< Ezekieli 34 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
BOEIPA ol kai taengla koep ha pawk tih,
2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa wachungaji: Ole kwa wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?
“Hlang capa Israel aka dawn taengah tonghma pah. Tonghma lamtah amih aka dawn taengah thui pah. Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Anunae Israel aka dawn rhoek khaw amamih aka luem la om uh tih boiva aka luem te dawn uh pawt mico?
3 Mnakula mafungu yaliyonona na mnavaa sufu. Mnawachinja walionona. Hamkuwalisha siku zote.
A tha te na caak uh tih tumul te na bai uh. Na luem puei uh van pawt ah, boiva a toitup te na ngawn uh.
4 Hamkuwatia nguvu wagonjwa, wala hamkuwaponya wenye maradhi. Hamkuwafungua wale waliovunjika, hamkuwarudisha waliofukuzwa au kuwatafuta waliopotea. Badala yake, mmetawala juu yao kwa nguvu na vurugu.
Aka nue te na moem uh pawt tih aka tlo te na toi uh pawh. Aka khaem te na khop uh pawt tih a heh uh te khaw na mael uh puei pawh. Aka milh te khaw na toem uh pawh. Tedae amih te mangkhak la, thama la na buem uh.
5 Kisha walikuwa wametawanyika bila mchungaji, na wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba, walipokuwa wametawanyika.
Aka dawn a tal dongah taekyak uh tangloeng. A taek a yak vaengah tah khohmuen mulhing boeih kah cakok la poeh.
6 Kundi langu limetawanyika juu ya milima yote na juu ya kilima kirefu, na limetawanyika juu ya uso wote wa dunia. Wala hakuna anayewatafua.
Ka boiva loh tlang tom neh som a sang tom ah palang uh. Diklai hman tom ah ka boiva loh a taekyak vaengah toem voel pawt tih tlap voel pawh.
7 Kwa hiyo, wachungaji, sikilizeni neno la Yahwe:
Te dongah aka dawn rhoek loh BOEIPA ol te hnatun uh.
8 Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba, kwa sababu hapakuwa na mchungaji yeyote, lakini wachungaji walijilisha wenyewe na hawakulisha kundi langu.
Kai tah hingnah ni tite Boeipa Yahovah kah olphong ni. Ka boiva te maeh la om mailai pawt nim? Ka boiva loh khohmuen mulhing boeih kah cakok la a poeh he khaw dawn voel pawt tih a toem pawt dongah ni. Ka boiva te ka dawn sak dae amamih aka dawn la luem tih ka boiva te dawn uh pawh.
9 Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe:
Te dongah tu dawn rhoek loh BOEIPA ol hnatun uh.
10 Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu ya wachungaji, na nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwake. Kisha nitawaachisha kutoka kulichunga kundi; wala wachungaji hawatajilisha wenyewe tena kwa kuwa nitaliondoa kundi langu kutoka midomoni mwao, ili kwamba kundi langu lisiwe chakula kwa ajili yao tena.
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Tu aka dawn rhoek te ka pai thil coeng tih amih kut lamkah ka boiva te ka toem ni. Amih te boiva aka luem puei lamloh ka paa sak daengah ni amamih ah aka dawn long khaw koep a luem thil uh pawt eh. Ka boiva te amih ka lamloh ka huul daengah ni amih kah cakok la a poeh pawt eh.
11 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwaulizia,
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Kai kamah loh ka boiva te ka toem ngawn vetih amih ka hnukdawn ni he.
12 kama mchungaji atafutaye kundi lake juu ya siku hiyo yupo ndani ya kundi lake lililotawanyika. Hivyo nitalitafuta kundi langu, na nitalichunga kutoka sehemu lilipokuwa limetawanyika siku ya mawingu na giza.
Te khohnin ah anih te a tuping aka dawn hnukdawnkung bangla taekyak tangtae a boiva lakli ah om ni. Ka boiva te ka hnukdawn vetih cingmai neh yinnah hnin ah a taek a yak nah hmuen boeih lamloh amih te ka huul ni.
13 Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
Amih te pilnam lamloh ka khuen vetih amih te paeng tom lamloh ka coi ni. Amih te amamih khohmuen la ka thak vetih amih Israel tlang kah sokca neh khohmuen tolrhum cungkuem ah ka luem puei ni.
14 Nitawaweka kwenye malisho mema; juu ya milima ya Israeli itakuwa sehemu za malisho yao. Watalala chini huko katika sehemu nzuri kwa ajili ya malisho, katika malisho mengi, na watalisha juu ya milima ya Israeli.
Amih te luemnah then neh ka luem puei vetih Israel tlang sang ah amih kah tolkhoeng om ni. Tolkhoeng then ah kol uh vetih Israel tlang kah luemnah dongah pulpulh luem uh ni.
15 Mimi mwenyewe nitachunga kondoo wangu, na mimi mwenyewe nitawalaza chini-hivi ndivyo Bwana Yahwe
Ka boiva te kamah loh ka luem puei vetih amih te kamah loh ka kol sak ni. He tah ka Boeipa Yahovah olphong ni.
16 asemavyo-Nitawatafuta waliopotea nitawarudisha waliofukuzwa. Nitawafunga waliovunjika na kuwaponya kondoo waliougua lakini wanene na wenye nguvu nitawaharibu. Nitawalisha kwa haki.
