< Ezekieli 34 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Niheo amako ty tsara’ Iehovà nanao ty hoe:
2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa wachungaji: Ole kwa wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?
O ana’ ondatio; mitokia amo mpiarak’ añondri’ Israeleo, mitokia ty hoe amo mpiarakeo, Hoe ty nafè’ Iehovà Talè: Hankàñe amo mpiarak’añondri’ Israeleo, ie mamaham-batañe avao! tsy ho fahana’ o mpiarak’ añondrio hao o lia-rai’eo?
3 Mnakula mafungu yaliyonona na mnavaa sufu. Mnawachinja walionona. Hamkuwalisha siku zote.
Riote’ areo ty ronono’e, sikina’ areo o volon-añondrio, lentà’ areo o vondrakeo; fe tsy fahana’ areo i lia-raikey.
4 Hamkuwatia nguvu wagonjwa, wala hamkuwaponya wenye maradhi. Hamkuwafungua wale waliovunjika, hamkuwarudisha waliofukuzwa au kuwatafuta waliopotea. Badala yake, mmetawala juu yao kwa nguvu na vurugu.
Tsy ampaozare’ areo ty maleme, naho tsy ampijangañeñe ty marare, naho tsy bandie’ areo ty folake, naho tsy ampoli’ areo i nandifikey, vaho tsy paia’ areo i nimo­tsoy; te mone fisengean-kery naho fampisoañañe ty fifeleha’ areo,
5 Kisha walikuwa wametawanyika bila mchungaji, na wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba, walipokuwa wametawanyika.
ie mibarakaik’ añe fa tsy amam-piarake; aa le fitsindro’ o bibin-kivokeo henaneo amy t’ie nibara­tsake.
6 Kundi langu limetawanyika juu ya milima yote na juu ya kilima kirefu, na limetawanyika juu ya uso wote wa dunia. Wala hakuna anayewatafua.
Nirereke o añondrikoo, nire­rerere amo vohitse iabio, naho amo hene haboañeo; songa nibarakaik’ ambone’ ty tane toy i lia-raikoy, vaho tsy teo ty nipay ndra nitsoeke.
7 Kwa hiyo, wachungaji, sikilizeni neno la Yahwe:
Aa le janjiño ty tsara’ Iehovà ry mpiarake;
8 Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba, kwa sababu hapakuwa na mchungaji yeyote, lakini wachungaji walijilisha wenyewe na hawakulisha kundi langu.
Kanao velon-dRaho hoe t’Iehovà Talè, amy te ninjare fitsindrohañe i lia-raikoy, fihinana’ ze biby an-kivok’ ao, ie tsy amam-piarake; tsy pinai’ o mpiarakeo i lia-raikoy, fa namaham-batañe o mpiarakeo, le tsy finaha’ iareo i lia-raikoy;
9 Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe:
inao arè, ry mpiarakeo, janjiño ty tsara’ Iehovà.
10 Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu ya wachungaji, na nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwake. Kisha nitawaachisha kutoka kulichunga kundi; wala wachungaji hawatajilisha wenyewe tena kwa kuwa nitaliondoa kundi langu kutoka midomoni mwao, ili kwamba kundi langu lisiwe chakula kwa ajili yao tena.
Hoe ty nafè’ Iehovà Talè: Oniño te atreatrèko o mpiarakeo; le ho paiako am-pità’ iareo i lia-raikoy naho hazìko tsy ho mpamahañe i lia-raikoy ka; vaho tsy hamaham-batañe ka o mpiarakeo; fa ho hahako am-palie’ iareo i lia-raikoy, tsy ho fitsindroke.
11 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwaulizia,
Hoe ty nafè’ Iehovà Talè; Inao, etoan-dRaho, ho paiako o añondrikoo, toe ho kodabaeko.
