< Ezekieli 33 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
2 “Mwanadamu, sema hivi kwa watu wako; waambie, 'Nitakapoleta upanga juu ya nchi, kisha watu wa hiyo nchi wakamchukua mtu mmoja kutoka mingoni mwao na kumfanya awe mlinzi wao.
son: child man to speak: speak to(wards) son: descendant/people people your and to say to(wards) them land: country/planet for to come (in): bring upon her sword and to take: take people [the] land: country/planet man one from end their and to give: make [obj] him to/for them to/for to watch
3 Atazamapo kwa upanga kama unakuja juu ya nchi, na apige tarumbeta kuwaonya watu!
and to see: see [obj] [the] sword to come (in): come upon [the] land: country/planet and to blow in/on/with trumpet and to warn [obj] [the] people
4 Kama watu wakisikia sauti ya tarumbeta lakini bila kusikia, na kama upanga ukija na kuwaua, kisha damu ya kila mmoja iko juu ya kichwa chake mwenyewe.
and to hear: hear [the] to hear: hear [obj] voice: sound [the] trumpet and not to warn and to come (in): come sword and to take: take him blood his in/on/with head his to be
5 Kama mtu akisikia sauti ya tarumbeta na hakusikiliza, damu yake iko juu yake; lakini kama akisikia, ataokoa maisha yake mwenyewe.
[obj] voice: sound [the] trumpet to hear: hear and not to warn blood his in/on/with him to be and he/she/it to warn soul: life his to escape
6 Bali, kama mlinzi akiona upanga unakuja, lakini kama asipopiga tarumbeta, pamoja na matokeo kwamba watu hawajaonywa, na kama upanga ukija na kuchukua uhai wa mtu yeyote, kisha yule mtu akafa kwenye dhambi yake mwenyewe, lakini nitaitaka damu yake kutoka mlinzi.'
and [the] to watch for to see: see [obj] [the] sword to come (in): come and not to blow in/on/with trumpet and [the] people not to warn and to come (in): come sword and to take: take from them soul: person he/she/it in/on/with iniquity: crime his to take: take and blood his from hand [the] to watch to seek
7 Sasa wewe mwenyewe, mwanadamu! Nimekufanya kuwa mlinzi kwa ajili ya nyumba ya Israeli; utasikia maneno kutoka kinywani mwangu na uwaonye badala yangu.
and you(m. s.) son: child man to watch to give: make you to/for house: household Israel and to hear: hear from lip my word and to warn [obj] them from me
8 Kama nikimwambia mtu mwovu, 'Mwovu, hakika utakufa!' lakini kama hutangazi hivi ili kwa ajili ya kumuonya mtu mwovu kuhusu hii njia, kisha huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake, lakini nitaitaka damu yake kutoka kwenye mkono wako!
in/on/with to say I to/for wicked wicked to die to die and not to speak: speak to/for to warn wicked from way: conduct his he/she/it wicked in/on/with iniquity: crime his to die and blood his from hand your to seek
9 Lakini wewe, kama ukimwonya mwovu kuhusu hii njia, hivyo basi anaweza kurudi kutoka hiyo, na kama kama asipogeuka kutoka njia yake, kisha atakufa katika dhambi yake, lakini wewe mwenyewe utakuwa umeokoa maisha yako.
and you(m. s.) for to warn wicked from way: conduct his to/for to return: repent from her and not to return: repent from way: conduct his he/she/it in/on/with iniquity: crime his to die and you(m. s.) soul your to rescue
10 Basi wewe, mwanadamu, sema kwa nyumba ya Israeli, 'Mnasema hivi, Makosa yetu na dhambi zetu zi juu yetu, na tunadhoofika kwa ajili yao! Je! tutaishije?”'
and you(m. s.) son: child man to say to(wards) house: household Israel so to say to/for to say for transgression our and sin our upon us and in/on/with them we to rot and how? to live
11 Waambie, 'Kama niishivyo-asema Bwana Yahwe-sifurahii kifo cha mwovu, kwa kuwa kama mwovu akitubu kutoka njia yake, kisha ataishi! Tubu! Tubu kutoka njia zako mbaya! Kwa nini mnataka kufa, nyumba ya Israeli?'
