< Ezekieli 43 >

1 Yule mtu kisha akanileta hata kwenye lango lililokuwa linaelekea mashariki.
Zatem me je privedel k velikim vratom, celó velikim vratom, ki gledajo proti vzhodu.
2 Tazama! Utukufu wa Mungu wa Israeli ukaja kutoka mashariki; sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi, na nchi iling'aa kwa utukufu wake.
In glej, slava Izraelovega Boga je prišla po poti od vzhoda, in njegov glas je bil podoben hrupu mnogih vodá, in zemlja je zasijala z njegovo slavo.
3 Yalikuwa yanalingana na sura ya ono nililolona, kulingana na ono nililokuwa nimeliona wakati alipokuja kuuteketeza mji, na maono yalikuwa kama maono ambayo niliyokuwa nimeyaona Keberi Kanali nikaanguka kifudi fudi.
In to je bilo glede na videz videnja, ki sem ga videl, celó glede na videnje, ki sem ga videl, ko sem prišel, da uničim mesto; in videnja so bila podobna videnju, ki sem ga videl pri reki Kebár; in padel sem na svoj obraz.
4 Hivyo utukufu wa Yahwe ukaja kwenye nyumba ya karibu na njia ya lango lililokuwa wazi kwa upande wa magharibi.
Gospodova slava je prišla v hišo po poti velikih vrat, katerih pročelje je proti vzhodu.
5 Kisha Roho akanichukua na kunileta kwenye ua wa ndanni. Tazama! Utukufu wa Yahwe ulikuwa umeijaza nyumba.
Tako me je duh vzel gor in me privedel na notranji dvor; in, glej, Gospodova slava je napolnila hišo.
6 Mtu alisimama karibu na mimi, na nikamsikia mtu mwingine akizungumza na mimi kutoka kwenye nyumba.
Slišal sem ga, kako mi govori iz hiše; in poleg mene je stal mož.
7 Akanambia, “Mwanadamu, hapa ndipo mahali pangu pa enzi na mahali kwa ajili ya ya miguu yangu, ambapo nitaishi kati ya watu wa Israeli milele. Nyumba ya Israeli haitalikufuru tena jina langu takatifu-wao au wafalme wao katika mahali patakatifu pao.
Rekel mi je: »Človeški sin, prostor mojega prestola in kraj za podplate mojih stopal, kjer bom na veke prebival v sredi Izraelovih otrok in mojega svetega imena Izraelova hiša ne bo več omadeževala, niti oni, niti njihovi kralji s svojim vlačugarstvom, niti s trupli svojih kraljev na svojih visokih krajih.
8 Hawatalikufuru tena jina langu takatifu kwa kuweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu, na nguzo yao ya lango karibu na nguzo yangu ya lango, bila kitu lakini ukuta kati yangu na wao. Wamelikufuru jina langu kwa matendo yao machafu, hivyo nimewala kwa hasira yangu.
V njihovi postavitvi njihovega praga ob mojih pragovih in njihovega podboja ob mojih podbojih in zidom med menoj in njimi, so celo omadeževali moje sveto ime s svojimi ogabnostmi, ki so jih zagrešili. Zatorej sem jih použil v svoji jezi.
9 Sasa waache waondoe udanganyifu wao na maiti za wafalme wao kutoka kwangu, na nitaishi katikati yao milele.
Torej naj odstranijo svoje vlačugarstvo in trupla svojih kraljev daleč od mene in jaz bom prebival v njihovi sredi na veke.
10 Mwanadamu, wewe mwenyewe utaiambia nyumba ya Israeli kuhusu nyumba hii hivyo watajiskia aibu ya uovu wao. Wanaweza kutafakari kuhusu haya maelezo.
Ti, človeški sin, pokaži Izraelovi hiši, da jih bo lahko sram njihovih krivičnosti in naj izmerijo vzorec.
11 Kwa kuwa wameaibika kwa yote waliyoyafanya, kisha waonyeshe mchoro wa nyumba, maelezo yake, matokeo yake, maingio yake, na mchoro wake, sheria zake zote na kanuni. Kisha andika hivi chini mbele ya macho yao ili waweze kutunza michoro yote na kanuni zake zote, hivyo kama wazitiivo.
Če se bodo sramovali vsega, kar so storili, jim pokaži obliko hiše, njen slog, njene izhode, njene vhode, vse njene oblike, vse njene odredbe, vse njene oblike in vse njene postave, in zapiši jih v njihovem pogledu, da se bodo lahko držali njene celotne oblike in vseh njenih odredb in jih izpolnjevali.«
12 Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba: Kutoka kwenye kilele cha mlima hata mpaka wote unaoizunguka, patakuwa patakatifu sana. Tazama! Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba.
To je postava hiše: ›Na vrhu gore bo njena celotna meja naokrog najsvetejšega.‹ Glej, to je postava hiše.«
13 Hivi vitakuwa vipimo vya madhabahu katika dhiraa-hiyo dhiraa kuwa dhiraa ya kawaida na urefu wa kiganja. Hivyo mfereji ulio uzunguka madhabahu utakuwa dhiraa moja chini, na upana wake pia utakuwa dhiraa moja. Mpaka wa karibu uizungukayo machinjio shubiri moja. Hii itakuwa kitako cha madhabahu.
