< Ezekieli 34 >
1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Minulle tuli tämä Herran sana:
2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa wachungaji: Ole kwa wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?
"Ihmislapsi, ennusta Israelin paimenia vastaan, ennusta ja sano heille-paimenille: Näin sanoo Herra, Herra: Voi Israelin paimenia, jotka ovat itseänsä kainneet! Eikö paimenten ole kaittava lampaita?
3 Mnakula mafungu yaliyonona na mnavaa sufu. Mnawachinja walionona. Hamkuwalisha siku zote.
Te olette syöneet rasvat, pukeneet päällenne villat, teurastaneet lihavat; mutta ette ole kainneet laumaa,
4 Hamkuwatia nguvu wagonjwa, wala hamkuwaponya wenye maradhi. Hamkuwafungua wale waliovunjika, hamkuwarudisha waliofukuzwa au kuwatafuta waliopotea. Badala yake, mmetawala juu yao kwa nguvu na vurugu.
ette ole vahvistaneet heikkoja, ette ole parantaneet sairaita, sitoneet haavoittuneita, tuoneet takaisin eksyneitä, etsineet kadonneita, vaan te olette vallinneet niitä tylysti ja väkivaltaisesti.
5 Kisha walikuwa wametawanyika bila mchungaji, na wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba, walipokuwa wametawanyika.
Ja niin ne ovat hajaantuneet paimenta vailla ja joutuneet kaikkien metsän petojen syötäviksi-hajaantuneet ne ovat.
6 Kundi langu limetawanyika juu ya milima yote na juu ya kilima kirefu, na limetawanyika juu ya uso wote wa dunia. Wala hakuna anayewatafua.
Minun lampaani harhailevat kaikilla vuorilla ja kaikilla korkeilla kukkuloilla; pitkin koko maata ovat minun lampaani hajallaan, eikä kenkään niistä välitä eikä niitä etsi.
7 Kwa hiyo, wachungaji, sikilizeni neno la Yahwe:
Sentähden, paimenet, kuulkaa Herran sana:
8 Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba, kwa sababu hapakuwa na mchungaji yeyote, lakini wachungaji walijilisha wenyewe na hawakulisha kundi langu.
Niin totta kuin minä elän, sanoo Herra, Herra, totisesti, koska minun lampaani ovat ryöstettävinä ja koska minun lampaani ovat kaikkien metsän petojen syötävinä, kun paimenta ei ole ja kun minun paimeneni eivät välitä minun lampaistani, vaan minun paimeneni kaitsevat itseänsä, eivätkä kaitse minun lampaitani,
9 Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe:
sentähden, paimenet, kuulkaa Herran sana:
10 Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu ya wachungaji, na nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwake. Kisha nitawaachisha kutoka kulichunga kundi; wala wachungaji hawatajilisha wenyewe tena kwa kuwa nitaliondoa kundi langu kutoka midomoni mwao, ili kwamba kundi langu lisiwe chakula kwa ajili yao tena.
Näin sanoo Herra, Herra: Katso, minä käyn paimenten kimppuun, vaadin lampaani heidän kädestänsä ja teen lopun heidän lammasten-kaitsennastaan, eivätkä paimenet saa enää kaita itseänsä. Minä pelastan lampaani heidän kidastansa, eivätkä ne sitten enää ole heidän syötävinänsä.
11 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwaulizia,
Sillä näin sanoo Herra, Herra: Katso, minä itse etsin lampaani ja pidän niistä huolen.
12 kama mchungaji atafutaye kundi lake juu ya siku hiyo yupo ndani ya kundi lake lililotawanyika. Hivyo nitalitafuta kundi langu, na nitalichunga kutoka sehemu lilipokuwa limetawanyika siku ya mawingu na giza.
Niinkuin paimen pitää huolen laumastaan, kun hän on lampaittensa keskellä ja ne ovat hajallaan, niin minä pidän huolen lampaistani, ja minä pelastan ne joka paikasta, minne ne ovat hajaantuneet pilvisenä ja pimeänä päivänä.
13 Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
Minä vien ne pois kansojen seasta ja kokoan ne muista maista, tuon ne omaan maahansa ja kaitsen niitä Israelin vuorilla, puronotkoissa ja kaikissa maan asuttavissa paikoissa.
14 Nitawaweka kwenye malisho mema; juu ya milima ya Israeli itakuwa sehemu za malisho yao. Watalala chini huko katika sehemu nzuri kwa ajili ya malisho, katika malisho mengi, na watalisha juu ya milima ya Israeli.
Hyvillä ruokamailla minä niitä kaitsen, ja Israelin korkeilla vuorilla on niillä oleva laitumensa. Siellä ne saavat levätä hyvällä laitumella, ja lihava ruokamaa niillä on oleva Israelin vuorilla.
15 Mimi mwenyewe nitachunga kondoo wangu, na mimi mwenyewe nitawalaza chini-hivi ndivyo Bwana Yahwe
Minä itse kaitsen lampaani ja vien itse ne lepäämään, sanoo Herra, Herra.
16 asemavyo-Nitawatafuta waliopotea nitawarudisha waliofukuzwa. Nitawafunga waliovunjika na kuwaponya kondoo waliougua lakini wanene na wenye nguvu nitawaharibu. Nitawalisha kwa haki.
Kadonneet minä tahdon etsiä, eksyneet tuoda takaisin, haavoittuneet sitoa, heikkoja vahvistaa; mutta lihavat ja väkevät minä hävitän. Minä kaitsen niitä niin, kuin oikein on.
