< Ezekieli 4 >

1 “Lakini wewe, mwana wa adamu, chukua tofali wewe mwenyewe na uliweke mbele yako. Kisha chonga mji wa Yerusalemu juu yake.
Nang, tami capa amhru lat nateh na hmalah hrueng nateh, Jerusalem khopui meilam thun haw.
2 Kisha laza kuizunguka, ngome juu yake. Anza kushambulia juu yake na weka makambi kuizunguka. Weka shambulio la ghasia kuizunguka.
Petkâkalup lah rapan hoi kalup nateh, mon ka coum e hah pet tai nateh, ransa roenae hah tai sin nateh, rapan patennae thingtaboungnaw hah petkâkalup lah tat.
3 Kisha chukua kwa ajili yako mwenyewe sufuria ya chuma na itumie kama ukuta wa chuma kati yako mwenyewe na mji na weka uso wako dhidi yake. Kwa kuwa utazingirwa, na utaweka ukombozi juu yake. Hii itakuwa alama kwa nyumba ya Israeli.
Sumphen lat nateh, nama hoi khopui rahak vah sumrapan lah thung haw. Haw lah kangvawi nateh, hottelah na tungdum vaiteh, haw e khopui teh kalup e lah ao han. Hetheh Isarelnaw hane mitnoutnae lah ao han.
4 Kisha, lala juu upande wako wa kushoto na weka dhambi ya nyumba ya Israeli juu yake; utazibeba dhambi zao kwa hesabu za siku ambazo ulizolala juu ya nyumba ya Israeli.
Nang teh avoilah kâpaihrueng lahoi ip haw, na van vah Isarel imthung payonnae hah thueng nateh, a yonnae hah na phu han. Touk e hnin yit touh a van vah ip.
5 Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao: siku 390! Katika njia hii, utachukua dhambi ya nyumba ya Israeli.
Bangkongtetpawiteh, a payonae kum hah nange lathueng ka patue. Hnin touk e patetlah hnin 390 touh thung Isarel imthung yonnae na phu han.
6 Wakati utakapomaliza hizi siku, kisha lala chini kwa mara ya pili kwa upande wako wa kulia, kwa kuwa utabeba dhambi ya nyumba ya Yuda kwa siku arobaini. Nakuteua wewe siku moja kwa kila mwaka.
Na kuep sak hnukkhu aranglah paihrueng lahoi yan nateh, Judah payonnae hah hnin 40 touh bout na khang han. Kum touh hane hnin touh na van vah ka patue toe.
7 Weka uso wako chini kuelekea Yerusalemu ambayo ni chini ya ngome, na kwa mkono wako funua unabii dhidi
Hatdawkvah, na kalup e Jerusalem koelah na kangvawi han. Na kut na dâw vaiteh, ahni koelah profet lawk na pâpho han.
8 yake. Tazama! naweka vifungo juu yako hivyo hutarudi kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine hadi utakapoliza siku zako za kuzingirwa kwako.
Khenhaw! tangron hoi na pakhi vaiteh, na kalup hnin a kuep hoehroukrak teh, nâ lahai na kamlang thai mahoeh.
9 Chukua ngano kwa ajili yako, shayiri, dengu, mtama, kusemethi; viweke kwenye chombo kimoja na tengeneza mkate kwa ajili yako kulingana na hesabu ya siku ambazo utakazo lala katika ya upande wako. Kwa siku 390 utaula.
Cakang, catun, pe phunkuep, kalape, vaicakuem, rakhun e cakang hah lat, hlaam buet touh dawk hrueng nateh vaiyei lah sak. Paihrueng lah na i na thung hnin 390 touh thung hot hah na ca han.
10 Chakula utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku, na utakila kwa mda uliopangwa kila siku.
Na ca hane bu teh koung nue e doeh. Hnin touh dawk shekel 20 touh han. Atueng kahmancalah na ca han.
11 Kisha utakunywa maji, kwa kuyapima sehemu ya sita ya hini, na utayanywa kwa mda uliopangwa.
Tui hai koung nue tangcoung hoi na nei han. Hin buet touh hah taruk touh lah na kapek vaiteh, buet touh e hah na nei han.
12 Utakila kama keki za shayiri, lakini utaioka kwenye kinyesi kikavu cha mwanadamu mbele ya macho yao!”
A mithmu roeroe vah ka ke e tami ei hoi na pâeng vaiteh, catun vaiyei ca lah na ca han telah ati.
13 Kwa kuwa Yahwe asema, “Hii inamaana kwamba ule mkate ambao watu wa Israeli watakula kitakuwa kinajisi, huko miongoni mwa mataifa ambapo nitakaowafukuza.”
BAWIPA ni het patet lae bu kakhin e heh Isarel catounnaw ni ka pâleinae ram dawk a ca awh han telah ati.
14 Lakini nikasema, “Ee, Bwana Yahwe! Sijawahi kuwa najisi! sijawahi kula kitu chochote ambacho kimekufa au kitu chochote kilichouawa na wanyama, kutoka mdomoni mwangu hadi sasa, wala nyama ya kunuka haijawahi kuingia kinywani mwangu!”
Hatnavah kai ni aya! Bawipa Jehovah awm ei, ka hringnae heh kakhin sak boi mahoeh. Ka nawca hoi atu totouh amahmawk kadout e thoseh, sarang ni a kei e thoseh, ka cat boihoeh. Panuet ka tho e moi ka kâko dawk ka kâen sak hoeh telah ka ti.
15 Ndivyo alivvyo niambia, “Tazama! Nimekupa mbolea ya ng'ombe badala ya kinyesi cha mwanadamu ili uweze kuandaa mkate wako juu ya hayo.”
Hat navah, ahni ni khenhaw! tami ei yueng lah maito ei na poe awh. Na ca hane teh maito ei ka ke e hoi na sak han telah ati.
16 Pia akanambia, “Mwana wa adamu! Tazama! Nalivunja gongo la mkate katika Yerusalemu, na watakula mkate ukiwa umepimwa katika wasiwasi na kunywa maji kwa kuyapima katika hofu.
Hothloilah ahni ni, tami capa khenhaw! Jerusalem vah hringnae akungtuen lah kaawm e bu ka raphoe vaiteh, a rawca koung nue pouh lahoi, ngaihri lahoi a ca han, tui hai koung nue pouh vaiteh, ngaihri lahoi a nei a han.
17 Kwa sabau watapungukiwa na mkate na maji, kila mtu atafadhaishwa na ndugu yake na kumpoteza kwa sababu ya udhalimu wao.”
Tui hoi bu vout laihoi buet touh hoi buet touh a kâpanuet awh teh, a yon awh kecu dawkvah, koung a kahma awh han telah ati.

< Ezekieli 4 >