< Ezekieli 35 >
1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
2 “Mwanadamu, weka uso wako juu ya Mlima Seiri na tabiri dhidi yake.
son: child man to set: make face your upon mountain: mount (Mount) Seir and to prophesy upon him
3 Uiambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni juu yako, Mlima Seiri, nitakupiga kwa mkono wangu na kukufanya ukiwa na tishio.
and to say to/for him thus to say Lord YHWH/God look! I to(wards) you mountain: mount (Mount) Seir and to stretch hand my upon you and to give: make you devastation and devastation
4 Nitaiharibu miji yenu, na wewe mwenyewe utakuwa ukiwa; kisha utajua kuwa mimi ni Yahwe.
city your desolation to set: put and you(m. s.) devastation to be and to know for I LORD
5 Kwa sababu umekuwa adui kwa watu wangu Israeli siku zote, na kwa sababu umewatoa kwenye mikono ya upanga wakati wa mateso yao, wakati adhabu yao itakapokuwa katika ukubwa wake.
because to be to/for you enmity forever: enduring and to pour [obj] son: descendant/people Israel upon hand: power sword in/on/with time calamity their in/on/with time iniquity: punishment end
6 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-nitaandaa kwa ajili ya damu, na damu na kukufutilia! Kwa kuwa hukuchukia damu, damu itakufuatilia.
to/for so alive I utterance Lord YHWH/God for to/for blood to make you and blood to pursue you if: surely yes not blood to hate and blood to pursue you
7 Nitaufanya Mlima Seiri mkamilifu na ukiwa wakati nitakapoukatilia mbali kutoka huo yeyote apitaye na arudiye tena.
and to give: make [obj] mountain: mount (Mount) Seir to/for desolation and devastation and to cut: eliminate from him to pass and to return: return
8 Kisha nitaijaza milima kwa watu wao waliokufa. Milima yako na mabonde na mifereji-wale walioawa kwa upanga wataanguka kati yao.
and to fill [obj] mountain: mount his slain: killed his hill your and valley your and all channel your slain: killed sword to fall: kill in/on/with them
9 Nitakufanya mkiwa daima. Miji yako haitakaliwa na watu, lakini mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
devastation forever: enduring to give: make you and city your not (to return: return *Q(K)*) and to know for I LORD
10 Umesema, “Haya mataifa mawili na hizi nchi mbili zitakuwa zangu, na tutazimiliki,” hata wakati Yahwe alipokuwa pamoja nao.
because to say you [obj] two [the] nation and [obj] two [the] land: country/planet to/for me to be and to possess: take her and LORD there to be
11 Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo nitafanya kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako ambao uliousikia katika chuki yako ya Israeli, na nitajidhihirisha kwao nitakapokuhukumu.
to/for so alive I utterance Lord YHWH/God and to make: do like/as face: anger your and like/as jealousy your which to make: do from hating your in/on/with them and to know in/on/with them like/as as which to judge you
12 Hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe. Nimeyasikia matukano yako yote uliyasema dhidi ya milima ya Israeli, uliposema, “Wameharibiwa; wametolewa kwetu tuwale.
and to know for I LORD to hear: hear [obj] all contempt your which to say upon mountain: mount Israel to/for to say (be desolate: destroyed *Q(K)*) to/for us to give: give to/for food
13 “Nanyi mmejitukuza juu yangu kwa kile mlichokisema, na mmeongeza maneno juu yangu; na kuyasikia yote.
and to magnify upon me in/on/with lip your and be abundant upon me word your I to hear: hear
14 Bwana Yahwe asema hivi: Nitakufanya ukiwa, wakati dunia nzima itakapofurahi.
thus to say Lord YHWH/God like/as to rejoice all [the] land: country/planet devastation to make to/for you
15 Kama vile unavyofurahi juu ya urithi wa watu wa Israeli kwa sababu ukiwa ya wake, ndivyo nitakavyokutenda wewe. Utakuwa ukiwa, Mlima Seiri, na Edomu yote! Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
like/as joy your to/for inheritance house: household Israel upon which be desolate: destroyed so to make: do to/for you devastation to be mountain: mount (Mount) Seir and all Edom all her and to know for I LORD