibu ya uovu wao. Wanaweza kutafakari kuhusu haya maelezo.
— Əmdi sǝn, i insan oƣli, Israil jǝmǝtining ɵz ⱪǝbiⱨlikliridin hijalǝt boluxi üqün bu ɵyni ularƣa kɵrsitip bǝrgin; ular kallisida ibadǝthanini ɵlqǝp baⱪsun.
11 Kwa kuwa wameaibika kwa yote waliyoyafanya, kisha waonyeshe mchoro wa nyumba, maelezo yake, matokeo yake, maingio yake, na mchoro wake, sheria zake zote na kanuni. Kisha andika hivi chini mbele ya macho yao ili waweze kutunza michoro yote na kanuni zake zote, hivyo kama wazitiivo.
Əgǝrdǝ ular ɵz ⱪilƣanliridin hijil bolsa, ǝmdi sǝn muxu ɵyning xǝklini, uning selinixini, qiⱪix yollirini, kirix yollirini wǝ barliⱪ layiⱨisini wǝ barliⱪ bǝlgilimilirini, — xundaⱪ, barliⱪ xǝklini wǝ barliⱪ ⱪanunlirini ayan ⱪilip bǝrgin; ularning pütkül xǝklini esidǝ tutuxi ⱨǝm uning bǝlgilimilirigǝ ǝmǝl ⱪilixi üqün, uni ularning kɵz aldiƣa yazƣin.
12 Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba: Kutoka kwenye kilele cha mlima hata mpaka wote unaoizunguka, patakuwa patakatifu sana. Tazama! Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba.
Ibadǝthanining ⱪanuni xundaⱪ bolidu: U turƣan taƣning qoⱪⱪisining bekitilgǝn pasilƣiqǝ bolƣan dairisi «ǝng muⱪǝddǝs» bolidu; mana, bu ibadǝthanining ⱪanunidur.
13 Hivi vitakuwa vipimo vya madhabahu katika dhiraa-hiyo dhiraa kuwa dhiraa ya kawaida na urefu wa kiganja. Hivyo mfereji ulio uzunguka madhabahu utakuwa dhiraa moja chini, na upana wake pia utakuwa dhiraa moja. Mpaka wa karibu uizungukayo machinjio shubiri moja. Hii itakuwa kitako cha madhabahu.
Ⱪurbangaⱨning «[qong] gǝz»dǝ ɵlqǝngǝn ɵlqǝmliri xundaⱪ idi: — bu gǝz bolsa bir gǝz ⱪoxulƣan bir aliⱪan bolidu. Ⱪurbangaⱨning ǝtrapidiki ulining egizliki bir gǝz, kǝngliki bir gǝz, ǝtrapidiki girwiki bolsa bir aliⱪan idi. Mana bu ⱪurbangaⱨning uli idi.
14 Usawa wa kutoka kwenye mferji hadi kwenye machinijo ya chini ya madhabahu itakuwa dhiraa mbili, na hiyo machinjio yenyewe itakuwa dhiraa moja upana. Kisha kutoka machinjio madogo hadi kwenye machinjio makubwa ya madhabahu, itakuwa dhiraa nne, na machinjio makubwa yatakuwa dhraa moja upana.
Uning ulidin astinⱪi tǝkqigiqǝ ikki gǝz, kǝngliki bir gǝz idi; bu «kiqik tǝkqǝ»din «qong tǝkqǝ»giqǝ tɵt gǝz, kǝngliki bir gǝz idi;
15 Meko juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa ni dhiraa nne juu, na kuna pembe nne zilizoelekea juu kwenye meku.
ⱪurbangaⱨning ot supisining egizliki tɵt gǝz idi; ot supisida tɵt münggüz qoⱪqiyip qiⱪip turatti.
16 Meku ina dhiraa kumi na moja urefu na dhiraa kumi na mbili upana, za mraba.
Ⱪurbangaⱨning ot supisining uzunluⱪi on ikki gǝz, kǝngliki on ikki gǝz bolup, u tɵt qasiliⱪ idi.
17 Mpaka wake ni dhiraa kumi na nne urefu na dhiraa kumi na nne upana pande zake zote nne, na ukingo wake ni nusu dhiraa upana. Mfereji ni dhiraa moja upana kuzuka kote pamoja na ngazi zielekeazo mashariki.”
Yuⱪiri tǝkqigiqimu tɵt qasiliⱪ idi, uzunluⱪi on tɵt gǝz, kǝngliki on tɵt gǝz; ǝtrapidiki girwiki bolsa yerim gǝz idi; astining kǝngliki bir gǝz idi; uningƣa qiⱪidiƣan pǝlǝmpiyi xǝrⱪⱪǝ ⱪaraytti.
