< Ezekieli 42 >

1 Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
Après cela il me fit sortir vers le parvis de dehors, par le chemin tirant vers le Septentrion; [et] il me fit entrer vers les chambres qui étaient le long de la séparation, et qui étaient le long du bâtiment vers le Septentrion.
2 Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
Vis-à-vis de la longueur de cent coudées il y avait une ouverture vers le Septentrion, et la largeur était de cinquante coudées.
3 Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
Le long de vingt [coudées] qui étaient du parvis intérieur, et le long du perron qui était du parvis de dehors, il y avait des chambres vis-à-vis des autres chambres, à trois étages.
4 Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
Et au devant de ces chambres il y avait un promenoir large de dix coudées en dedans, [vers lequel] il y avait un chemin d'une coudée, [et] leurs ouvertures étaient vers le Septentrion.
5 Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
Or les chambres de dessus étaient rétrécies; car les chambres basses et les moyennes, [desquelles était composé ce] bâtiment, s'avançaient plus que celles-là.
6 Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
Car elles étaient à trois étages, et n'avaient point de colonnes, telles que sont les colonnes des parvis, et pour cela il avait été réservé [quelque chose] des [chambres] basses et des moyennes dès le sol [du premier étage].
7 Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
Et le parquet qui était au dehors vis-à-vis des chambres, et qui avait un chemin tirant vers le parvis de dehors, vis-à-vis des chambres, avait cinquante coudées de long.
8 Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
Car la longueur des chambres qu'avait le parvis de dehors, était de cinquante coudées. Et voici, il y avait cent coudées dans ce qui était vis-à-vis du Temple.
9 Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
Or au-dessous des chambres qui étaient dans ce parvis était l'endroit par lequel il était entré du côté d'Orient, quand il était venu là du parvis extérieur.
10 Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
Il y avait dans la largeur, le parquet du parvis vers les chemins qui se rendaient en Orient, [et] des chambres vis-à-vis de la séparation, et vis-à-vis du bâtiment.
11 zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
Et il y avait des chemins au devant d'elles, à la façon des chambres qui étaient vers le chemin du Septentrion, et elles avaient une même longueur [et] une même largeur, et toutes les mêmes sorties, selon leurs dispositions, et selon leurs ouvertures.
12 Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
Même [les ouvertures des chambres] qui étaient vers le chemin du Midi, étaient comme les ouvertures de ces chambres-là; tellement que l'ouverture était là où commençait le chemin, [et] le chemin se rendait vis-à-vis du parquet tout accommodé, [savoir] le chemin [qui venait du parvis] d'Orient pour aller vers [les chambres].
13 Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
Après cela il me dit: les chambres [du parvis] du Septentrion, [et] les chambres [du parvis] du Midi, qui sont le long des séparations, étant [les chambres] du lieu Saint, sont celles où les Sacrificateurs qui approchent de l'Eternel, mangeront les choses très-saintes. Ils poseront [donc] là les choses très-saintes, [savoir] les gâteaux, les oblations pour le péché, et les oblations pour le délit; car ce lieu est saint.
14 Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
Quand les Sacrificateurs y seront entrés, ils ne sortiront point du lieu Saint pour [venir] au parvis extérieur, qu'ils n'aient posé là leurs habits avec lesquels ils font le service; car ils sont saints; et qu'ils n'aient revêtu d'autres vêtements; alors ils s'approcheront du parvis du peuple.
15 Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
Après qu'il eut achevé les mesures de la maison intérieure, il me fit sortir par le chemin de la porte qui regardait le chemin de l'Orient, puis il mesura [l'enclos qui était] tout à l'entour.
16 Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
Il mesura [donc] le côté d'Orient avec la canne à mesurer, et il y eut tout le long cinq cents cannes, de la canne à mesurer.
17 akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Ensuite il mesura le côté du Septentrion, qui eut tout le long cinq cents cannes, de la canne à mesurer.
18 Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Puis il mesura le côté du Midi qui eut cinq cents cannes, de la canne à mesurer.
19 Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
Après il fit le tour du côté de l'Occident, et le mesura, et il y eut cinq cents cannes, de la canne à mesurer.
20 Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.
Il mesura donc [cet enclos] à [ses] quatre côtés, dans lesquels il y avait une muraille tout à l'entour, et cette muraille avait à l'endroit de la longueur cinq cents [cannes], et à l'endroit de la largeur cinq cents [cannes], et [elle servait à] séparer le lieu saint d'avec le lieu profane.

< Ezekieli 42 >