< Ezekieli 34 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
BAWIPA e lawk kai koe a pha teh,
2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa wachungaji: Ole kwa wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?
tami capa Isarel tukhoumnaw taranlahoi pâpho haw. Pâpho nateh, ahnimouh tukhoumnaw koe hettelah Bawipa Jehovah ni a dei, Isarel tukhoumnaw, mahoima dueng kâkawknaw teh lungmathoe hanlah a o, tukhoumnaw ni tu hah a kawk awh mahoeh na maw.
3 Mnakula mafungu yaliyonona na mnavaa sufu. Mnawachinja walionona. Hamkuwalisha siku zote.
Nangmouh ni a thaw hah na ca awh teh, a muen hah na kâkhu awh. Kathâw kathâw e na thei awh, hatei, tunaw teh na kawk awh hoeh toe.
4 Hamkuwatia nguvu wagonjwa, wala hamkuwaponya wenye maradhi. Hamkuwafungua wale waliovunjika, hamkuwarudisha waliofukuzwa au kuwatafuta waliopotea. Badala yake, mmetawala juu yao kwa nguvu na vurugu.
A thayoun e tha na poe awh hoeh, kapatawnaw na dam sak awh hoeh, a khok kâkhoenaw na kawm pouh awh hoeh. Pâlei e naw bout na bankhai awh hoeh. Kahmat e hai na tawng awh hoeh. Thama thama lahoi lawkkahram lah na hram sin awh.
5 Kisha walikuwa wametawanyika bila mchungaji, na wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba, walipokuwa wametawanyika.
Kakhoumkung ao hoeh dawkvah, tunaw teh a kâkayei awh. A kâkayei toteh, sarangnaw e rawca lah ao awh.
6 Kundi langu limetawanyika juu ya milima yote na juu ya kilima kirefu, na limetawanyika juu ya uso wote wa dunia. Wala hakuna anayewatafua.
Kaie tunaw teh mon tangkuem koe a kâva awh, kaie tu hah talai pueng koe a kâkayei teh khopouk pouh kung hoi katawngkung awm hoeh, telah dei haw telah a ti.
7 Kwa hiyo, wachungaji, sikilizeni neno la Yahwe:
Hatdawkvah, tukhoumnaw BAWIPA e lawk thai awh haw.
8 Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba, kwa sababu hapakuwa na mchungaji yeyote, lakini wachungaji walijilisha wenyewe na hawakulisha kundi langu.
Kai ka hring e patetlah Bawipa Jehovah ni a dei. Tukhoumnaw awm hoeh. Tukhoumnaw ni kaie tunaw hah a tawng awh hoeh dawkvah, kaie tunaw kahrawng e sarangnaw e rawca lah ao awh teh, kaie tunaw hah sarang ni kei hanelah ao awh. Tukhoumnaw ni amahoima a kâkawk awh teh, kaie tuhu hah kawkhik awh hoeh.
9 Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe:
Hatdawkvah, nangmouh tukhoumnaw BAWIPA e lawk thai awh haw.
10 Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu ya wachungaji, na nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwake. Kisha nitawaachisha kutoka kulichunga kundi; wala wachungaji hawatajilisha wenyewe tena kwa kuwa nitaliondoa kundi langu kutoka midomoni mwao, ili kwamba kundi langu lisiwe chakula kwa ajili yao tena.
Hettelah Bawipa Jehovah ni a dei. Khenhaw! tukhoumnaw ka taran, a kut thung e tunaw hah ka lawp vaiteh kaie tukhoumnae koehoi kâhat sak han. Tukhoumnaw teh amahoima kâkawk awh mahoeh toe, bangkongtetpawiteh, tuhunaw hah a râwca lah ao hoeh nahanelah a pahni dawk hoi ka tunaw hah ka la pouh han toe, telah a ti.
11 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwaulizia,
Bangkongtetpawiteh, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei. Khenhaw! kai kama roeroe ni ka tunaw hah ka tawng vaiteh ka hmu han.
