< Ezekieli 40 >

1 Katika mwaka wa ishirini na tano wa kuhamishwa kwetu mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya mji kuchukuliwa-katika siku hiyo hiyo, mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu na alinichukua huko.
V petindvajsetem letu našega ujetništva, v začetku leta, na deseti dan meseca, v štirinajstem letu, potem ko je bilo mesto udarjeno, na prav isti dan, je bila nad menoj Gospodova roka in me privedla tja.
2 Katika maono ya Mungu akanileta hata nchi ya Israeli. Akanileta kupumzika juu ya kila mlima mrefu sana; upande wa kusini kulikuwa na monekano kana kwamba majengo ya mji.
V Božjih videnjih me je privedel v deželo Izrael in me postavil na zelo visoko goro, pri kateri je bil kakor okvir mesta na jugu.
3 Kisha akanileta huko. Tazama, kulikuwa na mtu! Mwonekano wake ulikuwa kama mwonekano wa shaba. Alikuwa na uzi wa kitani na mwanzi wa kupimia mkononi mwake, na alisimama katika lango la mji.
In privedel me je tja in glej, tam je bil mož, katerega videz je bil podoben videzu brona, z laneno vrvico v svoji roki in merilno trstiko; in stal je v velikih vratih.
4 Huyo mtu akanambia, “Mwanadamu, tazama kwa macho yako na sikiliza kwa masikio yako, na elekeza moyo wako juu ya yote ninayokufunulia, kwa kuwa ulinileta hapa ili niweze kukufunulia haya wewe. Toa taarifa ya kila kitu utakachokiona kwa nyumba ya Israeli.
In mož mi je rekel: »Človeški sin, glej s svojimi očmi in poslušaj s svojimi ušesi in svoje srce naravnaj na vse to, kar ti bom pokazal; kajti z namenom, da ti jih lahko pokažem, si bil priveden sèm. Vse to, kar vidiš, oznani Izraelovi hiši.«
5 Kulikuwa ukuta uliokuwa umezunguka eneo la hekalu. Urefu wa kipimo cha mwanzi katika mkono wa mtu ulikuwa dhiraa sita urefu, kila urefu wa dhiraa ulikuwa dhiraa moja na kipimo cha kiganja cha mkono urefu. Aliupima ukuta; ulikuwa kipimo cha mwanzi mmoja na ufito mmoja urefu.
Glej obzidje zunaj, naokoli hiše in v človeški roki merilna trstika, šest komolcev dolga, po komolec in širino roke, tako je izmeril širino zgradbe, ena trstika; in višino, ena trstika.
6 Kisha akaenda hata kwenye lango la hekalu lililokuwa limeelekea mashariki. Akapanda ngazi na kuipima kizingiti cha lango-mwanzi mmoja upana.
Potem je prišel k velikim vratom, ki gledajo proti vzhodu in odšel gor po njegovih stopnicah in izmeril prag velikih vrat, ki je bil širok eno trstiko; in drugi prag velikih vrat, ki je bil širok eno trstiko.
7 Vyumba vya ulinzi vilikuwa kila mwanzi mmoja urefu na mwanzi mmoja upana; kulikuwa na dhiraa tano katika kila vyumba viwili, na kizingiti cha lango la hekalu karibu na tawa la hekalu kilikuwa mwanzi mmoja urefu.
In vsaka majhna soba je bila eno trstiko dolga in eno trstiko široka; in med majhnimi sobami je bilo pet komolcev; in prag velikih vrat, znotraj, pri preddverju velikih vrat, je bil eno trstiko [širok].
8 Akapima tawa la lango; ulikuwa mwanzi mmoja urefu.
Izmeril je tudi preddverje znotraj velikih vrat, ena trstika.
9 Akapima tawa la lango. Ilikuwa mwanzi mmoja kwenda chini. Mihimili ilikuwa dhiraa mbili upana. Hili lilikuwa tawa la lango kuelekea hekalu.
Potem je izmeril preddverje velikih vrat, osem komolcev; in njegovi podboji, dva komolca; in preddverje velikih vrat je bilo znotraj.
10 Kulikuwa na vyumba vitatu vya ulinzi pande zote za lango la mashariki, na yote yalikuwa na kipimo kile kile, na kuta zilizokuwa zimezigawanya zilikuwa na kipimo kile kile.
In majhne sobe velikih vrat proti vzhodu so bile tri na tej strani in tri na oni strani; te tri so bile ene mere; in podboji so imeli eno mero na tej strani in na oni strani.
