< Ezekieli 32 >

1 Kisha ikawa katika mwezi wa kumi na mbili wa mwaka wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Ket napasamak nga iti maika-sangapulo ket dua a bulan iti maika-sangapulo ket dua a tawen, iti umuna nga aldaw ti bulan, immay kaniak ti sao ni Yahweh a kunana,
2 “Mwanadamu, inua maombolezo kuhusu Farao mfalme wa Misri; mwambie, 'Wewe ni kama simba mdogo juu ya mataifa, lakini kama jitu la kutisha, unatoka kwenye maji, unayachafua maji kwa miguu yako na kuyachafua maji yao.
“Anak ti tao, dung-awam ni Faraon, nga ari ti Egipto; ibagam kenkuana, 'Arigmo ti urbon a leon kadagiti nasion, kaskala nakabutbuteng nga ayup iti baybay; kibkiburem ti danum, liblibegem dagiti danum babaen kadagiti sakam ken rugrugitam dagiti danumda!
3 Bwana Yahwe asema hivi: Basi nitautandaza wavu wangu juu yako katika kusanyiko la watu wengi, na watawainua juu katika wavu wangu.
Kastoy ti kuna ti Apo a ni Yahweh, “Isarwagko ngarud kenka ti iketko iti taripnong dagiti adu a puli dagiti tattao, ket ingatodakanto iti iketko!
4 Nitakuacha katika nchi. Nitakutupa kwenye shamba na kufanya ndege wote wa angani watue juu yako; njaa ya wanyama wote waishio juu ya nchi watashibishwa na wewe.
Baybay-ankanto iti daga! Ibellengkanto iti away ket pagbatayekto kenka dagiti billit iti tangatang; mapnekto dagiti amin a mabisin nga ayup iti daga babaen kenka.
5 Kwa kuwa nitaiweka nyama yako juu ya milima, na nitayajaza mabonde kwa funza wako waliokufa.
Ta ikabilkonto ti lasagmo kadagiti bantay, ken punnoekto dagiti tanap iti agruprupsa a bangkaymo!
6 Kisha nitamwaga damu yako juu ya milima, na vitanda vya kijito vitajazwa kwa damu yako.
Kalpasanna, iparukpokkonto ti daram kadagiti bantay, ket mapnonto dagiti waig iti daram!
7 Kisha wakati nitakapokuzimisha, nitazifunika mbingu na kuzitia giza nyota zake; nitalifunika jua kwa mawingu, na mwezi hautatoa nuru yake usiku.
Ket inton iddepek ti silawmo, lengdakto dagiti langit ken pagsipngetek dagiti bituen daytoy; lengdakto ti init babaen kadagiti ulep, ket saanto nga agraniag ti bulan!
8 Mianga ya mbinguni nitaiweka giza juu yako, na nitaweka giza juu ya nchi-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
Pagsipngetekto dagiti amin nga agranraniag a silaw kadagiti langit iti ngatoem, ket pagsipngetekto ti dagam! —kastoy ti pakaammo ti Apo a ni Yahweh.
9 Hivyo nitaitisha mioyo ya watu wengi katika nchi ambao huwajui, wakati nitakapoleta kuhusu uvunjifu miongoni mwa mataifa, miongoni mwa nchi ambazo hukuzijua.
Ket butbutngekto ti puso dagiti adu a puli dagiti tattao kadagiti daga a saanmo nga ammo, inton ipadamagko kadagiti nasion ti pannakarebbam.
10 Nitawashangaza watu wengi kuhusiana na wewe; wafalme wao watatetemeka kwa hofu kuhusiana na wewe nitakapoutikisa upanga wangu mbele yao. Kila wakati kila mmoja atatetemeka kwa sababu yako, katika siku ya kuanguka kwako.
Kellaatekto dagiti adu a puli dagiti tattao iti maipapan kenka; agpigergerto iti buteng dagiti arida maipapan kenka inton iwasiwasko ti kampilanko iti sangoananda. Iti tunggal kanito, agpigergerto ti tunggal maysa gapu kenka, iti aldaw ti pannakarebbam.
11 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja juu yako.
Ta kastoy ti kuna ti Apo a ni Yahweh: Umayto a maibusor kenka ti kampilan ti ari ti Babilonia!
12 Nitawafanya watu wako kuanguka kwa panga za mashujaa-kila shujaa ni tishio la mataifa. Hawa mashujaa watateketeza kiburi cha Misri na kuangamiza watu wake wote.
Ipaluboskonto a mapasag dagiti adipenmo babaen kadagiti kampilan dagiti mannakigubat—pagbutngento ti tunggal mannakigubat dagiti nasion! Dadaelento dagitoy a mannakigubat ti dayag ti Egipto ken papatayendanto amin dagiti adu a tattao nga agnanaed iti daytoy!