In to so mere oltarja po komolcih: ›Komolec je komolec in širina roke; celo dno bo komolec in širina komolca in njena meja ob njenem robu naokrog bo pedenj in to bo višji kraj oltarja.
14 Usawa wa kutoka kwenye mferji hadi kwenye machinijo ya chini ya madhabahu itakuwa dhiraa mbili, na hiyo machinjio yenyewe itakuwa dhiraa moja upana. Kisha kutoka machinjio madogo hadi kwenye machinjio makubwa ya madhabahu, itakuwa dhiraa nne, na machinjio makubwa yatakuwa dhraa moja upana.
Od dna na tleh, celó do spodnjega podzidka, bo dva komolca in širina en komolec; in od manjšega podzidka celó do večjega podzidka, bo štiri komolce in širina en komolec.
15 Meko juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa ni dhiraa nne juu, na kuna pembe nne zilizoelekea juu kwenye meku.
Tako bo oltar štiri komolce; in od oltarja in navzgor bodo štirje rogovi.
16 Meku ina dhiraa kumi na moja urefu na dhiraa kumi na mbili upana, za mraba.
Oltar bo dvanajst komolcev dolg, dvanajst širok, kvadraten v svojih štirih oglih.
17 Mpaka wake ni dhiraa kumi na nne urefu na dhiraa kumi na nne upana pande zake zote nne, na ukingo wake ni nusu dhiraa upana. Mfereji ni dhiraa moja upana kuzuka kote pamoja na ngazi zielekeazo mashariki.”
Podzidek bo štirinajst komolcev dolg in štirinajst širok v svojih štirih oglih; in rob okoli njega bo pol komolca; in njegovo dno bo komolec naokrog; in njegove stopnice bodo gledale proti vzhodu.
18 Kisha akanambia, “Mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Hizi ndizo sheria kwa ajili ya madhabahu katika siku watakayoitengeza, kwa ajili kutoa sadaka ya kuteketezwa kwenye hiyo, na kwa jili ya kunyunyiza damu juu yake.
Rekel mi je: »Človeški sin, tako govori Gospod Bog: ›To so odredbe oltarja na dan, ko ga bodo naredili, da bodo na njem darovali žgalne daritve in da bodo na njem škropili kri.
19 Utatoa ng'ombe kutoka kwenye kundi kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya Walawi makuhani ambao ni uzao wa Zadoki, wale wajao karibu nami kunitumikia-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Duhovnikom Lévijevcem, ki bodo od Cadókovega semena, ki pristopajo k meni, da bi mi služili, ‹ govori Gospod Bog, ›boš dal mladega bikca za daritev za greh.
20 Kisha utachukua baadhi ya damu yake na kuiweka juu pembe nne za madhabahu na pande nne za machinjio na kuuzunguka ukingo; utaitakasa na kufanya upatanisho kwa ajili yake.
Vzel boš od njegove krvi in jo nanesel na štiri njegove rogove in na štiri vogle podzidka in na rob naokoli. Tako ga boš očistil in prečistil.
21 Kisha chukua ng'ombe kama sadaka ya dhambi na iteketezwe katika eneneo lililotengwa la nje ya patakatifu.
Vzel boš tudi bikca daritve za greh in zažgal ga bo na določenem prostoru hiše, zunaj svetišča.
22 Kisha katika siku ya pili utatoa mbuzi dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini kama sadaka ya dhambi; makuhani wataisafisha madhabahu kama walivyoisafisha kwa ng'ombe.
Na drugi dan boš daroval kozlička od koz, brez pomanjkljivosti, za daritev za greh; in očistili bodo oltar, kakor so ga očistili z bikcem.
23 Utakapomaliza kusafisha, toa ng'ombe asiyekuwa na dosari kutoka kwenye mifugo na kondoo dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini.
Ko narediš konec njegovemu očiščevanju, boš daroval mladega bikca, brez pomanjkljivosti in ovna iz tropa, brez pomanjkljivosti.
24 Watoe mbele ya Yahwe; makuhani watanyunyiza chumvi juu yao na kuwainua juu kama sadaka ya kutekezwa kwa Yahwe.
Daroval ju boš pred Gospodom in duhovniki bodo nanje vrgli sol in darovali jih bodo za žgalno daritev Gospodu.
25 Utaandaa mbuzi dume kama sadaka ya dhambi kila siku kwa mda wa siku saba, na makuhani pia wataandaa ng'ombe asiye na dosari kutoka kwenye kundi na kondoo dume kutoka kwenye kundi.
Sedem dni boš vsak dan pripravljal kozla za daritev za greh. Pripravljali bodo tudi mladega bikca in ovna iz tropa, brez pomanjkljivosti.
26 Wataipatanisha madhabahu kwa siku saba na kuitakasa, wataitakasa kwa njia hii.
Sedem dni bodo očiščevali oltar in ga prečiščevali in se uméščali.
27 Watamaliza hizi siku saba, na katika siku ya nane na kuendelea itakuwa kwamba makuhani wataandaa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani kwenye madhabahu, ndipo nitakapowakubali-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Ko se ti dnevi iztečejo, bo tako, da bodo na osmi dan in tako naprej, duhovniki pripravljali vaše žgalne daritve na oltarju in vaše mirovne daritve; in jaz vas bom sprejel, ‹ govori Gospod Bog.«

< Ezekieli 43 >