11 Kisha yule mtu akapima upana wa njia ya lango la kuingia-dhiraa kumi; na akapima urefu wa njia ya lango la kuingia-dhiraa kumi na tatu.
In izmeril je širino vhoda velikih vrat, deset komolcev; in dolžino velikih vrat, trinajst komolcev.
12 Akaupima ukuta uliokuwa mpaka mbele ya vyumba-dhiraa moja urefu. Vyumba vilipimwa dhiraa sita kila upande.
Tudi prostora pred majhnimi sobami je bilo en komolec na tej strani in en komolec prostora je bilo na oni strani; in majhne sobe so bile šest komolcev na tej strani in šest komolcev na oni strani.
13 Kisha akapima lango la njia kutoka kwenye paa ya chumba kimoja kuelekea chumba kingine-dhiraa ishirini na tano, kutoka lango la kuingia chumba cha kwanza kuelekea kile cha pili.
Potem je izmeril velika vrata od strehe ene majhne sobe do strehe druge: širina je bila petindvajset komolcev, vrata nasproti vratom.
14 Kisha akapima ukuta uliokuwa umeenda kati ya vyumba vya ulinzi-dhiraa sitini urefu; alipima kwa mbali na tawa la lango.
Naredil je tudi podboje šestdesetih komolcev, celo podboj dvora naokoli velikih vrat.
15 Lango la kuingia kutoka lango la mbele kuelekea lango jingine la tawa la mwisho lilikuwa dhiraa hamsini.
In od pročelja velikih vrat vhoda do pročelja preddverja notranjih velikih vrat je bilo petdeset komolcev.
16 Kulikuwa na madirisha yaliyokuwa yamefungwa kuelekea vyumba na kuelekea nguzo zake kati ya malango kuzunguka kote; na vivyo hivyo kwa mabaraza. Kulikuwa na madirisha pande zote za ndani, na kila mhimili ulikuwa umepambwa kwa mitende.
In tam so bila ozka okna k majhnim sobam in k njihovim podbojem znotraj, naokoli velikih vrat in podobno k obokom, in okna so bila naokoli navznoter sobe, in na vsakem podboju so bila palmova drevesa.
17 Kisha huyo mtu akanileta hata ua wa nje mwa hekalu. Tazama, kulikuwa na vyumba, na kulikuwa na kibamba katika ua, pamoja na vyumba thelathini baada ya kibamba.
Potem me je privedel na zunanji dvor in glej, tam so bile sobe in tlak, narejen za dvor naokoli. Trideset sob je bilo na tlaku.
18 Kibamba kilienda juu hata upande wa malango, na upana wake ulikuwa sawsawa na urefu wa malango. Hiki kilikuwa kibamba cha chini.
In tlak, ki je bil pri strani velikih vrat, nasproti dolžine velikih vrat, je bil nižji tlak.
19 Kisha huyo mtu akapima umbali kutoka mebele ya lango la chini hata mbele ya lango la ndani; ilikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki, na sawasawa na upande wa kaskazini.
Potem je izmeril širino od sprednjega dela spodnjih velikih vrat do sprednjega dela notranjega dvora zunaj; sto komolcev proti vzhodu in proti severu.
20 Kisha akapima urefu na upana wa lango lililokuwa upande wa kaskazini mwa ua wa nje.
In velika vrata zunanjega dvora, ki so gledala proti severu, izmeril je njihovo dolžino in njihovo širino.
21 Kulikuwa na vyumba vitatu pande zote za lango, na lango na matawa yake yalipimwa sawa na lango kubwa-dhiraa hamsini upana wote na dhiraa ishirini na tano upana.
In njihove majhne sobe so bile tri na tej strani in tri na oni strani; in njihovi podboji in njihovi oboki so bili po meri prvih vrat. Njihova dolžina je bila petdeset komolcev in širina petindvajset komolcev.
22 Madirisha yake, tawa, vyumba, na mitende yake vilikabiliana na lango ambalo linaloelekea mashariki. Ngazi saba kuupandia juu hata kwenye tawa lake.
In njihova okna in njihovi oboki in njihova palmova drevesa so bila po meri velikih vrat, ki gledajo proti vzhodu; in k tem so se vzpeli po sedmih stopnicah; in njihovi oboki so bili pred njimi.
23 Kulikuwa na lango kwenye ua wa ndani mbele kuelekea mashariki; huyo mtu alipima kutoka lango moja hadi lango jingine-dhiraa mia moja umbali.
In velika vrata notranjega dvora so bila nasproti velikih vrat proti severu in proti vzhodu; in od velikih vrat do velikih vrat je izmeril sto komolcev.
