< Ezekieli 35 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
و کلام خداوند بر من نازل شده، گفت:۱
2 “Mwanadamu, weka uso wako juu ya Mlima Seiri na tabiri dhidi yake.
«ای پسر انسان نظر خود را بر کوه سعیر بدار و به ضد آن نبوت نما!۲
3 Uiambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni juu yako, Mlima Seiri, nitakupiga kwa mkono wangu na kukufanya ukiwa na tishio.
و آن را بگوخداوند یهوه چنین می‌فرماید: اینک‌ای کوه سعیر من به ضد تو هستم. و دست خود را بر تودراز کرده، تو را ویران و محل دهشت خواهم ساخت.۳
4 Nitaiharibu miji yenu, na wewe mwenyewe utakuwa ukiwa; kisha utajua kuwa mimi ni Yahwe.
شهرهایت را خراب خواهم نمود تاویران شده، بدانی که من یهوه هستم.۴
5 Kwa sababu umekuwa adui kwa watu wangu Israeli siku zote, na kwa sababu umewatoa kwenye mikono ya upanga wakati wa mateso yao, wakati adhabu yao itakapokuwa katika ukubwa wake.
چونکه عداوت دائمی داشتی و بنی‌اسرائیل را در زمان مصیبت ایشان و هنگام عقوبت آخر به دم شمشیرتسلیم نمودی،۵
6 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-nitaandaa kwa ajili ya damu, na damu na kukufutilia! Kwa kuwa hukuchukia damu, damu itakufuatilia.
لهذا خداوند یهوه چنین می گوید: به حیات خودم قسم که تو را به خون تسلیم خواهم نمود که خون تو را تعاقب نماید. چون از خون نفرت نداشتی، خون تو را تعاقب خواهد نمود.۶
7 Nitaufanya Mlima Seiri mkamilifu na ukiwa wakati nitakapoukatilia mbali kutoka huo yeyote apitaye na arudiye tena.
و کوه سعیر را محل دهشت وویران ساخته، روندگان و آیندگان را از آن منقطع خواهم ساخت.۷
8 Kisha nitaijaza milima kwa watu wao waliokufa. Milima yako na mabonde na mifereji-wale walioawa kwa upanga wataanguka kati yao.
و کوههایش را از کشتگانش مملو می‌کنم که مقتولان شمشیر بر تلها و دره‌ها وهمه وادیهای تو بیفتند.۸
9 Nitakufanya mkiwa daima. Miji yako haitakaliwa na watu, lakini mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
و تو را خرابه های دائمی می‌سازم که شهرهایت دیگر مسکون نشودو بدانید که من یهوه هستم.۹
10 Umesema, “Haya mataifa mawili na hizi nchi mbili zitakuwa zangu, na tutazimiliki,” hata wakati Yahwe alipokuwa pamoja nao.
چونکه گفتی این دوامت و این دو زمین از آن من می‌شود و آن را به تصرف خواهیم آورد با آنکه یهوه در آنجا است.»۱۰
11 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo nitafanya kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako ambao uliousikia katika chuki yako ya Israeli, na nitajidhihirisha kwao nitakapokuhukumu.
بنابراین خداوند یهوه چنین می‌گوید: «به حیات خودم قسم که موافق خشم و حسدی که به ایشان نمودی، از کینه‌ای که با ایشان داشتی با توعمل خواهم نمود. و چون بر تو داوری کرده باشم، خویشتن را بر تو در میان ایشان معروف خواهم گردانید.۱۱
12 Hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe. Nimeyasikia matukano yako yote uliyasema dhidi ya milima ya Israeli, uliposema, “Wameharibiwa; wametolewa kwetu tuwale.
و خواهی دانست که من یهوه تمامی سخنان کفرآمیز را که به ضد کوههای اسرائیل گفته‌ای، شنیده‌ام. چونکه گفتی: خراب گردید و برای خوراک ما داده شد.۱۲
13 “Nanyi mmejitukuza juu yangu kwa kile mlichokisema, na mmeongeza maneno juu yangu; na kuyasikia yote.
و شما به دهان خود به ضد من تکبر نموده، سخنان خویش را بر من افزودید و من آنها را شنیدم.۱۳
14 Bwana Yahwe asema hivi: Nitakufanya ukiwa, wakati dunia nzima itakapofurahi.
خداوندیهوه چنین می‌گوید: حینی که تمامی جهان شادی کنند من تو را ویران خواهم ساخت.۱۴
15 Kama vile unavyofurahi juu ya urithi wa watu wa Israeli kwa sababu ukiwa ya wake, ndivyo nitakavyokutenda wewe. Utakuwa ukiwa, Mlima Seiri, na Edomu yote! Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
وچنانکه بر میراث خاندان اسرائیل حینی که ویران شد شادی نمودی، همچنان با تو عمل خواهم نمود. و تو‌ای کوه سعیر و تمام ادوم جمیع ویران خواهید شد. پس خواهند دانست که من یهوه هستم.»۱۵

< Ezekieli 35 >