< Ezekieli 40 >

1 Katika mwaka wa ishirini na tano wa kuhamishwa kwetu mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya mji kuchukuliwa-katika siku hiyo hiyo, mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu na alinichukua huko.
Godine dvadeset i pete za našega izgnanstva, početkom godine, prvoga mjeseca, desetoga dana, a četrnaest godina otkako pade Grad, upravo onoga dana spusti se na me ruka Jahvina.
2 Katika maono ya Mungu akanileta hata nchi ya Israeli. Akanileta kupumzika juu ya kila mlima mrefu sana; upande wa kusini kulikuwa na monekano kana kwamba majengo ya mji.
I odvede me u božanskom viđenju u zemlju Izraelovu te me postavi na veoma visoku goru: Na njoj, s južne strane, bijaše nešto kao sazidan grad.
3 Kisha akanileta huko. Tazama, kulikuwa na mtu! Mwonekano wake ulikuwa kama mwonekano wa shaba. Alikuwa na uzi wa kitani na mwanzi wa kupimia mkononi mwake, na alisimama katika lango la mji.
Povede me onamo, i gle: čovjek, sjajan kao mjed, stajaše na vratima, s lanenim užetom i mjeračkom trskom u ruci.
4 Huyo mtu akanambia, “Mwanadamu, tazama kwa macho yako na sikiliza kwa masikio yako, na elekeza moyo wako juu ya yote ninayokufunulia, kwa kuwa ulinileta hapa ili niweze kukufunulia haya wewe. Toa taarifa ya kila kitu utakachokiona kwa nyumba ya Israeli.
I taj mi čovjek reče: “Sine čovječji, gledaj svojim očima i slušaj svojim ušima, popamti sve što ću ti pokazati, jer si doveden ovamo da ti pokažem. Objavi domu Izraelovu sve što ovdje vidiš.”
5 Kulikuwa ukuta uliokuwa umezunguka eneo la hekalu. Urefu wa kipimo cha mwanzi katika mkono wa mtu ulikuwa dhiraa sita urefu, kila urefu wa dhiraa ulikuwa dhiraa moja na kipimo cha kiganja cha mkono urefu. Aliupima ukuta; ulikuwa kipimo cha mwanzi mmoja na ufito mmoja urefu.
I gle, zdanje sve uokolo opasano zidom. Čovjek držaše u ruci mjeračku trsku od šest lakata, a svaki lakat bijaše za jedan dlan duži od običnoga lakta. On izmjeri zdanje. Širina: jedna trska, visina: jedna trska.
6 Kisha akaenda hata kwenye lango la hekalu lililokuwa limeelekea mashariki. Akapanda ngazi na kuipima kizingiti cha lango-mwanzi mmoja upana.
Zatim pođe k vratima što bijahu okrenuta k istoku. Uspe se uza stepenice i izmjeri prag vrata. Širina: jedna trska.
7 Vyumba vya ulinzi vilikuwa kila mwanzi mmoja urefu na mwanzi mmoja upana; kulikuwa na dhiraa tano katika kila vyumba viwili, na kizingiti cha lango la hekalu karibu na tawa la hekalu kilikuwa mwanzi mmoja urefu.
A svaka klijet jednu trsku dugačka i jednu trsku široka. Između klijeti: pet lakata. Prag vrata sa strane njihova trijema, iznutra, jedna trska.
8 Akapima tawa la lango; ulikuwa mwanzi mmoja urefu.
Izmjeri trijem vrata iznutra: bijaše osam lakata širok,
9 Akapima tawa la lango. Ilikuwa mwanzi mmoja kwenda chini. Mihimili ilikuwa dhiraa mbili upana. Hili lilikuwa tawa la lango kuelekea hekalu.
a njegovi polustupovi dva lakta. Trijem vrata bijaše s nutarnje strane.
10 Kulikuwa na vyumba vitatu vya ulinzi pande zote za lango la mashariki, na yote yalikuwa na kipimo kile kile, na kuta zilizokuwa zimezigawanya zilikuwa na kipimo kile kile.
Na svakoj strani istočnih vrata bijahu po tri klijeti. I sve tri bijahu iste mjere. Tako i polustupovi: s obje strane bijahu iste mjere.
11 Kisha yule mtu akapima upana wa njia ya lango la kuingia-dhiraa kumi; na akapima urefu wa njia ya lango la kuingia-dhiraa kumi na tatu.