12 kama mchungaji atafutaye kundi lake juu ya siku hiyo yupo ndani ya kundi lake lililotawanyika. Hivyo nitalitafuta kundi langu, na nitalichunga kutoka sehemu lilipokuwa limetawanyika siku ya mawingu na giza.
Tukhoumkung ni tuhu kâkayei e tunaw a tawng e patetlah ka tunaw hah ka tawng han, tâmai hoi hmonae hmuen koe pueng hai ka tawng han.
13 Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
Ram tangkuem koehoi ka la vaiteh ka pâkhueng han, amamae ram roeroe dawk ka ceikhai han. Isarel ram thung hoi tanghling, khosaknae hmuen pueng koevah ka kawk han.
14 Nitawaweka kwenye malisho mema; juu ya milima ya Israeli itakuwa sehemu za malisho yao. Watalala chini huko katika sehemu nzuri kwa ajili ya malisho, katika malisho mengi, na watalisha juu ya milima ya Israeli.
Ramhringnae koe ka pâ sak vaiteh, a im hah Isarel mon rasangnae koe ao han, kahawi e takha dawkvah a tabo awh vaiteh, Isarel mon dawk hrâmnaw a onae koe a pâ awh han.
15 Mimi mwenyewe nitachunga kondoo wangu, na mimi mwenyewe nitawalaza chini-hivi ndivyo Bwana Yahwe
Kai kama roeroe ni ka tunaw hah ka kawkhik han, karoumcalah ka tabo sak han, telah Bawipa Jehovah ni a ti.
16 asemavyo-Nitawatafuta waliopotea nitawarudisha waliofukuzwa. Nitawafunga waliovunjika na kuwaponya kondoo waliougua lakini wanene na wenye nguvu nitawaharibu. Nitawalisha kwa haki.
Kahmat e ka tawng vaiteh, pâlei e bout ka bankhai han. A khok kâkhoe hah ka kawm pouh vaiteh, a patawnae hah kahawi sak han. Hateiteh, kathâw e hoi a thasai e hah ka thei vaiteh, lawkcengnae koe ka pha sak han, telah BAWIPA ni a ti.
17 Hivyo sasa ninyi, kundi langu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-tazama, nitakuwa hakimu kati ya kondoo na kondoo na kati ya kondoo dume na mbuzi dume.
Bawipa Jehovah ni a dei e teh, Oe! ka tunaw, saring alouklouknaw thoseh, tutannaw hoi hmaetannaw thoseh, kai ni ka kapek han.
18 Je! haitoshi kulisha juu ya malisho mazuri, ambayo mtayakanyaga chini kwa miguu yenu kile kilichobakia kwenye malisho; na kunywa kutoka maji masafi, ambayo hakuna budi kuikanyaga mito kwa miguu yenu?
Nangmouh teh kahawie hram kanaw e hmuen koe na ca awh e dueng laipalah, kacawie tui hah na khok hoi na pânut sak hane teh, kathoengcae hno doeh, telah na pouk awh na maw.
19 Kondoo zangu zitakula kile mlichokanyagwa kwa miguu yenu, na kunywa maji yale mliyoyakanyaga kwa miguu yenu?
Nangmouh ni na coungroe e phokungnaw thoseh, na khok hoi na pânut sak e tui hai thoseh, kaie tunaw ni a canei awh han na maw.
20 Kwa hiyo Bwana Yahwe anawaambia hivi; Tazama! Mimi mwenyewe nitahukumu kati ya wanene na waliokonda,
Hatdawkvah, Bawipa Jehovah ni ahnimouh koe hettelah a dei, kathâw e saringnaw hoi kamsoe e saringnaw hah kai ni lawkceng han.
21 Kwa kuwa mmewasukuma kwa ubavu wenu na mabega, na kuwapiga kwa pembe wadhaifu wote kwa pembe zenu hadi mtakapowatawanya mbali kutoka kwenye nchi.
Nangmouh ni a thakayoune tunaw hah hmuen tangkuem koe kâkayei sak hanelah na loung hoi na en awh teh, na ki hoi na deng awh.