13 Kwa kuwa nitaiharibu mifugo yote kutoka karibu na maji mengi; na mguu wa mtu hautayatibua tena, wala kwato za wanyama hazitayatibua.
Ta papatayekto dagiti amin a taraken manipud iti igid dagiti adu a danum; saanen a kiburen dagiti saka ti tao dagiti danum, wenno kiburen ti saka ti baka dagitoy!
14 Kisha nitayafanya maji yao kuwa matulivu na kufanya mito yao kukimbia kama mafuta-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
Ket pagtalnaekto dagiti danumda ken pagayusekto dagiti karayanda a kas iti panagayus ti lana—kastoy ti pakaammo ti Apo a ni Yahweh!
15 Wakati nitakapoifanya nchi ya Misri sehemu iliyojitenga, wakati nchi iliyopungukiwa na vitu viijazavyo, wakati nitakapo washambulia wakaao ndani yake, watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
Inton ti daga ti Egipto—daga a napunpunno—ket pagbalinek a nadadael a lugar, nabaybay-an a lugar; inton darupek dagiti amin nga agnanaed kenkuana, ket maammoandanto a siak ni Yahweh!
16 Kutakuwa na maombolezo; binti za mataifa wataomboleza juu yake; wataomboleza juu ya Misri, juu ya watu wake wote wataomboleza-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
Addanto panagdung-aw! Ta dung-awanto isuna dagiti annak a babbai dagiti nasion; dung-awandanto ti Egipto. Dung-awandanto dagiti amin nga adipenna! —kastoy ti pakaammo ti Apo a ni Yahweh!'''
17 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya kumi na tano ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Ket napasamak nga iti maika-sangapulo ket dua a tawen, iti maika-sangapulo ket lima nga aldaw ti bulan, immay kaniak ti sao ni Yahweh a kunana,
18 “Mwanadamu, omboleza kwa ajili watu wa misri na walete chini-yeye na binti za mataifa mashuhuri-hata chini ya dunia pamoja na wale walioshuka chini kwenye shimo.
“Anak ti tao, sangitam dagiti adipen ti Egipto ket ibellengmo ida—isuna ken dagiti annak a babbai dagiti nabileg a nasion—iti kababaan a paset ti daga a kadua dagiti napan iti abut!
19 'Je! wewe ni mzuri zaidi kuliko mtu mwingine yeyote? Nenda chini na lala chini pamoja na wasiotahiriwa.'
Saludsudem kadakuada, 'Napinpintaskayo kadi ngem iti siasinoman? Bumabakayo ket agiddakayo a kaduayo dagiti saan a nakugit!'
20 Wataanguka miongoni mwao waliokuwa wameuawa kwa upanga. Upanga ulikuwa umewekwa! Alikuwa amepatiwa upanga; watamkamata na watu wake.
Mapasagda ket maitiponda kadagiti napapatay babaen iti kampilan! Naited ti Egipto iti kampilan; tiliwento isuna dagiti kabusorna ken dagiti adipenna!
21 Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol h7585)
Iwaragawagto dagiti kapipigsaan kadagiti mannakigubat iti sheol ti maipapan iti Egipto ken dagiti kakaduana, 'Bimmabadan ditoy! Agiddada a kaduada dagiti saan a nakugit a napapatay babaen iti kampilan!' (Sheol h7585)
22 Ashuru yupo huko pamoja na kusanyiko lake. Makaburi yake yamemzunguka; wote waliuawa kwa upanga.
Adda sadiay ti Asiria agraman ti amin a taripnongna! Pinalikmutan isuna dagiti tanemna; aminda ket napapatay babaen iti kampilan.
23 Wale ambao makaburi yao yamewekwa katika maficho ya mashimo yaliyo huko, pamoja na kusanyiko lake. Makaburi yake yakiwazunguka wote waliokuwa wameuawa, walioanguka kwa upanga, wale walioleta hofu juu ya nchi ya walio hai.
Adda sadiay dagiti makin tanem iti adda iti kaunggan a paset ti abut, agraman ti taripnongna. Pinalikmutan dagiti tanemna dagiti amin a napapatay, a napasag babaen iti kampilan, dagiti nangyeg iti pammutbuteng iti daga dagiti sibibiag!
24 Elamu yupo huko pamoja na watu wake wote. Makaburi yake yamemzunguka; wote walikuwa wameuawa. Wale walioawa kwa upanga, walioshuka chini wasiotahiriwa hata sehemu ya chini kabisa ya dunia, waliowatia hofu juu ya nchi ya walio hai na wale waliobeba aibu yao wenyewe, pamoja na wale washukao chini kwenye shimo.
Adda sadiay ti Elam agraman dagiti adipenna! Pinalikmutan isuna dagiti tanemna; napapatayda amin! Dagidiay napasag babaen iti kampilan, a saan a nakugit a bimmaba kadagiti kaadalman a paset ti daga, a nangiyeg kadagiti pammutbutbutengda iti daga dagiti sibibiag ken kaduada a mangaw-awit ita iti bainda, bumabbabadan iti abut!