to say to(wards) them alive I utterance Lord YHWH/God if: surely no to delight in in/on/with death [the] wicked that if: except if: except in/on/with to return: repent wicked from way: conduct his and to live to return: repent to return: repent from way: conduct your [the] bad: evil and to/for what? to die house: household Israel
12 Hivyo basi wewe, mwanadamu, waambe watu wako, 'Haki ya mwenye haki haitamwokoa kama akikosa! Uovu wa mtu mwovu hautamfanya kuangamia kama akitubu dhambi zake! Kwa kuwa mtu mwenye haki hataweza kuishi kwa sababu ya haki yake kama akikosa.
and you(m. s.) son: child man to say to(wards) son: descendant/people people your righteousness [the] righteous not to rescue him in/on/with day transgression his and wickedness [the] wicked not to stumble in/on/with her in/on/with day to return: repent he from wickedness his and righteous not be able to/for to live in/on/with her in/on/with day to sin he
13 Kama nikisema kwa mwenye haki, “Hakika ataisha!” na kama akiamini katika haki yake na kisha akafanya udhalimu, sitokumbuka haki yake yoyote. Atakufa kwa ajili ya uovu alioufanya.
in/on/with to say I to/for righteous to live to live and he/she/it to trust upon righteousness his and to make: do injustice all (righteousness his *Q(K)*) not to remember and in/on/with injustice his which to make: do in/on/with him to die
14 Hivyo kama nikisema kwa mwovu, “Utakufa hakika,” lakini kama akitubu kutoka kwenye dhambi zake na kufanya yaliyo halali na haki-
and in/on/with to say I to/for wicked to die to die and to return: repent from sin his and to make: do justice and righteousness
15 kama akirudisha dhamana ambayo aliyomnyang'anya, au kama akirudisha alichokipoteza, na kama akitembea katika amri zitoazo uhai na bila kufanya dhambi-kisha ataishi hakika. Hatakufa.
pledge to return: rescue wicked violence to complete in/on/with statute [the] life to go: walk to/for lest to make: do injustice to live to live not to die
16 Dhambi alizozifanya hazitakumbukwa kwa ajili yake. Ametenda halali na haki, na hivyo, ataishi hakika!
all (sin his *Q(K)*) which to sin not to remember to/for him justice and righteousness to make: do to live to live
17 Lakini watu wako husema, “Njia ya Bwana haiko sawa!” lakini ni njia zako ndizo haziko sawa!
and to say son: descendant/people people your not to measure way: journey Lord and they(masc.) way: journey their not to measure
18 Wakati mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye haki na kufanya dhambi, kisha atakufa katika hiyo!
in/on/with to return: repent righteous from righteousness his and to make: do injustice and to die in/on/with them
19 Wakati mtu mbaya ageukapo kutoka kwenye ubaya wake na kufanya iliyo halali na haki, ataishi kwa sababu ya hayo mambo!
and in/on/with to return: repent wicked from wickedness his and to make: do justice and righteousness upon them he/she/it to live
20 Lakini ninyi watu husema, “Njia ya Bwana haiko sawa!” Nitawahukumu kila mmoja wenu kulingana na njia yake, nyumba ya Israeli!”'
and to say not to measure way: conduct Lord man: anyone like/as way: conduct his to judge [obj] you house: household Israel
21 Ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya tano ya mwezi wa kumi ya uhamisho wetu, mtu mmoja akatoroka kutoka Yerusalemuna kusema, “Mji umetekwa!”
and to be in/on/with two ten year in/on/with tenth in/on/with five to/for month to/for captivity our to come (in): come to(wards) me [the] survivor from Jerusalem to/for to say to smite [the] city
22 Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu jioni kabla yule mtoro hajaja, na mdomo wangu ulikuwa wazi mda huo alikuja kwangu wakati wa mapambazuko. Hivyo mdomo wangu ulikuwa wazi; sikuwa bubu tena!
