< Ezekieli 39 >
1 “Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
But profesie thou, sone of man, ayens Gog; and thou schalt seie, The Lord God seith these thingis, Lo! Y on thee, thou Gog, prince of the heed of Mosoch and of Tubal.
2 Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
And Y schal lede thee aboute, and Y schal disseyue thee, and Y schal make thee to stie fro the sidis of the north, and Y schal brynge thee on the hillis of Israel.
3 Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
And Y schal smyte thi bouwe in thi left hond, and Y schal caste doun thin arowis fro thi riyt hond.
4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
Thou schalt falle doun on the hillis of Israel, thou, and alle thi cumpenyes, and puplis that ben with thee; Y yaf thee for to be deuourid to wielde beestis, to briddis, and to ech volatil, and to the beestis of erthe.
5 Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Thou schalt falle doun on the face of the feeld; for Y the Lord haue spoke, seith the Lord God.
6 Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
And Y schal sende fier in Magog, and in hem that dwellen tristili in ilis; and thei schulen wite, that Y am the Lord God of Israel.
7 Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
And Y schal make myn hooli name knowun in the myddis of my puple Israel, and Y schal no more defoule myn hooli name; and hethene men schulen wite, that Y am the Lord God, the hooli of Israel.
8 Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Lo! it cometh, and it is don, seith the Lord God.
9 Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
This is the day of which Y spak. And dwelleris schulen go out of the citees of Israel, and thei schulen set a fier, and schulen brenne armuris, scheeld and spere, bouwe and arowis, and stauys of hond, and schaftis with out irun; and thei schulen brenne tho in fier bi seuene yeer.
10 Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
And thei schulen not bere trees of cuntries, nether schulen kitte doun of forestis, for thei schulen brenne armuris bi fier; and thei schulen take preies of hem, to whiche thei weren preies, and thei schulen rauysche her wasteris, seith the Lord God.
11 Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
And it schal be in that dai, Y schal yyue to Gog a named place, a sepulcre in Israel, the valei of weigoeris at the eest of the see, that schal make hem that passen forth for to wondre; and thei schulen birie there Gog, and al the multitude of hym, and it schal be clepid the valei of the multitude of Gog.
12 Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
And the hous of Israel schulen birie hem, that thei clense the lond in seuene monethis.
13 Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Forsothe al the puple of the lond schal byrie hym, and it schal be a named dai to hem, in which Y am glorified, seith the Lord God.
14 Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
And thei schulen ordeyne bisili men cumpassynge the lond, that schulen birie and seke hem that weren left on the face of the lond, that thei clense it. Forsothe aftir seuene monethis thei schulen bigynne to seke,
15 Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
and thei schulen cumpas goynge aboute the lond; and whanne thei schulen se the boon of a man, thei schulen sette a `notable signe bisidis it, til the birieris of careyns birie it in the valei of the multitude of Gog.
16 Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
Sotheli the name of the cite is Amona; and thei schulen clense the lond.
17 Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
Forsothe, thou, sone of man, the Lord God seith these thingis, Seie thou to ech brid, and to alle foulis, and to alle beestis of the feeld, Come ye to gidere, and haste ye, renne ye togidere on ech side to my sacrifice, which Y sle to you, a greet sacrifice on the hillis of Israel, that ye ete fleischis and drynke blood.
18 Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
Ye schulen ete the fleischis of stronge men, and ye schulen drynke the blood of prynces of erthe, of wetheris, of lambren, and of buckis of geet, and of bolis, and of beestis maad fat, and of alle fat thingis.
19 Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
And ye schulen ete the ynnere fatnesse in to fulnesse, and ye schulen drynke the blood in to drunkenesse, of the sacrifice which Y schal sle to you.
20 Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
And ye schulen be fillid on my boord, of hors, and of strong horse man, and of alle men werriours, seith the Lord God.
21 Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
And Y schal sette my glorie among hethene men, and alle hethene men schulen se my doom, which Y haue do, and myn hond, which Y haue set on hem.
22 Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
And the hous of Israel schulen wite, that Y am her Lord God, fro that dai and afterward.
23 Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
And hethen men schulen wite, that the hous of Israel is takun in her wickidnesse, for that that thei forsoken me; and Y hidde my face fro hem, and Y bitook hem into the hondis of enemyes, and alle thei fellen doun bi swerd.
24 Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
Bi the unclennes and greet trespasse of hem Y dide to hem, and Y hidde my face fro hem.
25 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
Therfor the Lord God seith these thingis, Now Y schal leede ayen the caitiftee of Jacob, and Y schal haue merci on al the hous of Israel; and Y schal take feruoure for myn hooli name.
26 Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
And thei schulen bere here schenschipe, and al the trespassing bi which thei trespassiden ayens me, whanne thei dwelliden in her lond tristili, and dredden no man;
27 Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
and whanne Y schal bringe hem ayen fro puplis, and schal gadere fro the londis of her enemyes, and schal be halewid in hem, bifor the iyen of ful many folkis.
28 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
And thei schulen wite, that Y am the Lord God of hem, for that Y translatide hem in to naciouns, and haue gaderid hem on her lond, and Y lefte not ony of hem there.
29 Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
And Y schal no more hide my face fro hem, for Y haue schede out my spirit on al the hous of Israel, seith the Lord God.