24 Kisha huyo mtu akanileta hata kwenye lango la kuingia la kusini, na kuta zake na tawa vilipimwa sawa kama malango mengine ya nje.
Po tem me je privedel proti jugu in glej, velika vrata proti jugu. Izmeril je njihove podboje in njihove oboke, glede na te mere.
25 Kulikuwa na madirisha yaliyofungwa katika lango la njia na tawa lake kama lile lango. Lango la kusini na tawa lake vilipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
In tam so bila okna in njihovi oboki naokoli, podobni tistim oknom. Dolžina je bila petdeset komolcev in širina petindvajset komolcev.
26 Kulikuwa na ngazi saba hadi kwenye lango na matawa yake, na kulikuwa na mitende iliyochongoka juu ya kuta pande zote.
In tam je bilo sedem stopnic, da se gre gor do njih in njihovi oboki so bili pred njimi. Ta so imela palmovi drevesi, eno na tej strani in drugo na oni strani, na njihovih podbojih.
27 Kulikuwa na lango la ua wa ndani upande wa kusini, na yule mtu akapima kutoka hilo lango hata lango la kuingia upande wa kusini-dhiraa mia moja umbali.
In na notranjem dvoru, proti jugu, so bila velika vrata, in od velikih vrat do velikih vrat je proti jugu izmeril sto komolcev.
28 Kishi huyo mtu akanileta hata ua wa ndani karibu na lango lake la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo vile vile kama malango mengine.
In privedel me je na notranji dvor pri južnih velikih vratih: in južna velika vrata je izmeril glede na te mere;
29 Vyumba vyake, kuta, na matao vilipimwa sawa kama malango mengine; kulikuwa na madirisha kuzunguka matao yote. Lango la ndani na matao yake yalipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
in njihove majhne sobe in njihovi podboji in njihovi oboki, glede na te mere: in tam so bila okna v njej in njihovi oboki naokoli: in ta so bila petdeset komolcev dolga in petindvajset komolcev široka.
30 Pia kulikuwa na matao pande zote za kuta za ndani; haya yalikuwa dhiraa ishirini na tano urefu na dhiraa tano upana.
Oboki naokoli so bili petindvajset komolcev dolgi in pet komolcev široki.
31 Hili tawa lilielekea ua wa nje pamoja na mitende iliyochongwa juu ya kuta zake na ngazi nane kuupandia.
Njihovi oboki so bili proti skrajnemu dvoru; palmova drevesa so bila na njihovih podbojih. Gor do njih je vodilo osem stopnic.
32 Kisha yule mtu akanileta hata kwenye ua wa ndani karibu na njia ya kaskazini na kulipima lango, ambalo lilikuwa na vipimo sawa kama malango mengine.
Privedel me je na notranji dvor proti vzhodu in izmeril velika vrata glede na te mere.
33 Vyumba vyake, kuta, na matawa yalikuwa na kipima sawa kama cha malango, na kulikuwa na madirisha pande zote. Laango la ndani na matawa yake yalikuwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
Njihove majhne sobe, njihovi podboji in njihovi oboki so bili glede na te mere. Tam so bila okna v njihovih obokih naokoli. To je bilo petdeset komolcev dolgo in petindvajset komolcev široko.
34 Matawa yake yalielekea nje ya ua; ilikuwa na mitende pande zote za hiyo na ngazi nane za kuupandia.
Njihovi oboki so bili proti zunanjemu dvoru; in palmova drevesa so bila na njihovih podbojih, na tej strani in na oni strani in gor do njih je vodilo osem stopnic.
35 Kisha huyo mtu akanileta hata lango la kaskazini na kulipima; likapimwa vivyo hivyo kama malango mengine.
Privedel me je k severnim velikim vratom in jih izmeril glede na te mere;
36 Vyumba vyake, kuta, na ukumbi vilipimwa sawa na malango mengine, na kulikuwa na madirisha pande zote. Njia ya lango na matao yake yalipimwa dhiraa hamsini urefu na upana dhiraa ishirini na tano.
njihove majhne sobe, njihove podboje in njihove oboke in okna k tem naokoli; dolžina je bila petdeset komolcev in širina petindvajset komolcev.
37 Tatawa lake lilielekea ua wa nje; ilikuwa na mitende pande zote za huo na ngazi nane kuupandia.
Njihovi podboji so bili proti skrajnemu dvoru; in palmova drevesa so bila na njihovih podbojih, na tej strani in na oni strani in gor do njih je vodilo osem stopnic.