Zatim izmjeri vrata: bijahu deset lakata široka i trinaest lakata visoka.
12 Akaupima ukuta uliokuwa mpaka mbele ya vyumba-dhiraa moja urefu. Vyumba vilipimwa dhiraa sita kila upande.
Pred klijetima bijaše s jedne i s druge strane ograda od jednog lakta. Svaka klijet: šest lakata s jedne i šest lakata s druge strane.
13 Kisha akapima lango la njia kutoka kwenye paa ya chumba kimoja kuelekea chumba kingine-dhiraa ishirini na tano, kutoka lango la kuingia chumba cha kwanza kuelekea kile cha pili.
A zatim izmjeri vrata od stražnje strane jedne klijeti do stražnje strane nasuprotne klijeti, u širinu: bijaše dvadeset i pet lakata; otvor pred otvorom.
14 Kisha akapima ukuta uliokuwa umeenda kati ya vyumba vya ulinzi-dhiraa sitini urefu; alipima kwa mbali na tawa la lango.
Izmjeri i trijem: dvadeset lakata. Predvorje bijaše sve uokolo trijema vrata.
15 Lango la kuingia kutoka lango la mbele kuelekea lango jingine la tawa la mwisho lilikuwa dhiraa hamsini.
Od ulaznog pročelja vrata do nasuprotne strane njihova trijema bijaše pedeset lakata.
16 Kulikuwa na madirisha yaliyokuwa yamefungwa kuelekea vyumba na kuelekea nguzo zake kati ya malango kuzunguka kote; na vivyo hivyo kwa mabaraza. Kulikuwa na madirisha pande zote za ndani, na kila mhimili ulikuwa umepambwa kwa mitende.
Na klijetima i njihovim dovracima, s unutrašnje strane sve uokolo, a tako i u trijemu, bijahu prozori s rešetkama. Takvi su prozori bili iznutra, sve naokolo, a na polustupovima palme.
17 Kisha huyo mtu akanileta hata ua wa nje mwa hekalu. Tazama, kulikuwa na vyumba, na kulikuwa na kibamba katika ua, pamoja na vyumba thelathini baada ya kibamba.
Zatim me povede u vanjsko predvorje Doma. I gle, sve oko predvorja prostorije i pločnik. Trideset prostorija na pločniku.
18 Kibamba kilienda juu hata upande wa malango, na upana wake ulikuwa sawsawa na urefu wa malango. Hiki kilikuwa kibamba cha chini.
Pločnik bijaše sa svake strane vrata i odgovaraše razini vrata. To je donji pločnik.
19 Kisha huyo mtu akapima umbali kutoka mebele ya lango la chini hata mbele ya lango la ndani; ilikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki, na sawasawa na upande wa kaskazini.
On izmjeri širinu predvorja od donjih vrata do unutrašnjega predvorja, s vanjske strane: sto lakata na istok i na sjever.
20 Kisha akapima urefu na upana wa lango lililokuwa upande wa kaskazini mwa ua wa nje.
Sjevernim vratima vanjskoga predvorja izmjeri širinu i dužinu.
21 Kulikuwa na vyumba vitatu pande zote za lango, na lango na matawa yake yalipimwa sawa na lango kubwa-dhiraa hamsini upana wote na dhiraa ishirini na tano upana.
I ta su imala po tri klijeti sa svake strane, a stupovi im i trijemovi istih mjera kao u prvih vrata: pedeset lakata u dužinu i dvadeset i pet lakata u širinu.
22 Madirisha yake, tawa, vyumba, na mitende yake vilikabiliana na lango ambalo linaloelekea mashariki. Ngazi saba kuupandia juu hata kwenye tawa lake.
Prozori im, trijemovi i palme bijahu iste mjere kao na istočnim vratima, a na prilazu im sedam stepenica; trijem im bijaše s unutrašnje strane.
23 Kulikuwa na lango kwenye ua wa ndani mbele kuelekea mashariki; huyo mtu alipima kutoka lango moja hadi lango jingine-dhiraa mia moja umbali.
Unutrašnje predvorje imaše vrata što bijahu nasuprot sjevernim vratima; kao i istočna. On izmjeri: između jednih i drugih vrata bijaše sto lakata.
24 Kisha huyo mtu akanileta hata kwenye lango la kuingia la kusini, na kuta zake na tawa vilipimwa sawa kama malango mengine ya nje.