12 kama mchungaji atafutaye kundi lake juu ya siku hiyo yupo ndani ya kundi lake lililotawanyika. Hivyo nitalitafuta kundi langu, na nitalichunga kutoka sehemu lilipokuwa limetawanyika siku ya mawingu na giza.
Hambañe ami’ty fitsoeha’ ty mpiarake i lia-rai’ey ami’ty andro maha-añivo’ o añondri’e nifampiriariao, ty hidabadabaeko o añondrikoo handrombahako iareo amy ze hene toetse nibaratsaha’ iareo an-kopok’ andro migoboñey.
13 Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
Le hampoliko boak’ amo kilakila’ndatio iereo naho hatontoko boak’ amo fifelehañeo naho haseseko mb’an-tane’ iareo ao vaho handrazeko amo vohi’ Israeleo, marine’ o sakao naho amy ze fonga kialo amy taney ao.
14 Nitawaweka kwenye malisho mema; juu ya milima ya Israeli itakuwa sehemu za malisho yao. Watalala chini huko katika sehemu nzuri kwa ajili ya malisho, katika malisho mengi, na watalisha juu ya milima ya Israeli.
Ho fahanako am-piandrazañe maindoñe, naho ho golobo’ iareo o haboa’ Israeleo; ao ty handrea’ iareo an-goloboñe soa; naho añ’ ahetse vokatse; amo vohi’ Israeleo ty hiandraze’ iereo.
15 Mimi mwenyewe nitachunga kondoo wangu, na mimi mwenyewe nitawalaza chini-hivi ndivyo Bwana Yahwe
Ho faha­nako i lia-raikoy vaho hampàndreko, hoe t’Iehovà Talè.
16 asemavyo-Nitawatafuta waliopotea nitawarudisha waliofukuzwa. Nitawafunga waliovunjika na kuwaponya kondoo waliougua lakini wanene na wenye nguvu nitawaharibu. Nitawalisha kwa haki.
Ho tsoeheko o nandifikeo, naho hampoliko indraike o rinoakeo naho ho bandieko ze nifolake vaho hampaozareko o nisilokeo, fa ho rotsaheko o vondrakeo naho o maozatseo, vaho hifahanako zaka.
17 Hivyo sasa ninyi, kundi langu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-tazama, nitakuwa hakimu kati ya kondoo na kondoo na kati ya kondoo dume na mbuzi dume.
Aa naho inahareo, ry lia-raiko, hoe ty nafè’ Iehovà Talè: Inao, t’ie hizaka añivo’ ty lia-raike naho ty lia-raike, vaho añivo’ ty añondri-lahy naho ty ose-lahy.
18 Je! haitoshi kulisha juu ya malisho mazuri, ambayo mtayakanyaga chini kwa miguu yenu kile kilichobakia kwenye malisho; na kunywa kutoka maji masafi, ambayo hakuna budi kuikanyaga mito kwa miguu yenu?
Atao’ areo ho minjilite’e hao te nihàne’ areo ty fiandrazañe soa, vaho nilialià’ ty tombo’ areo ty sisa’ i fiandrazañey? le ie ninon-drano mitoratsike ro nandeotse ty sisa’ i ranoy an-tombo’ areo?
19 Kondoo zangu zitakula kile mlichokanyagwa kwa miguu yenu, na kunywa maji yale mliyoyakanyaga kwa miguu yenu?
Aa le mihinañe o nilialian-tombo’ areoo o añondrikoo, vaho minoñe amo nileoren-tombo’ areoo.
20 Kwa hiyo Bwana Yahwe anawaambia hivi; Tazama! Mimi mwenyewe nitahukumu kati ya wanene na waliokonda,
Aa le hoe ty nafè’ Iehovà Talè am’ iereo: Inao! Izaho le Izaho avao ty hizaka añivo’ o añondry vondrakeo naho o añondry boròkao;
21 Kwa kuwa mmewasukuma kwa ubavu wenu na mabega, na kuwapiga kwa pembe wadhaifu wote kwa pembe zenu hadi mtakapowatawanya mbali kutoka kwenye nchi.
amy te naronje’ areo ami’ty ila’o naho an-tsoro’o, naho dinodo’ areo an-tsifa am-para’ te nabaratsa’o mb’alafe añe.