38 Kulikuwa na chumba pamoja na mlango karibu na kila lango la ndani. Hapa ndipo ambako walipooshea sadaka za kutekezwa.
Sobe in njihovi vhodi so bili ob podbojih velikih vrat, kjer so prali žgalno daritev.
39 Kulikuwa na meza mbili kila upande wa kila ukumbi, ambako sadaka ya kuteketezwa ilipochinjiwa, na pia sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
V preddverju velikih vrat sta bili dve mizi na tej strani in dve mizi na oni strani, da na njih zakoljejo žgalno daritev in daritev za greh in daritev za prestopek.
40 Karibu na ukuta wa ua, kuelekea juu kwenye lango kuelekea kaskazini, kulikuwa na meza mbili. Pia kwa upande mwingine kulikuwa na meza mbili kwenye lango la ukumbi.
Zunaj ob strani, kakor gre kdo gor k vhodu severnih velikih vrat, sta bili dve mizi; in na drugi strani, ki je bila pri preddverju velikih vrat, sta bili dve mizi.
41 Kulikuwa na meza nne pande zote karibu na lango; wakachinja wanyama juu ya meza nane.
Štiri mize so bile na tej strani in štiri mize na oni strani, pri straneh velikih vrat; osem miz, na katerih so klali svoje daritve.
42 Kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, dhiraa moja na nusu urefu, dhiraa moja na nusu upana, na kimo dhiraa moja. Juu yake waliweka vyombo pamoja ambavyo walivichinjia sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya sadaka.
Štiri mize so bile iz klesanega kamna za žgalno daritev, komolec in pol dolge in komolec in pol široke in en komolec visoke, na katere so prav tako položili orodje, s katerim so zaklali žgalno daritev in klavno daritev.
43 Kulabu mbili ujazo wa kiganja urefu uliokuwa umeunganishwa katika ua pande zote, na nyama ya matoleo ilikuwa imewekwa juu ya meza.
Znotraj so bili kavlji, dlan široki, pritrjeni naokoli in na mizah je bilo meso daritve.
44 Karibu na lango la ndani, katika ua wa ndani, kulikuwa na vyumba vya waimbaji. Moja ya hivi vyumba kilikuwa upande wa kaskazini, na kingine kusini.
Zunaj notranjih velikih vrat so bile sobe pevcev notranjega dvora, ki je bil ob strani severnih velikih vrat in njihova pročelja so bila proti jugu. Ena je bila ob strani vzhodnih velikih vrat in imela pročelje proti severu.
45 Kisha yule mtu akanambia, “Hiki chumba kinachoelekea kusini ni kwa ajili ya makuhani walio zamu katika hekalu.
In rekel mi je: »Ta soba, katere pročelje je proti jugu, je za duhovnike, čuvaje oskrbe hiše.
46 Chumba kilichoelekea kaskazini kilikuwa kwa ajili ya makuhani waliokuwa zamu kwenye madhabahu. Hawa ni wana wa Sadoki ambaye huja humkaribia Yahwe kumtumikia; ambao ni miongoni mwa wana wa Lawi.”
Soba, katere pročelje je proti severu, je za duhovnike, čuvaje oskrbe oltarja: to so Cadókovi sinovi med Lévijevimi sinovi, ki so prišli blizu h Gospodu, da mu služijo.
47 Kisha akaupima ule ua-dhiraa mia moja urefu na dhiraa mia moja upana mraba, pamoja na madhabahu mbele ya nyumba.
Tako je izmeril dvor, sto komolcev dolg in sto komolcev širok, štirioglat; in oltar, ki je bil pred hišo.
48 Kisha yule mtu akanileta hata kwenye varanda ya nyumba na kupima mwimo wa milango yake-ilikuwa dhiraa tano unene upande huu. Njia ya kuingilia yenyewe ilikuwa dhiraa kumi na nne, na kuta pande zote za huo zilikuwa dhraa tatu upana.
Privedel me je k preddverju hiše in izmeril vsak podboj preddverja, pet komolcev na tej strani in pet komolcev na oni strani in širina velikih vrat je bila tri komolce na tej strani in tri komolce na oni strani.
49 Urefu wa ukumbi ulikuwa dhiraa ishirini, na upana wake ulikuwa dhiraa kumi na moja. Kulikuwa na ngazi zilizokuwa zimepanda juu na nguzo zilizokuwa zimesimama pande zote za huo.
Dolžina preddverja je bila dvajset komolcev in širina enajst komolcev; in privedel me je poleg stopnic, po katerih so se dvignili do njega. Tam so bili stebri ob podbojih, eden na tej strani, drugi pa na oni strani.

< Ezekieli 40 >