18 Kisha akanambia, “Mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Hizi ndizo sheria kwa ajili ya madhabahu katika siku watakayoitengeza, kwa ajili kutoa sadaka ya kuteketezwa kwenye hiyo, na kwa jili ya kunyunyiza damu juu yake.
U manga xundaⱪ dedi: — I insan oƣli, Rǝb Pǝrwǝrdigar xundaⱪ dǝydu: Bu ⱪurbangaⱨ üstigǝ kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪlarni sunux wǝ üstigǝ ⱪan sepix üqün uni yasiƣan künidǝ, xular uning bǝlgilimiliri bolidu: —
19 Utatoa ng'ombe kutoka kwenye kundi kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya Walawi makuhani ambao ni uzao wa Zadoki, wale wajao karibu nami kunitumikia-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
sǝn Lawiy ⱪǝbilisidin bolƣan, yǝni Mening hizmitimdǝ bolux üqün Manga yeⱪinlixidiƣan Zadok nǝslidikilǝrdin bolƣan kaⱨinlarƣa gunaⱨ ⱪurbanliⱪi süpitidǝ yax bir torpaⱪni berisǝn;
20 Kisha utachukua baadhi ya damu yake na kuiweka juu pembe nne za madhabahu na pande nne za machinjio na kuuzunguka ukingo; utaitakasa na kufanya upatanisho kwa ajili yake.
sǝn uning ⱪenidin azraⱪ elip ⱪurbangaⱨning münggüzlirigǝ, qong tǝkqining tɵt burjikigǝ ⱨǝm ǝtrapidiki girwǝkliri üstigǝ sürisǝn; xuning bilǝn sǝn uni pakizlap wǝ uningƣa kafarǝt ⱪilisǝn.
21 Kisha chukua ng'ombe kama sadaka ya dhambi na iteketezwe katika eneneo lililotengwa la nje ya patakatifu.
Sǝn gunaⱨ ⱪurbanliⱪi bolƣan torpaⱪni elip uning jǝsitini «muⱪǝddǝs jay»ning sirtida bolƣan, ibadǝthanidiki alaⱨidǝ bekitilgǝn jayda kɵydürisǝn;
22 Kisha katika siku ya pili utatoa mbuzi dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini kama sadaka ya dhambi; makuhani wataisafisha madhabahu kama walivyoisafisha kwa ng'ombe.
ikkinqi künidǝ sǝn gunaⱨ ⱪurbanliⱪi süpitidǝ bejirim bir tekini sunisǝn; ular ⱪurbangaⱨni torpaⱪ bilǝn paklandurƣandǝk tekǝ bilǝn uni paklaydu.
23 Utakapomaliza kusafisha, toa ng'ombe asiyekuwa na dosari kutoka kwenye mifugo na kondoo dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini.
Sǝn uni pakliƣandin keyin, sǝn bejirim yax bir torpaⱪ, ⱪoy padisidin bejirim bir ⱪoqⱪarni sunisǝn;
24 Watoe mbele ya Yahwe; makuhani watanyunyiza chumvi juu yao na kuwainua juu kama sadaka ya kutekezwa kwa Yahwe.
sǝn ularni Pǝrwǝrdigarning aldiƣa sunisǝn; kaⱨinlar ularning üstigǝ tuz sepidu wǝ ularni Pǝrwǝrdigarƣa atap kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪ süpitidǝ sunidu.
25 Utaandaa mbuzi dume kama sadaka ya dhambi kila siku kwa mda wa siku saba, na makuhani pia wataandaa ng'ombe asiye na dosari kutoka kwenye kundi na kondoo dume kutoka kwenye kundi.
Yǝttǝ kün sǝn ⱨǝr küni gunaⱨ ⱪurbanliⱪi süpitidǝ bir tekini sunisǝn; ular bejirim yax bir torpaⱪni, ⱪoy padisidin bejirim bir ⱪoqⱪarnimu sunidu.
26 Wataipatanisha madhabahu kwa siku saba na kuitakasa, wataitakasa kwa njia hii.
Ular yǝttǝ kün ⱪurbangaⱨ üqün kafarǝt ⱪilip uni paklaydu; xuning bilǝn ular uni pak-muⱪǝddǝs dǝp ayriydu.
27 Watamaliza hizi siku saba, na katika siku ya nane na kuendelea itakuwa kwamba makuhani wataandaa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani kwenye madhabahu, ndipo nitakapowakubali-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Bu künlǝr tügigǝndǝ, sǝkkizinqi küni wǝ xu kündin keyin, kaⱨinlar silǝrning kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪliringlarni wǝ inaⱪliⱪ ⱪurbanliⱪliringlarni ⱪurbangaⱨ üstigǝ sunidu; xuning bilǝn Mǝn silǝrni ⱪobul ⱪilimǝn, — dǝydu Rǝb Pǝrwǝrdigar.