Zatim me povede na jug, i gle: i ondje vrata. Izmjeri ondje klijeti, polustupove i trijemove: bijahu iste mjere.
25 Kulikuwa na madirisha yaliyofungwa katika lango la njia na tawa lake kama lile lango. Lango la kusini na tawa lake vilipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
Ona, kao i njihovi trijemovi, imahu sve uokolo prozore što bijahu kao i oni prvi. Dužina je i tu iznosila pedeset lakata, a širina dvadeset i pet.
26 Kulikuwa na ngazi saba hadi kwenye lango na matawa yake, na kulikuwa na mitende iliyochongoka juu ya kuta pande zote.
K vratima je vodilo sedam stuba; trijem im je bio s unutrašnje strane, a na stupovima imahu po jednu palmu sa svake strane.
27 Kulikuwa na lango la ua wa ndani upande wa kusini, na yule mtu akapima kutoka hilo lango hata lango la kuingia upande wa kusini-dhiraa mia moja umbali.
Unutrašnje predvorje imaše jedna vrata i s južne strane. On izmjeri: od tih vrata do južnih vrata - sto lakata.
28 Kishi huyo mtu akanileta hata ua wa ndani karibu na lango lake la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo vile vile kama malango mengine.
Zatim me na južna vrata uvede u unutrašnje predvorje. I izmjeri južna vrata: bijahu istih mjera.
29 Vyumba vyake, kuta, na matao vilipimwa sawa kama malango mengine; kulikuwa na madirisha kuzunguka matao yote. Lango la ndani na matao yake yalipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
Klijeti, stupovi i trijemovi bijahu istih mjera. Vrata i njihov trijem imahu svud unaokolo prozore. Pedeset lakata bijaše tu u dužinu, dvadeset i pet lakata u širinu.
30 Pia kulikuwa na matao pande zote za kuta za ndani; haya yalikuwa dhiraa ishirini na tano urefu na dhiraa tano upana.
A sve uokolo trijemovi: dvadeset i pet lakata dugi, a pet lakata široki.
31 Hili tawa lilielekea ua wa nje pamoja na mitende iliyochongwa juu ya kuta zake na ngazi nane kuupandia.
Trijemovi su se pružili prema vanjskom predvorju. Na polustupovima njihovim palme, a stubište im je imalo osam stuba.
32 Kisha yule mtu akanileta hata kwenye ua wa ndani karibu na njia ya kaskazini na kulipima lango, ambalo lilikuwa na vipimo sawa kama malango mengine.
Zatim me povede k istočnim vratima unutrašnjega predvorja. I izmjeri vrata: bijahu istih mjera.
33 Vyumba vyake, kuta, na matawa yalikuwa na kipima sawa kama cha malango, na kulikuwa na madirisha pande zote. Laango la ndani na matawa yake yalikuwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
Klijeti im, polustupovi i trijemovi bijahu također istih mjera. Vrata i njihov trijem imahu svud naokolo prozore. U dužinu bješe pedeset lakata, u širinu dvadeset i pet.
34 Matawa yake yalielekea nje ya ua; ilikuwa na mitende pande zote za hiyo na ngazi nane za kuupandia.
Trijem im se pružao prema vanjskom predvorju. Na njihovim polustupovima s ove i s one strane bijahu palme. Stubište im imaše osam stuba.
35 Kisha huyo mtu akanileta hata lango la kaskazini na kulipima; likapimwa vivyo hivyo kama malango mengine.
Zatim me povede k sjevernim vratima. I izmjeri ih: bijahu istih mjera.
36 Vyumba vyake, kuta, na ukumbi vilipimwa sawa na malango mengine, na kulikuwa na madirisha pande zote. Njia ya lango na matao yake yalipimwa dhiraa hamsini urefu na upana dhiraa ishirini na tano.
Klijeti im, polustupovi i trijemovi bijahu također istih mjera. Vrata i njihov trijem imahu svud uokolo prozore. Pedeset je lakata tu bilo u dužinu, a dvadeset i pet u širinu.
37 Tatawa lake lilielekea ua wa nje; ilikuwa na mitende pande zote za huo na ngazi nane kuupandia.
Trijem je sezao do vanjskoga predvorja. Na polustupovima s ove i one strane bijahu palme. Stubište imaše osam stuba.
38 Kulikuwa na chumba pamoja na mlango karibu na kila lango la ndani. Hapa ndipo ambako walipooshea sadaka za kutekezwa.
Uz trijemove vrata bijaše prostor s posebnim ulazom. Ondje su se ispirale žrtve paljenice.
