< Ezekieli 4 >

1 “Lakini wewe, mwana wa adamu, chukua tofali wewe mwenyewe na uliweke mbele yako. Kisha chonga mji wa Yerusalemu juu yake.
“Sen, ey insanoğlu, bir tuğla al, önüne koy, üzerine Yeruşalim Kenti'ni çiz.
2 Kisha laza kuizunguka, ngome juu yake. Anza kushambulia juu yake na weka makambi kuizunguka. Weka shambulio la ghasia kuizunguka.
Kenti kuşat, duvarla çevir. Kente karşı toprak rampalar yap, ordugah kur, çevresine kütükler yerleştir.
3 Kisha chukua kwa ajili yako mwenyewe sufuria ya chuma na itumie kama ukuta wa chuma kati yako mwenyewe na mji na weka uso wako dhidi yake. Kwa kuwa utazingirwa, na utaweka ukombozi juu yake. Hii itakuwa alama kwa nyumba ya Israeli.
Sonra demir bir sac al; demirden bir duvar gibi kendinle kentin arasına koy. Yüzünü ona doğru çevir. Kent kuşatma altında tutulacak, onu sen kuşatacaksın. Bu İsrail halkı için bir belirti olacak.
4 Kisha, lala juu upande wako wa kushoto na weka dhambi ya nyumba ya Israeli juu yake; utazibeba dhambi zao kwa hesabu za siku ambazo ulizolala juu ya nyumba ya Israeli.
“Sonra sol yanına uzan, İsrail halkının günahını yüklen. Sol yanına uzanacağın günler kadar onların suçunun cezasını çekeceksin.
5 Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao: siku 390! Katika njia hii, utachukua dhambi ya nyumba ya Israeli.
Suçlarının yıl sayısı kadar sana gün ayırdım. Böylece üç yüz doksan gün İsrail halkının suçunun cezasını çekeceksin.
6 Wakati utakapomaliza hizi siku, kisha lala chini kwa mara ya pili kwa upande wako wa kulia, kwa kuwa utabeba dhambi ya nyumba ya Yuda kwa siku arobaini. Nakuteua wewe siku moja kwa kila mwaka.
“Bunu yaptıktan sonra, bu kez sağ yanına uzan, Yahuda halkının suçunun cezasını çek. Sana kırk gün, her yıl için bir gün ayırdım.
7 Weka uso wako chini kuelekea Yerusalemu ambayo ni chini ya ngome, na kwa mkono wako funua unabii dhidi
Yüzünü Yeruşalim kuşatmasına çevir, çıplak kollarını kaldırıp Yeruşalim'e karşı peygamberlik et.
8 yake. Tazama! naweka vifungo juu yako hivyo hutarudi kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine hadi utakapoliza siku zako za kuzingirwa kwako.
Kuşatma günlerini bitirinceye dek bir yandan öbür yana dönmemen için seni halatlarla bağlayacağım.
9 Chukua ngano kwa ajili yako, shayiri, dengu, mtama, kusemethi; viweke kwenye chombo kimoja na tengeneza mkate kwa ajili yako kulingana na hesabu ya siku ambazo utakazo lala katika ya upande wako. Kwa siku 390 utaula.
“Buğday, arpa, bakla, mercimek, darı, kızıl buğday al, bir kaba koy. Bunlardan kendine ekmek yap. Bir yanına uzanacağın üç yüz doksan gün boyunca bu ekmekten yiyeceksin.
10 Chakula utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku, na utakila kwa mda uliopangwa kila siku.
Her gün belirli zamanda yemen için yirmi şekel ekmek tartacaksın.
11 Kisha utakunywa maji, kwa kuyapima sehemu ya sita ya hini, na utayanywa kwa mda uliopangwa.
Bunun gibi suyu da belirli zamanda, ölçüyle, bir hinin altıda biri kadar içeceksin.
12 Utakila kama keki za shayiri, lakini utaioka kwenye kinyesi kikavu cha mwanadamu mbele ya macho yao!”
Yiyeceğini arpa pidesi yer gibi ye ve insan dışkısından ateş yakıp üzerinde halkın gözü önünde pişir.”
13 Kwa kuwa Yahwe asema, “Hii inamaana kwamba ule mkate ambao watu wa Israeli watakula kitakuwa kinajisi, huko miongoni mwa mataifa ambapo nitakaowafukuza.”
RAB, “Uluslar arasına dağıtacağım İsrail halkı böylelikle kirli sayılan yiyecekleri yiyecek” dedi.
14 Lakini nikasema, “Ee, Bwana Yahwe! Sijawahi kuwa najisi! sijawahi kula kitu chochote ambacho kimekufa au kitu chochote kilichouawa na wanyama, kutoka mdomoni mwangu hadi sasa, wala nyama ya kunuka haijawahi kuingia kinywani mwangu!”
Ben, “Eyvah, ey Egemen RAB!” diye karşılık verdim, “Hiçbir zaman kirli sayılan bir şeye dokunmadım. Gençliğimden bu yana kendiliğinden ölmüş ya da yabanıl bir hayvan tarafından öldürülmüş bir hayvanın etini yemedim, ağzıma kirli sayılan et koymadım.”
15 Ndivyo alivvyo niambia, “Tazama! Nimekupa mbolea ya ng'ombe badala ya kinyesi cha mwanadamu ili uweze kuandaa mkate wako juu ya hayo.”
“Peki” dedi, “Ekmeğini insan dışkısı yerine tezek yakıp üzerinde pişirmene izin vereceğim.”
16 Pia akanambia, “Mwana wa adamu! Tazama! Nalivunja gongo la mkate katika Yerusalemu, na watakula mkate ukiwa umepimwa katika wasiwasi na kunywa maji kwa kuyapima katika hofu.
Sonra, “İnsanoğlu, Yeruşalim'i her türlü yiyecekten yoksun bırakacağım” dedi, “Bu halk yiyeceğini tartıyla ve kaygı içinde yiyecek, suyunu ölçüyle ve şaşkınlık içinde içecek.
17 Kwa sabau watapungukiwa na mkate na maji, kila mtu atafadhaishwa na ndugu yake na kumpoteza kwa sababu ya udhalimu wao.”
Yiyeceği de suyu da azalacak. Hepsi şaşkınlığa düşecek, günahları içinde eriyip yok olacak.

< Ezekieli 4 >