< Ezekieli 39 >
1 “Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
Toi, fils de l'homme, prophétise contre Gog, et dis: « Le Seigneur Yahvé dit: « Voici, j'en veux à toi, Gog, prince de Rosh, de Méschec et de Tubal.
2 Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
Je te tournerai, je te conduirai, je te ferai monter des extrémités du nord, et je t'amènerai sur les montagnes d'Israël.
3 Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
Je frapperai ton arc de ta main gauche, et je ferai tomber tes flèches de ta main droite.
4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
Tu tomberas sur les montagnes d'Israël, toi, toutes tes hordes, et les peuples qui sont avec toi. Je vous livrerai aux oiseaux de toute espèce et aux bêtes des champs pour qu'ils vous dévorent.
5 Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Vous tomberez en plein champ, car j'ai parlé, dit le Seigneur Yahvé.
6 Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
J'enverrai un feu sur Magog et sur ceux qui habitent en sécurité dans les îles. Alors ils sauront que je suis Yahvé.
7 Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
"''Je ferai connaître mon saint nom parmi mon peuple d'Israël. Je ne permettrai plus que mon saint nom soit profané. Alors les nations sauront que je suis Yahvé, le Saint en Israël.
8 Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Voici, cela vient, et cela s'accomplira, dit le Seigneur Yahvé. « C'est le jour dont j'ai parlé.
9 Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
"« Les habitants des villes d'Israël sortiront, feront du feu avec les armes et les brûleront, tant les boucliers que les cuirasses, les arcs et les flèches, les massues et les lances, et ils en feront du feu pendant sept ans;
10 Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
de sorte qu'ils ne prendront pas de bois dans les champs et n'en abattront pas dans les forêts, car ils feront du feu avec les armes. Ils pilleront ceux qui les ont pillés, et ils dépouilleront ceux qui les ont dépouillés, dit le Seigneur Yahvé.
11 Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
"''En ce jour-là, je donnerai à Gog un lieu de sépulture en Israël, la vallée de ceux qui passent, à l'est de la mer, et elle arrêtera ceux qui passent. On y enterrera Gog et toute sa multitude, et on l'appellera 'la vallée de Hamon Gog'.
12 Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
"''La maison d'Israël les enterrera pendant sept mois, afin de purifier le pays.
13 Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Oui, tout le peuple du pays les enterrera, et ils deviendront célèbres au jour où je serai glorifié, dit le Seigneur Yahvé.
14 Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
"''Ils mettront à part des hommes continuellement employés qui passeront dans le pays. Ceux qui passeront iront avec ceux qui enterrent ceux qui restent à la surface du pays, pour le purifier. Au bout de sept mois, ils feront des recherches.
15 Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
Ceux qui fouilleront le pays passeront; et si quelqu'un voit un os d'homme, il dressera un signe à côté, jusqu'à ce que les fossoyeurs l'aient enterré dans la vallée de Hamon Gog.
16 Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
Hamonah sera aussi le nom d'une ville. C'est ainsi qu'ils purifieront le pays. »''
17 Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
« Toi, fils de l'homme, le Seigneur Yahvé dit: « Parle aux oiseaux de toute espèce et à tous les animaux des champs: « Assemblez-vous et venez, rassemblez-vous de tous côtés à mon sacrifice que je vous offre, un grand sacrifice sur les montagnes d'Israël, pour manger de la viande et boire du sang.
18 Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
Vous mangerez la chair des puissants, et vous boirez le sang des princes de la terre, des béliers, des agneaux, des boucs, des taureaux, tous gras de Basan.
19 Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
Vous mangerez de la graisse jusqu'à ce que vous soyez rassasiés, et vous boirez du sang jusqu'à ce que vous soyez ivres, de mon sacrifice que j'ai offert pour vous.
20 Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
Vous serez rassasiés à ma table de chevaux et de chars, de vaillants hommes, et de tous les hommes de guerre, dit le Seigneur Yahvé.''
21 Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
« Je mettrai ma gloire parmi les nations. Alors toutes les nations verront le jugement que j'ai exercé, et la main que j'ai mise sur elles.
22 Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
Et la maison d'Israël saura que je suis Yahvé, son Dieu, dès ce jour et à l'avenir.
23 Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
Les nations sauront que la maison d'Israël est allée en captivité à cause de son iniquité, parce qu'elle m'a offensé et que je lui ai caché ma face; je l'ai livrée aux mains de ses adversaires et elle est tombée par l'épée.
24 Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
Je les ai traités selon leur impureté et selon leurs transgressions. J'ai caché ma face devant eux.
25 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
C'est pourquoi le Seigneur Yahvé dit: « Maintenant, je renverrai les captifs de Jacob et j'aurai pitié de toute la maison d'Israël. Je serai jaloux de mon saint nom.
26 Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
Ils oublieront leur honte et toutes les fautes qu'ils ont commises à mon égard, quand ils habiteront en sécurité dans leur pays. Personne ne les effraiera
27 Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
quand je les aurai ramenés des peuples, rassemblés des terres de leurs ennemis, et que je me serai montré saint au milieu d'eux aux yeux de nombreuses nations.
28 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
Ils sauront que je suis l'Éternel, leur Dieu, parce que je les ai emmenés en captivité parmi les nations et que je les ai rassemblés dans leur pays. Alors je ne laisserai plus aucun d'eux en captivité.
29 Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Je ne leur cacherai plus ma face, car j'ai répandu mon Esprit sur la maison d'Israël, dit le Seigneur Yahvé. »