and hand: power LORD to be to(wards) me in/on/with evening to/for face: before to come (in): come [the] survivor and to open [obj] lip my till to come (in): come to(wards) me in/on/with morning and to open lip my and not be dumb still
23 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
24 “Mwanadamu, wale waishio mahali palipoharibika katika nchi ya Israeli huongea na kusema, 'Ibrahimu alikuwa mtu pekee, na alirithi nchi, lakini sisi tukowengi! Tumepewa nchi kama wamiliki.”
son: child man to dwell [the] desolation [the] these upon land: soil Israel to say to/for to say one to be Abraham and to possess: possess [obj] [the] land: country/planet and we many to/for us to give: give [the] land: country/planet to/for possession
25 Kwa hiyo waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Mnakula damu, na mmeziinulia macho yenu sanamu, kisha mnazimwagia damu za watu. Je! mna uhakika wa kuimiliki hii nchi?
to/for so to say to(wards) them thus to say Lord YHWH/God upon [the] blood to eat and eye your to lift: look to(wards) idol your and blood to pour: kill and land: country/planet to possess: possess
26 Mnategemea upanga wenu na mmetenda mambo maovu; kila mtu amemnajisi mke wa jirani yake. Je! kweli mtaimiliki nchi?'
to stand: stand upon sword your to make abomination and man: anyone [obj] woman: wife neighbor his to defile and [the] land: country/planet to possess: possess
27 Utawaambia hivi, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kama niishivyo, hakika wale walio katika uharibifu wataanguka kwa upanga, na nitawapatia wale walio katika mashamba viumbe hai kama chakula, na wale walio katika ngome na mapango watakufa kwa tauni.
thus to say to(wards) them thus to say Lord YHWH/God alive I if: surely yes not which in/on/with desolation in/on/with sword to fall: kill and which upon face: surface [the] land: country to/for living thing to give: give him to/for to eat him and which in/on/with stronghold and in/on/with cave in/on/with pestilence to die
28 Kisha nitairudisha nchi kwenye ukiwa na tishio, na kiburi cha uwezo wake kitakoma, kwa kuwa milima ya Israeli itakuwa jangwa, na hakutakuwa na mtu yeyote atakayewapitia.'
and to give: make [obj] [the] land: country/planet devastation and devastation and to cease pride strength her and be desolate: destroyed mountain: mount Israel from nothing to pass
29 Hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapoifanya nchi ukiwa na tishio kwa sababu ya machukizo yote waliyoyafanya.
and to know for I LORD in/on/with to give: make I [obj] [the] land: country/planet devastation and devastation upon all abomination their which to make
30 Hivyo basi wewe, mwanadamu-watu wako wanasema mambo yako karibu na kuta na malango ya nyumba, na kila mmoja anaambizana na mwenzake-kila mtu na ndugu yake, 'Twende na tukasikilize neno la nabii lililotoka kwa Yahwe!
and you(m. s.) son: child man son: descendant/people people your [the] to speak: speak in/on/with you beside [the] wall and in/on/with entrance [the] house: home and to speak: speak one with one man: anyone with brother: compatriot his to/for to say to come (in): come please and to hear: hear what? [the] word [the] to come out: come from with LORD
31 Hivyo watu wangu watakuja kwako, kama wafanyavyo mara nyingi, na nitaketi mbele yako na kusikiliza maneno yako, lakini mioyo yao inafuata udhalimu kwa faida yao.
and to come (in): come to(wards) you like/as entrance people and to dwell to/for face: before your people my and to hear: hear [obj] word: speaking your and [obj] them not to make: do for lust in/on/with lip their they(masc.) to make: do after unjust-gain their heart their to go: continue
32 Kwa kuwa umekuwa kama wimbo mzuri kwao, sauti nzuri awezaye kucheza kinanda vizuri, hivyo watasikia maneno yako, lakini hakuna atakaye yatii.
and look! you to/for them like/as song lust beautiful voice and be good to play and to hear: hear [obj] word: speaking your and to make: do nothing they [obj] them
33 Hivyo wakati haya yote yatakapotokea-tazama! itatokea! -watajua yakwamba nabii alikuwa miongoni mwao.”
and in/on/with to come (in): come she behold to come (in): come and to know for prophet to be in/on/with midst their

< Ezekieli 33 >