< Ezekieli 34 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
И бысть слово Господне ко мне глаголя:
2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa wachungaji: Ole kwa wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?
сыне человечь, прорцы на пастыри Израилевы, прорцы и рцы пастырем: сия глаголет Адонаи Господь:
3 Mnakula mafungu yaliyonona na mnavaa sufu. Mnawachinja walionona. Hamkuwalisha siku zote.
оле, пастырие Израилевы! Еда пасут пастырие самих себе? Не овец ли пасут пастырие? Се, млеко ядите и волною одеваетеся и тучное закалаете, а овец Моих не пасете:
4 Hamkuwatia nguvu wagonjwa, wala hamkuwaponya wenye maradhi. Hamkuwafungua wale waliovunjika, hamkuwarudisha waliofukuzwa au kuwatafuta waliopotea. Badala yake, mmetawala juu yao kwa nguvu na vurugu.
изнемогшаго не подясте и болящаго не уврачевасте, и сокрушеннаго не обязасте и заблуждающаго не обратисте, и погибшаго не взыскасте и крепкое оскорбисте трудом и властию наказасте я и наруганием.
5 Kisha walikuwa wametawanyika bila mchungaji, na wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba, walipokuwa wametawanyika.
И разсыпашася овцы Моя, понеже не имеяху пастырей, и быша на изядение всем зверем селным.
6 Kundi langu limetawanyika juu ya milima yote na juu ya kilima kirefu, na limetawanyika juu ya uso wote wa dunia. Wala hakuna anayewatafua.
И расточишася овцы Моя по всем горам и (заблудиша) по всем холмом высоким, и на лицы всея земли разсыпашася овцы Моя, и не бе взыскающаго, ни обращающаго.
7 Kwa hiyo, wachungaji, sikilizeni neno la Yahwe:
Того ради, о, пастырие, слышите слово Господне:
8 Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba, kwa sababu hapakuwa na mchungaji yeyote, lakini wachungaji walijilisha wenyewe na hawakulisha kundi langu.
живу Аз, глаголет Адонаи Господь, понеже учинена суть стада Моя в расхищение, и овцы Моя быша во снедение всем зверем селным, занеже несть пастырей, и не поискаша пастырие овец Моих, но пасоша пастырие самих себе, а овец Моих не пасоша:
9 Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe:
сего ради, пастырие, слышите слово Господне,
10 Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu ya wachungaji, na nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwake. Kisha nitawaachisha kutoka kulichunga kundi; wala wachungaji hawatajilisha wenyewe tena kwa kuwa nitaliondoa kundi langu kutoka midomoni mwao, ili kwamba kundi langu lisiwe chakula kwa ajili yao tena.
сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз на пастыри, и взыщу овец Моих от рук их, и отставлю я от паствы овец Моих, и не будут пасти их пастырие: ниже самих себе имут пасти, и отиму овцы Моя из уст их, и ктому не будут им на изядение.
11 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwaulizia,
Сего ради сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз взыщу овец Моих и присещу их:
12 kama mchungaji atafutaye kundi lake juu ya siku hiyo yupo ndani ya kundi lake lililotawanyika. Hivyo nitalitafuta kundi langu, na nitalichunga kutoka sehemu lilipokuwa limetawanyika siku ya mawingu na giza.
якоже присещает пастух паству свою в день, егда есть облачен и мглян, среде овец своих разлученых, тако взыщу овец Моих и избавлю я от всякаго места, аможе суть разсыпаны в день облачен и примрачен.
13 Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
И изведу я от язык и соберу и от стран, и введу я в землю их и упасу я на горах Израилевых и в дебрех и во всем селении земли,
14 Nitawaweka kwenye malisho mema; juu ya milima ya Israeli itakuwa sehemu za malisho yao. Watalala chini huko katika sehemu nzuri kwa ajili ya malisho, katika malisho mengi, na watalisha juu ya milima ya Israeli.
на пажити блазе упасу я, на горе высоце Израилеве: и будут ограды их тамо, и успнут и почиют тамо в пищи блазе, и на пажити тучне упасутся на горах Израилевых.
15 Mimi mwenyewe nitachunga kondoo wangu, na mimi mwenyewe nitawalaza chini-hivi ndivyo Bwana Yahwe
Аз упасу овцы Моя и Аз упокою я, и уразумеют, яко Аз есмь Господь.
16 asemavyo-Nitawatafuta waliopotea nitawarudisha waliofukuzwa. Nitawafunga waliovunjika na kuwaponya kondoo waliougua lakini wanene na wenye nguvu nitawaharibu. Nitawalisha kwa haki.