22 Nitaliokoa kundi langu na hawatakuwa mateka tena, na nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine!
Ho rombaheko i lia-raikoy, naho le lia’e tsy ho fitsindrohañe ka; ie hizaka añivo’ ty añondry naho ty añondry.
23 Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi. Atawachunga, atawalisha, na atakuwa mchungaji wao.
Le hampitroareko ty mpiarake hifehe iareo, le ho razañe’e, ty mpitoroko Davide izay; ie ty hiarake, ie ty ho mpiara’ iareo.
24 Kwa kuwa mimi, Yahwe, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu kati yao-mimi, Yahwe, nimesema hivi.
Izaho Iehovà ty ho Andrianañahare’ iareo, vaho i mpitoroko Davidey ty ho roandria’ iereo; Izaho Iehovà ty nitsara.
25 Kisha nitafanya agano la amani pamoja nao na kuwaondoa wanyama waovu kutoka kwenye nchi, ili kwamba waishi salama katika jangwa na walale salama katika misitu.
Hampijadoñeko fañinam-pañanintsiñe iereo, vaho haziko alafe’ i taney añe o biby maolao; ie hiaiñañoleñañe am-patrambey ao naho hiroro añ’ala ao.
26 Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu, kwa kuwa nitaleta manyunyu kwa wakati wake. Haya yatakuwa manyunyu ya baraka.
Le hitolorako fitahiañe naho toetse mañohoke i vohikoy, hampahaviako an-tsa’e ty orañe naho ty oram-pañanintsiñe.
27 Kisha miti ya shambani itazaa matunda yake, na dunia itashindwa kuzaa matunda yake. Kondoo wangu watakuwa salama katika nchi yao; kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakazipovunja fito za kongwa zao, na wakati nitakapowalinda kutoka kwenye mkono wa wale walio watumikisha.
Hamoa voa o hatae an-goloboñeo, naho hañakatse ty havokara’e ty tane, hierañerañe an-tane’e ao iereo vaho ho fohi’ iereo te Izaho Iehovà, ro nampibarabijo ty talirandran-joka’ iareo naho nampipitsoke iareo am-pità’ o nañondevoo.
28 Hawatakuwa mateka tena kwa mataifa, na wanyama pori juu ya dunia hawatawameza tena. Kwa kuwa wataishi salama na wala hakuna mtu atakayewatia hofu.
Ie le lia’e tsy ho’ fitsatsà’ o kilakila’ ndatio ka naho tsy habotse’ o bibin-taneo; te mone hiaiñañoleñañe, vaho tsy eo ty hañembañe.
29 Kwa kuwa nitatengeneza sehemu ya kulimia nzuri kwa ajili yao hivyo hawataangamia kwa njaa katika nchi, na mataifa hayataleta matukano juu ya yao.
Hampitiriako ty hatae maro-tea; ie tsy ho mongore’ ty kerè an-tane ao ka, vaho, ie tsy hivave ty hasalara’ o kilakila’ ndatio.
30 Kisha watajua kwamba mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao. Ni watu wangu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.
Ho fohi’ iereo te Iehovà Andrianañahare’ iareo iraho, ty mpañimba’ iareo; toe ondatiko i anjomba’ Israeley, hoe t’Iehovà Talè.
31 Kwa kuwa ninyi ni kondoo wangu, kundi la malisho yangu, na watu wangu, na mimi ni Mungu wenu-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.”
Inahareo, ry añondriko, ry lia-raim-piandrazeko, toe ondaty, le Izaho ro Andria­nañahare’ areo, hoe t’Iehovà Talè.

< Ezekieli 34 >