< Ezekieli 35 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Et la parole du Seigneur me fut adressée, disant:
2 “Mwanadamu, weka uso wako juu ya Mlima Seiri na tabiri dhidi yake.
Fils d’un homme, tourne ton visage contre le mont de Séir; prophétise sur lui, et tu lui diras:
3 Uiambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni juu yako, Mlima Seiri, nitakupiga kwa mkono wangu na kukufanya ukiwa na tishio.
Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Voilà que je viens vers toi, mont de Séir, et j’étendrai ma main sur toi, et je te rendrai désolé et désert.
4 Nitaiharibu miji yenu, na wewe mwenyewe utakuwa ukiwa; kisha utajua kuwa mimi ni Yahwe.
Tes villes, je les détruirai et tu seras désert; et tu sauras que je suis le Seigneur.
5 Kwa sababu umekuwa adui kwa watu wangu Israeli siku zote, na kwa sababu umewatoa kwenye mikono ya upanga wakati wa mateso yao, wakati adhabu yao itakapokuwa katika ukubwa wake.
Parce que tu as été un ennemi éternel, et que tu as renfermé les fils d’Israël dans la main du glaive au temps de leur affliction au temps de leur iniquité extrême;
6 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-nitaandaa kwa ajili ya damu, na damu na kukufutilia! Kwa kuwa hukuchukia damu, damu itakufuatilia.
À cause de cela, je vis, moi, dit le Seigneur Dieu; je te livrerai au sang, et le sang te poursuivra; et puisque tu as haï le sang, le sang te poursuivra.
7 Nitaufanya Mlima Seiri mkamilifu na ukiwa wakati nitakapoukatilia mbali kutoka huo yeyote apitaye na arudiye tena.
Et je rendrai le mont de Séir désolé et désert; et j’en retrancherai l’allant et le revenant.
8 Kisha nitaijaza milima kwa watu wao waliokufa. Milima yako na mabonde na mifereji-wale walioawa kwa upanga wataanguka kati yao.
Et je remplirai ses montagnes de ses morts; sur tes collines, dans tes vallées, et le long de tes torrents, les tués sous le glaive tomberont.
9 Nitakufanya mkiwa daima. Miji yako haitakaliwa na watu, lakini mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
Je te réduirai en solitudes éternelles; et tes cités ne seront pas habitées; et vous saurez que je suis le Seigneur Dieu.
10 Umesema, “Haya mataifa mawili na hizi nchi mbili zitakuwa zangu, na tutazimiliki,” hata wakati Yahwe alipokuwa pamoja nao.
Parce que tu as dit: Deux nations et deux terres seront à moi, et je les posséderai en héritage, quoique le Seigneur y fût;
11 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo nitafanya kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako ambao uliousikia katika chuki yako ya Israeli, na nitajidhihirisha kwao nitakapokuhukumu.
À cause de cela, je vis, moi, dit le Seigneur Dieu, j’agirai selon ta colère et selon ta jalousie que tu as exercées, parce que tu les haïssais; et je me ferai connaître par eux, lorsque je t’aurai jugé.
12 Hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe. Nimeyasikia matukano yako yote uliyasema dhidi ya milima ya Israeli, uliposema, “Wameharibiwa; wametolewa kwetu tuwale.
Tu sauras que moi, le Seigneur, j’ai entendu toutes les paroles outrageantes que tu as proférées contre les montagnes d’Israël, en disant: Ce sont des déserts; ils nous ont été donnés pour être dévorés.
13 “Nanyi mmejitukuza juu yangu kwa kile mlichokisema, na mmeongeza maneno juu yangu; na kuyasikia yote.
Et vous vous êtes élevés contre moi par votre bouche, et vous avez prononcé dédaigneusement contre moi vos paroles; moi j’ai entendu.
14 Bwana Yahwe asema hivi: Nitakufanya ukiwa, wakati dunia nzima itakapofurahi.
Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Lorsque toute la terre se réjouira, je te réduirai en une solitude.
15 Kama vile unavyofurahi juu ya urithi wa watu wa Israeli kwa sababu ukiwa ya wake, ndivyo nitakavyokutenda wewe. Utakuwa ukiwa, Mlima Seiri, na Edomu yote! Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
Comme tu t’es réjoui sur l’héritage de la maison d’Israël, de ce qu’elle avait été dévastée, ainsi je te ferai; tu seras dévasté, mont de Séir, et toute l’Idumée; et ils sauront que je suis le Seigneur Dieu.

< Ezekieli 35 >