< Ezekieli 42 >

1 Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
So let han meg ganga ut i den ytre fyregarden den vegen som gjekk nordetter. Og han let meg koma til den kovebygnaden som låg midt framfor det fråskilde tunet og beint imot bygnaden i nord,
2 Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
til langsida som var på hundrad alner, med inngang i nord, men breiddi var femti alner.
3 Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
Beint imot eit stykke på tjuge alner av den indre fyregarden og midt framfor steingolvet i den ytre fyregarden, var det sval mot sval i tri høgder.
4 Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
Og framanfor kovarne var det ein ti alner breid gang innetter, ein veg på ei aln; og dørerne deira snudde i nord.
5 Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
Og dei øvste kovarne var dei minste, for svalerne tok burt meir rom frå deim enn frå dei nedste og dei millomste i bygnaden.
6 Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
For dei låg i tri høgder, men hadde ikkje stolpar so som dei i fyregarden; difor smalkast det meir for dei øvste kovarne enn for dei nedste og millomste, frå jordi og uppetter.
7 Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
Og ein mur som var utanfor, frammed kovarne, imot den ytre fyregarden, gjekk framanfor kovarne. Han var femti alner lang.
8 Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
For lengdi på dei kovarne som låg imot den ytre fyregarden, var femti alner, men sjå, mot templet: hundrad alner.
9 Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
Og nedunder desse kovarne var inngangen mot aust, når ein gjekk inn i deim frå den ytre fyregarden.
10 Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
Der fyregardsmuren imot aust var på det tjukkaste, framanfor det fråskilde tunet og framanfor bygnaden, var det kovar.
11 zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
Og ein veg gjekk framanfor deim. Dei såg ut som dei kovarne som låg mot nord, like lange og like breide; likeins alle utgangar og tilskipnader elles og dørgap.
12 Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
Og likeins dørerne på dei kovarne som låg mot sud; det var ei dør der som vegen tok til, vegen frammed den muren som høyrde til, vegen austetter når ein gjekk inn i deim.
13 Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
So sagde han med meg: «Kovarne mot nord og kovarne mot sud, som ligg innmed det fråskilde tunet, dei er heilage kovar, der prestarne som er nær Herren skal eta det høgheilage. Der skal dei leggja det høgheilage, både grjonofferet og syndofferet og skuldofferet, for staden er heilag.
14 Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
Når prestarne gjeng inn, so skal dei ikkje ganga ut att or heilagdomen og ut i den ytre fyregarden, men der skal dei leggja av seg klædi som dei hev gjort tenesta i, for dei er heilage. Dei skal taka på seg andre klæde og so ganga dit der folket må vera.»
15 Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
Og då han hadde gjort mælingi frå seg i det indre huset, fylgde han meg ut gjenom den porten som hadde framsida mot aust, og der mælte han rundt ikring.
16 Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
Han mælte austsida med mælestongi: fem hundrad stenger etter mælestongi rundt ikring.
17 akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Han mælte nordsida: fem hundrad stenger etter mælestongi rundt ikring.
18 Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Sudsida mælte han: fem hundrad stenger etter mælestong.
19 Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
Han snudde og gjekk mot vestsida; han mælte fem hundrad stenger etter mælestong.
20 Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.
På dei fire sidorne mælte han det. Det hadde ein mur rundt ikring: fem hundrad stenger lang og fem hundrad breid, til å skilja det heilage frå det som var uhelga.

< Ezekieli 42 >