< Ezekieli 39 >
1 “Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
›Zato, ti, človeški sin, prerokuj zoper Gog in reci: ›Tako govori Gospod Bog: ›Glej, jaz sem zoper tebe, oh Gog, glavni princ Mešeha in Tubála,
2 Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
in obrnil te bom nazaj in pustil samo šesti del tebe in ti povzročil, da prideš gor iz severnih krajev in privedel te bom na Izraelove gore
3 Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
in izbil ti bom lok iz tvoje leve roke in tvojim puščicam povzročil, da izpadejo iz tvoje desnice.
4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
Padel boš na Izraelovih gorah, ti in vse tvoje čete in ljudstvo, ki je s teboj. Izročil te bom pticam roparicam vsake vrste in k živalim polja, da boš požrt.
5 Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Padel boš na odprtem polju, kajti jaz sem to govoril, ‹ govori Gospod Bog.
6 Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
›In poslal bom ogenj na Magóg in med tiste, ki brezskrbno prebivajo na otokih. In spoznali bodo, da jaz sem Gospod.
7 Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
Tako bom svoje sveto ime naredil znano v sredi svojega ljudstva Izraela; in ne bom jim več dopustil, da oskrunijo moje sveto ime. In pogani bodo spoznali, da jaz sem Gospod, Sveti v Izraelu.
8 Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Glej, prišel je in narejeno je, ‹ govori Gospod Bog; ›to je dan, o katerem sem govoril.
9 Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
Tisti, ki prebivajo v Izraelovih mestih, bodo šli naprej in bodo zakurili ogenj, sežgali orožje, tako ščite in majhne ščite, loke, puščice, krepelca ter sulice in sedem let jih bodo sežigali z ognjem,
10 Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
tako da ne bodo vzeli nobenega lesa iz polja niti posekali nobenega iz gozdov; kajti orožje bodo sežigali z ognjem in plenili bodo tiste, ki so jih plenili in ropali bodo tiste, ki so jih ropali, ‹ govori Gospod Bog.
11 Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
›In na tisti dan se bo zgodilo, da bom Gogu dal kraj za grobove v Izraelu, dolino popotnikov na vzhodu morja, in ta bo zamašila nosove popotnikom, in tam bodo sežgali Goga in vso njegovo množico in imenovali jo bodo Dolina Gogove množice.
12 Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
In sedem mesecev jih bo Izraelova hiša pokopavala, da bodo lahko očistili deželo.
13 Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Da, vse ljudstvo dežele jih bo pokopavalo; in to jim bo ugled na dan, ko bom proslavljen, ‹ govori Gospod Bog.
14 Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
›In oddvojili bodo može z nenehno zaposlitvijo, ki bodo hodili skozi deželo, da bi s potniki pokopavali tiste, ki ostajajo na obličju zemlje, da jo očistijo; po koncu sedmih mesecev bodo iskali.
15 Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
In potniki, ki gredo skozi deželo, ko kdorkoli zagleda človeško kost, potem bo ob njej postavil znamenje, dokler je grobarji ne pokopljejo v dolini Gogove množice.
16 Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
In ime mesta bo prav tako Hamóna. Tako bodo očistili deželo.
17 Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
In ti, človeški sin, ‹ tako govori Gospod Bog: ›Govori vsaki operjeni perjadi in vsaki živali polja: ›Zberite se in pridite; zberite se na vsaki strani k moji klavni daritvi, ki jo darujem za vas, torej veliki klavni daritvi na Izraelovih gorah, da boste lahko jedle meso in pile kri.
18 Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
Jedle boste meso mogočnih in pile kri zemeljskih princev, ovnov, jagnjet in koz, bikcev, vsi izmed njih bašánski pitanci.
19 Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
In jedle boste tolščo, dokler ne boste nasičene in pile kri, dokler ne boste pijane od moje klavne daritve, ki sem jo žrtvoval za vas.
20 Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
Tako boste nasičene pri moji mizi s konji in bojnimi vozovi in z mogočnimi možmi in z vsemi bojevniki, ‹ govori Gospod Bog.
21 Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
›In svojo slavo bom postavil med pogane in vsi pogani bodo videli mojo sodbo, ki sem jo izvršil in mojo roko, ki sem jo položil nanje.
22 Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
Tako bo Izraelova hiša spoznala, da jaz sem Gospod, njihov Bog, od tega dne naprej.
23 Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
In pogani bodo vedeli, da je hiša Izraelova odšla v ujetništvo zaradi svojih krivičnosti, ker so kršili zoper mene, zato sem svoj obraz skril pred njimi in jih izročil v roko njihovih sovražnikov; tako so vsi padli pod mečem.
24 Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
Glede na njihovo nečistost in glede na njihove prestopke sem jim storil in svoj obraz sem skril pred njimi.‹
25 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
Zato tako govori Gospod Bog: ›Sedaj bom ponovno privedel Jakobovo ujetništvo in usmiljenje bom imel nad celotno Izraelovo hišo in ljubosumen bom zaradi svojega svetega imena;
26 Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
po tem, ko so nosili svojo sramoto in vse svoje prestopke, s katerimi so kršili zoper mene, ko so varno prebivali v svoji deželi in jih nihče ni strašil.
27 Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
Ko sem jih ponovno privedel izmed ljudstva in jih zbral iz dežel njihovih sovražnikov in sem posvečen v njih pred očmi mnogih narodov;
28 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
potem bodo spoznali, da jaz sem Gospod, njihov Bog, ki jim je storil, da so bili odvedeni v ujetništvo med pogane, toda zbral sem jih k njihovi lastni deželi in nikogar izmed njih nisem več pustil tam.
29 Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Niti svojega obraza ne bom več skrival pred njimi, kajti svojega duha sem izlil na Izraelovo hišo, ‹ govori Gospod Bog.‹«