< Ezekieli 37 >

1 Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu, na akanitoa kwa Roho wa Bwana Yahwe na kuniweka chini katikati ya bonde; lilikuwa limejaa mifupa.
И бысть на мне рука Господня, и изведе мя в дусе Господни и постави мя среде поля: се же бяше полно костей человеческих:
2 Kisha akanifanya kupita kati yao kuizunguka pande zote. Tazama! Mingi yao mikubwa ilikuwa katika bonde! Ilikuwa mikavu sana.
и обведе мя окрест их около, и се, многи зело на лицы поля, и се, сухи зело.
3 Akanambia, “Mwanadamu, Je! Hii mifupa inaweza kuishi kinyume?” Hivyo nikasema, “Bwana Yahwe, wajua wewe pekee.”
И рече ко мне: сыне человечь, оживут ли кости сия? И рекох: Господи Боже, Ты веси сия.
4 Kisha akanambia, “Tabiri juu ya hii mifupa na iambie, 'Mifupa mikavu. Lisikilizeni neno la Yahwe.
И рече ко мне: сыне человечь, прорцы на кости сия и речеши им: кости сухия, слышите слово Господне:
5 Bwana Yahwe asema hivi kwenye hii mifupa: Tazama! nakaribia kuweka pumzi juu yenu, nanyi mtaishi.
се глаголет Адонаи Господь костем сим: се, Аз введу в вас дух животен
6 Nitaweka mishipa juu yenu na kuleta nyama juu yenu. Nitawafunika kwa ngozi na kuweka pumzi ndani yenu hivyo mtaishi. Kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
и дам на вас жилы, и возведу на вас плоть и простру по вам кожу, и дам дух Мой в вас, и оживете и увесте, яко Аз есмь Господь.
7 Hivyo nimetoa unabii kama nilivyokuwa nimeamriwa: nimetabiri, tazama, sauti ikaja, iliyokuwa ya mtetememo. Kisha mifupa ikasogeleana pamoja-mfupa juu ya mfupa.
И прорекох, якоже заповеда ми Господь. И бысть глас внегда ми пророчествовати, и се, трус, и совокупляхуся кости, кость к кости, каяждо ко составу своему.
8 Nikatazama na, kumbe, mishipa ilikuwa juu sasa, na nyama ikatoka juu na ngozi ikazifunika. Lakini hapakuwa na pumzi juu yao.
И видех, и се, быша им жилы, и плоть растяше, и восхождаше (и протяжеся) им кожа верху, духа же не бяше в них.
9 Kisha Yahwe akanambia, “Itabirie pumzi, tabiri, mwanadamu, na iambie pumzi, 'Bwana Yahwe asema hivi: Pumzi, hutoka pepo nne, na pumzi juu ya hawa walioawa, hivyo wanaweza kuishi.”'
И рече ко мне: прорцы о дусе, прорцы, сыне человечь, и рцы духови: сия глаголет Адонаи Господь: от четырех ветров прииди, душе, и вдуни на мертвыя сия, и да оживут.
10 Hivyo nimetabiri kama nilivyokuwa nimeamriwa; pumzi ikawajilia na wakaishi. Kisha wakasimama kwa miguu yao, jeshi moja kubwa sana.
И прорекох, якоже повеле ми, и вниде в ня дух жизни, и ожиша и сташа на ногах своих, собор мног зело.
11 Kisha Yahwe akanambia, “Mwanadamu, mifupa hii yote ni ya nyumba ya Israeli. Tazama! Wanasema, 'Mifupa yetu imekauka, na tumaini letu limepotea. Tumekatwa.'
И рече Господь ко мне глаголя: сыне человечь, сия кости весь дом Израилев есть, тии бо глаголют: сухи быша кости нашя, погибе надежда наша, убиени быхом.
12 Kwa hiyo tabiri na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitayafunua makabiri yenu na kuwapandisha kutoka kwayo, watu wangu. Nitakurudisha hata katika nchi ya Israeli.
Того ради прорцы (сыне человечь) и рцы к ним: сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз отверзу гробы вашя и изведу вас от гроб ваших, людие Мои, и введу вы в землю Израилеву:
13 Kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapo yafunua makaburi yenu na kuwatoa kutoka kwao, watu wangu.
и увесте, яко Аз есмь Господь, внегда отверсти Ми гробы вашя, еже возвести Ми вас от гробов ваших, людие Мои: и дам дух Мой в вас, и живи будете,
14 Nitaweka Roho wangu ndani yenu hivyo mtaishi, na nitawafanya kupumzika katika nchi yenu mtakapojua yakwamba mimi ni Yahwe. Nasema na nitayafanya hayo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
и поставлю вы на земли вашей, и увесте, яко Аз Господь: глаголах и сотворю, глаголет Адонаи Господь.
