< Ezekieli 39 >

1 “Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
Nang hlang capa, Gog te tonghma thil lamtah ka Boeipa Yahovah loh a thui he thui pah. Kai loh Meshek neh Tubal lu kah khoboei Gog nang kam pai thil coeng ne.
2 Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
Nang te kam mael sak vetih nang te kang khool ni. Nang te tlangpuei tlanghlaep lamloh kan caeh puei vetih nang te Israel tlang la kam pawk sak ni.
3 Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
Na banvoei kut lamkah na lii te ka tloek vetih na bantang kut lamkah na thaltang ka rhul sak ni.
4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
Namah neh na caembong boeih te Israel tlang ah na cungku vetih na taengkah pilnam te phae cungkuem aka khueh vatlung vaa taeng neh nang te khohmuen mulhing taengah cakkoi la kam voeih ni.
5 Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Ka Boeipa Yahovah kah olphong he ka thui coeng dongah khohmuen maelhmai ah ni na cungku eh.
6 Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
Magog so neh sanglak rhoek kah ngaikhuek la khosa rhoek soah hmai ka tueih vaengah kai he BOEIPA la a ming uh bitni.
7 Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
Ka cimcaihnah ming he ka pilnam Israel lakli ah ka ming sak vetih ka cimcaihnah ming te koep ka poeih mahpawh. Te vaengah namtom loh BOEIPA kamah he Israel khuikah aka cim la a ming uh ni.
8 Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Ha pawk coeng tih ka Boeipa Yahovah kah olphong tah thoeng coeng he. He khohnin ni ka thui.
9 Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
Te dongah Israel khopuei kah khosa rhoek tah cet uh vetih a toih uh ni. Lungpok haica neh photlingca, photlinglen khaw, lii neh thaltang khaw, kut dongkah cungkui neh cai a cum thil ni. Te rhoek te hmai dongah kum rhih a toih ni.
10 Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Khohmuen lamkah thing te phuei uh pawt vetih duup lamkah khaw top uh mahpawh. Lungpok haica te hmai la a toih uh vetih a buem tueng te a buem uh ni, a poelyoe tueng te a poelyoe uh ni. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
11 Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
Te kah khohnin a pha vaengah Israel kah tuipuei khothoeng aka paan kolrhawk te Gog kah phuel hmuen la ka khueh ni. Gog neh a hlangping boeih te pahoi a up ham dongah aka cet rhoek te a tlaeng vetih Hamongog a sui uh ni.
12 Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
Khohmuen caihcil sak ham amih te Israel imkhui loh hla rhih khuiah a up uh ni.
13 Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Khohmuen pilnam boeih loh a up uh vetih ka thangpom khohnin ah tah amih ming te om ni. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
14 Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
Hlang rhoek te khohmuen kah aka pah up ham neh diklai hman kah aka sueng te hildong ham a hoep taitu vetih hla rhih a bawtnah hil te caihcil ham a khe ni.
15 Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
Khohmuen ah aka pah loh a pah uh vaengah hlang rhuh a hmuh vetih te aka up loh Hamongog ah a up hlan due a kaepah pangkae a ling uh ni.
16 Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
Khopuei ming khaw Hamonah la a khue daengah ni khohmuen a caihcil uh pueng eh.
17 Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
Nang hlang capa aw, ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Vaa neh phae aka khueh boeih taengah khaw, khohmuen mulhing cungkuem taengah khaw thui laeh. Coi uh thae lamtah ham paan uh laeh. A kaepvai lamloh ka hmueih taengla coi uh thae laeh. Israel tlang soah nangmih ham hmueih tanglue ka ngawn coeng. Te dongah a saa na caak uh vetih a thii na ok uh ni.
18 Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
Hlangrhalh saa na caak uh vetih diklai khoboei rhoek kah thii te na ok uh ni. Te boeih te tuca tutal neh Bashan kah vaito kikong a puetsuet banghui coeng ni.
19 Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
A cungnah hil a tha na caak uh vetih a rhuihahnah hil a thii na ok uh ni. Ka hmueih he nangmih ham ni ka ngawn.
20 Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
Ka caboei dongah marhang neh hlangrhalh kah leng khaw, caemtloek hlang boeih khaw na cung uh ni. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
21 Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
Ka thangpomnah te namtom taengah ka khueh vetih ka laitloeknah ka saii vaengah amih soah ka kut ka tloeng te namtom rhoek loh boeih a hmuh ni.
22 Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
Te vaengah Israel imkhui loh a ming bitni. Kai BOEIPA Pathen he te khohnin lamloh a voel hil khaw amih kah Pathen ni.
23 Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
Te vaengah Israel imkhui loh kai taengah vikvawk uh tih amamih kah thaesainah dongah a poelyoe uh te namtom rhoek loh a ming uh ni. Te dongah ni ka maelhmai he amih taeng lamloh ka thuh. Te vaengah amih te a rhal kut ah ka tloeng tih a pum la cunghang dongah cungku uh.
24 Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
Amih kah a tihnai tarhing neh a boekoek tarhing ah amih te ka saii tih amih taeng lamloh ka maelhmai ka thuh.
25 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Jakob kah thongtla, thongtla te ka mael puei pawn vetih Israel imkhui boeih ka haidam ni. Te dongah ka ming cim ham ni ka thatlai.
26 Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
Te vaengah amamih kah mingthae neh a boekoeknah la kai taengah boe a koek uh te boeih a hnilh uh ni. Amih te amamih khohmuen ah ngaikhuek la kho a sak vetih lakueng uh mahpawh.
27 Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
Amih te pilnam lamloh ka mael puei tih amih te a thunkha khohmuen lamkah ka coi. Amih lamlong ni namtom boeiping kah mikhmuh ah khaw ka ciim uh eh.
28 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
Te vaengah ni kai BOEIPA he amamih kah Pathen la a ming uh eh. Amih te namtom taengah ka poelyoe sitoe cakhaw a khohmuen la amih te ka calui vetih amih te koep ka hmaai mahpawh.
29 Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Israel imkhui te ka Mueihla ka lun thil coeng dongah ka maelhmai he amih lamloh ka thuh voel mahpawh. He tah Boeipa Yahovah kah olphong ni,” a ti.

< Ezekieli 39 >