17 Hivyo sasa ninyi, kundi langu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-tazama, nitakuwa hakimu kati ya kondoo na kondoo na kati ya kondoo dume na mbuzi dume.
Mutta te, minun lampaani! Näin sanoo Herra, Herra: Katso, minä tahdon tuomita lampaan ja lampaan, oinasten ja vuohipukkien välillä.
18 Je! haitoshi kulisha juu ya malisho mazuri, ambayo mtayakanyaga chini kwa miguu yenu kile kilichobakia kwenye malisho; na kunywa kutoka maji masafi, ambayo hakuna budi kuikanyaga mito kwa miguu yenu?
Eikö teille riitä, että olette hyvällä laitumella, kun vielä tallaatte jaloillanne loput laitumestanne, ja että saatte juoda kirkasta vettä, kun vielä hämmennätte jaloillanne loput?
19 Kondoo zangu zitakula kile mlichokanyagwa kwa miguu yenu, na kunywa maji yale mliyoyakanyaga kwa miguu yenu?
Ja onko minun lampaitteni oltava laitumella siinä, mitä jalkanne ovat tallanneet, ja juotava sitä, mitä jalkanne ovat hämmentäneet?
20 Kwa hiyo Bwana Yahwe anawaambia hivi; Tazama! Mimi mwenyewe nitahukumu kati ya wanene na waliokonda,
Sentähden sanoo Herra, Herra niille näin: Katso, minä, minä tuomitsen lihavan lampaan ja laihan lampaan välillä.
21 Kwa kuwa mmewasukuma kwa ubavu wenu na mabega, na kuwapiga kwa pembe wadhaifu wote kwa pembe zenu hadi mtakapowatawanya mbali kutoka kwenye nchi.
Koska te olette kylki-ja niskavoimalla sysineet ja sarvillanne puskeneet kaikkia heikkoja, kunnes olette saaneet ne ajetuiksi ulos ja hajallensa,
22 Nitaliokoa kundi langu na hawatakuwa mateka tena, na nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine!
niin minä tahdon vapauttaa lampaani, etteivät ne enää jää ryöstettäviksi; ja minä tahdon tuomita lampaan ja lampaan välillä.
23 Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi. Atawachunga, atawalisha, na atakuwa mchungaji wao.
Ja minä herätän heille yhden paimenen heitä kaitsemaan, palvelijani Daavidin; hän on kaitseva heitä ja oleva heidän paimenensa.
24 Kwa kuwa mimi, Yahwe, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu kati yao-mimi, Yahwe, nimesema hivi.
Ja minä, Herra, olen heidän Jumalansa, ja minun palvelijani Daavid on ruhtinas heidän keskellänsä. Minä, Herra, olen puhunut.
25 Kisha nitafanya agano la amani pamoja nao na kuwaondoa wanyama waovu kutoka kwenye nchi, ili kwamba waishi salama katika jangwa na walale salama katika misitu.
Ja minä teen heidän kanssansa rauhan liiton; minä lopetan maasta pahat eläimet, niin että he asuvat turvallisesti erämaassa ja nukkuvat metsiköissä;
26 Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu, kwa kuwa nitaleta manyunyu kwa wakati wake. Haya yatakuwa manyunyu ya baraka.
ja minä teen siunatuiksi heidät ja kaiken, mitä minun kukkulani ympärillä on, ja vuodatan sateen ajallansa-ne ovat siunauksen sateita.
27 Kisha miti ya shambani itazaa matunda yake, na dunia itashindwa kuzaa matunda yake. Kondoo wangu watakuwa salama katika nchi yao; kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakazipovunja fito za kongwa zao, na wakati nitakapowalinda kutoka kwenye mkono wa wale walio watumikisha.
Ja kedon puut kantavat hedelmänsä, ja maa antaa satonsa, ja he saavat olla turvassa maassansa. Ja he tulevat tietämään, että minä olen Herra, kun minä särjen heidän ikeensä puut ja pelastan heidät heidän orjuuttajainsa käsistä.
28 Hawatakuwa mateka tena kwa mataifa, na wanyama pori juu ya dunia hawatawameza tena. Kwa kuwa wataishi salama na wala hakuna mtu atakayewatia hofu.
Eivätkä he enää ole pakanain ryöstettävinä, eivätkä metsän pedot heitä syö, vaan he asuvat turvassa, kenenkään peloittelematta.
29 Kwa kuwa nitatengeneza sehemu ya kulimia nzuri kwa ajili yao hivyo hawataangamia kwa njaa katika nchi, na mataifa hayataleta matukano juu ya yao.
Ja minä annan nousta heille istutuksen, joka on oleva kunniaksi, niin ettei heidän tarvitse siinä maassa menehtyä nälkään eikä enää kärsiä pakanain pilkkaa.
30 Kisha watajua kwamba mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao. Ni watu wangu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.
Ja he tulevat tietämään, että minä, Herra, heidän Jumalansa, olen heidän kanssansa ja että he, Israelin heimo, ovat minun kansani, sanoo Herra, Herra.
31 Kwa kuwa ninyi ni kondoo wangu, kundi la malisho yangu, na watu wangu, na mimi ni Mungu wenu-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.”
Niin, te olette minun lampaani, minun laitumeni lampaat, te ihmiset; minä olen teidän Jumalanne, sanoo Herra, Herra."