15 Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
И бысть слово Господне ко мне глаголя:
16 “Sasa wewe, mwanadamu, chukua fimbo moja kwa ajili yako na andika juu yake, 'Kwa ajili Yuda na kwa ajili ya watu wa Israeli, wenzake,' Kisha fimbo nyingine andika juu yake, 'Kwa kuwa Yusufu, tawi la Efraimu, na kwa ajili ya watu wa Israeli, wenzake.
сыне человечь, возми себе жезл един и напиши на нем Иуду и сыны Израилевы прилежащыя к нему: и жезл вторый возми себе и напиши на нем Иосифа, жезл Ефремов, и вся сыны Израилевы приложившыяся к нему:
17 Walete wote pamoja kwenye fimbo moja, ili wawe kitu kimoja katika mkono wako.
и совокупи я друг ко другу себе в жезл един, еже связати я, и будут (вкупе) в руце твоей:
18 Wakati watu wako watakapokwambia na kusema, 'Je! hutatuambia haya mambo yako yana maana gani?'
и будет, егда рекут к тебе сынове людий твоих, вопрошающе: не возвестиши ли нам ты, что суть сия тебе?
19 kisha waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nalichukua tawi la Yusufu ambalo lipo kwenye mkono wa Efraimu na kabila za Israeli wenzake na kuungana nalo hata kwenye tawi la Yuda, ili kwamba wawe tawi moja, na watakuwa kitu kimoja katika mikono yangu.'
И речеши к ним: сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз поиму племя Иосифово, еже есть в руце Ефремове, и племена Израилева прилежащая к нему, и дам я в племя Иудино, и будут в жезл един в руце Иудине.
20 Shika kwenye mkono wako na matawi uliyoandika mbele ya macho yao.
И будут жезли, на нихже писати будеши, в руце твоей пред очима их,
21 Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! nakaribia kuwachukua watu wa Israeli kutoka miongoni mwa mataifa walipoenda. Nitawakusanya kutoka nchi zilizozunguka na nitawaleta kwenye nchi yao.
и речеши к ним: сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз поемлю весь дом Израилев от среды языков, аможе внидоша, и соберу я от всех сущих окрест их и введу их в землю Израилеву,
22 Nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi, juu ya milima ya Israeli, na kutakuwa na mfalme mmoja kama mfalme juu yao wote, na hawatakuwa mataifa mawili tena. Hawatagawanyika kwenye falme mbili tena.
и дам я во язык на земли Моей и в горах Израилевых: и Князь един будет во всех сих царем, и не будут ктому в два языка, ни разделятся ктому на два царства,
23 Kisha hawatajitia unajisi tena kwa sanamu zao, mambo yao yachukizao, au dhambi zao nyingine. Kwa kuwa nitawaokoa kutoka matendo yao ya uongo ambayo wamefanya dhambi, na nitawatakasa, hivyo watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.
да не оскверняются ктому в кумирех своих и в мерзостех своих и во всех нечестиих своих: и избавлю я от всех беззаконий их, имиже согрешиша, и очищу я, и будут Ми в люди, и Аз буду им в Бога.
24 Daudi mtumishi wangu atakuwa mfalme juu yao. Hivyo kutakuwa na mchungaji mmoja juu yao wote, na wataishi kulingana na sheria zangu na watazitunza amri zangu na kuzitii.
И раб Мой Давид Князь среде их и Пастырь един будет всех, яко в заповедех Моих ходити будут и суды Моя сохранят и сотворят я,
25 Wataishi katika nchi niliwapatia watumishi wangu Yakobo, ambapo baba zenu walipoishi. Wataishi humo milele-wao, watoto wao, na wajukuu zao, kwa Daudi mtumishi wangu atakuwa mkuu wao milele.
и вселятся на земли своей, юже дах рабу Моему Иакову, на нейже жиша тамо отцы их, и вселятся на ней тии и сынове их и сынове сынов их даже до века: и Давид раб Мой князь их будет во век.
26 Nitaweka agano la amani pamoja nao. Litakuwa agano la milele pamoja nao. Nitawaweka na kuwazidisha na kupaweka mahali patakatifu pangu katikati yao milele.
И утвержу им завет мирен, и завет вечен будет с ними, и укореню я и умножу,
27 Maskani yangu yatakuwa pamoja nao; Nitakuwa Mungu wao, na watakuwa watu wangu.
и дам освящение Мое посреде их во век, и будет вселение Мое в них, и буду им Бог, а они будут Ми людие:
28 Kisha mataifa watajua yakwamba mimi ni Yahwe niliyewatenga Israeli, wakati mahali pangu patakatifu patakapokuwa katikati yao milele.”
и уведят языцы, яко Аз есмь Господь освящаяй я, внегда будут святая Моя среде их во век.

< Ezekieli 37 >