< Ezekieli 39 >
1 “Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i, “Dunu egefe! Misiege fi amola Diubale fi ela ouligisu bagade dunu Goge amoma fofada: nanu, Na da ea ha lai amo ema sia: ma.
2 Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
Na da e delegilisili, ga (north) soge amoga oule asili, Isala: ili goumi doaga: musa: logo gaheabolo ema olelemu.
3 Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
Amasea, Na oulali ea fofadi gagui amola dadi ea lobodafa gagui, amo huluane fisima: ne daba fasimu.
4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
Goge amola ea dadi gagui dunu amola ea fidisu fifi asi gala dunu, ilia da goumi da: iya dafane bogogia: mu. Amola Na da ilia da: i hodo huluane sio amola ohe moma: ne, iligili imunu.
5 Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Ilia da soge hame fufua amoga dafane bogogia: mu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
6 Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
Na da Ma: igoge sogega amola soge hano wayabo bagade bega: amo ganodini dunu da olofole esalebe, amo sogega lalu bagade didimu. Amasea, dunu huluane da Na da Hina Gode dawa: mu.
7 Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
Na da Na fi Isala: ili ilia da Na hadigi Dio dawa: ma: mu, amola ilia da Na Dio bu mae wadela: ma: mu. Amasea, fifi asi gala da Na da Hina Gode, Isala: ili fi ilia Hadigi Gode, amo dawa: mu.”
8 Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i, “Amo eso Na sia: i da dafawanedafa misunu.
9 Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
Isala: ili fi dunu moilai ganodini esalebe da gadili asili, gegesu liligi fisi amo laluyale, lidili didimu. Ilia da gegesea gaga: su amola oulali amola sou amola dadi amola gigi amoga lalu didisa heda: le, dialeawane, ode fesu lalu didima: ne defele dialebe ba: mu.
10 Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Ilia da gegesu liligi fisi amoga lalu didibiba: le, ifabia o iwilaga lalu hame habela masunu. Ilia da dunu amo da ilima doagala: le ilia liligi lai, amo ilima doagala: le, ilia liligi gegenana lamu.” Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
11 Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
Hina Gode, da amane sia: i, “Amo hou hamoi dagoi ba: sea, Na da Goge ema bogoi uli dogosu Isala: ili soge ganodini imunu. Amo da Logoga Ahoasu Dunu Fago, Bogoi Hano Wayabo gusudili dialebe ba: mu. Isala: ili dunu da Goge amola ea dadi gagui dunu huluane amogawi uli dogolesimu amola amo fago ilia da ‘Goge ea Dadi Gagui Wa: i Fago’ dio asulimu.
12 Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
Ilia da amo bogogia: i uli dogolaleawane amola osobo foloma: ne hamonaneawane, oubi fesu da udumu.
13 Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Dunu huluane Isala: ili soge ganodini da amo uli dogosu hou fidimu. Amola ilia da amo hamobeba: le, Na da Na hasalasisu eso amoga ilima nodomu. Na, Ouligisudafa Hina Gode, da sia: i dagoi.
14 Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
Amo oubi fesu baligili, fa: no ilia da dunu amo soge huluane amodili bogoi da: i hodo dialebe amo hogole, osobo foloma: ne uli dogoma: ne, ilegemu.
15 Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
Ilia da sogega amodili ahoasea, bogoi gasa ba: sea, amo uli dogosu dunu ilia da amo gasa lale, Goge ea Dadi Gagui Wa: i Fago amo ganodini uli dogoma: ne, ifa ado bugisimu.
16 Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
(Ilia da moilai amo soge gadenene dialebe, amoga Goge Dadi Gagui Wa: i dawaloma: ne dio asulimu). Amasea, soge da fofoloi ba: mu.”
17 Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
Ouligisudafa Hina Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Ohe fi amola sio fi huluane, ilia da gobele salasu ha: i nabe Na da iligili ima: ne momagesa, amo manusa: misa: ne wele sia: ma. Amo da lolo nasu bagadedafa Isala: ili goumia hahamoi ba: mu. Ilia da hu amola maga: me manu.
18 Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
Dadi gagui dunu amola osobo bagade ouligisu dunu, da sibi gawali amola sibi mano amola goudi amola gawali sefena bulamagau defele fane legei dagoi ba: mu. Sio amola ohe da ilia maga: me amola hu manu.
19 Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
Na da amo dunu gobele salasu agoane medole legesea, ohe fi amola sio fi da sadima: ne, ilia sefe manu amola feloama: ne, ilia maga: me manu.
20 Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
Na lolo nasu amoga ilia da sadima: ne, hosi amola amoga fila heda: i dunu amola dadi gagui gegesu dunu, bagohame manu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.”
21 Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
Hina Gode da amane sia: i, “Na da fifi asi gala huluane ba: ma: ne, Na Hadigi hou amola Na ilegesu hamoma: ne gasa bagade hou ilima olelemu.
22 Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
Amasea, amoganini, Isala: ili dunu da Na da ilia Hina Gode dawa: mu.
23 Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
Amola fifi asi gala da Isala: ili dunu da Nama wadela: le hamoiba: le, mugululi asi dagoi, amo dawa: mu. Na da ilima baligi fa: le, ilia ha lai ilima hasalasima: ne amola gegesu ganodini medole legema: ne, logo doasi dagoi.
24 Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
Ilia da wadela: i amola gugunufi hou bagade hamobeba: le, ilia hamobe defele se iasu. Na da ilima baligifa: i dagoi.”
25 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
Ouligisu Hina Gode da amane sia: i, “Be wali, Na da Ya: igobe egaga fi (Isala: ili dunu) ilima bu asigili, ilia bu bagade gaguiwane esaloma: ne fidimu. Na da Na hadigi Dio gaga: mu.
26 Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
Ilia da bu ilia sogedafa amo ganodini hahawane gaga: iwane esalebe ba: sea, ilia da musa: Nama hohonoiba: le gogosia: i, amo gogolemusa: dawa: mu.
27 Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
Na da fifi asi gala bagohame ilima Na da Hadigi olelemusa: , Na da Na fi dunu wali ilia ha lai ilia sogega esala, amo fisili masa: ne, bu oule misunu.
28 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
Amasea, Na fi dunu ilia da Na da ilia Hina Gode dawa: mu. Bai Na da ili mugululi masa: ne asunasi, amola wali Na da ili gagadole, ilia sogedafa bu oule ahoa. Afae da hame yolesimu.
29 Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Na da Na A: silibu ilima imunu amola bu eno ilima hamedafa baligi fa: mu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i dagoi.”