39 Kulikuwa na meza mbili kila upande wa kila ukumbi, ambako sadaka ya kuteketezwa ilipochinjiwa, na pia sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
U trijemu vrata s jedne i s druge strane bijahu po dva stola za klanje paljenicÄa, okajnicÄa i naknadnicÄa.
40 Karibu na ukuta wa ua, kuelekea juu kwenye lango kuelekea kaskazini, kulikuwa na meza mbili. Pia kwa upande mwingine kulikuwa na meza mbili kwenye lango la ukumbi.
I s vanjske strane onomu tko ulazi na ulaz sjevernih vrata bijahu dva stola; i s druge strane, prema trijemu vrata, dva stola.
41 Kulikuwa na meza nne pande zote karibu na lango; wakachinja wanyama juu ya meza nane.
Četiri stola, dakle, s jedne, a četiri stola s druge strane vrata: u svemu osam stolova, na kojima se klahu žrtve.
42 Kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, dhiraa moja na nusu urefu, dhiraa moja na nusu upana, na kimo dhiraa moja. Juu yake waliweka vyombo pamoja ambavyo walivichinjia sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya sadaka.
Osim toga, četiri stola za paljenice, od klesanoga kamena. Bili su po lakat i pol široki i lakat visoki. Na njima je stajao pribor za klanje žrtava paljenica i klanica.
43 Kulabu mbili ujazo wa kiganja urefu uliokuwa umeunganishwa katika ua pande zote, na nyama ya matoleo ilikuwa imewekwa juu ya meza.
Stolovi bijahu sve uokolo obrubljeni žljebićima od jednoga dlana, zavrnutima unutra. Na stolove se stavljalo žrtveno meso.
44 Karibu na lango la ndani, katika ua wa ndani, kulikuwa na vyumba vya waimbaji. Moja ya hivi vyumba kilikuwa upande wa kaskazini, na kingine kusini.
Zatim me povede u unutrašnje predvorje. U unutrašnjem predvorju bijahu dvije prostorije: jedna bijaše sa strane sjevernih vrata, okrenuta prema jugu, a druga sa strane južnih vrata, okrenuta prema sjeveru.
45 Kisha yule mtu akanambia, “Hiki chumba kinachoelekea kusini ni kwa ajili ya makuhani walio zamu katika hekalu.
I on mi reče: “Ta prostorija što je okrenuta na jug određena je za svećenike koji obavljaju službu u Domu.
46 Chumba kilichoelekea kaskazini kilikuwa kwa ajili ya makuhani waliokuwa zamu kwenye madhabahu. Hawa ni wana wa Sadoki ambaye huja humkaribia Yahwe kumtumikia; ambao ni miongoni mwa wana wa Lawi.”
A prostorija što je okrenuta na sjever jest za svećenike koji obavljaju službu na žrtveniku. To su sinovi Sadokovi, oni između sinova Levijevih koji smiju prići k Jahvi da mu služe!”
47 Kisha akaupima ule ua-dhiraa mia moja urefu na dhiraa mia moja upana mraba, pamoja na madhabahu mbele ya nyumba.
On izmjeri predvorje. Dužina: sto lakata, širina: sto lakata; bijaše četverouglasto. Pred Domom stajaše žrtvenik.
48 Kisha yule mtu akanileta hata kwenye varanda ya nyumba na kupima mwimo wa milango yake-ilikuwa dhiraa tano unene upande huu. Njia ya kuingilia yenyewe ilikuwa dhiraa kumi na nne, na kuta pande zote za huo zilikuwa dhraa tatu upana.
A zatim me povede k trijemu. Izmjeri polustupove trijema: bijaše pet lakata na jednoj i pet lakata na drugoj strani. Vrata bijahu široka tri lakta s jedne i tri lakta s druge strane.
49 Urefu wa ukumbi ulikuwa dhiraa ishirini, na upana wake ulikuwa dhiraa kumi na moja. Kulikuwa na ngazi zilizokuwa zimepanda juu na nguzo zilizokuwa zimesimama pande zote za huo.
Trijem bijaše dugačak dvadeset lakata, a širok dvanaest lakata. Deset je stepenica vodilo onamo. Na dovratnicima s jedne i s druge strane stajaše po jedan stup.

< Ezekieli 40 >