Aka milh te ka toem vetih a heh tangtae te khaw ka mael puei ni. Aka khaem te ka poi pah vetih aka nue te tha ka caang sak ni. Tedae pulpulh aka tlungluen khaw ka mitmoeng sak vetih tiktamnah neh ka luem sak ni.
17 Hivyo sasa ninyi, kundi langu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-tazama, nitakuwa hakimu kati ya kondoo na kondoo na kati ya kondoo dume na mbuzi dume.
Nangmih ka boiva rhoek aw, ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Kai loh tu neh tu laklo, tutal laklo neh kikong laklo ah lai ka tloek coeng he.
18 Je! haitoshi kulisha juu ya malisho mazuri, ambayo mtayakanyaga chini kwa miguu yenu kile kilichobakia kwenye malisho; na kunywa kutoka maji masafi, ambayo hakuna budi kuikanyaga mito kwa miguu yenu?
Luemnah then ah na luem uh te na yakvawt nim? Na luemnah coih te na kho neh na taelh. Tui cil na ok dae a coih te na kho neh na nu sak.
19 Kondoo zangu zitakula kile mlichokanyagwa kwa miguu yenu, na kunywa maji yale mliyoyakanyaga kwa miguu yenu?
Nangmih kho loh a cawtkoi te ka boiva loh luem thil saeh lamtah nangmih kho loh a nookkoi te o saeh a?
20 Kwa hiyo Bwana Yahwe anawaambia hivi; Tazama! Mimi mwenyewe nitahukumu kati ya wanene na waliokonda,
Te dongah ka boeipa Yahovah loh amih taengah he ni a thui. Kai kamah loh tu tha laklo neh tu pim laklo ah lai ka tloek ngawn ni.
21 Kwa kuwa mmewasukuma kwa ubavu wenu na mabega, na kuwapiga kwa pembe wadhaifu wote kwa pembe zenu hadi mtakapowatawanya mbali kutoka kwenye nchi.
Na vae neh, laengpang neh na nen uh tih na ki neh na thoeh uh. Amih te boeih a muei hil vongvoel la na taek na yak uh.
22 Nitaliokoa kundi langu na hawatakuwa mateka tena, na nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine!
Te dongah ka boiva te ka khang vetih maeh la om voel mahpawh. Tu neh tu laklo ah lai ka tloek.
23 Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi. Atawachunga, atawalisha, na atakuwa mchungaji wao.
Amih aka dawn te pakhat ka thoh pah vetih amih te a luem puei ni. Ka sal David loh amih te a luem puei vetih amah te amih aka dawn la om ni.
24 Kwa kuwa mimi, Yahwe, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu kati yao-mimi, Yahwe, nimesema hivi.
BOEIPA kamah he amih taengah Pathen la ka om vetih ka sal David tah amih lakli ah khoboei la om ni. He he BOEIPA kamah long ni ka thui.
25 Kisha nitafanya agano la amani pamoja nao na kuwaondoa wanyama waovu kutoka kwenye nchi, ili kwamba waishi salama katika jangwa na walale salama katika misitu.
Amih taengah rhoepnah paipi ka saii vetih boethae mulhing te diklai lamloh ka kangkuen sak ni. Te daengah ni khosoek ah ngaikhuek la kho a sak uh vetih duup ah a ih uh eh.
26 Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu, kwa kuwa nitaleta manyunyu kwa wakati wake. Haya yatakuwa manyunyu ya baraka.
Amih te ka som kaepvai kah yoethennah te ka paek ni. A tue vaengah khonal ka tueih vetih yoethennah khonal la om ni.
27 Kisha miti ya shambani itazaa matunda yake, na dunia itashindwa kuzaa matunda yake. Kondoo wangu watakuwa salama katika nchi yao; kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakazipovunja fito za kongwa zao, na wakati nitakapowalinda kutoka kwenye mkono wa wale walio watumikisha.
Khohmuen thingkung loh a thaih te a paek vetih diklai loh a cangpai a paek ni. A khohmuen ah ngaikhuek la om uh vetih BOEIPA kamah he m'ming uh ni. Te vaengah amih kah hnamkun hnokohcung te ka haih pah vetih amih aka thotat sak kut lamloh amih ka huul ni.
28 Hawatakuwa mateka tena kwa mataifa, na wanyama pori juu ya dunia hawatawameza tena. Kwa kuwa wataishi salama na wala hakuna mtu atakayewatia hofu.
Namtom kah maeh la om uh voel pawt vetih amih te diklai mulhing loh dolh mahpawh. Ngaikhuek la kho a sak uh vetih lakueng uh mahpawh.
29 Kwa kuwa nitatengeneza sehemu ya kulimia nzuri kwa ajili yao hivyo hawataangamia kwa njaa katika nchi, na mataifa hayataleta matukano juu ya yao.
A thingling ming te amih ham ka thoh ni. Te daengah ni khokha aka tlung khaw khohmuen ah om voel pawt vetih namtom taengah mingthae a phueih uh voel pawt eh.
30 Kisha watajua kwamba mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao. Ni watu wangu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.
Te vaengah kai heamih taengkah a Pathen BOEIPA neh amih Israel imkhui khaw ka pilnam la a ming uh bitni. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
31 Kwa kuwa ninyi ni kondoo wangu, kundi la malisho yangu, na watu wangu, na mimi ni Mungu wenu-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.”
Nangmih tah kai kah boiva ni. Nangmih kah hlang te khaw ka rhamtlim khuikah boiva ni. Kai tah nangmih kah Pathen ni. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni,” a ti.

< Ezekieli 34 >