25 Wamemuwekea kitanda kwa ajili ya Elamu na watu wake wote kati ya wachinjaji; kaburi lake limemzunguka. Wote hawajatahiriwa, kukatwa vipande kwa upanga, kwa sababu waliwaleta mashujaa wao juu ya nchi ya walio hai. Hivyo wamechukua aibu yao wenyewe, pamoja na wale washukao kwenye shimo miongoni mwa wote waliouawa, wale washukao kwenda shimoni. Elamu yu miongoni mwa wale waliokuwa wameuawa.
Nangisaganada iti pagiddaan para iti Elam ken para kadagiti amin nga adipenna iti nagtetengngaan dagiti napapatay; pinalikmutan isuna dagiti tanemna! Aminda ket saan a nakugit, dagidiay napapatay babaen iti kampilan, dagidiay nangiyeg iti pammutbutengda iti daga dagiti sibibiag! Isu nga awit-awitda ti bukkodda a bain, agraman dagiti bumabbaba iti abut a karaman kadagiti napapatay, dagidiay bumabbaba iti abut. Karaman ti Elam kadagiti napapatay.
26 Mesheki, Tubali, na watu wake wote wako huko! Makaburi yao yamewazunguka. Wote hawajatahiriwa, wameuawa kwa upanga, kwa sababu walileta utiisho wao juu ya nchi ya walio hai.
Adda sadiay ti Mesack, Tubal ken dagiti amin nga adipenda! Pinalikmutan ida dagiti tanemda! Aminda ket saan a nakugit, napapatay babaen iti kampilan, gapu ta inyegda dagiti pammutbutbutegda iti daga dagiti sibibiag!
27 Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
Saan kadi a nagiddada a kaduada dagiti napasag a mannakigubat dagiti saan a nakugit a bimmaba iti lubong dagiti natay (Sheol) agraman dagiti amin nga igamda a pakigubat, ken agraman dagiti kampilanda nga impunganda? Naiparabaw dagiti kalasagda kadagiti tulangda. Ta isuda dagiti mangbutbuteng a mannakigubat iti daga dagiti sibibiag! (Sheol h7585)
28 Basi wewe, Misri, utavunjika kati yao wasiotahiriwa! Utalala karibu nao waliokuwa wamekatwa vipande vipande kwa upanga.
Isu a sika nga Egipto, ket madadaelto iti nagtetengngaan dagiti saan a nakugit! Ken agiddakanto a kaduam dagiti napapatay babaen iti kampilan!
29 Edomu yuko huko na wafalme na viongozi wake wote. Walikuwa wamehifadhiwa katika uwezo wao pamoja na wale walioawa kwa upanga. Pamoja na wasiotahiriwa wamelala, pamoja na wale walioshuka kwenye shimo.
Adda sadiay ti Edom agraman dagiti arina ken dagiti amin a pangulona. Nabilegda idi, ngem itan ket nakaiddada a kaduada dagiti napapatay babaen iti kampilan, kaduada dagiti saan a nakugit ken dagiti bimmaba iti abut.
30 Wakuu wa kaskazini wako huko-wote na Wasidoni wote walioshuka chini pamoja na hao waliokuwa wamekatwa vipande vipande. Walikuwa na nguvu na kuwafanya wengine kuogopa, lakini sasa wako huko kwa aibu, wasiotahiriwa pamoja na wale waliokatwa vipande vipande kwa upanga. Wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja nao waendao kwenye shimo.
Adda sadiay dagiti prinsipe iti amianan—aminda ken amin a taga-Sidon a bimmaba a kadua dagiti natay! Nabilegda ken pinagbutengda dagiti dadduma, ngem itan ket nakaiddada sadiay a mababain, saan a nakugit a kaduada dagiti napapatay babaen iti kampilan. Awit-awitda ti bukodda a bain, kaduada dagiti dadduma a bumabbaba iti abut.
31 Farao ataona na kupata faraja kuhusu kundi lake waliokatwa vipande vipande kwa upanga -Farao na jeshi lake lote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Kumitanto ni Faraon ken maliwliwanto maipapan kadagiti amin nga adipenna a napapatay babaen iti kampilan—kastoy ti pakaammo ti Apo a ni Yahweh.
32 Natamuweka kama utiisho wangu katika nchi ya walio hai, lakini atakuwa amelazwa chini katikati yao wasiotahiriwa, miongoni mwa wale walio katwa vipande kwa upanga, Farao na makundi yake yote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Intulokko a mangbutbuteng isuna iti daga dagiti sibibiag, ngem agiddanto isuna iti nagtetengngaan dagiti saan a nakugit, a kaduana dagiti napapatay babaen iti kampilan—kastoy ti pakaammo ti Apo a ni Yahweh!”

< Ezekieli 32 >