Сия глаголет Адонаи Господь: погибшее взыщу и заблудившее обращу, и сокрушенное обяжу и немощное укреплю, и крепкое снабдю и упасу я с судом.
17 Hivyo sasa ninyi, kundi langu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-tazama, nitakuwa hakimu kati ya kondoo na kondoo na kati ya kondoo dume na mbuzi dume.
И вы, овцы Моя, сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз разсужду между овцею и овцею, и овном и козлом.
18 Je! haitoshi kulisha juu ya malisho mazuri, ambayo mtayakanyaga chini kwa miguu yenu kile kilichobakia kwenye malisho; na kunywa kutoka maji masafi, ambayo hakuna budi kuikanyaga mito kwa miguu yenu?
Не доволно ли вам, яко на блазей пажити пасостеся, и останок пажити вашея ногами вашими попирасте, и устоявшуюся воду пивасте, и останок ногами вашими возмущасте,
19 Kondoo zangu zitakula kile mlichokanyagwa kwa miguu yenu, na kunywa maji yale mliyoyakanyaga kwa miguu yenu?
и овцы Моя попранием ног ваших живяху, и возмущенную воду ногами вашими пияху?
20 Kwa hiyo Bwana Yahwe anawaambia hivi; Tazama! Mimi mwenyewe nitahukumu kati ya wanene na waliokonda,
Того ради сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз разсужду между овчатем сильным и между овчатем немощным.
21 Kwa kuwa mmewasukuma kwa ubavu wenu na mabega, na kuwapiga kwa pembe wadhaifu wote kwa pembe zenu hadi mtakapowatawanya mbali kutoka kwenye nchi.
Ребрами и плещами вашими реясте и рогами вашими бодосте, и всякое немощное пхасте, дондеже изгнасте я вон:
22 Nitaliokoa kundi langu na hawatakuwa mateka tena, na nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine!
и спасу овцы Моя, и ктому не будут на разграбление, и разсужду между овчатем и овчатем, и между овном и овном:
23 Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi. Atawachunga, atawalisha, na atakuwa mchungaji wao.
и возставлю им пастыря единаго, и упасет я, раба Моего Давида, той упасет я, (и той упокоит я, ) и будет им пастырь,
24 Kwa kuwa mimi, Yahwe, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu kati yao-mimi, Yahwe, nimesema hivi.
Аз же Господь буду им в Бога, и раб Мой Давид князь среде их: Аз Господь глаголах.
25 Kisha nitafanya agano la amani pamoja nao na kuwaondoa wanyama waovu kutoka kwenye nchi, ili kwamba waishi salama katika jangwa na walale salama katika misitu.
И завещаю Давидови завет мирный, и потреблю звери злы от земли, и вселятся в пустыни, уповающе успнут в дубравах.
26 Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu, kwa kuwa nitaleta manyunyu kwa wakati wake. Haya yatakuwa manyunyu ya baraka.
И дам им окрест горы Моея благословение, и испущу дождь вам во время свое, дождь благословения.
27 Kisha miti ya shambani itazaa matunda yake, na dunia itashindwa kuzaa matunda yake. Kondoo wangu watakuwa salama katika nchi yao; kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakazipovunja fito za kongwa zao, na wakati nitakapowalinda kutoka kwenye mkono wa wale walio watumikisha.
И древеса на поли дадят плод свой, и земля даст силу свою, и вселятся на земли своей с надеждею мира, и уведят, яко Аз есмь Господь, егда сокрушу узы ига их: и избавлю я из руки поработивших я,
28 Hawatakuwa mateka tena kwa mataifa, na wanyama pori juu ya dunia hawatawameza tena. Kwa kuwa wataishi salama na wala hakuna mtu atakayewatia hofu.
и не будут ктому во пленение языком, и зверие земнии не поядят их ктому: и вселятся с надеждею, и не будет устрашаяй их.
29 Kwa kuwa nitatengeneza sehemu ya kulimia nzuri kwa ajili yao hivyo hawataangamia kwa njaa katika nchi, na mataifa hayataleta matukano juu ya yao.
И возставлю им сад мирен, и не будут ктому малы числом на земли, и не будут погублени гладом на земли, и не приимут ктому укорения от язык:
30 Kisha watajua kwamba mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao. Ni watu wangu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.
и уведят, яко Аз есмь Господь Бог их с ними, а тии людие Мои дом Израилев, глаголет Адонаи Господь:
31 Kwa kuwa ninyi ni kondoo wangu, kundi la malisho yangu, na watu wangu, na mimi ni Mungu wenu-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.”
вы же овцы Моя и овцы паствы Моея есте, и Аз Господь Бог ваш, глаголет Адонаи Господь.

< Ezekieli 34 >