< Ezekieli 35 >
1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
La parole de Yahvé me fut adressée, en ces termes:
2 “Mwanadamu, weka uso wako juu ya Mlima Seiri na tabiri dhidi yake.
Fils d'homme, tourne ta face vers la montagne de Séir, prophétise contre elle,
3 Uiambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni juu yako, Mlima Seiri, nitakupiga kwa mkono wangu na kukufanya ukiwa na tishio.
et dis-lui: « Le Seigneur Yahvé dit: « Voici, j'en veux à toi, montagne de Séir, et j'étendrai ma main contre toi. Je ferai de toi un objet de désolation et d'épouvante.
4 Nitaiharibu miji yenu, na wewe mwenyewe utakuwa ukiwa; kisha utajua kuwa mimi ni Yahwe.
Je dévasterai tes villes, et tu seras dévastée. Alors tu sauras que je suis Yahvé.
5 Kwa sababu umekuwa adui kwa watu wangu Israeli siku zote, na kwa sababu umewatoa kwenye mikono ya upanga wakati wa mateso yao, wakati adhabu yao itakapokuwa katika ukubwa wake.
"« Parce que tu as eu une hostilité perpétuelle, et que tu as livré les enfants d'Israël au pouvoir de l'épée au temps de leur calamité, au temps de l'iniquité de la fin,
6 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-nitaandaa kwa ajili ya damu, na damu na kukufutilia! Kwa kuwa hukuchukia damu, damu itakufuatilia.
c'est pourquoi, je suis vivant, dit le Seigneur Yahvé, je te préparerai au sang, et le sang te poursuivra. Puisque vous n'avez pas haï le sang, c'est le sang qui vous poursuivra.
7 Nitaufanya Mlima Seiri mkamilifu na ukiwa wakati nitakapoukatilia mbali kutoka huo yeyote apitaye na arudiye tena.
Ainsi, je ferai de la montagne de Séir un objet d'étonnement et de désolation. J'en retrancherai celui qui y passe et celui qui y retourne.
8 Kisha nitaijaza milima kwa watu wao waliokufa. Milima yako na mabonde na mifereji-wale walioawa kwa upanga wataanguka kati yao.
Je remplirai ses montagnes de ses morts. Les morts par l'épée tomberont dans tes collines, dans tes vallées et dans tous tes cours d'eau.
9 Nitakufanya mkiwa daima. Miji yako haitakaliwa na watu, lakini mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
Je ferai de toi une désolation perpétuelle, et tes villes ne seront pas habitées. Alors tu sauras que je suis Yahvé.
10 Umesema, “Haya mataifa mawili na hizi nchi mbili zitakuwa zangu, na tutazimiliki,” hata wakati Yahwe alipokuwa pamoja nao.
« Parce que vous avez dit: Ces deux nations et ces deux pays seront à moi, et nous en prendrons possession, alors que Yahvé était là,
11 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo nitafanya kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako ambao uliousikia katika chuki yako ya Israeli, na nitajidhihirisha kwao nitakapokuhukumu.
c'est pourquoi, je suis vivant, dit le Seigneur Yahvé, j'agirai selon votre colère et selon la jalousie que vous avez manifestée par votre haine contre eux, et je me ferai connaître au milieu d'eux quand je vous jugerai.
12 Hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe. Nimeyasikia matukano yako yote uliyasema dhidi ya milima ya Israeli, uliposema, “Wameharibiwa; wametolewa kwetu tuwale.
Vous saurez que moi, Yahvé, j'ai entendu toutes les injures que vous avez proférées contre les montagnes d'Israël, en disant: « Elles ont été dévastées. On nous les a données à dévorer ».
13 “Nanyi mmejitukuza juu yangu kwa kile mlichokisema, na mmeongeza maneno juu yangu; na kuyasikia yote.
Vous vous êtes glorifiés contre moi par votre bouche, et vous avez multiplié vos paroles contre moi. Je l'ai entendu. »
14 Bwana Yahwe asema hivi: Nitakufanya ukiwa, wakati dunia nzima itakapofurahi.
Le Seigneur Yahvé dit: « Quand toute la terre se réjouira, je te réduirai en désolation.
15 Kama vile unavyofurahi juu ya urithi wa watu wa Israeli kwa sababu ukiwa ya wake, ndivyo nitakavyokutenda wewe. Utakuwa ukiwa, Mlima Seiri, na Edomu yote! Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
Comme vous vous êtes réjouis de l'héritage de la maison d'Israël parce qu'il était dévasté, ainsi je vous traiterai. Tu seras dévasté, ainsi que la montagne de Séir et tout Édom, tout entier. Alors ils sauront que je suis Yahvé.'"