22 Nitaliokoa kundi langu na hawatakuwa mateka tena, na nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine!
Hatdawkvah, ka tunaw ka rungngang vaiteh, ahnimouh teh sarang ni a kei rumram e lah awm mahoeh toe. Tunaw e a rahak vah lawk ka ceng han.
23 Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi. Atawachunga, atawalisha, na atakuwa mchungaji wao.
Tukhoumkung buet touh ka rawi pouh vaiteh, ahni ni a kawk han. Kaie ka san Devit ni ahnimouh a kawk vaiteh, ama teh kakhoumkung lah ao vaiteh a kawkhik han.
24 Kwa kuwa mimi, Yahwe, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu kati yao-mimi, Yahwe, nimesema hivi.
Kai BAWIPA teh ahnimae Cathut lah ka o vaiteh, ka thaw katawkkung Devit teh ahnimae lathueng kahrawikung lah ao han, kai BAWIPA roeroe ni yo ka dei toe.
25 Kisha nitafanya agano la amani pamoja nao na kuwaondoa wanyama waovu kutoka kwenye nchi, ili kwamba waishi salama katika jangwa na walale salama katika misitu.
Hahoi, ahnimouh hoi roumnae lawkkamnae hah ka sak vaiteh, sarang kathout hah ram thung hoi ka baw sak han, kahrawngum vah karoumcalah kho a sak vaiteh, ratu thungvah karoumcalah a i awh han.
26 Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu, kwa kuwa nitaleta manyunyu kwa wakati wake. Haya yatakuwa manyunyu ya baraka.
Ahnimouh thoseh kaie mon petkâkalup lah kaawm e hai thoseh, yawhawi ka poe vaiteh, amae atueng dawk kho ka rak sak vaiteh, yawhawinae khotui a rak han.
27 Kisha miti ya shambani itazaa matunda yake, na dunia itashindwa kuzaa matunda yake. Kondoo wangu watakuwa salama katika nchi yao; kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakazipovunja fito za kongwa zao, na wakati nitakapowalinda kutoka kwenye mkono wa wale walio watumikisha.
Ram thung e thingnaw ni a pawra han, talai ni hai apaw a tâco sak han, khocanaw ni karoumcalah ao awh han, ahnimouh ni a phu awh e kahnam rui ka a pouh vaiteh, thama thama lah ka rek e ahnimae kut dawk hoi ka tâco sak toteh, kai teh BAWIPA lah ka o tie a panue awh han.
28 Hawatakuwa mateka tena kwa mataifa, na wanyama pori juu ya dunia hawatawameza tena. Kwa kuwa wataishi salama na wala hakuna mtu atakayewatia hofu.
Jentelnaw ni bout lawm awh mahoeh toe, ram dawk e sarang ni hai kei awh mahoeh toe. Apihai takinae poe mahoeh toe, ahnimouh teh karoumcalah ao awh han toe.
29 Kwa kuwa nitatengeneza sehemu ya kulimia nzuri kwa ajili yao hivyo hawataangamia kwa njaa katika nchi, na mataifa hayataleta matukano juu ya yao.
A min kamthang e takha hai ahnimouh hanelah kai ni ka sak pouh han, a ram dawk takangnae, kahai lah onae bout awm mahoeh toe. Jentelnaw e dudamnae khang awh mahoeh toe.
30 Kisha watajua kwamba mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao. Ni watu wangu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.
Ahnimae Bawipa Jehovah teh ahnimouh hoi rei o e thoseh, Isarel imthungnaw hai ka tami lah ao e hai thoseh, a panue awh han telah Bawipa Jehovah ni a dei.
31 Kwa kuwa ninyi ni kondoo wangu, kundi la malisho yangu, na watu wangu, na mimi ni Mungu wenu-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.”
Nangmouh ka tuhu hoi saring pânae hmuen dawk e ka tuhu hah ka tami na o awh. Kai hai nangmae Cathut ka ka o, telah Bawipa Jehovah ni a dei telah a ti.

< Ezekieli 34 >